<?xml version='1.0' encoding='UTF-8'?><?xml-stylesheet href="http://www.blogger.com/styles/atom.css" type="text/css"?><feed xmlns='http://www.w3.org/2005/Atom' xmlns:openSearch='http://a9.com/-/spec/opensearchrss/1.0/' xmlns:georss='http://www.georss.org/georss' xmlns:gd='http://schemas.google.com/g/2005' xmlns:thr='http://purl.org/syndication/thread/1.0'><id>tag:blogger.com,1999:blog-3455255205653026852</id><updated>2012-02-16T13:27:41.586-08:00</updated><title type='text'>Lesoni ya Kiswahili</title><subtitle type='html'>Karibuni katika jukwaa la mjadala wa lesoni. Katika jukwaa hili tutakuwa tukiwaleteeni lesoni kwa lugha ya Kiswahili mijadala ya lesoni kila wiki pamoja na mambo mengine. Karibu na ujisikie kama wewe ni mhusika mkuu wa jukwaa hili.</subtitle><link rel='http://schemas.google.com/g/2005#feed' type='application/atom+xml' href='http://lesoni.blogspot.com/feeds/posts/default'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3455255205653026852/posts/default?max-results=100'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lesoni.blogspot.com/'/><link rel='hub' href='http://pubsubhubbub.appspot.com/'/><link rel='next' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3455255205653026852/posts/default?start-index=101&amp;max-results=100'/><author><name>Lessoni ya Kiswahili</name><uri>http://www.blogger.com/profile/05032927242368522742</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><generator version='7.00' uri='http://www.blogger.com'>Blogger</generator><openSearch:totalResults>107</openSearch:totalResults><openSearch:startIndex>1</openSearch:startIndex><openSearch:itemsPerPage>100</openSearch:itemsPerPage><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-3455255205653026852.post-47369807479634936</id><published>2012-02-16T00:32:00.001-08:00</published><updated>2012-02-16T00:32:50.282-08:00</updated><title type='text'>Somo la 7: Bwana wa Sabato</title><content type='html'>Somo limetafsiriwa na Mgune Masatu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;(Mwanzo 2, Kutoka 20, Kumbukumbu la Torati 5, Marko 15)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Somo hili limetafsiriwa kutoka katika Copr. 2011, Bruce N. Cameron, J.D. Marejeo yote ya maandiko yametoka kwenye tafsiri ya New International Version (NIV), copr. 1973, 1978, 1984 International Bible Society, isipokuwa kama itaelezwa vinginevyo. Nukuu kutoka kwenye tafsiri ya Biblia ya NIV inatumika kwa ruhusa ya Wachapishaji wa Biblia wa Zondervan. Majibu yaliyopendekezwa yanapatikana kwenye parandesi (kwenye mabano). Somo limekaa kimtazamo kwamba mwalimu anatumia ubao au sehemu nyingine yoyote ambayo inaweza kuonekana na wanafunzi. Kama huwa una kawaida ya kupokea somo hili kwa njia ya barua pepe na hukulipata kwa juma moja, unaweza kulipata kwa kubofya kwenye www.lesoni.blogspot.com kwa lugha ya Kiswahili na http://www.GoBible.org kwa lugha ya Kiingereza pamoja na lugha nyingine kama vile Kifaransa, Kijerumani. Omba kwa ajili ya uongozi wa Roho Mtakatifu unapojifunza.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Utangulizi: Juma lililopita tulijadiliana kwamba sheria ya Mungu inadhamiria kuwa mbaraka kwa wanadamu, sio kitu cha kutufanya tujikwae. Mojawapo ya mbaraka mkubwa wa sheria ni Sabato. Nilipokuwa kwenye shule ya sheria, mpambano ulikuwa mkali. Sio tu kuwa shule ya sheria ilihitajika mtu kusoma kwa bidii, bali pia wanafunzi walifahamu kuwa ubora wa kazi ambayo wangeipata baada ya kumaliza masomo ya shule ya sheria ulitegemea na nafasi yao kimasomo darasani. Baada ya kumaliza mwaka wa kwanza, shule ilikabiliana na shinikizo kubwa kwa kutotoa matokeo kulingana na nafasi aliyoishika mwanafunzi darasani! Nilikuwa na mahala pangu salama pa kujihifadhi, Sabato. Katika siku hiyo sikufanya kazi yoyote ya shule – na niliweza kupata pumziko bila kujisikia hatia! Kwa hakika nilijisikia vizuri sana. Mungu alibariki uaminifu wangu na akanipatia alama nzuri sana. Hetu tuzame kwenye somo letu la Biblia na tujifunze zaidi kuhusu Sabato.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;I. Alama za Sabato&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma Mwanzo 2:1-3. Hapo awali tulijadili mafungu haya kwenye somo letu lililohusu utakatifu wa Mungu. Je, tulisema kitu gani kuhusiana na Sabato kuwa takatifu? (Kuwa takatifu ilimaanisha kuwa iliwekwa wakfu kinyume na siku nyingine zote. Ilibarikiwa. Utakatifu wake ulitokana na kitu kilichofanywa na Mungu, sio kitu chochote tulichokifanya sisi.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Soma Marko 2:27. Je, unadhani ni kwa nini Mungu aliifanya Sabato? (Ilifanywa kwa ajili yetu. Kimsingi, ilifanywa kuwa siku ya pumziko kwa ajili yetu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;C. Soma Kutoka 20:8-11. Je, ni sababu gani nyingine tunayoiona kwa Mungu kuifanya Sabato kuwa takatifu? (Ukumbusho wa uumbaji wa Mungu wa “mbingu na nchi.”)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;D. Soma Kumbukumbu la Torati 5:12-15. Je, ni sababu gani tunayoiona hapa ya kuitunza Sabato? (Mungu aliwaokoa watu wake kutoka kwenye kutendewa kusikokuwa kwa haki. Kwa hiyo tunapaswa kuwatendea wale walio chini yetu mambo ya haki kwa kuwapatia pumziko la Sabato.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, hiyo ndio sababu ya kutufanya tuamini kuwa Sabato ilifanywa kwa ajili ya Wayahudi pekee? (Hapana. Ulikuwa tu ni mfano wa “kuokoa.” Mungu aliingilia kati ili kuweza kuleta haki. Hivi leo Mungu anatuokoa kutoka kuwa watumwa wa dhambi na kifo.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;II. Sabato Inayofananishwa na Mpira wa Kimarekani&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma Marko 15:33-34, Marko 15:37-39 na Marko 15:42-43. Je, Yesu alisulubiwa siku gani? (Ijumaa, kabla ya Sabato.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Soma Marko 16:1-3 na Marko 16:5-9. Je, Yesu alifufuka kutoka kaburini siku gani? (Jumapili.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;1. Kwa nini ucheleweshaji huu? Hebu jiweke kwenye nafasi ya Mungu Baba. Ni punde tu Mwanao amepigwa hadi mauti kumkuta. Kabla Mwanao hajafa anakwambia, “Kwa nini umeniacha?” Kwa kuongezea, ni punde tu Mwanao ameshinda “Mpira wa Kimarekani (American Football)” wa hapa duniani – ameishinda dhambi na kuuleta ushindi katika Ufalme. Je, utachukua muda gani kumkumbatia Mwanao? Je, utachukua muda gani kusema, “Sijakuacha!” (Sitasubiri! Kwa hakika kabisa, sitasubiri.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;a. Je, kwa nini Mungu alifanya kile ambacho hakuna hata mtu mmoja angeweza kukifanya? (Mungu alisubiria kwa sababu ile ile ambayo alisherehekea uumbaji wa dunia katika siku ya Sabato. Alisubiria kwa sababu ile ile aliyosherehekea ukombozi wa watu wake kutoka Misri siku ya Sabato. Yesu alipumzika siku ya Sabato ikiwa ni kusherehekea kile alichokitimiza!)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;III. Sabato na Kanisa la Awali&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Padre wa kanisa la awali, Ignatius wa Antiokia, kwenye barua yake kwa “Magnesians 9-10” anasema, “Kama wale waliokuzwa kupitia kwenye mfumo wa kale hivi sasa wana matumaini mapya, hawaitunzi tena Sabato, lakini wanaishi kwa kuishika/kuitunza Siku ya Bwana, ambapo maisha yetu yamechipushwa tena na Yeye na ufufuo Wake….. Ni upuuzi kumkiri Kristo Yesu, na kufanya mambo ya Kiyahudi. Kwa maana Ukristo haukuikumbatia dini ya Kiyahudi, bali dini ya Kiyahudi iliukumbatia Ukristo.”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, ni sababu ipi/zipi ambazo Ignatius anazitoa za kuabudu siku ya Jumapili? (Ufufuo wa Yesu siku ya Jumapili. Uhasama dhidi ya dini ya Kiyahudi.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;a. Je, Wayahudi walikuwa maarufu kwa kiwango gani kipindi ambacho Rumi iliiharibu Yerusalemu na hekalu mwaka wa 70 BK? &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;b. Je, dini ya Kiyahudi ina ugomvi na Ukristo? (Hii inatupatia mtazamo wa wazi kabisa wa sababu za kuitunza siku ya Jumapili hapo awali. Imejengwa  kwenye hoja ya “kimantiki” ambayo sio bora zaidi kuliko mantiki ya Yesu kupumzika siku ya Sabato baada ya kuteswa kwake. Kwa kuongezea, ina upande wa pili wa chuki kubwa ya Wayahudi. Ilikuwa ni baada ya kujiingiza kwenye mjadala wa dhati wa kiteolojia na mmojawapo wa mafariki wangu wa Kiyahudi ndipo nilipoelimishwa kuhusu uhusiano wa karibu wa historia kati ya uhasama/chuki/uadui dhidi ya Wayahudi na ukataaji wa Sabato ya Kibiblia. Uhasama dhidi ya Wayahudi (mfikirie Musa, Petro, Paulo) hauna msingi wa kiteolojia, na hauna nafasi sahihi kwenye fikra zetu. Yesu alikuja kutimiliza, sio kutangua, unabii na matendo ya Agano la Kale. (Mathayo 5:17.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Mfalme Konstatino wa Rumi katika mwaka wa 321 BK alitangaza rasmi Jumapili kuwa siku mpya ya mapumziko kwenye himaya yake. Hivi sasa ninasoma kitabu maarufu sana kuhusu historia ya Yerusalemu. Kinasema kuwa Konstatino alikuwa na matamanio mawili makubwa, uwezo/nguvu ya jua na Ukristo. Alitengeneza sarafu zenye sanamu ya msalaba na nyingine zenye sanamuya jua. Je, hii inapendekeza nini kwenye mtazamo wake wa ibada ya Jumapili? (Alitaka Wakristo wajumuishe ibada ya jua kwenye ibada zao za kidini.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;1. Baadhi ya Wakristo wanasema kuwa hawaijali Krismasi au Pasaka kwa sababu zina mizizi ya “kipagani.” Ninakataa hoja hizi kwa sababu ya umuhimu wa hizi sherehe za kidini kwa Wakristo hivi leo. Je, tunapaswa pia kuwa na mtazamo huo huo kuhusiana na ibada ya kila juma wa Sabato ya Jumapili? (Huo ungekuwa mtazamo wangu kama isingekuwa ni kwa ajili ya amri ya Biblia iliyo wazi kabisa na isiyoyumba kwamba siku ya saba ndio pekee iliyofanywa na Mungu kuwa takatifu. Krismasi na Pasaka kamwe hazikudhihirishwa kuwa takatifu katika Biblia, kwa hiyo nipo huru kudai umuhimu wao wa sasa kwa Wakristo wote waliopo  duniani.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;IV. Siku Yetu ya Bwana&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Jina la kawaida la Jumapili ni kuiita kuwa siku ya Bwana. Je, Yesu aliabudu siku ya Jumapili au alitoa ishara yoyote kuwa aliikana/aliikataa Sabato? Hebu tusome Mathayo 12:1-2. Kama Yesu alitaka kutoa ishara ya kubadili ibada kutoka Sabato kwenda kwenye siku nyingine, je, hii ingekuwa fursa nzuri sana kufanya hivyo?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Soma Mathayo 12:3-5. Je, kuna wazo gani lililopo kuhusu utakatifu wa Sabato kwenye haya mafungu? (Analinganisha kula mikate ya wonyesho na wanafunzi wake kula siku ya Sabato – hakuna hata kimojawapo kilicho halali. Analinganisha makuhani kufanya kazi siku ya Sabato na wanafunzi wake “kufanya kazi” siku ya Sabato. Anasema kuwa “hawana hatia,” lakini sio kwa sababu ya tatizo lolote lililopo dhidi ya Sabato.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;C. Soma Mathayo 12:6-8. Kwa nini Daudi hakuwa na hatia, makuhani hekaluni hawakuwa na hatia, na wanafunzi wa Yesu hawakuwa na hatia kwa kuivunja Sabato? (Lengo kuu. Daudi kwa dhati kabisa alikuwa na haki ya kufanya hivi kwa kuwa alikuwa mtiwa mafuta wa Mungu. Makuhani walikuwa wakifanya kazi kwa ajili ya Mungu. Yesu alikuwa Mungu na wanafunzi wake walikuwa pamoja naye katika kuuendeleza Ufalme wa Mungu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, Yesu anamaanisha nini anaposema, “Nataka rehema, wala si sadaka?” (Soma Hosea 6:6. Dhana ya kutembea kwetu na Mungu sio kutoa wanyama sadaka (kutubu dhambi), ni kumpenda na kumtii Mungu. Washtaki wa wanafunzi walikuwa mbele za Mungu, lakini macho yao bado yalikuwa kwenye jambo dogo (lisilo la msingi). Yesu alikuwa hashushi umuhimu wa Sabato. Alikuwa akiwaelekeza wafuasi wake kujikita kwenye jambo la muhimu katika suala lolote lile.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;a. Je, watunzaji wa Sabato watalitumiaje somo hili hivi leo? &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;D. Soma Yohana 9:10-11 na Yohana 9:13-16. (Niliwahi kuwa na mshiriki wa darasa ambaye alimshutumu kwa nguvu zote Billy Graham kwa kutoitunza Sabato. Haya ndio mashtaka yaliyofanywa na baadhi ya Mafarisayo.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;E. Soma Yohana 9:35-41. Je, Yesu anamaanisha nini anaposema kuwa amekuja ili vipofu wapate kuona? (Kwa mara nyingine tena Yesu anazungumzia kuhusu kuwa na mtazamo sahihi juu ya Sabato na asili ya umuhimu wake. Graham aliwaongoa mamia kwa maelfu ya watu maishani mwake. Huenda zaidi ya mtu mwingine yeyote yule, alikuwa uso (kioo) cha Wakristo wa Kiprotestati kwa miongo kadhaa. Mshiriki mwenzangu wa darasa, ambaye huenda kamwe hajawahi kumwongoa mtu yeyote, hakujikita kwenye Ufalme wa Mungu. Yesu anatuita tujikite kuuendeleza Ufalme wa Mungu.) &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;F. Soma Mathayo 12:9-12. Je, Yesu anaukataa utakatifu wa Sabato? (Hapana.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;1. Je, Yesu anasema nini kuhusiana na Sabato? (Kwa mara nyingine, anasema kuwa tunatakiwa kuiangalia vizuri -  zana ya kuuendeleza Ufalme wa Mungu. Kuwaponya na kuwasaidia watu wengine kunaendana na Sabato.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;G. Soma Mathayo 12:13-14. Je, ingejalisha kitu chochote kwa yule mtu kama Yesu angesubiria hadi muda wa jua kuzama ili aweze kumponya? (Hapana.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, kwa nini Yesu alimponya siku ya Sabato? (Kusisitiza dhana yake ya jinsi ambavyo Sabato inapaswa kueleweka.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Kama Yesu alikuwa anakaribia kuifuta Sabato, kwa nini alifanya juhudi hizi za kubainisha jinsi Sabato inavyoingia kwenye mpambano kwa ajili ya Ufalme wa Mungu?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;H. Rafiki, Sabato ni ukumbusho wa kile ambacho Yesu amekifanya kwa ajili yetu – Alituumba, alituokoa kutoka dhambini, alikufa kwa ajili yetu na alifufuka kwa ajili yetu. Kamwe hatutakiwi kuacha kusherehekea siku takatifu aliyotupatia na kamwe haijabadilika. Lakini, lazima pia tuwe na mtazamo sahihi juu ya Sabato katika kuuendeleza Ufalme wa Mungu. Je, utakubali hivi leo kuitunza Sabato kama sehemu ya kazi yako ya kuuendeleza ufalme wa Mungu?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;V. Juma lijalo: Utunzaji wa Viumbe&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/3455255205653026852-47369807479634936?l=lesoni.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lesoni.blogspot.com/feeds/47369807479634936/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://lesoni.blogspot.com/2012/02/somo-la-7-bwana-wa-sabato.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3455255205653026852/posts/default/47369807479634936'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3455255205653026852/posts/default/47369807479634936'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lesoni.blogspot.com/2012/02/somo-la-7-bwana-wa-sabato.html' title='Somo la 7: Bwana wa Sabato'/><author><name>Lessoni ya Kiswahili</name><uri>http://www.blogger.com/profile/05032927242368522742</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-3455255205653026852.post-3942373076911814693</id><published>2012-02-08T07:02:00.000-08:00</published><updated>2012-02-08T07:07:38.530-08:00</updated><title type='text'>Somo la 6: Mungu Mtoaji wa Sheria</title><content type='html'>Somo limetafsiriwa na Mgune Masatu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;(Kutok 19 &amp; 20, Mathayo 22, Isaya 48)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Somo hili limetafsiriwa kutoka katika Copr. 2011, Bruce N. Cameron, J.D. Marejeo yote ya maandiko yametoka kwenye tafsiri ya New International Version (NIV), copr. 1973, 1978, 1984 International Bible Society, isipokuwa kama itaelezwa vinginevyo. Nukuu kutoka kwenye tafsiri ya Biblia ya NIV inatumika kwa ruhusa ya Wachapishaji wa Biblia wa Zondervan. Majibu yaliyopendekezwa yanapatikana kwenye parandesi (kwenye mabano). Somo limekaa kimtazamo kwamba mwalimu anatumia ubao au sehemu nyingine yoyote ambayo inaweza kuonekana na wanafunzi. Kama huwa una kawaida ya kupokea somo hili kwa njia ya barua pepe na hukulipata kwa juma moja, unaweza kulipata kwa kubofya kwenye www.lesoni.blogspot.com kwa lugha ya Kiswahili na http://www.GoBible.org kwa lugha ya Kiingereza pamoja na lugha nyingine kama vile Kifaransa, Kijerumani. Omba kwa ajili ya uongozi wa Roho Mtakatifu unapojifunza.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Utangulizi: Somo lililopita tulijifunza kitabu cha Wagalatia, somo ambalo lilitupatia mtazamo wa “sheria dhidi ya neema.” Mtazamo huo utatupotosha isipokuwa tu kama tutafungua macho yetu kwenye mtazamo mpana zaidi. Hebu angalia hapa duniani kwenye nchi zinazoongozwa kwa sheria na uzilinganishe na nchi zinazoongozwa na chochote kile ambacho mtawala anaamua kwa muda huo. Nchi ambazo zinaongozwa kwa “utawala wa sheria” zina mafanikio zaidi na zina uhuru zaidi. Uhuru wa kidini, uhuru wetu wa msingi sana, unapatikana tu kwenye nchi zinazoongozwa chini ya utawala wa sheria. Kama wazo lako la “neema” lina dhana ya kwamba unafanya jambo lolote unalodhani kuwa ni zuri kulifanya kwa wakati huo, basi hapo utakuwa umekosea kabisa dhana ya sheria ya Mungu. Hebu tuzame kwenye somo letu la Biblia ili tuweze kujifunza zaidi kuhusu sheria ya Mungu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;I. Utoaji (“Ofa”)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma Kutoka 19:3-6. Je, Mungu anatoa ofa ya kitu gani? (Anatoa ofa ya mkataba. Yaani kama watu “watatunza agano langu” watakuwa watu maalum kwa Mungu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Unadhani Mungu alikuwa anamaanisha nini aliposema kuwa watu watakuwa “ufalme wa makuhani?” (Je, makuhani wanafanya nini? Wao ni wawakilishi wa mungu wao. Mungu anatupatia mahusiano maalum endapo tutamtii.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Kwa nini watu watake kukubali ofa hii? (Kama Mungu alivyokwishawaelezea, alikuwa na uwezo mkubwa kabisa wa kushughulikia matatizo yote waliyokabiliana nayo.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Soma Kutoka 19:7-8. Je, watu waliikubali ofa ya Mungu?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;II. Muhtasari&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma Mathayo 22:37- 40. Yesu aliposema kuwa “Torati na Manabii” “inaning’inia” kwenye hizi amri mbili, je, alimaanisha nini? (Hizo ndizo msingi na umuhimu wa sheria.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Angalia wajibu wetu kwa Mungu. Je, ni sehemu yetu gani ambayo Mungu anaitaka?  (Yote.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Yesu anaporejea “moyo,” “roho” na “akili,” je, unadhani kuwa anamaanisha nini? Je, hivi vitu vitatu ni tofauti?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;3. Je, ni kwa jinsi gani amri ya pili (mpende jirani yako) ina utofauti kwa muktadha wa kujitoa kwayo na ile ya kwanza (mpende Mungu wako)? (Hatuambiwi kuwapenda majirani zetu kikamilifu kabisa, bali tuwapende kama tunavyojipenda wenyewe.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;a. Je, unajipenda kwa kiwango gani?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;b. Je, ni sahihi kujipenda wewe mwenyewe? (Ama kwa hakika kabisa!)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;B. Je, unadhani kuwa Yesu anaanzisha njia mpya ya kuiangalia sheria? (Soma Kumbukumbu la Torati 10:12.  Yesu haanzishi kitu kipya.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;III. Amri Kumi za Mungu -  Upendo kwa Mungu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma Kutoka 19:16-19. Utabaini kuwa hii ni tofauti na njia ambayo Yesu aliutangaza msingi wa sheria kwenye Mathayo 22. Kwa nini Mungu aliwatisha watu? (Alitaka kusisitizia umuhimu wa sheria. Pia alitaka (ukisoma mafungu yanayofuatia) kuwaweka watu mbali ili kwamba wasijaribu kumwona na wafe.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Soma Kutoka 20:1-2. Je, Mungu angeongezea kitu gani kwenye wasifu wake hivi leo? (Mimi ni Bwana Mungu wako niliyekuokoa kutoka katika mauti ya milele.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, haya ni madai makubwa zaidi kuliko yale ya awali?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;C. Soma Kutoka 20:3. Je, hii inapendekeza nini kuhusiana na Mtoaji wetu wa sheria? (Kwamba anahitaji utii wetu uwe wa kwanza kabisa.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;D. Soma Kutoka 20:4-6. Ni kwa nini hii amri ya pili ni ya muhimu ukizingatia kuwa tayari tunayo ile amri ya kwanza? (Hii inahusiana na heshima/hadhi/utu wa Mungu. Mungu hataki kushushwa na kuonekana kuwa kama “kitu fulani hivi” – hususan, sio kuwa kama kitu alichokiumba, au kitu kilichofanywa/kilichotengenezwa na kimojawapo cha uumbaji wake.) &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, ninapindisha maneno ya Mungu? Anasema kuwa ana “wivu” na nilipendekeza kuwa hiyo ndio ilikuwa hadhi yake. Je, vitu hivi viwili vinatofautiana? (Yesu anaionea wivu nafasi yake – hadhi yake.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Nini kinatokea kwa kumpa Mungu kile anachokistahili? (Mibaraka! Mibaraka hadi kwa watoto wetu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;E. Je, unawezaje kuzielezea kwa ufupi hizi amri mbili za kwanza? (Zinaakisi somo letu la juma lililopita – zinaonyesha kuwa Mungu ni mtakatifu, amewekwa wakfu, na ni wa kipekee.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;F. Soma Kutoka 20:7. Je, ni kitu gani cha kwanza kabisa kinakujia akilini unapoisoma amri hii? (Kuapa.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, unadhani kuwa ni tatizo gani lililopo ambalo Mungu analielezea? Je, ni kwa jinsi gani kuapa ni tatizo kubwa kwenye hilo tatizo lililoelezewa? (Kwa mara nyingine tena, ni utu/hadhi, utukufu wa Mungu, ndilo lililo suala la msingi.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Je, utakuwa unakiuka amri hii kwa wewe kudai kuwa Mkristo na kufanya mambo ambayo yatampa Mungu sifa mbaya? (Nadhani hili ni tatizo kubwa zaidi kuliko kuapa. Watu wanafikiria kwa uchache kuhusiana na kuapa, kwa sababu kwa ujumla wale wanaoapa sio watu wanaodai kuwa wawakilishi wa Mungu. Ni wale wanaodai kuwa wawakilishi, na wale wanaofanya uovu, ndio wanaolitumia vibaya jina lake.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;IV. Amri Kumi – Kipindi cha Mpito&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma Kutoka 20:8-11. Je, hii amri ya nne inahusu kumpenda Mungu au inahusu kuwapenda wanadamu wenzetu? (Inamheshimu Mungu kwa kuwa Muumba wetu, lakini wanadamu wote (hadi waajiriwa wetu) wanafurahia pumziko hili la kila juma.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;V. Amri Kumi - Upendo kwa Jirani&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma Kutoka 20:12. Je, kwa nini heshima kwa wazazi wetu inahusishwa na urefu wa maisha yetu? Je, Mungu anatuambia kuwa “atatushambulia/atatupiga” kwa kutowaheshimu wazazi? (Kwa ujumla wazazi wana busara. Kama tukijifunza kutoka kwao maisha yetu yatakuwa bora na marefu. Kuwapenda wazazi wetu, kama kuwapenda wenzi wetu, ndio njia ya kujipenda sisi wenyewe.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Soma Kutoka 20:13-16. Je, ni kitu gani kinachofanana kinachoonekana kwenye hizi amri zote? (Soma Warumi 13:8-10. Upendo wa watu wengine. Tunapotoa/tunapochukua kutoka kwa watu kitu chao cha haki, tunaonyesha ubinafsi na upungufu wa upendo.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, ni kitu gani alichotutendea Yesu? (Alikufa badala yetu. Aliyatoa maisha yake kwa ajili yetu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;a. Je, amri hizi zinaakisije kile alichotutendea Yesu? (Msingi wa injili ni kujitoa sisi wenyewe kwa ajili ya watu wengine. Matendo yaliyoelezewa kwenye hizi amri yanachukua vitu kutoka kwa watu wengine kwa faida yetu.  Amri hizo ni kinyume cha injili.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;C. Soma Kutoka 20:17. Je, hii inahusianaje na amri nne ambazo tumejifunza hivi punde? (Hii ni sehemu ya mtazamo wa amri zilizotangulia. Ukijiepusha kutaka vitu vya jirani yako, kama ukiridhika na kitu chako, basi hutachukua kitu chochote cha jirani yako.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, upendo kwa jirani yako unaingiaje kwenye hii amri ya mwisho?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Je, hizi kanuni za Kibiblia zinapaswa kujihusisha na sera za kodi za kitaifa?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;3. Kama umesema kuwa ndiyo, Marekani inapokuwa inaingia kwenye miezi ya mwisho ya uchaguzi wa urais, kuna mjadala mkubwa kuhusu kuongeza kodi ya ziada kwa matajiri. Je, huu ni ukiukwaji wa amri ya kumi? Je, huu ni wivu na matamanio?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;VI. Amri Kumi za Neema&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma Isaya 48:17. Je, haya ni maelezo ya Amri Kumi? (Haya ni sehemu ya maelekezo ya Mungu “ya jinsi ambavyo unapaswa kuenenda.”)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Soma Isaya 48:18-19. Je, matokeo ya kuitii sheria ya Mungu ni yapi? (Amani. Haki. Hadhi. Familia. Haya ndio mambo yote tunayoyataka. Mungu anatufundisha kuwa sheria yake haipo kwa ajili ya kutukosesha. Haipo kwa ajili ya kutuhukumu/kutushutumu. Mungu alitupatia sheria yake kwa sababu anatupenda na anafahamu vizuri zaidi kuwa ni mtazamo na matendo ya aina gani yatakuwa mbaraka maishani mwetu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;VII. Juma lijalo: Bwana wa Sabato&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/3455255205653026852-3942373076911814693?l=lesoni.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lesoni.blogspot.com/feeds/3942373076911814693/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://lesoni.blogspot.com/2012/02/somo-la-6-mungu-mtoaji-wa-sheria.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3455255205653026852/posts/default/3942373076911814693'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3455255205653026852/posts/default/3942373076911814693'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lesoni.blogspot.com/2012/02/somo-la-6-mungu-mtoaji-wa-sheria.html' title='Somo la 6: Mungu Mtoaji wa Sheria'/><author><name>Lessoni ya Kiswahili</name><uri>http://www.blogger.com/profile/05032927242368522742</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-3455255205653026852.post-4205563729846553589</id><published>2012-02-01T07:52:00.000-08:00</published><updated>2012-02-01T07:53:32.618-08:00</updated><title type='text'>Somo la 5: Utakatifu wa Mungu</title><content type='html'>Somo limetafsiriwa na Mgune Masatu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;(1 Petro 1, Mwanzo 2, Ayubu 42, Luka 5) &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Somo hili limetafsiriwa kutoka katika Copr. 2011, Bruce N. Cameron, J.D. Marejeo yote ya maandiko yametoka kwenye tafsiri ya New International Version (NIV), copr. 1973, 1978, 1984 International Bible Society, isipokuwa kama itaelezwa vinginevyo. Nukuu kutoka kwenye tafsiri ya Biblia ya NIV inatumika kwa ruhusa ya Wachapishaji wa Biblia wa Zondervan. Majibu yaliyopendekezwa yanapatikana kwenye parandesi (kwenye mabano). Somo limekaa kimtazamo kwamba mwalimu anatumia ubao au sehemu nyingine yoyote ambayo inaweza kuonekana na wanafunzi. Kama huwa una kawaida ya kupokea somo hili kwa njia ya barua pepe na hukulipata kwa juma moja, unaweza kulipata kwa kubofya kwenye www.lesoni.blogspot.com kwa lugha ya Kiswahili na http://www.GoBible.org kwa lugha ya Kiingereza pamoja na lugha nyingine kama vile Kifaransa, Kijerumani. Omba kwa ajili ya uongozi wa Roho Mtakatifu unapojifunza.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Utangulizi: Biblia inatuambia kwa kurudia rudia kuwa Mungu ni mtakatifu. Je, hiyo inamaanisha nini? Hili sio suala linalomaanisha kufurahisha akili zetu tu, kwa sababu Mungu anatuamuru kwenye Agano la Kale na Agano Jipya la Biblia kuwa tuwe watakatifu kama jisi Mungu alivyo mtakatifu. (1 Petro 1:15-16; Mambo ya Walawi 11:44.) Kama hatuelewi kile kinachomaanishwa kwa Mungu kuwa mtakatifu, hatuwezi kuelewa lengo la muhimu maishani mwetu. Hetu tuone tunavyoweza kulibaini hili kwa mara nyingine tena kwa kuzama kwenye somo letu la Biblia!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;I. Wakati (Muda) Mtakatifu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma Mwanzo 2:2-3. Hii inatuambia kuwa Mungu “aliifanya” Sabato kuwa takatifu. Je, muktadha huu unapendekeza kuwa utakatifu unamaanisha nini? (Kwanza kabisa, utakatifu unatoka kwa Mungu. Yeye ndiye mwanzilishi wake. Pili, kuwa takatifu ni kuwa tofauti na siku nyinginezo. Utabaini kuwa utakatifu na mibaraka vinaonekana kufanana. Siku takatifu ni siku iliyowekwa wakfu dhidi ya siku nyinginezo, siku maalum, siku iliyobarikiwa.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Soma Zaburi 86:8-10. Je, ni kipengele gani cha utakatifu wa Mungu kinachofanana na Sabato? (Mungu amewekwa wakfu. Hakuna mungu kama Bwana wetu. Yeye peke yake ndiye mkuu na mzuri ajabu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;C. Soma Kutoka 20:11. Je, uhusiano iliopo kati ya huu muda mtakatifu na Uumbaji ni upi? (Ni sherehe, ukumbusho wa uwezo wa ubunifu wa Mungu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Kama haya mawazo kuhusu utakatifu wa Mungu pia yanahusika kwetu kwa namna fulani hivi, je, ni sehemu gani ya kitendawili cha utakatifu tunachoweza kukifahamu? (Utakatifu unatoka kwa Mungu pekee. Inamaanisha kuwa tumewekwa wakfu na kubarikiwa pia. Inamaanisha kuwa maisha yetu yanapaswa kuwa kama usherehekeaji wa uwezo wa Mungu na ubunifu wa Mungu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;D. Soma 1 Samweli 2:2. Tunapozama kwenye mjadala kuhusiana na utakatifu wa Mungu na lengo la utakatifu wetu, je, hii inatufundisha kitu gani cha muhimu? (Hatuwezi kufikia kiwango cha Mungu cha utakatifu. Hakuna hata mtu mmoja aliye kama yeye! Habari njema ni kwamba hatupaswi kukata tamaa pale ambapo utakatifu wetu mara kwa mara unaonekana kuwa kwenye matatizo.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;E. Soma Kutoka 20:8-10. Je, ni kwa namna gani kuacha kufanya kazi kuna cha kujihusianisha na muda mtakatifu? (Ni wakati wa kujielekeza kwenye kile alichokiumba Mungu, sio vile tunavyovifanya. Hii inaonyesha kuwa utakatifu unatoka kwa Mungu, sio kwetu. Hatutengenezi/hatufanyi muda mtakatifu kwa kufanya jambo fulani.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, ni kipande gani kingine cha kitendawili kinaimarishwa na suala hili kuhusiana na sisi kuwa watakatifu? (Hatuwezi kujifanya wenyewe kuwa watakatifu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;II. Akili Takatifu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;A. Soma 1 Petro 1:13-16. Je, tumefanya makosa? Petro anatuambia tuwe watakatifu katika yote tuyatendayo. Je, hiyo inamaanisha kuwa tunaweza kuufanya/ku-uumba utakatifu?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Angalia tena 1 Petro 1:13. Je, ni “tendo” gani linafanyika hapa? (Hakuna tendo lolote. Petro anatuambia tu kuwa tujielekeze kwenye zawadi ya neema ya Mungu. Zingatia/kuwa msikivu. Neema (utakatifu?) tunayoipokea “tunapewa,” hatuipati kwa juhudi zetu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Vipi kuhusu 1 Petro 1:14, ambapo tunaambiwa kuwa “watiifu?” (Tunapojielekeza kwa Bwana wetu, tunajifunza zaidi kuhusiana na mapenzi yake. Kimsingi Petro anasema, “Mmejifunza, kwa hiyo msiishi kufuatana na matamanio yenu maovu.”)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Soma 1 Petro 1:17-19. Je, matendo ni sehemu ya kuishi maisha matakaifu? (Ndiyo. Wakati ambapo hatuwezi kujifanya wenyewe kuwa watakatifu, Mungu anatutaraji tuishi maisha yanayoendana na kuwa watakatifu. Lengo la kwanza ni kuzingatia mapenzi ya Mungu. “Je, ninaweza kufanya jambo gani hivi leo ili kuuendeleza Ufalme wa Mungu, badala ya kukiendeleza chanzo cha dhambi?”)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, kuishi kama “wageni” na “kwa hofu yenye utii” kuna nini cha kujihusisha na lengo letu la utakatifu? (Hatutakiwi kuridhika sana na maisha ya hapa. Sisi sio sehemu ya hii dunia. Sisi ni sehemu ya Ufalme wa Mungu. Kwa hiyo, “tunamhofu” (ikimaabisha heshima, inayohusiana na Mungu). Hatujihusishi na dunia ila kuuendeleza Ufalme wa Mungu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Je, ni tofauti gani iliyopo ya kwamba tunafidiwa na kafara ya Yesu mwenyewe, badala ya malipo ya fedha? (Inafanya jinsi tunavyoishi maisha yetu yawe ya mtu binafsi. Yesu alilipa gharama kwa ajili ya dhambi zetu kwa kuyatoa maisha yake. Haliwezi kuwa suala la binafsi zaidi ya hapo. Tunahitajika kulichukua lengo la utakatifu na kulifanya kuwa suala la mtu binafsi.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;C. Soma 1 Petro 1:20-21. Je, ni hoja gani unayoiona hapa kuhusiana na neema? (“Tunaamini katika Mungu” kupitia “kwake” – kupitia kwa kile Yesu alichotutendea pale msalabani na katika ufufuo wake.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;D. Soma 1 Petro 1:22. Kwa wazi kabisa hii inaonyesha kuwa kile ambacho nimekuwa nikikifundisha ni makosa, sawa? Kinasema kwamba “tumejitakasa roho zetu kwa kuitii kweli.” Je, ni nini kinachoweza kuwa wazi zaidi ya hicho?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Angalia sehemu iliyosalia ya hili fungu. Je, unaweza kusaga meno yako na kumpenda mtu ambaye unamwona kabisa kuwa hapendeki? Vipi kuhusu “upendo wa dhati” kutoka moyoni? (Sote tunafahamu kuwa upendo wa dhati wa “ndugu” unatoka tu kwenye moyo uliobadilishwa na Mungu. Moyo unaotambua kuwa Mungu alikufa kifo cha kutisha kwa ajili yetu, ni moyo unaojibu kwa shukrani na upendo. Upendo wa ndugu ni mwitikio kwa Mungu. Kwa hiyo Mungu, na sio mapenzi ya mwanadamu, ndicho chanzo cha upendo. Hata hivyo, ni kweli kwamba “tabia” ya utii (kinyume na “tabia” ya kutokutii) inasaidia katika njia ya kuuelekea utukufu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;III. Utukufu Linganishi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;A. Sehemu kubwa ya kitabu cha Ayubu kinajumuisha maneno ya Ayubu akijitangazia kutokua na hatia ilhali marafiki zake wanasisitiza kuwa anaadhibiwa kutokana na dhambi zake. Suala la kuvutia linakuja pale ambapo Ayubu anatangaza kuwa anataka awe na Mungu chumbani na amfanye ajibu baadhi ya maswali yake kuhusu usawa na haki. Katika kitabu cha Ayubu sura za 40 &amp; 41 Mungu anamtokea Ayubu na anamwambia kuwa watakuwa na “uendeshaji wa mashtaka,” lakini hali itakuwa ni kwamba Ayubu ndiye atakayekuwa akijibu maswali. Hebu tusome Ayubu 42:1-3. Je, jibu la awali la Ayubu kwa Mungu ni lipi? (Nilijibu nikiwa mpumbavu. Sikuelewa uwezo na utukufu wa Mungu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Soma Ayubu 42:4-6. Je, utukufu na utakatifu wa Mungu vinatenda kitu gani kwa Ayubu? (Kutubu kwa unyenyekevu. Uelewa wa kwamba hatupo kwenye nafasi ya kuhoji haki na asili ya Mungu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, hii inakubalianaje na mjadala wetu wa awali kuhusiana na kile kinachomaanishwa kwa kuwa mtakatifu? (Kuwa mtakatifu ni “kuwekwa wakfu.” Mungu “amewekwa wakfu” kutoka kwetu. Kamwe hatuwezi kuwa na tumaini la kuweza kuufikia utakatifu wa Mungu. Tunapokea zawadi ya utakatifu anayotupatia na kudhamiria kutembea kwenye njia inayotuelekeza kwenye utakatifu. Kutembea katika njia hiyo hakutegemeani na suala la kama tunaelewa matatizo yote maishani. Kile tunachokielewa ni kwamba Mungu wetu ni mkuu, mwenye upendo na mtakatifu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;C. Soma Luka 5:1-5. Hebu jiweke kwenye nafasi ya Petro. Je, mawazo yako kuhusu amri ya Yesu ni yapi? (Walikuwa wamekwisha safisha zana zao na vifaa vyao. Yesu anawataka wachafue zana zao ili kwamba waje waifanye kazi hiyo tena. Wanavua samaki usiku, na walikuwa wametia juhudi kubwa sana usiku kucha. Yesu anawaambia kufanya kazi ya ziada. Wao ni wataalam wa uvuvi, Yesu ni mhubiri. Wao wana maarifa makubwa kuhusiana na suala hili.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;D. Soma Luka 5:6-8. Kwa nini hii inaonyesha kuwa Petro ni mdhambi? Alimtii Yesu? (Petro anatambua kuwa yeye sio mwerevu ambaye anajiendekeza kwa Yesu tu. Anatambua kuwa yupo mbele ya nguvu ya ulimwengu. Kitu kitakatifu kimekutana na kisicho kitakatifu na kitiifu, na utakatifu unahitaji utenganifu!)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;E. Soma Luka 5:10 (sehemu ya mwisho). Je, kwa nini Yesu asiogope? (Kwa sababu yupo kwenye utume wake kuwapatanisha Mungu Mtakatifu na wanadamu wadhambi. Safari yetu ya kuuelekea utakatifu ni ya “kuwavua watu,” kuuendeleza Ufalme wa Mungu.)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;F. Rafiki, je, utaufanya utakatifu kuwa lengo lako hivi leo? Je, malengo, maazimio, matamanio na matendo yako, yatajielekeza katika kuuendeleza Ufalme wa Mungu? Je, utafanya uchaguzi huo sasa hivi?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;IV. Juma lijalo: Mungu Mtoaji wa Sheria.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/3455255205653026852-4205563729846553589?l=lesoni.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lesoni.blogspot.com/feeds/4205563729846553589/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://lesoni.blogspot.com/2012/02/somo-la-5-utakatifu-wa-mungu.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3455255205653026852/posts/default/4205563729846553589'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3455255205653026852/posts/default/4205563729846553589'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lesoni.blogspot.com/2012/02/somo-la-5-utakatifu-wa-mungu.html' title='Somo la 5: Utakatifu wa Mungu'/><author><name>Lessoni ya Kiswahili</name><uri>http://www.blogger.com/profile/05032927242368522742</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-3455255205653026852.post-1659532403867684632</id><published>2012-01-24T09:16:00.000-08:00</published><updated>2012-01-24T09:20:49.669-08:00</updated><title type='text'>Somo la 4: Mungu wa Neema na Hukumu</title><content type='html'>Somo limetafsiriwa na Mgune Masatu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;(Yohana 3, Hesabu 21, Ufunuo 14) &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Somo hili limetafsiriwa kutoka katika Copr. 2011, Bruce N. Cameron, J.D. Marejeo yote ya maandiko yametoka kwenye tafsiri ya New International Version (NIV), copr. 1973, 1978, 1984 International Bible Society, isipokuwa kama itaelezwa vinginevyo. Nukuu kutoka kwenye tafsiri ya Biblia ya NIV inatumika kwa ruhusa ya Wachapishaji wa Biblia wa Zondervan. Majibu yaliyopendekezwa yanapatikana kwenye parandesi (kwenye mabano). Somo limekaa kimtazamo kwamba mwalimu anatumia ubao au sehemu nyingine yoyote ambayo inaweza kuonekana na wanafunzi. Kama huwa una kawaida ya kupokea somo hili kwa njia ya barua pepe na hukulipata kwa juma moja, unaweza kulipata kwa kubofya kwenye www.lesoni.blogspot.com kwa lugha ya Kiswahili na http://www.GoBible.org kwa lugha ya Kiingereza pamoja na lugha nyingine kama vile Kifaransa, Kijerumani. Omba kwa ajili ya uongozi wa Roho Mtakatifu unapojifunza.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Utangulizi: Juma hili tunajifunza vipengele viwili vya Mungu: neema na hukumu. Ukisoma mafungu machache yanayohusu hukumu – hususan ukirejea hukumu inayolenga matendo – unaweza kushangaa jinsi ambavyo neema na hukumu vinavyoendana sawia kwenye injili hiyo hiyo. Kimsingi, kwa muda mrefu sana nimekuwa nikiichukulia kwa dhati sana dhana ya kwamba Yesu mara kwa mara huwa anarejea hukumu inayotegemea matendo ilhali Paulo ana kaulimbiu madhubuti ya wokovu kwa njia ya neema. Je, tunaweza kuhusianisha hayo mawazo mawili pamoja? Kama hivyo ndivyo, je, ni kwa manma gani tutafanya hivyo? Hebu tuzame kwenye somo letu la Biblia ili tuweze kuona kile tunachoweza kujifunza!&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;I. Hukumu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma Mathayo 12:36-37 na Mathayo 16:27. Je, Bwana wetu anasema kuwa kiwango cha hukumu ni kipi? (Maneno yetu na matendo yetu!)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Soma 2 Wakorintho 5:10. Aaaah la! Huyu ni Paulo. Je, Paulo anasema kuwa msingi wa hukumu ni upi? (Matendo yatendwayo “katika mwili.”)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;C. Je, kitu gani kinaendelea hapa? Ni majuma machache tu yaliyopita tulijifunza kwenye kitabu cha Wagalatia kuwa tunaokolewa kwa neema. Hebu tulichukulie suala hili katika hali ya mtu binafsi kuhusu hukumu inayotokana na matendo. Je, unataka watu wengine wasimamishwe na kuandikiwa kulipa faini kwa kuendesha kwa mwendo wa kasi barabarani? (Ndiyo! Hususan pale wanapoendesha kwa mwendo wa kasi kwenye maeneo yetu tunapoishi.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Vipi kuhusu wewe – je, unataka polisi akuandikie kulipa faini kwa kuendesha kwa mwendo wa kasi? (Hii inathibitisha taswira pana zaidi, tunataka hukumu kutegemeana na matendo ya watu wengine, sio kwa ajili yetu wenyewe.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Je, tunadhani kuwa watu wengine wanastahili hukumu kutokana na matendo yao, lakini sisi (walao mimi) tuwe na uwezo wa kuepuka hukumu? (Tunaweza kuona kwamba somo hili ni gumu kidogo kwa sababu tuna upendeleo wa asili dhidi ya hukumu zetu. Hatutaki kupata kile tunachostahili, lakini tungependa watu wengine wakipate kitu hicho hicho.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;II.  Nyoka Jangwani&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Hebu tuone kama tunaweza kulichukulia suala hili ukiachilia mbali upendeleo wetu. Soma Yohana 3:14-18. Je, Yesu anajichanganya? Yesu anawezaje kusema hapa kuwa imani katika yeye ndio msingi wa uzima wa milele, lakini hapo awali alisema kuwa matendo ndio yalikuwa msingi wa hukumu? (Utabaini kuwa Yesu alikuwa anarejea mtu “anayeshutumiwa” badala ya kuhukumiwa.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;1. Juma lililopita tulijadili huduma ya patakatifu. Mdhambi alipokuja hekaluni na kafara, je, mdhambi alikuwa na hatia? (Ndiyo. Tunahukumiwa kwa matendo yetu – aidha tuna hatia ama hatuna hatia. Na bila kuingia kwa undani zaidi, mara zote huwa tuna hatia kwa sababu ya asili yetu ya dhambi. Mdhambi alipokuja na mwana-kondoo, hakuwa “asiye na hatia,” badala yake hakuhumiwa kwa sababu kafara ililipa adhabu kwa niaba yake.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Je, bado hatuna tatizo na maneno ya Paulo (2 Wakorintho 5:10) kwamba tutahukumiwa kutokana na mambo “mazuri”? Vipi kuhusu Yesu anaposema (Mathayo 5:10) kuwa tutahukumiwa kutokana na mambo “mazuri?” Vipi kuhusu Yesu anaposema (Mathayo 12:37) kuwa maneno yetu yanaweza “kututendea vizuri/vyema?”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;C. Hebu tuendelee kusoma katika Yohana 3 ili tuone kama tunaweza kuona kidokezo chochote. Soma Yohana 3:19-21. Sasa tuna kitu kipya, “nuru!” Je, nuru ina nini cha kujihusisha na wokovu wetu? (Tukiupenda mwanga tunaokolewa, tukilipenda giza hatuokolewi.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Tuna mambo mengi sana yasiyo sawia hapa. Tuna matendo, tuna imani na tuna nuru. Je, unaweza kuunganisha haya mambo yasiyo sawia ili kuleta nadharia yenye mantiki? Au, je, mawazo yote haya ni mkanganyiko tu? &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;D. Hebu turejee kwenye kisa cha awali (cha asili).  Soma Hesabu 21:6-9. Nini kilichosababisha watu wafe? (Nyoka. Hata hivyo, ukiangalia muktadha huo, nyoka walipelekwa pale kama hukumu kwa ajili ya dhambi.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, kwa nini Mungu alimwambia Musa awaambie watizame kiwakilishi cha kile kilichowafanya wafe? (Kwa muda mrefu sana nimekuwa nikifikiria kwamba hiki kisa cha kutisha kinatufundisha kuwa lazima tuziangalie (tuzichukulie kwa dhati, tuzitubu, nk.) dhambi zetu. Hatua ya kwanza ya kuuelekea wokovu ni kuziangalia na kutubu dhambi zetu, na matendo yetu mabaya.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;E. Hebu tusome tena Yohana 3:14-15 na Yohana 3:19-20. Je, ni kwa jinsi gani kisa cha nyoka na kuipenda/kuichukia nuru sasa kinalenta mantiki? (Kwamba kama tukiipenda sana dhambi yetu sana kiasi cha kushindwa kuja nuruni, basi sisi tu kama wale waliokataa kuitazama nyoka. Yesu alileta nuru ya injili. Kuikubali nuru ya injili kimsingi hakuendani na kujificha (kusalia) dhambini. Aidha tutachagua kuzikabili dhambi zetu na kuokolewa kwa neema, au tutapendelea kusalia dhambini na kumkataa Yesu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, mazungumzo yote haya kuhusiana na “matendo” na hukumu sasa yanaleta mantiki? (Kwa mtazamo mwingine, wokovu unahusika sana na matendo yetu. Tukiamua kusalia dhambini, hatutaitafuta neema. Lakini, tukizikabili dhambi zetu na kuzitambua, basi tunao uchaguzi mmoja tu – neema!)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Jielekeze zaidi kwenye Yohana 3:21. Je, hii inamaanisha nini: “kile alichokitenda kimetendwa katika Mungu?” (Neema ni kazi ya Mungu. Kama tulivyojifunza kwenye somo letu la Wagalatia, hatuwezi kujipatia wokovu, Yesu tayari amekwishafanya hivyo kwa ajili yetu. Lakini, tunachagua kama “tutaiangalia nyoka,” kama “tutakuja nuruni,” kama tutatubu dhambi zetu na kuepuka hukumu kwa damu ya Mwana-kondoo.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;III. Mfano wa Nuhu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Hebu angalia mfano wa jambo hili. Soma Mwanzo 6:5-7. Je, Mungu anafikiri kuwa suluhisho la huu uovu wote ni lipi? (Hukumu!)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Soma Mwanzo 6:13, Mwanzo 7:6-10, na 2 Petro 2:5. Je, ilikuwa ni vigumu kiasi gani kwa waovu kuingia kwenye safina? (Walionywa. 2 Petro 2:5 inapendekeza kuwa Nuhu aliwahubiria. Wakati ambapo Nuhu alikuwa akiendelea na juhudi za kujenga safina, mtu mwingine yeyote angeweza kuendelea pia. Waovu walipendelea maisha yao ya sasa (giza), na hawakutaka kuungana na Nuhu (kuja nuruni.))&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;IV. Hukumu ya Siku ya Mwisho&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma Ufunuo 14:6-7. Je, ujumbe kwa wale wanaoishi katika siku za mwisho ni upi? (Kwamba hukumu ya Mungi i juu yao.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, mkabiliono wetu sahihi tunapoikaribia hukumu ni upi? (Utabaini kuwa, haisemi kuwa, “usiache kutenda dhambi,” inasema kuwa kwenye mahusiano sahihi na Mungu. Tunahitajika kumtii (kumcha) Mungu, tunahitajika kumpatia utukufu, na tunahitajika kukiri uwezo wake kama Muumba wa vyote.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Soma Ufunuo 14:8. Je, ni ukweli gani wa muhimu kuhusu hukumu tunaohitajika kuujua? (Kwamba Mungu ameushinda uovu. Wale wasio waaminifu kwa Mungu wanaelekea chini kabisa kwenye kushindwa.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;C. Soma Ufunuo 14:9-11. Je, fungu linasema kuwa wale wanaojihusisha kwenye matendo maovu watahimili nguvu ya hasira ya Mungu? (Hapana. Linasema kuwa wale wanaokataa kumwabudu Mungu, na kumwabudu adui wa Mungu watateseka na hukumu. Kiwango cha hukumu ni utii. Wale wanaokuja nuruni dhidi ya wale wanaosalia gizani.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;D. Soma Ufunuo 14:12. Kwa mujibu wa hii hukumu inayokaribia, je, tunaitwa kufanya kitu gani? (“Malaika” wanaelezewa kuwa kama wale “wanaosalia kuwa waaminifu kwa Yesu.” Imani katika Yesu ni haki kwa imani!)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Vipi kuhusu sehemu ya “kutii amri za Mungu?” (Hii inaelezea mjadala wetu wa awali. Tukiyapenda matendo yetu maovu, tutakaa gizani na hatutakuja kwenye nuru ya neema ya Yesu. Lakini, tukiipenda nuru, basi tutataka kuyafanya mapenzi ya Yesu. Tutataka kumtii.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;E. Tafakari mafungu katika Ufunuo 14 ambayo tumeyasoma hivi punde. Je, tofauti ya msingi kati ya wenye haki na wasio na haki? (Wenye haki wanamwabudu na kumtukuza Mungu Muumba wao. Waovu wanaawabudu na kuwatii waovu. Hiki ndicho kinachomaanishwa kwa chapa katika kipaji cha uso (akili) na mkono (matendo). Utajwaji wa kuabudu, uumbaji na amri unapendekeza umuhimu mkubwa wa Sabato ya kila juma, kwani ni muda wa kuabudu, muda wa kumpa Mungu utukufu, na muda wa kusherehekea Uumbaji (“Ikumbuke siku ya Sabato …. maana kwa siku sita [Mungu aliumba].”))&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;F. Rafiki, hukumu inakuja. Hukumu itategemeana na matendo yetu. Kwa kiwango hicho, hakuna hata mmoja wetu anayeweza kuepuka hukumu. Hata hivyo, Yesu anatupatia njia ya kuepuka ya kuhukumiwa kutokana na matendo yetu maovu. Yeye ni Mwana-kondoo wa Mungu aliyekufa kwa ajili ya dhambi zetu. Tukizikabili dhambi zetu kwa kuzikiri na kuzitubu, basi atazifunika dhambi zetu kwa damu yake. Je, hii ni ofa unayoweza kuikataa? Kama sivyo, kwa nini usiikubali hii leo? Kabiliana na nyoka wa maisha yako ya kidhambi, na utoke kwenye giza na uingie nuruni!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;V. Juma lijalo: Utakatifu wa Mungu.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/3455255205653026852-1659532403867684632?l=lesoni.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lesoni.blogspot.com/feeds/1659532403867684632/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://lesoni.blogspot.com/2012/01/somo-la-4-mungu-wa-neema-na-hukumu.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3455255205653026852/posts/default/1659532403867684632'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3455255205653026852/posts/default/1659532403867684632'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lesoni.blogspot.com/2012/01/somo-la-4-mungu-wa-neema-na-hukumu.html' title='Somo la 4: Mungu wa Neema na Hukumu'/><author><name>Lessoni ya Kiswahili</name><uri>http://www.blogger.com/profile/05032927242368522742</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-3455255205653026852.post-1033659451533105113</id><published>2012-01-13T01:34:00.000-08:00</published><updated>2012-01-13T01:40:36.618-08:00</updated><title type='text'>Somo la 3: Mungu Kama Mkombozi</title><content type='html'>Somo limetafsiriwa na Mgune Masatu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;(Mwanzo 3, Mambo ya Walawi 5, Warumi 1 &amp; 5) &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Somo hili limetafsiriwa kutoka katika Copr. 2011, Bruce N. Cameron, J.D. Marejeo yote ya maandiko yametoka kwenye tafsiri ya New International Version (NIV), copr. 1973, 1978, 1984 International Bible Society, isipokuwa kama itaelezwa vinginevyo. Nukuu kutoka kwenye tafsiri ya Biblia ya NIV inatumika kwa ruhusa ya Wachapishaji wa Biblia wa Zondervan. Majibu yaliyopendekezwa yanapatikana kwenye parandesi (kwenye mabano). Somo limekaa kimtazamo kwamba mwalimu anatumia ubao au sehemu nyingine yoyote ambayo inaweza kuonekana na wanafunzi. Kama huwa una kawaida ya kupokea somo hili kwa njia ya barua pepe na hukulipata kwa juma moja, unaweza kulipata kwa kubofya kwenye www.lesoni.blogspot.com kwa lugha ya Kiswahili na http://www.GoBible.org kwa lugha ya Kiingereza pamoja na lugha nyingine kama vile Kifaransa, Kijerumani. Omba kwa ajili ya uongozi wa Roho Mtakatifu unapojifunza.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Utangulizi: Chukulia kwamba wewe ni kibaka. Unafurahia kuwapiga watu vichwani mwao, na unafaidika kwa kuwaibia fedha. Fikiria tena mbadala ufuatao. Wa kwanza, kama polisi wakikukamata, basi watakutaka uombe msamaha kisha watakuachia. Wa pili ni kwamba, una mjomba tajiri sana ambaye pale unapokuwa umekamatwa anarekebisha mambo kwa gharama zake mwenyewe. Je, utaichukuliaje tabia yako ya kuwa kibaka? Hutalichukulia tatizo lako kwa dhati, si ndio? Hatuhitajiki kufikiria kwamba sisi ni vibaka, kwani kiukweli sisi sote ni vibaka kwa namna fulani. Dhambi zetu zinawagharimu watu wengine na kuwagharimu fedha. Hebu tuzame kwenye somo letu la Biblia na kulitafakari tatizo letu na hitaji la Mkombozi! &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;I. “Ukibaka”/Ukabaji wa Kwanza&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Katika kitabu cha Mwanzo sura ya 3 tunasoma kisa kinachoelezea jinsi ambavyo Adamu na Hawa walivyotenda dhambi. Hebu tukiangalie kisa hicho kwa kusoma Mwanzo 3:9-13. Je, ni mtazamo wa aina gani walio nao Adamu na Hawa kuhusu dhambi yao? (Wanalaumu wengine.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Soma Mwanzo 3:14-15. Je, Mungu anamaanisha nini anapomwambia nyoka kuwa kichwa chake kitapondwa? (Mungu haongei na nyoka tu, anaongea na Shetani. Anamwambia Shetani kwamba atashindwa.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, ushindi wa Mungu na kushindwa kwa Shetani vinahusisha kitu gani? (Ni punde tu Shetani alikuwa ameupata utii wa wanadamu. Ni punde tu alikuwa ameingiza dhambi duniani. Dhambi itapaswa kushindwa na utii wa wanadamu kurejeshwa.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;II. Upatanisho kwa Vibaka&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma Mambo ya Walawi 5:5-6. Je, Mungu alitumia njia gani katika kukabiliana na tatizo la dhambi? (Kwamba dhambi lazima iungamwe, na mnyama achinjwe “ili kufanya upatanisho kwa ajili ya dhambi.”)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Soma Mambo ya Walawi 17:11. Je, unaweza kuelezea mantiki ya mfumo wa kafara? (Dhambi inamwelekeza mtu mautini. Matokeo na adhabu ya dhambi ni kifo. Mungu aliweka mpango ambao maisha ya kitu kingine yangeweza kulipa adhabu kwa ajili ya dhambi zetu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;C. Soma Yohana 1:29. Je, Yohana Mbatizaji alisema nini kumhusu Yesu? (Kwamba alikuwa “Mwana-kondoo wa Mungu” ambaye “ataichukua dhambi ya ulimwengu!”) &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Kama ungekuwa umekaa mahali pale ukimsikiliza Yohana, je, ungehitimisha nini kuhusu mfumo wa kafara na Yesu? (Kwamba mfumo wa kafara ulikuwa unajielekeza kwa Yesu. Ulikuwa ni aina ya unabii. Kwamba kama vile kondoo alivyomwaga damu yake ili kupatanisha dhambi, ndivyo ambavyo Yesu atamwaga damu yake ili apatanishe dhambi zetu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;III. Matokeo ya Kubaka&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma Luka 1:26-32. Linganisha jinsi ilivyokuwa kwa Yesu kule mbinguni na jinsi alivyokuwa alipokuja kuishi duniani kama mwana wa Mariamu?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Hebu niambie yale yote aliyoyaacha Yesu? &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Soma Mathayo 27:27-31, Matendo 2:23-24, na Mathayo 27:39-42. Je, Yesu aliacha vitu gani?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;C. Soma Warumi 5:6-8. Je, Yesu alikuwa akifanya kitu gani alipokufa pale msalabani (kitu cha aibu sana kwa Mungu)? (Alikufa kwa ajili ya dhambi zetu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, ungefanya kile alichokifanya Yesu kama ungekuwa yeye?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Je, mtazamo wa Yesu ulikuwa upi? (Haukuwa kwamba tungeweza kufanya kitu chochote kwa ajili yake. Hatukuwa na “uwezo wowote.” Haikuwa kwamba tulikuwa na ustahili wowote. Tulikuwa “wadhambi.” Ilikuwa ni kwa sababu ya upendo tu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;D. Soma Warumi 5:9. Je, Mungu anawezaje kutughadhibikia na wakati huo huo kutupenda? (Hasira ya Mungu i dhidi ya dhambi zetu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Kwenye mfululizo wetu wa masomo uliopita, nilipendekeza kwamba tunapaswa kuonyesha matendo yetu kwa kusema kuwa, “Je, hii itampendeza Mungu? Je, hii itamfurahisha mwenza wangu?” Je, ghadhabu ya Mungu inaingilianaje na hili suala? &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Je, inaleta mantiki kwa Mungu kuighadhabikia dhambi? (Kweli kabisa. Dhambi iliichafua/iliiharibu mbingu. Dhambi iliuharibu Uumbaji wa Mungu hapa duniani. Dhambi ilisababisha Yesu aingie kwenye suala kubwa la kafara na mateso. Mungu anapaswa kuchukia dhambi.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;E. Soma Warumi 5:1-2. Je, hii ni aina gani ya amani? (Mungu anachukia dhambi. Tunapohesabiwa haki kwa imani (yaani pale ambapo haki ya Yesu inapokuwa haki yetu), hii inashughulikia tatizo sugu ambalo Mungu analichukia.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;F. Je, hii inapendekeza kuwa tunapaswa kuwa na mtazamo wa aina gani dhidi ya dhambi? Mtazamo wa aina gani dhidi ya Mungu? (Kwa vile dhambi ingetuua kama Yesu asingeingilia kati, basi tunatakiwa kuichukulia kwa dhati. Ukweli kwamba tuliepuka kulipa adhabu ya dhambi haiifanyi dhambi kuwa na umuhimu wa chini. Ukweli kwamba Yesu aliacha vyote, na kufa kifo cha kutisha kwa ajili yetu unapaswa kutufanya kumshukuru milele!) &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;IV. Mtazamo wa Kibaka&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma Warumi 1:16. Paulo anapoandika kuwa haionei haya injili, je, hiyo inakuambia kitu gani? (Kwamba kuna sababu ya kuwa na haya. Kama ulikuwa na mwanamke mrembo sana au mume mzuri sana, je, kamwe usingesema, “Sioni haya jinsi ambavyo mwenza wangu anavyoonekana?” Hapatakuwepo na sababu ya ukanaji.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, kuna sababu gani iliyopo ya kuionea aibu injili? (Angalia kile kinachofuatia ambacho Paulo anakisema, “ni uweza wa Mungu.” Hiyo ndio alama/ishara yetu. Mungu wetu alikufa. Alisulubishwa na serikali. Hii inaonekana kuonyesha upungufu wa uwezo kwa upande wa Mungu, na hili ni suala la aibu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;2. Je, usulubishaji unaonyeshaje uweza wa Mungu? Je, huu ni uweza wa aina gani? (Uweza wa Mungu ni upendo. Uweza wa Mungu ni kujitoa kafara yeye mwenyewe. Mungu alijeruhiwa ili kwamba tuweze kuokolewa. Kinachoonekana kuwa ni maelezo ya upungufu wa uweza kimsingi ni uthibitisho wa uweza wa upendo wa Mungu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Soma Warumi 1:17. Je, haki ya Mungu inayofunuliwa kwenye injili ni ipi – injili ambayo kwa juu juu ni ya aibu? (Kinachofunuliwa ni kwamba Mungu anaishinda dhambi kwa upendo. Hii “haki” inaishinda dhambi. Inatutoa kutoka kuwa watumwa hadi kuwa watu wenye haki.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, tunaipataje hii haki? (Inaonekana kuwa kinyume sana na njia za ulimwengu. Lazima tuikubali kwa imani.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;C. Soma Yohana 3:16-18. Je, msingi wa upendo ni kujitoa kafara mwenyewe? (Ndiyo.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Kwa nini Munghu alipaswa kujeruhiwa? (Kumbuka kwamba dhambi inasababisha kifo. Tunapaswa kufa kwa ajili ya dhambi zetu. Biblia inatuambia kuwa Mungu alikubali kwa hiari “kushindwa,” alikubali kufa kwa hiari kwa ajili yetu kwa sababu alitupenda. Hii inaonyesha kuwa Mungu sio mbinafsi. Kwamba alitupendelea sisi zaidi ukilinganisha na hadhi yake au starehe yake.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;V. Ghadhabu ya Mungu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma Warumi 1:18-19. Je, Mungu hana furaha? (Ameghadhabika!)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, Mungu ana sababu ya kutokuwa na furaha? (Hebu angalia mafungu ya Biblia ambayo tumeyapitia hivi punde. Mungu alikwenda mbali sana (alichukua hatua ndefu na za kushangaza) katika mchakato wa kutuokoa. Aliacha kila kitu ili aweze kuwaokoa wale waliomkataa.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Je, unajisikiaje pale ambapo wale uliowapenda na kuwajali wanapokukataa?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Je, ghadhabu ya Mungu inajionyesha dhidi ya nani? (Dhidi ya wale wasio na Mungu na waovu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;3. Je, sababu ya ghadhabu ya Mungu ni ipi? (Hawa watu wanaukandamiza ukweli.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Soma Warumi 1:20. Je, hawa wakandamizaji wa ukweli wana kisingizio? (Hapana. Asili na uweza wa Mungu vi dhahiri tangu uumbaji. Tunaweza kuona kuwa Mungu yupo na tunaweza kuona kuwa tatizo la dhambi lipo.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;C. Soma Warumi 1:21-22. Je, ni kwa njia gani unaweza kukandamiza ukweli wa Mungu? (Njia nyingi, lakini Mungu anaonyesha njia mbili. Kwa kukana au kugeuza/kubadili kile ambacho Yesu ametutendea. Kwa kukana na kuwakilisha vibaya upendo wa Mungu. Kwa kutokumtukuza Mungu au kwa kutokumshukuru yeye.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hebu turejee kwenye lile suala la “haya/aibu.” Kama tunafedheheshwa kuhusu Mungu wetu na ujumbe wetu, je, sisi tu waovu? (Tunaukandamiza ukweli kwa kutompatia Mungu utukufu na kutokuwa na shukrani kwa kile alichotutendea pale msalabani.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Rafiki, tulianza kwa kukiri kuwa sisi ni vibaka. Kwa sababu kamwe hatukutakiwa kulipa gharama, inawezekana tusizichukulie njia zetu za kiovu kwa dhati. Kisa cha injili kinatusaidia kuzichukulia njia zetu za kiovu kwa dhati. Kinatufunulia upendo mkubwa wa Mungu usio na ubinafsi na njia zetu za kibinafsi. Je, utadhamiria hivi leo kutenda kile kinachompendeza Mungu? Kuonyesha uelewa wako wa kafara yake na upendo wake kwa kugeuka na kuyaacha yale mambo yaliyomsababishia Yesu maumivu makali? Kwa kumpa Mungu utukufu kwa kile ambacho amekutendea?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Juma lijalo: Mungu wa Neema na Hukumu.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/3455255205653026852-1033659451533105113?l=lesoni.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lesoni.blogspot.com/feeds/1033659451533105113/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://lesoni.blogspot.com/2012/01/somo-la-3-mungu-kama-mkombozi.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3455255205653026852/posts/default/1033659451533105113'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3455255205653026852/posts/default/1033659451533105113'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lesoni.blogspot.com/2012/01/somo-la-3-mungu-kama-mkombozi.html' title='Somo la 3: Mungu Kama Mkombozi'/><author><name>Lessoni ya Kiswahili</name><uri>http://www.blogger.com/profile/05032927242368522742</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-3455255205653026852.post-9217313313234620116</id><published>2012-01-06T03:38:00.000-08:00</published><updated>2012-01-06T03:40:11.299-08:00</updated><title type='text'>Somo la 2: Hapo Mwanzo</title><content type='html'>Somo limetafsiriwa na Mgune Masatu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;(Mwanzo 1-3, Ayubu 38, Warumi 5) &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Somo hili limetafsiriwa kutoka katika Copr. 2011, Bruce N. Cameron, J.D. Marejeo yote ya maandiko yametoka kwenye tafsiri ya New International Version (NIV), copr. 1973, 1978, 1984 International Bible Society, isipokuwa kama itaelezwa vinginevyo. Nukuu kutoka kwenye tafsiri ya Biblia ya NIV inatumika kwa ruhusa ya Wachapishaji wa Biblia wa Zondervan. Majibu yaliyopendekezwa yanapatikana kwenye parandesi (kwenye mabano). Somo limekaa kimtazamo kwamba mwalimu anatumia ubao au sehemu nyingine yoyote ambayo inaweza kuonekana na wanafunzi. Kama huwa una kawaida ya kupokea somo hili kwa njia ya barua pepe na hukulipata kwa juma moja, unaweza kulipata kwa kubofya kwenye www.lesoni.blogspot.com kwa lugha ya Kiswahili na http://www.GoBible.org kwa lugha ya Kiingereza pamoja na lugha nyingine kama vile Kifaransa, Kijerumani. Omba kwa ajili ya uongozi wa Roho Mtakatifu unapojifunza.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Utangulizi: Juma lililopita niliandika kuwa huwezi kuwa Mkristo kama huamini katika Utatu Mtakatifu. Hapo nilimaanisha kuwa Mkristo lazima aamini kuwa Yesu ni Mungu kamili. Juma hili tunajifunza fundisho jingine la msingi kabisa la Biblia – kwamba Mungu alitamka na dunia ikawepo. Dunia haikuibuka, na Mungu “hakusimamia” masuala ya bahati kutokea na matukio ya kiasili. Je, ni kwa njia gani imani katika Uumbaji inahusika? Hebu tuzame kwenye Biblia zetu na kubaini zaidi!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;I. Maelezo ya Mungu ya Mianzo&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma Mwanzo 1:1-5. Je, Biblia inasema kuwa nani aliyeumba “mbingu na nchi?” (Mungu!)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Ujumbe wa msingi wa Mungu ni kwamba yeye ndiye Muumba. Lakini, ana ujumbe wa pili kuhusiana na kazi yake ya uumbaji. Je, ujumbe huo ni upi? (Hakuhitaji msaada wowote. Alianzia kwenye “ukiwa na utupu” na akatamka tu na ulimwengu ukawepo. Hakuhitajika “kuinua kidole.”) &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Angalia tena Mwanzo 1:5. Je, ilimchukua Mungu muda gani kutenda hili? (Biblia inasema kuwa siku moja. Kama tungetakiwa kutafsiri hii “siku” kama kipindi kirefu cha muda, Mungu anaelezea siku kwa namna ambayo sote tunaielewa kutokana na uzoefu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Kwa nini Mungu anaziita “jioni” na “asubuhi” kuwa ni siku? Katika Mambo ya Walawi 23:32 tunaona kwamba kuanzia jioni hadi jioni ndicho kipimo cha siku. Tatizo linakwisha kama utasema kuwa “jioni” ni usiku (giza) na “asubuhi” ni mchana (nuru). Hiyo ndio siku kamili kwa kutumia jua likitumika kiuzoefu kama kipima muda.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Vipi kuhusiana na ukweli kwamba jua bado halikuwepo, lakini baadaye liliumbwa (Mwanzo 1:16)? (Mungu anatumia kipima muda chenye uwiano sawa katika juma kabla na baada ya uumbaji wa jua. Lazima Mungu atakuwa aliumba jua bandia – hili sio tatizo kwa mtu anayeweza kuumba jua halisi!)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;II. Kwa Nini Uumbaji Unahusika Sana kwa Mungu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;A. Watu wengi wananukuu Ayubu 13:15 kusema kwamba Ayubu angekuwa mwaminifu kwa Mungu hata kama Mungu angemuua. Ukisoma sura yote (Ayubu 13) kile ambacho Ayubu anakisema ni kwamba “Ningependa kumshitaki Mungu kwenye mahakama ya mbinguni. Mungu atapaswa kuniletea mashtaka dhidi yangu na nitakuwa na fursa ya kujitetea. Nikipata kusikilizwa kwa haki, basi nitashinda. Nisiposhinda, basi nitasalia kuwa kimya na nitakufa.” Hiyo ndio sababu ambayo sehemu ya pili ya Ayubu 13:15 inasema kuwa, “nitaithibitisha njia yangu mbele zake.” Ayubu anampa Mungu changamoto. Soma Ayubu 38:1-3. Je, Mungu anaijibuje changamoto ya Ayubu? (Anasema kuwa, “nitakuuliza neno! Ewe mwanadamu mpumbavu, nitakutaka unijibu maswali machache.”)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Soma Ayubu 38:4-6. Je, majibu kwa maswali ya Mungu ni yapi? (Ayubu hakuwa shahidi.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;a. Je, ni swali gani hasa analoliuliza Mungu? (Wewe ni nani hata umpe changamoto Muumba?)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Pitia kwa haraka haraka sura yote ya Ayubu 38. Je, dhana ya Mungu ni ipi? (Kwamba yeye ni muweza wa yote na ana maarifa yote yanayohitajika. Uumbaji unatokea kutokana na kanuni na Mungu ndiye aliyeziumba kanuni.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, uumbaji una umuhimu gani kwa madai ya Mungu kuwa yeye ni Mungu wetu? (Hii inaingia kwenye kiini cha suala lenyewe. Katika Biblia Mungu ananukuu kwa kurudia rudia Uumbaji wake kama msingi wa madai yake ya mamlaka juu ya Ayubu (na mtu mwingine yeyoye yule). Mjadala wa Uumbaji dhidi ya uibukaji unahusu uwezo na mamlaka ya Mungu. Mungu anatangaza kuwa “Mimi nina uwezo mkubwa kiasi kwamba nilitamka tu na kitu kikatokea.” Kimsingi, uibukaji unadai kuwa Mungu alihitaji msaada mkubwa na muda mwingi sana.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;C. Soma Mwanzo 1:26-27. Je maelezo haya yanakinzana vipi na nadharia ya uibukai? (Tulifanywa kwa mujibu wa ubunifu. Mungu alibuni kwamba wanadamu wanapaswa kuumbwa kwa sura na mfano wake. Mungu alibuni kwamba wanadamu wanapaswa kuwatawala wanyama.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, kwa nini hili ni muhimu kwa Mungu? (Mungu ana uhusiano maalum na wanadamu. Hakujikwaa kwetu alipokuwa akitembea.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Fikiria kwa muda mfupi kuhusu kile ambacho Biblia inakisema kuhusu uhusiano kati ya wanadamu na wanyama na uniambie kama uhusiano huo unakinzana na nadharia ya uibukaji? (Uibukaji unasema kuwa wanadamu sio tu kwamba walitokana na wanyama, bali pia matukio ya asili kwa kiasi kikubwa yalikuwa ni matokeo ya muingiliano na wanyama. (Ikimaanisha kwamba aidha tuliwashinda kwa mbio au tulikuwa werevu zaidi (tuliwashinda kwa akili) ya wanyama au tulikufa.) Biblia inasema kwa utofauti mkubwa kwamba “tuliwatawala” wanyama.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;D. Soma Kumbukumbu la Torati 30:19-20. Katika nadharia ya uibukaji, je, ni nani aliye mbunifu wa kweli wa wanadamu? (Mauti. Tulibuniwa na kifo. Kama kifo ndicho mbunifu wetu, basi Mungu alitudanganya kuhusu uchaguzi wa msingi sana aliouweka mbele yetu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;E. Soma Mwanzo 3:1-4. Fungu hili pamoja na fungu tulilolisoma hivi punde katika Kumbukumbu la Torati linatuashiria kwenye kitu cha msingi sana kinacholeta mantiki. Je, ni “kisa” gani cha jumla ambacho Mungu anatuelezea kumhusu yeye na sisi? (Kwamba alituumba tukiwa wakamilifu. Hatukumtumaini, hatukumwamini na hatukumtii Mungu, na matokeo yake tukajiingiza kwenye utumwa wa unyonge, magonjwa na mauti ya milele.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, ni kisa gani cha jumla ambacho nadharia ya uibukaji inatufundisha? (Kwamba tulitoka kwenye unyonge hadi kuwa wakakamavu na kuwa mnyama mwenye umiliki mkubwa – na kwa hiyo tukastahili kuwa na maisha bora zaidi!)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Je, hivi “visa” viwili vinaendana?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;3. Je, unaweza kuhusianisha neema na matendo kwenye huu mchakato wa mawazo yenye mantiki? (Ndiyo! Biblia inasema kuwa uumbaji na ukombozi wetu ulitokana na neema na uwezo wa Mungu usiokuwa na mipaka. Uibukaji ni njia ya “matendo” ya kuupata wokovu na uzima. Tunaimarika kutokana na juhudi zetu wenyewe.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;F. Rafiki, unaweza kuona kuwa uibukaji unamvua Mungu utambulisho wake na kupindua kisa chake?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;III. Kwa Nini Uumbaji Unahusika Sana kwa Wanadamu &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Huenda sababu ya msingi sana ya kwa nini Uumbaji unahusika sana kwa wanadamu ni kwamba unasema kuwa tulitoka mikononi mwa Mungu. Lakini mitazamo yetu mingi ya msingi kuhusiana na maisha inahusianishwa moja kwa moja na mchakato mzima wa Uumbaji. Soma Mwanzo 2:20-23. Hoja moja inayosema kwamba “Mungu alisimamia uibukaji” ni kwamba waandishi wa Biblia hawakuweza kuelezea kwa uzuri kabisa mbinu za uibukaji, na kwa hiyo walielezea kisa ambacho kiliwasilisha wazo lililo sawa na uibukaji. Je, hoja hiyo inakubaliana na fungu la Biblia? (Hapana! Mungu ana maelezo ya kina sana. Undani wa taarifa anaoutoa unakinzana kabisa na wazo la masuala ya bahati na yale ya asili.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, dhana hii inatuambia nini kuhusiana na uhusiano kati ya wanaume na wanawake? (Kwamba waliumbwa ili wawe sawa. Hawa alitoka ubavuni na sio kichwani au kwenye mguu wa Adamu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;a. Je, uibukaji unatufundisha nini kuhusu uhusiano kati ya wanaume na wanawake? (Kwamba yeyote anayeweza kutawala anapaswa kufanya hivyo.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Soma Mwanzo 2:24. Je, ndoa na uumbaji vinahusianishwaje? (Kama uibukaji ndio maelezo sahihi ya asili ya mwanadamu, basi ndoa ya “mwili mmoja” kati ya mwanamume na mwanamke haina maana yoyote.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Soma Waefeso 5:28-31. Je, suala la “mwili mmoja” linatufundisha nini kuhusiana na jinsi ambavyo wanawake wanapaswa kutendewa kwenye ndoa?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;C. Soma tena Mwanzo 3:2-4. “Utawala wa sheria” ni wa muhimu sana kwa jamii iliyo huru. Wanadamu wanapaswa kutawaliwa kwa sheria, sio mawazo holela ya mtawala. Je, mjadala wa uumbaji dhidi ya uibukaji unatufundisha nini kuhusiana na utawala wa sheria? (Mungu alituumba ili tutawaliwe kwa sheria. Anaamini (na aliifia) katika utawala wa sheria. Uibukaji unatoa hoja kukubaliana na wazo kwamba mtu mwenye uwezo kuliko wote ndiye anayeweka sheria.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;D. Soma Mwanzo 2:2-3. Je, Sabato inahusianaje na dhana nzima ya Uumbaji? (Ni sherehe na ukumbusho wa kila juma wa siku sita halisi za uumbaji. Kama vile kwenye ndoa, nguzo/uimara wa Sabato unaondolewa na nadharia ya uibukaji.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;E. Soma Warumi 5:12-15. Je, Paulo anaielezeaje injili? (Kwamba Adamu alituingiza dhambini na Yesu alituokoa kutoka dhambini. Yesu alishinda ilhali Adamu alishindwa.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Vipi kama kamwe Adamu hakuwepo? Je, hiyo ingefanya nini kwenye mtazamo wetu wa wokovu?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;F. Soma 1 Wakorintho 15:23-26. Je, ujumbe huu ni sehemu ya muhimu sana ya injili? (Ndiyo. Kwamba Yesu anashinda dhidi ya dhambi na anatuokoa kutoka kwenye mauti.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;1. Utabaini kwamba kifo ndio “adui wa mwisho,” na kinaangamizwa na Yesu. Je, kifo ni cha muhimu kwa namna gani kwenye nadharia ya uibukaji? (Ni suala zito. Utokeaji wa vitu kwa kufuata asili unawachukulia washindi na washindwa kama matokeo ya kifo.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;G. Soma Ufunuo 21:1-4. Kama huamini maelezo/dhana ya Mungu ya uumbaji wa asili, je, ni kwa nini sasa uamini maelezo yake ya uumbaji mpya?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Kama tunaamini kuwa dhana ya uumbaji ni analojia inayoelezea uibukaji, je, hiyo inatufundisha nini kuhusiana na makao yetu mapya ya mbinguni? (Angalia fungu la 4 – kwamba vitu vilivyoishia mbinguni ni vya msingi kwenye uibukaji, wenye nguvu ndio watakaoishi na wanyonge watakufa! Nadharia ya uibukaji haiendani kabisa na injili.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;H. Leo tumegusia tu matatizo ya uibukaji yakiwa ni maelezo ya mianzo (asili). Rafiki, kama umeikubali nadharia ya uibukaji kama maelezo ya kweli ya asili ya wanadamu, je, utatupilia mbali fikra hiyo na kuijenga imani yako kwenye kauli za asili za Mungu na mpango wake wa injili?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;IV. Juma lijalo: Mungu Kama Mkombozi.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/3455255205653026852-9217313313234620116?l=lesoni.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lesoni.blogspot.com/feeds/9217313313234620116/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://lesoni.blogspot.com/2012/01/somo-la-2-hapo-mwanzo.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3455255205653026852/posts/default/9217313313234620116'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3455255205653026852/posts/default/9217313313234620116'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lesoni.blogspot.com/2012/01/somo-la-2-hapo-mwanzo.html' title='Somo la 2: Hapo Mwanzo'/><author><name>Lessoni ya Kiswahili</name><uri>http://www.blogger.com/profile/05032927242368522742</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-3455255205653026852.post-9107985996963402478</id><published>2012-01-04T03:05:00.000-08:00</published><updated>2012-01-04T03:18:00.802-08:00</updated><title type='text'>Somo la 1: Nafsi Tatu Katika Umoja</title><content type='html'>Somo limetafsiriwa na Mgune Masatu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;(Kumbukumbu la Torati 6:4, Mathayo 26:63-64, Wakolosai 2:13-15) &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Somo hili limetafsiriwa kutoka katika Copr. 2011, Bruce N. Cameron, J.D. Marejeo yote ya maandiko yametoka kwenye tafsiri ya New International Version (NIV), copr. 1973, 1978, 1984 International Bible Society, isipokuwa kama itaelezwa vinginevyo. Nukuu kutoka kwenye tafsiri ya Biblia ya NIV inatumika kwa ruhusa ya Wachapishaji wa Biblia wa Zondervan. Majibu yaliyopendekezwa yanapatikana kwenye parandesi (kwenye mabano). Somo limekaa kimtazamo kwamba mwalimu anatumia ubao au sehemu nyingine yoyote ambayo inaweza kuonekana na wanafunzi. Kama huwa una kawaida ya kupokea somo hili kwa njia ya barua pepe na hukulipata kwa juma moja, unaweza kulipata kwa kubofya kwenye www.lesoni.blogspot.com kwa lugha ya Kiswahili na http://www.GoBible.org kwa lugha ya Kiingereza pamoja na lugha nyingine kama vile Kifaransa, Kijerumani. Omba kwa ajili ya uongozi wa Roho Mtakatifu unapojifunza.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Utangulizi: Nilipoanza kutumia kompyuta kwa kweli ilikuwa inanichanganya sana. Nilitaka kujua jinsi zinavyofanya kazi (kwenye sehemu zake za mashine). Mtu yeyote anaweza kuandika na kuchapa nyaraka, kama vile jinsi ambavyo mtu yeyote anavyoweza kuendesha gari. Lakini je, nini kinachotokea “chini ya zulia?” Ili kujibu swali hilo nilisoma sana vitabu na, kwa maelekezo ya mwanangu mdogo, nilitengeneza kompyuta. Sasa nimeridhika kuwa ninafahamu vitu vya msingi hata kama maarifa yangu bado siyo makubwa sana (hayajakamilika). Somo letu juma hili linafanana na hilo. Tutajifunza vitu vya msingi kumhusu Yesu na Utatu Mtakatifu, lakini maarifa kamili kuhusiana na hayo ni zaidi ya upeo/ufahamu wetu. Kwa sababu sidhani kama unaweza kuwa Mkristo bila kuwa mfuasi wa Utatu Mtakatifu, basi hebu tuzame kwenye Biblia zetu na kuona kile tunachoweza kujifunza! &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;I. Fumbo/Kitendawili&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma Kumbukumbu la Torati 6:4-5 na Marko 12:28-30. Je, hii inatuambia nini kumhusu Mungu? (Kwamba “Bwana ni mmoja.”)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, unadhani ni kwa nini Mungu anaanzisha amri ya “unipende kwa moyo wako wote” na kauli ya “Bwana ni mmoja?” (Kumpenda Mungu kwa ukamilifu ni amri chanya, na kutoipenda miungu mingine ni amri hasi.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Tafsiri Mpya ya Biblia inatuambia kuwa Kumbukumbu la Torati 6:4 ni “ombi la msingi katika dini ya Kiyahudi.” Inaitwa kuwa “Shema” kwa sababu inaanza na neno “sikiza,” neno ambalo ndilo linalomaanishwa na neno shema kwa Kiebrania. Kama hili ndilo lililokuwa ombi la msingi la dini ya Kiyahudi, je, inapaswa kumaanisha nini kwetu tunaoamini katika uvuvio wa Agano la Kale? &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Je, uligundua kuwa alikuwa ni Yesu ambaye aliyarudia yale maneno katika Marko 12:29 kwamba Mungu ni “mmoja?” Wayahudi na Waislamu wanasema kuwa Wakristo hawamwamini Mungu mmoja (wale wanaoamini katika Mungu mmoja) kwa sababu tumaanini kwamba Mungu Baba, Roho Mtakatifu na Yesu wote ni Mungu. Kama Wayahudi na Waislamu wapo sahihi, kwa nini Yesu avute usikivu kwa Shema na kusema kuwa amri ya upendo “ni ya muhimu kuliko zote?”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;C. Hivi karibuni, kitabu kilichouzwa kwa mauzo ya juu kabisa (ambacho pia kiliigizwa sinema) kilielezea kisa kilichoegemea kwenye wazo kwamba Kanisa Katoliki lilipindisha injili ili kuifanya ionekane kuwa Yesu alidai kuwa yeye ni Mungu, wakati ambapo kimsingi Yesu hakuwa na hayo madai. Je, injili ndizo chanzo pekee cha madai ya kwamba Yesu ni Mungu?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;II. Msingi wa Utatu Mtakatifu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;A. Soma Mwanzo 1:1-2. Mungu alipojitambulisha katika Biblia, je, alifunua nini kuhusu asili yake? (Alifunua kwamba “Mungu mmoja” alikuwa na “Roho!” Kwa hiyo, tangu mwanzo kabisa wa utangulizi wake Mungu anatujulisha kuwa yupo na anaye Roho Mtakatifu ambaye pia yupo.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Soma Mwanzo 1:26-27. Je, hili suala la “na tumfanye mtu kwa mfano wetu” ni kitu gani? Je, hii inapendekeza nini kuhusu Mungu? (Kwamba yeye ni “uwingi” wa namna fulani hivi.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Angalia tena fungu la 27. Je, hiyo inapendekeza nini kuhusu asili ya Mungu? (Kwamba inajumuisha “mwanamume na mwanamke.”)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Hebu tusome Mwanzo 2:22-24. Je, ni kitu gani ambacho Mungu anakiita kuwa “mwili mmoja?” (Adamu na Hawa, na wale wote wanaooana baada ya hapo.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;C. Je, mafungu haya kutoka katika kitabu cha Mwanzo yanatufunulia nini kuhusu mtazamo wa Mungu wa neno “mmoja?” (Kwamba ana mtazamo mpana wa neno “mmoja!” Adamu na Hawa walikuwa na haiba yao wenyewe, lakini Mungu aliwaita “mwili mmoja.” Tangu mwanzo kabisa, Mungu anafunuliwa kuwa na Roho “anayetulia juu ya uso wa maji.” Unaweza kusema kuwa Mungu ni Roho tu, lakini hiyo haiendani sana na kauli iliyofuatia ya “na tumfanye mtu kwa mfano wetu.” Tunaweza kuona kuwa Msingi wa Utatu Mtakatifu haukuanzia kwenye injili, badala yake ulianzia katika kitabu cha Mwanzo.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;D. Soma Waamuzi 3:9-10 na Waamuzi 6:34. Je, hii inakukumbusha juu ya kile unachokiona mara kwa mara katika Agano Jipya? (Ndiyo. Agano Jipya linaendeleza wazo la Roho wa Mungu kuwa kitu kilicho tofauti na Yesu na Mungu Baba. Tunaona kitu cha aina hiyo hiyo katika Waamuzi.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;III. Madai ya Yesu ya Uungu/Umungu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Kwenye utangulizi, nilisema kuwa mtu sio Mkristo kama haamini katika Utatu Mtakatifu. Je, hiyo ni kauli isiyokuwa ya haki? Hebu tusome Yohana 8:58. Je, madai ya Yesu ni yapi hapa?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Soma Yohana 6:35-40 na Yohana 6:51. Je, madai ya Yesu ni yapi hapa?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;C. Soma Yohana 8:12. Je, madai ya Yesu ni yapi hapa?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;D. Soma Yohana 11:25-27. Je, madai ya Yesu ni yapi hapa?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;E. Soma Yohana 10:30. Je, madai ya Yesu ni yapi hapa?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;F. Soma Yohana 10:32-33 na Luka 5:21-24. Je, wasikilizaji wa Yesu walielewa kuwa madai ya Yesu yalikuwa yapi?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;G. Soma Marko 14:61-62. Je, Yesu analeta madai gani hapa?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;H. Soma Mathayo 3:16-17. Je, hii inatufundisha nini kuhusu Utatu Mtakatifu?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;I. Soma Yohana 1:1-4 na Yohana 1:14. Je, hii inatufundisha nini kumhusu Yesu?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;IV. Kwa Nini Inajalisha&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Kwenye haya mafungu uliyoyasoma hivi punde Yesu kwa wazi kabisa anaudai Uungu. Anajiita mwenyewe kuwa “MIMI NIKO AMBAYE NIKO!” Hivi ndivyo ambavyo Yehova anavyojielezea (Kutoka 3:13-14). Kama Yesu sio Mungu, je, hii inasema nini kumhusu yeye? (Kwamba yeye ni mwongo au mlaghai. Yeye sio wa kuaminiwa, achilia mbali kuabudiwa.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Soma Zaburi 73:7-9 na Yeremia 23:34. Je, mafungu haya ya Agano la Kale yanatuambia nini kuhusu madai ya uongo? (Yanatoka kwa mwovu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Soma Mathayo 26:63-64. Upeo wote wa Agano la Kale ni kuhusu kafara ya mwanakondoo kwa ajili ya dhambi ya wanadamu. Watu wa Mungu walimtarajia Masihi aje na kuwakomboa. Je, Kuhani Mkuu anamuuliza Yesu kama yeye ni Masihi? (Ndiyo. Yesu anadai kuwa yeye ni Masihi – Masihi aliyeahidiwa ambaye anatoka kwa Mungu, atarejea kwa Mungu na atakuja tena kuwakomboa watu wake.) &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;C. Soma Yohana 8:23-30. Je, Yesu anafundisha kitu gani ambacho ni suala nyeti linapokuja suala la uungu wake? (Tutakufa dhambini mwetu! Yesu anatuambia kwa dhahiri kabisa kwamba kama tusipomkubali yeye kama Masihi, Kristo, Mwana wa Mungu, basi hatuna Masihi, hatuna Mwanakondoo wa Mungu, na tutakufa kwa ajili ya dhambi zetu! Suala linaweza lisiwe tete zaidi au la msingi zaidi kwenye tumaini letu kama Wakristo!)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;V. Kwa Nini Paulo Anadhani Kuwa ni Muhimu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Kumbuka kitabu maarufu na sinema iliyohoji ujinga wa Biblia kwamba Yesu hakufikiri kuwa alikuwa na uungu – kwamba hili ni jambo ambalo lilibuniwa baadaye na Kanisa Katoliki ili kuunga mkono umuhimu wake? Tumeona kwamba msingi wa Utatu Mtakatifu unapatikana katika kitabu cha Mwanzo, na tumeona kuwa Yesu alidai kuwa yeye ni Mungu na Masihi. Hebu tuangalie kile ambacho Paulo aliandika kumhusu Yesu na uungu wake. Soma Wakolosai 2:9-10. Je, Paulo ansema nini kuhusiana na Uungu wa Yesu? &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Soma Wakolosai 2:13-15. Je, Paulo anasema nini kumhusu Yesu kama Masihi azichukuaye dhambi zetu? (Hivyo ndivyo ambavyo Paulo anavyomwelezea Yesu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;VI. Kwa Nini Petro Anadhani Kuwa ni Muhimu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma Matendo 1:1-5. Je, maelekezo ya Yesu kwa wafuasi wake kwa ajili ya siku zijazo ni yapi?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Soma Matendo 2:1-4. Je, hiki ndicho alichokiahidi Yesu?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;C. Soma Matendo 2:29-36. Je, Petro anasema nini kumhusu Yesu?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, Petro anadai kuwa ni nani aliye chanzo cha kauli yake? (Roho Mtakatifu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;D. Rafiki, kitabu cha Mwanzo kinaweka msingi wa Utatu Mtakatifu. Yesu anadai kuwa Masihi na “MIMI NIKO AMBAYE NIKO.” Petro na paulo wanadai kuwa Yesu ni Masihi – na Petro ansema kuwa kauli hii inatokana na uvuvio wa Roho Mtakatifu. Agano Jipya, kwa ujumla wake, linatoa hoja yake kuwa Yesu ni Mungu. Agano la Kale linamtaja Yesu kama Masihi. Hili sio suala la kughushi/kubuni la viongozi wa awali wa kanisa kutaka kujiongezea umaarufu/umuhimu wao. Huu ni ujumbe wa msingi wa Biblia. Kama hatukiri/hatukubali kuwa Yesu ni Mungu na kwamba alikufa badala yetu kwa ajili ya dhambi zetu, basi tumepotea. Je, utakubali hivi leo kwamba Yesu ni Bwana wetu na Mungu wetu?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;VII. Juma lijalo: Hapo Mwanzo.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/3455255205653026852-9107985996963402478?l=lesoni.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lesoni.blogspot.com/feeds/9107985996963402478/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://lesoni.blogspot.com/2012/01/somo-la-1-nafsi-tatu-katika-umoja.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3455255205653026852/posts/default/9107985996963402478'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3455255205653026852/posts/default/9107985996963402478'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lesoni.blogspot.com/2012/01/somo-la-1-nafsi-tatu-katika-umoja.html' title='Somo la 1: Nafsi Tatu Katika Umoja'/><author><name>Lessoni ya Kiswahili</name><uri>http://www.blogger.com/profile/05032927242368522742</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-3455255205653026852.post-3778764296651756043</id><published>2011-12-23T11:22:00.000-08:00</published><updated>2012-01-04T03:05:35.534-08:00</updated><title type='text'>Somo la 14: Kujivunia Msalaba</title><content type='html'>Somo limetafsiriwa na Mgune Masatu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;(Wagalatia 6:11-18) &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Somo hili limetafsiriwa kutoka katika Copr. 2011, Bruce N. Cameron, J.D. Marejeo yote ya maandiko yametoka kwenye tafsiri ya New International Version (NIV), copr. 1973, 1978, 1984 International Bible Society, isipokuwa kama itaelezwa vinginevyo. Nukuu kutoka kwenye tafsiri ya Biblia ya NIV inatumika kwa ruhusa ya Wachapishaji wa Biblia wa Zondervan. Majibu yaliyopendekezwa yanapatikana kwenye parandesi (kwenye mabano). Somo limekaa kimtazamo kwamba mwalimu anatumia ubao au sehemu nyingine yoyote ambayo inaweza kuonekana na wanafunzi. Kama huwa una kawaida ya kupokea somo hili kwa njia ya barua pepe na hukulipata kwa juma moja, unaweza kulipata kwa kubofya kwenye www.lesoni.blogspot.com kwa lugha ya Kiswahili na http://www.GoBible.org kwa lugha ya Kiingereza pamoja na lugha nyingine kama vile Kifaransa, Kijerumani. Omba kwa ajili ya uongozi wa Roho Mtakatifu unapojifunza.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Utangulizi: Kama sote tunaye Yesu mmoja, ni kwa nini basi kuna haya makanisa mengi tofauti tofauti? Katika 1 Wakorintho 3 Paulo analalamika kuhusu mgawanyiko miongoni mwa waamini. Hivi leo inaonekana kuwa kila kanisa lina upekee muhimu kwake. Kwa mfano, Wabaptisti wana ubatizo kwa njia ya kuzamishwa majini. Ingawaje mimi sio Mbaptisti, nadhani hilo ni fundisho la muhimu sana. Je, ni kwa namna gani wale tulio na mafundisho ya kipekee tunapaswa kukabiliana na dunia? Je, Wabaptisti wanapaswa kuongoza kwa ubatizo kwa njia ya kuzamiswa majini? Je, kila dhehebu linapaswa kuongoza kwa imani yake ya kipekee (na ya kweli)? Katika hitimisho la ujumbe wa Paulo kwa Wagalatia, anatoa ushauri kwenye suala hili. Hebu tuzame kwenye somo letu la mwisho la Wagalatia na tuone kile tunachoweza kukigundua!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;I. Uhalisia&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma Wagalatia 6:11 na 1 Wakorintho 16:21. Je, hii inapendekeza nini kwako? (Kwamba kwa kawaida alimtumia mwandishi katika kuandika barua zake. Hata hivyo, binafsi angeweza kuandika sehemu ya barua yake ili kuthibitisha kuwa alikuwa mwandishi.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma Wagalatia 4:15. Je, hii inapendekeza kuwa nini inaweza kuwa sababu ya uandishi wa maandishi makubwa wa Paulo kwa kutumia mkono? (Maoni mbalimbali yanapendekeza kuwa hii inathibitisha kwamba Paulo alikuwa na matatizo ya macho (kwamba alikuwa na uhafifu wa kuona vizuri).)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, ni kitu gani kingine kinachopendekezwa na maandishi makubwa? (Ilikuwa tu ni njia aliyokuwa akiitumia kuandika. Ninapokuwa ninatia saini mbele ya jina langu, saini yangu huwa ni kubwa. Ninapokuwa ninaandika, kwa ujumla huwa ninaandika maandishi makubwa ingawaje sina matatizo ya macho. Ama kwa hakika, katika uandishi, hali yangu ya macho ni bora zaidi kuliko watu wengine wenye umri kama wangu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, karatasi zenye ubora wa hali ya juu zilikuwepo kwa wingi? (Hatujui kile alichokuwa akikitumia kuandikia. Lakini, bila shaka kilikuwa ni cha gharama kubwa na kilipatikana kwa hali ya uchache. Huenda mwandishi kitaaluma aliandika maandishi madogo ili aweze kuwa na matumizi mazuri ya zana za kuandikia zilizokuwa na gharama kubwa.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Kwa nini tunajihusisha (tunajali) sana na suala hili? Je, kuna umuhimu gani kwetu sisi kutokana na maoni ya Paulo kuhusiana na uandishi wake wa kutumia mkono? (Suala la kwanza tulilolijadili ndilo suala la msingi – kitabu cha Wagalatia kiliandikwa na Paulo. Tunaweza kuwa na uhakika na hilo.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;I. Hamasa ya Matendo/Wapinzani wa Sheria&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma Wagalatia 6:12. Kama niliuza nguo kwa ajili ya kuendeleza maisha yangu, nadhani mara zote nitakuwa nikiangalia thamani za nguo za mtu ambaye nilikuwa nikizungumza naye. Kwa sababu mimi ni mwanasheria, vitu vingine vinanijia mawazoni, vinakuja vyenyewe tu pasipo kuamriwa: “Je, mtazamo wa mtu huyu katika kulisema hili ni upi?” “Je, mtu huyu anasema ukweli?” Kama mtu hana mtazamo wa kudanganya, kuna uwezekano mkubwa sana kuwa anasema ukweli. Hapa Paulo anafanya hoja ya kisheria kuhusu wapinzani wake. Kwa nini anahoji kuwa wapinzani wa matendo wanadanganya? (Ni watu wa kuwafurahisha watu tu. Hii ni sehemu tu ya juhudi zao kuepusha kujiingiza kwenye matatizo kwa sababu wao ni Wakristo.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Nadhani ni busara kuendana na watu wanaotuzunguka. Kwangu mimi hiyo haionekani kuwa hoja kubwa. Je, kwa undani zaidi ni hoja gani unayoweza kuiona kwenye maneno ya Paulo? (Maoni kuhusu “msalaba” yanapendekeza kwamba wangeikana injili ili waweze kuwafurahisha/kuwapendeza wale wanaowazunguka. Tohara ni sehemu tu ya taswira kubwa ya kuikana injili.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;a. Je, unadhani kuwa hawa watu wanaowafurahisha watu watakubali “hatia” ya hili shtaka? Au, je, inawezekana kwamba hawakulifikiria hili kwa kina?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Juma hili nilikuwa ninasikiliza hubiri la mtu ambaye ni mwanafunzi wa dhati kabisa (makini) wa Biblia. Alikuwa anazungumza kuhusu unabii na jinsi ambavyo washiriki wa dini nyingine kubwa wataijia imani ya Yesu, hata kama wanaweza wasiwe na uelewa sahihi wa Utatu Mtakatifu. Hakujali sana kuhusiana na tatizo hili kwa sababu alisema, “Hakuna mtu hata mmoja aliye mkamilifu kwenye fundisho, lakini fundisho hili ni muhimu kiasi gani? (Kama huamini kuwa Yesu ni Mungu, huelewi sehemu ya msingi kabisa ya injili!)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma Wagalatia 6:13. Miaka nenda miaka rudi tunasoma kuhusu mashujaa wanaopokea vikombe kutoka kwa waathirika wao: ngozi za vichwa na nywele zake, masikio, nk. Je, Paulo anapendekeza kuwa kundi la waliotahiriwa linakusanya kitu gani? (Magovi!)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, kwa nini Paulo anakuwa mtu wa ishara sana? (Lazima atakuwa alikuwa anataka kuweka taswira nzuri kwa Wagalatia kwamba wapinzani wake kwa hakika kabisa hawakuwa wakiwajali.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;I. Mitazamo Sahihi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma Wagalatia 6:14. Je, Paulo anatofautianaje na watu wanaowafurahisha watu? (Wanaepuka kuteswa kwa ajili ya msalaba, anajivunia msalaba.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Hebu tuliangalie hili kwa undani zaidi. Kwa nini wafurahisha watu wanajivunia kuhusu tohara na sio msalaba? (Wanajivunia vitu vitakavyowafanya waonekane wema mbele za macho ya watu wengine.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, kanisa lako limetangaza? Washiriki wa kanisa la Mormon walikuwa na matangazo mazuri sana ya televisheni yanayohusu familia (kaya). Nimeona matangazo kama hayo ama kwa Walutheri au kwa Wamethodisti. Kanisa langu linajivunia kuhusu masuala ya afya na kuishi kwa muda mrefu kwa washiriki wake. Je, matangazo haya yanatangazwa ili kulifanya kanisa likubalike kwa jamii na kuepusha kuteswa?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;a. Kanisa linapotangaza aina hii ya matangazo (nina uhakika makanisa mengi yanatangaza matangazo kama haya), je, tunajivunia kitu kingine kabisa tofauti na msalaba?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;a. Je, Paulo anafanya ukosoaji wenye haki? Kwa mfano, je, Biblia inazungumzia kuhusu msalaba tu?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;a. Kama nikikuuliza kuhusu shirika linaloitwa “Samaritan’s Purse,” je, utalielezeaje? (Makasha ya Krismasi kwa ajili ya watoto. Msaada wa majanga. Juma lililopita Franklin Graham, mkuu wa “Samaritan’s Purse,” alitembelea chuo kikuu ninachofundisha. Alisema kila walichokifanya kilikuwa ni kwa ajili ya kuiendeleza injili. Kujivunia kuhusu familia (kaya), afya, nk ni vema kama lengo lake ni kuiendeleza injili. Tatizo linakuja pale ambapo kujivuna kwetu kunaikana injili.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;a. Kabla hatujajisikia hatia kidogo, je, Paulo anamaanisha nini anaposema kuwa amesulibishwa kwa ulimwengu? (Hajali kile ambacho ulimwengu unakifikiria.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;(1) Je, tunapaswa kujali kile ambacho ulimwengu unakifikiria kuhusiana na kanisa letu?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma Wagalatia 6:15. Je, itakuwa vyema kusema kuwa “afya na urefu wa maisha” havina maana yoyote, kinachojalisha ni kuwa kiumbe kipya katika Kristo? (Afya na urefu wa maisha vina umuhimu wa kivitendo zaidi kuliko tohara, lakini kipindi kifupi cha maisha yetu hapa duniani hakina maana yoyote ikilinganishwa na umilele.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Pale ambapo wafurahisha watu walipokuwa wakihoji wakiegemea upande wa tohara, je, walikuwa wakifanya hivyo kwa lengo la kuboresha maisha ya kila siku? (Hapana. Walikuwa wanahoji suala hilo kwa sababu za kiteolojia. Katika kitabu cha Mwanzo 17 Mungu alimwambia Ibrahimu kuwa tohara ilikuwa ni ishara kwamba palikuwepo na uhusiano kati ya Mungu na uzao wa Ibrahimu. Hiyo inaonekana kuwa na umuhimu mkubwa sana kwangu!)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, kuna kitu ambacho kanisa lako linahoji kuwa ni ishara maalum ya uhusiano kati yako na Mungu na ni cha muhimu sana kuliko msalaba?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Hebu turejee kwenye utangulizi wetu. Je, ubatizo kwa njia ya kuzamishwa majini ni muhimu sana kuliko msalaba? (Hapana.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, tohara na ubatizo wa kuzamishwa majini vipo kwenye dhana moja? Je, Paulo hakuwa akihoji kwamba tohara ni kosa, wakati ambapo tunafahamu kuwa ubatizo ni kitu sahihi? (Tohara ni mbaya (makosa) tu kwa sababu ni sehemu ya njia ya matendo ya “tii na uishi,” badala ya njia ya neema ya “amini na uishi.”)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Hebu tuchunguze tena sehemu ya mwisho ya Wagalatia 6:15. Je, Paulo anamaanisha nini anaposema, “Kinachojalisha ni uumbwaji upya (yaani bali kimbe kipya)? (Soma 2 Wakorintho 5:17. Kinachojalisha ni kuwa kwa imani katika Yesu, tunaokolewa – tunakuwa kiumbe kipya.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Hebu tusome 1 Wakorintho 7:19. Je, hii inafuta (inabatilisha) kila kitu tulichokijadili hivi punde? (Hapana! Tohara ilikuwa ni ishara ya uhusiano maalum na Mungu. Uhalisia wa uhusiano maalum na Mungu ni utii kwa amri zake. Tohara ilikuwa ni ishara. Utii ndio uhalisia.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Je, kuna mtu anayeweza kuelezea kwa ufupi kile tulichojifunza? Au je, nimewachanganya ninyi nyote? Je, Wabaptisti wanapaswa kuongoza kwa ubatizo wa kuzamishwa majini? Je, kila kanisa linapaswa kuongoza kwa fundisho lake la kipekee? (Hapana. Tunapaswa kuongoza kwa msalaba – injili ya kuhesabiwa haki kwa neema pekee. Wakati huo huo, Wabaptisti (na wengine wote tuliosalia) tunapaswa kuendelea kutii amri za Mungu – huku tukitambua kuwa hatuokolewi kwa kuzitunza/kuzishika amri.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma Wagalatia 6:16. Tukiuelewa vizuri uhusiano kati ya neema na matendo, je, nini kinachofuatia? (Amani na rehema!)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, mambo hayo mawili yanahusiana? (Rehema ya Mungu inanipatia amani. Inanipatia ujasiri kwenye wokovu wangu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma Wagalatia 6:17. Kwa nini tunaweza kuwa na uhakika na mafundisho ya Paulo? (Ameyasumbukia/ameyatesekea. Kwa wazi kabisa anayaamini.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma Wagalatia 6:18. Tunamalizia kwa suala zuri ajabu linalozungumziwa kwenye Wagalatia – neema! Tunaokolewa kwa neema pekee.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Rafiki, kama haujaukubali wokovu kwa njia ya neema pekee hapo kabla, je, utaukubali sasa hivi? Je, utairuhusu rehema na amani viyaingie maisha yako?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;I. Juma lijalo: Juma lijalo tutajifunza Utatu Mtakatifu tunapoanza mfululizo mpya wa masomo unaoitwa “Kumjua Mungu Wetu.”&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/3455255205653026852-3778764296651756043?l=lesoni.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lesoni.blogspot.com/feeds/3778764296651756043/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://lesoni.blogspot.com/2011/12/somo-la-14-kujivunia-msalaba.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3455255205653026852/posts/default/3778764296651756043'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3455255205653026852/posts/default/3778764296651756043'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lesoni.blogspot.com/2011/12/somo-la-14-kujivunia-msalaba.html' title='Somo la 14: Kujivunia Msalaba'/><author><name>Lessoni ya Kiswahili</name><uri>http://www.blogger.com/profile/05032927242368522742</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-3455255205653026852.post-4553768072873019402</id><published>2011-12-16T07:34:00.000-08:00</published><updated>2011-12-16T07:35:49.468-08:00</updated><title type='text'>Somo la 13: Injili na Kanisa</title><content type='html'>Somo limetafsiriwa na Mgune Masatu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;(Wagalatia 6:1-10) &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Somo hili limetafsiriwa kutoka katika Copr. 2011, Bruce N. Cameron, J.D. Marejeo yote ya maandiko yametoka kwenye tafsiri ya New International Version (NIV), copr. 1973, 1978, 1984 International Bible Society, isipokuwa kama itaelezwa vinginevyo. Nukuu kutoka kwenye tafsiri ya Biblia ya NIV inatumika kwa ruhusa ya Wachapishaji wa Biblia wa Zondervan. Majibu yaliyopendekezwa yanapatikana kwenye parandesi (kwenye mabano). Somo limekaa kimtazamo kwamba mwalimu anatumia ubao au sehemu nyingine yoyote ambayo inaweza kuonekana na wanafunzi. Kama huwa una kawaida ya kupokea somo hili kwa njia ya barua pepe na hukulipata kwa juma moja, unaweza kulipata kwa kubofya kwenye www.lesoni.blogspot.com kwa lugha ya Kiswahili na http://www.GoBible.org kwa lugha ya Kiingereza pamoja na lugha nyingine kama vile Kifaransa, Kijerumani. Omba kwa ajili ya uongozi wa Roho Mtakatifu unapojifunza.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Utangulizi: Je, kanisa linapaswa kukabilianaje na dhambi? Je, juhudi za kanisa lako zimefanikiwaje katika kipindi cha nyuma? Mara nyingi, ninaona mambo mawili yakitokea. Kwanza, watu walio wakosoaji wanakosoa dhambi (au zinazodhaniwa kuwa ni dhambi) za watu wengine. Pili, wadhambi wanajisikia kuwa dhambi zao ni “mambo yao wenyewe’ na hivyo kuwataka viongozi wa kanisa “wajali mambo yao wenyewe’ – wakimaanisha kuwa, “tafadhali achana na mimi.” Waathirika wa ukosoaji wanafedheheshwa, na wadhambi waliokubuhu wanarejea ndani ya ganda lao la dhambi. Hebu tuzame kwenye somo letu la Biblia na tuone kile inachotufundisha kuhusiana na hii mada!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;I. Mtego wa Dhambi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma Wagalatia 6:1. Je, inamaanisha nini “kunaswa” dhambini? (Dhambi yako inawekwa hadharani pale ambapo wewe mwenyewe hukupanga ijulikane hadharani. Au, ulijiingiza dhambini wakati ambapo ungependelea kutembea na Mungu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, hii inahusika kwa wadhambi majasiri? (Kama unajivunia dhambi zako, je, “umenaswa” nayo?)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Lazima kutakuwa na kosa la kiuchapaji kwenye Biblia yangu. Lazima Paulo atakuwa alimaanisha kuandika “nyie ambao ni wakosoaji mnapaswa kurejezwa,” sio “nyie ambao ni wa kiroho” mnapaswa kurejezwa. Je, hauoni zaidi hiyo ya awali kuliko hii ya pili?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Kama suala la “kiroho” pekee ndilo lilonapaswa “kurejezwa kwa upole,” je, hii inatufundisha nini kuhusiana na mfumo wa kanisa? Je, tunapaswa kuwazuia washiriki wetu walio wakosoaji wasikemee dhambi za watu wengine?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Fikiria nyakati ambazo ulikemewa aidha dhambi yako ya kweli au dhambi yako iliyofikiriwa tu lakini haikuwa dhambi. Je, ni viongozi wa kiroho wa kanisa walikukemea? (Mara nyingi huwa ni wageni na washiriki wapya wanaonikemea kwa sababu hawakubaliani na mawazo yangu! Mke wangu wa kiroho anafanya kazi nzuri sana ya kuniweka kwenye msitari sahihi!)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;3. Unapoona dhambi kwa watu wengine, je, umegundua kuwa mara nyingi hiyo huwa ni dhambi yako uliyoigundua?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;a. Je, kwa kukosa kwako vigezo, unapaswa kuondolewa kwenye mchakato wa “kuwarejeza” watu wengine wanaojihusisha na dhambi hizo hizo/zile zile zinazokufanya upambane nazo?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;C. Je, inamaanisha nini kumrejeza mtu “kwa upole?” Je, hii inajumuisha kumfuta mtu ushirika wa kanisa?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Soma Mathayo 18:15-17. Je, Yesu anauelezeaje “upole?”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;a. Utabaini kuwa katika mfano wa Yesu sio viongozi wa “kiroho” kanisani, bali ni mwathirika wa dhambi anayekabiliana na mdhambi. Je, unalinganishaje ushauri wa Paulo na ule wa Yesu?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;II. Kuubeba/Kuuchukua Mzigo&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma Wagalatia 6:2. Je, Paulo amebadili mada?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, dhambi ni mzigo maishani mwetu? (Ndiyo.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Je, tunawajibika (kama tuna vigezo vya kiroho) kubeba mizigo ya dhambi za watu wengine?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;3. Je, “sheria ya Kristo” ina nini cha kujihusisha katika kubeba mizigo ya dhambi za watu wengine? (Utakumbuka kwamba juma lililopita tulijadili tofauti kati ya njia ya“kuhesabiwa haki wa imani” kwenye maisha ya kila siku, na njia ya “matendo na sheria” kwenye maisha ya kila siku. Njia ya imani inauliza, “Je, ninaweza kufanya kitu gani ili nimpendeze Mungu, mwenzi wangu na wale wanaonizunguka hivi leo?” Njia ya matendo inauliza, “Je, ni alama gani nyekundu zinajielekeza kwenye dhambi nilizozivuka hivi leo?” Njia moja inajielekeza kwenye kuwapenda watu wengine, njia ya pili inajielekeza kwako wewe binafsi na kwenye dhambi. Njia ya imani, njia ya sheria ya Kristo, inauliza “Je, nifanye nini ili niweze kuchukua/kubeba mizigo ya watu wengine?” Hii itajumuisha kuwasaidia waushinde mzigo wa dhambi.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Je, ni umuhimu gani unaouhusianishwa na neno “kubeba?” (Kubeba kunaonekana kumaanisha zaidi tu ya msaada mdogo.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, ninawezaje “kubeba/kuchukua” dhambi ya mtu mwingine? (Je, ni mara ngapi dhambi ya watu wengine inakuathiri vibaya sana? “Kubeba/kuchuhua” dhambi wakati unamrejeza mtu inamaanisha kuwa unaweza kuwa unateseka kutokana na dhambi ya mtu huyo.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;III. Majivuno Katika Ubebaji/Uchukuaji wa Mzigo&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Hebu turudie tena kusoma sehemu ya mwisho ya Wagalatia 6:1. Chukulia kwamba unamsaidia mshiriki mwenzako wa kanisa aliyeelemewa na usemaji wa uongo. Je, Paulo anatuambia kuwa kama tukimsaidia mshiriki kama huyo, yumkini nasi tukaanza kuwa waongo?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Soma Wagalatia 6:3-5. Hivi punde tu Paulo ameniambia kuchukua/kubeba mizigo ya watu wengine. Sasa ananiambia kuwa nibebe furushi langu mwenyewe!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, ushauri wa Paulo ya kwamba tuwe waangalifu kuhusu kutojaribiwa unahusika hapa? (Vipande vya fumbo/kitendawili vinaungana! Kama tunamsaidia mwongo na dhambi yake, tunaweza kujaribiwa na majivuno na kudhani kuwa sisi ni wa hadhi ya juu. Tunaweza kujaribiwa kwa usengenyaji kwa kuwaambia watu wengine jinsi gani mtu fulani alivyo mtu mbaya. Tunahitajika “kubeba/kuchukua” mizigo yetu ya majivuno na usengenyaji.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Paulo anatuambia kuwa “tuzipime kazi zetu wenyewe,” “acha majivuno,” na tuachane na masuala ya “kujilinganisha” na watu wengine. Je, anatuambia kuwa tufanye kitu gani? (Hatuwezi kujilinganisha na mwongo. Hatuwezi kuwa na majivuno kutokana na ukweli kwamba sisi sio waongo. Hatupaswi kupima kwa kutumia kipimo cha juu sana “wema” wetu. Tunapaswa kujilinganisha na Yesu, sio na watu wengine. Kumfanya Yesu kuwa kituo cha ulinganifu, kuwa makini na dhambi yetu weyewe, ni “kubeba/kuchukua” “furushi letu” wenyewe.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;C. Sasa basi tumekwishajadili mada hii, je, ni vigezo gani ambavyo kanisa linapaswa kuvitumia kwa “wanawaorejeza” wale walionaswa dhambini? (Hawa wanapaswa kuwa watakatifu wanyenyekevu walio na ufahamu/utambuzi wa dhambi zao wenyewe, wasio wasengeyaji, na walio wapole kwa sababu wanatambua kuwa Mungu amekuwa na upole na unyenyekevu kwao.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;IV. Wakufunzi Wenye Mbaraka&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma Wagalatia 6:6. Hapa ndipo utakaponikaribisha chakula cha usiku! (Hapa anamaanisha kumtoa mtu out – yaani kumpa ofa! Zingatia: Mwandishi huyu ni Mhadhiri (Profesa)). – mkazo (emphasis) ni wangu.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;1. Je, ushauri huu unaelekezwa kwa nani? (Paulo anazungumza na wale walionaswa dhambini ambao wamefaidika kutokana na wale wanaowarejeza kwa upole na kubeba/kuchukua mizigo yao.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;a. Je, wadhambi waliorejezwa wanapaswa kufanya nini? (Wanapaswa kuwa mbaraka kwa wale waliowarejeza.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;b. Je, umewahi kuhusika katika kumrejeza mdhambi na kuishia kupata adhabu kutokana na urejezaji huo? (Miaka mingi iliyopita, wenzi fulani waliniomba kuwasaidia kwa sababu walikuwa wakipitia wakati mgumu sana kwenye ndoa yao. Dhambi ilihusika. Nilikutana nao, na nikajitolea kuwa yeyote kati yao aishi nyumbani kwangu kwa muda hadi hapo ambapo wangeweza kuishi pamoja tena. Ilitokea kuwa nilishutumiwa kwa “kufungamana” na mwenzi aliyekuja kuishi nyumbani kwangu kwa muda – ingawaje wenza hao walikubaliana wao wenyewe kuwa nani aje kuishi nasi (mimi pamoja na mke wangu!))&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;V. Malipo&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma Wagalatia 6:7-8. Kwa nini Paulo anamrejea Mungu kudhihakiwa kwenye sheria ya malipo? (Kama Mungu ndiye mmiliki wa dunia, basi tunapaswa kuwa na uwezo wa kuzitegemea kanuni fulani fulani. Mojawapo ya kanuni hizi ni kanuni ya “malipo.” Kutafuta kuwasaidia watu wengine kunaleta msaada kwako. Kuwadhuru watu wengine kunaleta madhara kwako.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, hii inahusianaje na wazo la kumrejeza mtu aliyenaswa dhambini? (Inakupa hoja kwenye jaribu lako la kurejesha! Lakini, wazo la msingi ni kwamba kuonyesha upendo na wema kwa watu wengine kutatupa thawabu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Soma Wagalatia 6:9. Je, kwa nini tunaonywa kuhusu “kuchoka?” (Ingawaje Mungu yupo kwenye umiliki, dhambi na uhuru wa uchaguzi vinatawala. Mara nyingine malipo yanacheleweshwa. Mara nyingine hatutapewa malipo hadi tutakapofika mbinguni.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Kwenye somo letu la Wagalatia, tumenyumbulisha umuhimu wa “neema.” Je, huu mfululizo wa mafungu unatufundisha nini kuhusu umuhimu wa matendo? (Neema inatupatia wokovu, lakini matendo yana thawabu – thawabu chanya na hasi. Paulo anataja kwa mahsusi thawabu inayotusubiri mbinguni kutokana na matendo yetu mema!)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;C. Angalia tena Wagalatia 6:8. Je, nini kilicho cha muhimu kuhusu njia ambayo Paulo anaelezea upandaji sahihi? (Hebu baini njia ya neema: kupanda “kwa kumpendeza Roho.” Utume wetu ni kumpenda Mungu na kuwapenda wale wanaotuzunguka.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;D. Soma Wagalatia 6:10. Kwa nini Paulo anatofautisha kati ya jamaa ya waaminio na watu wengine? (Tuna wajibu mkubwa kwa wale wanaoamini.)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;E. Rafiki, je, utaliweka lengo lako ili uwe wa kiroho zaidi ili kwamba uweze kusaidia kubeba/kuchukua mzigo wa dhambi wa watu wengine? Kama umetambua kuwa wewe u mkosoaji zaidi kuliko mtu wa kiroho, je, utamwomba Roho Mtakatifu akusaidie utoke kwenye ukosoaji hadi kuwa mtu wa kiroho?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;VI. Juma lijalo: Kujivunia Msalaba.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/3455255205653026852-4553768072873019402?l=lesoni.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lesoni.blogspot.com/feeds/4553768072873019402/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://lesoni.blogspot.com/2011/12/somo-la-13-injili-na-kanisa.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3455255205653026852/posts/default/4553768072873019402'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3455255205653026852/posts/default/4553768072873019402'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lesoni.blogspot.com/2011/12/somo-la-13-injili-na-kanisa.html' title='Somo la 13: Injili na Kanisa'/><author><name>Lessoni ya Kiswahili</name><uri>http://www.blogger.com/profile/05032927242368522742</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-3455255205653026852.post-6346519025160760791</id><published>2011-12-09T09:21:00.000-08:00</published><updated>2011-12-09T09:22:59.842-08:00</updated><title type='text'>Somo la 12: Kuishi kwa Kuongozwa na Roho Mtakatifu</title><content type='html'>Somo limetafsiriwa na Mgune Masatu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;(Wagalatia 5:16-25) &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Somo hili limetafsiriwa kutoka katika Copr. 2011, Bruce N. Cameron, J.D. Marejeo yote ya maandiko yametoka kwenye tafsiri ya New International Version (NIV), copr. 1973, 1978, 1984 International Bible Society, isipokuwa kama itaelezwa vinginevyo. Nukuu kutoka kwenye tafsiri ya Biblia ya NIV inatumika kwa ruhusa ya Wachapishaji wa Biblia wa Zondervan. Majibu yaliyopendekezwa yanapatikana kwenye parandesi (kwenye mabano). Somo limekaa kimtazamo kwamba mwalimu anatumia ubao au sehemu nyingine yoyote ambayo inaweza kuonekana na wanafunzi. Kama huwa una kawaida ya kupokea somo hili kwa njia ya barua pepe na hukulipata kwa juma moja, unaweza kulipata kwa kubofya kwenye www.lesoni.blogspot.com kwa lugha ya Kiswahili na http://www.GoBible.org kwa lugha ya Kiingereza pamoja na lugha nyingine kama vile Kifaransa, Kijerumani. Omba kwa ajili ya uongozi wa Roho Mtakatifu unapojifunza.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Utangulizi: Hakuna Mkristo mkomavu anayeamini kwamba imani ndio jibu la mwisho la “ni kwa jinsi gani tunapaswa kuishi?” Kufikiri na kutenda vinaendana. Hakuna Mkristo wa dhati anatakayedai kuwa kutembea na Mungu ni jambo rahisi. Wakristo wengi ninaowafahamu kimsingi wanasema, “Ninaokolewa kwa neema pekee. Kwa sababu ya upendo wangu kwa Mungu, ninafanya uamuzi wa kutembea nae na kuyafanya/kuyatenda mapenzi yake.” Nilipojaribu kuwauliza zaidi waliongezea kwa kusema, “Na, kama mtu hatembei pamoja na Mungu, hiyo inaonyesha kuwa hawana imani.” Ama kwa hakika, wale “Wakristo” wanaotumia imani kama kisingizio cha kuishi maisha ya kiovu hawaielewi injili. Lakini, baadaye, nimekuwa nikilitafakari zaidi suala hili kuhusiana na jinsi gani Mkristo anayeokolewa kwa neema anavyopaswa kuenenda katika maisha yake ya kila siku. Hebu tuzame kwenye Biblia yetu na kuona kile ambacho Paulo anatufundisha kuhusiana na maisha ya kila siku!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;I. Mzozano/Ugomvi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Tunahitaji kupata muktadha, kwa hiyo kwanza kabisa hebu soma kwa haraka Wagalatia 5:16-21. Je, hii inatuambia nini kuhusu neema na kuishi maisha sahihi? (Kama unaishi maisha yenye ubinafsi, maovu, yasiyo makamilifu, hutakwenda mbinguni.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Huyu ni Paulo anayeandika haya! Je, hii inatenda kitu gani kwenye fikra zetu kuhusu neema? (Inamaanisha kuwa mwisho wa neema hauwezi kuwa ni tabia ya kiovu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Majuma mawili yaliyopita tulijifunza kuwa “mchakato” wa Sara kutimiza lengo la Mungu (kwamba Ibrahim atakuwa na uzao) uliishia kwenye balaa kubwa sana. Je, hakuna tunachoweza kukifanya (au tunapaswa kukifanya) ili tujihusishe kwenye kuishi maisha sahihi? Je, hilo litakuwa ni “mpango wa Sara,” yaani, kosa la “kuhesabiwa haki kwa matendo?” &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Hebu tuyaangalie haya mafungu kwa undani zaidi. Soma Wagalatia 5:16. Je, inamaanisha nini “kuishi kwa kuongozwa na Roho?” (Ishi kwa mujibu wa uongozi wa Roho Mtakatifu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;C. Soma Wagalatia 5:17. Je, hili suala la kuishi kwa kuongozwa na Roho linatendeka?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Kama umesema kuwa, “Ndiyo,” je, unaielezeaje kauli ya Paulo kwamba “hamfanyi yale mnayoyataka?” (Inaweza kumaanisha kuwa mnataka kufanya jambo jema, lakini badala yake mnafanya uovu. Pia inaweza kumaanisha mna matamanio ya asili ya kutenda uovu, lakini kwa sababu ya Roho Mtakatifu, badala yake mnatenda jambo jema. Hii maana ya pili inaendana na kile tulichokisoma hivi punde katika fungu la 16.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;a. Soma Warumi 7:21-25. Je, Paulo anazungumzia tu kuhusu watu wabaya? Au, je, anamzungumzia tu wewe na mimi? (Paulo anajizungumzia yeye mwenyewe. Anazungumzia kuhusu Wakristo “wazuri.” Sote tuna asili ya dhambi. Sote tunavutwa kuishi kwa mujibu wa asili hiyo. Tunajikuta tunatenda uovu ambao hatutaki kuufanya.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;D. Soma Wagalatia 5:18. Je, hii inamaanisha nini – sina haja ya kuwa na wasiwasi juu ya kile ambacho sheria inakisema? (Haiwezi kumaanisha hivyo, kwani hivi punde tu umesoma kuwa watenda maovu hawatakwenda mbinguni. Hitimisho la pekee la kimantiki ninaloweza kulifikia ni kuwa tuna chaguzi mbili. Tunaweza kuongozwa na Roho Mtakatifu au tunaweza kuongozwa na asili yetu ya dhambi.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, hii inapendekeza kuwa kwa namna fulani hivi sheria inahusianishwa na asili yetu ya dhambi? (Soma Warumi 7:8-10. Paulo anasema kuwa sheria inachokonoa tabia ya kidhambi. Hii sio ya kawaida, kwa hiyo tunahitajika kulichunguza hili zaidi.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;II. Kuishi kwa mujibu wa Sheria&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Sijui jinsi ya kuwa na mjadala thabiti wa hili suala bila kuzungumzia dhambi mahsusi. Kwa hiyo, hebu tuzungumzie kuhusu kisa mahsusi kuhusiana na dhambi mahsusi. Soma 2 Samweli 11:1-4. Nimefundisha kisa hiki mara nyingi, nimehubiri kuhusiana nacho. Kama wewe ndiye ungekuwa Daudi, na ukataka kuepuka hii dhambi, je, ni hatua gani za kivitendo ambazo ungezichukua? (Kile ambacho mara zote nimekuwa nikikisema huko nyuma ni kwamba Daudi alikuwa anachukua mfululizo wa hatua kuelekea kwenye dhambi. Baadhi ya hatua zinaweza zisiwe dhambi, lakini bado zilimwelekeza kwenye uelekeo wa dhambi.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, hizi hatua mbaya zinaweza kuwa zipi? (a. Kutokwenda vitani na majeshi yake; b. Kumwangalia Bathsheba kwa muda mrefu; c. Kuvutiwa/kupendezewa nae; d. Kutuma apelekewe hata ingawaje alijua kuwa alikuwa ameolewa; na hatimaye kufikia ukomo wa dhambi, e. Kufanya uzinzi.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Kama wewe (namaanisha wewe binafsi) ulitaka kuepuka uzinzi, je, ungeepuka kuchukua hizi hatua? (Ndiyo. Hii inaleta mantiki. Lakini, nadhani kwamba nimekuwa nikifundisha kwa kutumia njia isiyo sahihi. Kiini cha hatua ni sheria. Kiini cha hatua ni uzinzi na jinsi ya kutousogelea kwa ukaribu sana. Kuilenga dhambi na sheria ni njia ya kuhesabiwa haki kwa matendo.” Ninaiangalia asili yangu ya dhambi na ninatafakari jinsi ya kuishinda. Kama Sara, mimi ni mhandisi wa nini cha kufanywa ili kutimiza lengo la Mungu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;3. Je, onyo la kivitendo la Paulo kuhusu kuhesabiwa haki kwa imani ni lipi? (Halifanyi kazi. Katika Warumi 7:5 Paulo anasema kuwa sheria inaamsha matamanio yetu ya kidhambi. Wagalatia 5:3 inapendekeza kuwa haiwezekani kuitimiza sheria. Katika Wagalatia 5:4 Paulo anaeleza kuwa njia ya matendo inashindwa kwa sababu inamwondoa Mungu kutoka kwenye mpambano.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;4. Je, kuna chochote tunachoweza kukifanya ili kuendeleza tabia zetu wenyewe? Hebu tubaini hilo katika sehemu inayofuatia.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;III. Kuishi kwa mujibu wa Roho&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma Wagalatia 5:22-23. Je, ni kwa jinsi gani kuishi kwa mujibu wa Roho kunatofautiana na kuishi kwa mujibu wa sheria? (Unazingatia masuala chanya, hauzingatii masuala hasi. Hauelekezi hatua zako kuelekea dhambini, unaelekeza hatua zako kuelekea kwenye haki.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;1. Hebu turejee kwenye mfano wetu wa msingi wa Daudi. Kama umeamua kuacha kuwafundisha akina Daudi wa siku zijazo kuziangalia hatua zao, kuacha kuziangalia “taa nyekundu” za kimaadili, sasa utakuwa unawafundisha kitu gani? (Vipi kama badala yake tungesema “Mtizamie/mwangalie mkeo. Leta upendo, furaha, amani, uvumilivu, utu wema, fadhili, uaminifu, upole na kiasi kwenye maisha ya mkeo. Usiziangalie ‘taa nyekundu.’”)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Hebu turejee tena kitu fulani tulichojadili juma lililopita. Soma Wagalatia 5:14-15. Hili ndilo lengo la maisha yanayoongozwa na Roho. Je, Daudi angepaswa kuwa anajiuliza kuhusu kitu gani, badala ya kuuliza “Ni hatua gani za kuielekea dhambi (Bathsheba) ninazopaswa kuziepuka?” (Je, ninaweza kufanya jambo gani ili niweze kumfurahisha mke wangu? Je, ninaweza kufanya jambo gani ili niweze kumfurahisha Mungu wangu? Je, ninaweza kufanya jambo gani ili niweze kumsaidia mke wangu? Je, jukumu hili linapendeza mbele za Mungu wangu na mke wangu? &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, hii inakusaidia kuelewa kile anachokimaanisha Paulo anapoandika “kama unaongozwa na Roho, haupo chini ya sheria?” (Roho anauliza, “je, nifanye nini ili niweze kumpenda Mungu na mwenzi wangu?” Sheria inasema, “Je, ninapaswa kufanya nini ili niweze kuuepuka uzinzi?” Lengo ni lile lile – kuwa mwaminifu kwa mwenzi wako. Kama vile Sara na Mungu walivyokuwa na lengo moja – kuwapata wazao kwa ajili ya Ibrahim. Ni mchakato, njia ya kulielekea lengo, linalowatenganisha wale wanaoamini katika kuhesabiwa haki kwa imani na wale wanaoamini katika kuhesabiwa haki kwa matendo.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Wagalatia 5:13 inapotualika “kuwatumikia” wengine, na Wagalatia 5:22 inapotuambia kuwa tunda la kwanza la kuishi maisha yanayoongozwa na Roho ni “upendo,” je, hii inatuambia nini kuhusu kujitazamia wenyewe, ubinafsi, “kutizama kitovu?” (Mambo haya ni makosa.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;a. Je, kuna funzo katika jambo hili kwa ajili yetu kuhusu jinsi ambavyo tunapaswa kutembea na Mungu? (Rafiki, natumaini kwamba unaweza kuona kuwa kuitazamia sheria, kuzitazamia “taa nyekundu” ni kujitazamia mwenyewe. Je, ninaendeleaje? Kutazamia kumpenda Mungu na wenzi wetu na wengine kunafikia kwenye swali, “Je, vinaendeleaje? Je, ninavifurahisha?)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;C. Soma Wagalatia 5:24. Je, njia yetu ya kukabiliana na asili yetu ya dhambi inapaswa kuwa ipi? (Tunataka ife! Je, unaweza kuona tena kuwa ni makosa kwa kiasi gani kuzitazamia asili zetu za dhambi na kupima vipimo vyake kuielekea dhambi?)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;D. Soma Wagalatia 5:25. Kama unataka kuendana hatua kwa hatua na mwanadamu mwingine, je, unahitajika kufanya nini? (Angalia jinsi mtu huyo alivyotembea.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, inamaanisha nini kuendana “hatua kwa hatua” na Roho? (Kumwangalia Mungu wetu na kile kinachompendeza.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Hebu turejee tena Wagalatia 5:24-25. Je, sheria bado ni ya muhimu? (Ndiyo. Kama Wakristo “wasio wakomavu” sheria inatufundisha kuwa tunamhitaji Mwokozi. Lakini, mara tunapoupata huo ujumbe, basi hatupo tena chini ya uangalizi wa sheria. Hatujiangalii tena sisi wenyewe, kujipima wenyewe dhidi ya sheria. Badala yake, tunamwangalia Mungu, huku tukiwa tukiongozwa na Roho Mtakatifu wa Mungu ili tuweze kumpendeza Mungu. Basi kinachomiminwa maishani mwetu ni upendo, furaha, amani, uvumilivu, utu wema, fadhili, uaminifu, upole na kiasi.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;a. Kama unajiona kuwa wewe sio mvumilivu, je, unapaswa kulifanyia hilo kazi? (Hapana! Hauiangalii dhambi. Usiyaangalie matendo, na kwa ujumla kuenenda kama Sara alivyofanya. Kwa uwezo wa Roho wa Mungu, badala yake zingatia kumpenda mtu ambaye huna uvumilivu nae. Hiyo ndio njia ya neema. Hiyo ndio njia ya kuhesabiwa haki kwa imani.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;E. Soma Wagalatia 5:26. Kwa nini tuwe na majivuno kwa kuishi maisha sahihi? (Kama lengo ni kwa jinsi gani tunaishinda dhambi, na kama hatuko macho sana, hili linaweza kutokea. Kama lengo letu ni kumpenda Mungu na wale wanaotuzunguka, kamwe hili haliwezi kutokea.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;F. Rafiki, natumaini kwa sasa unaweza kuona kwamba haki kwa imani sio tu kuwa inatuokoa kwa neema ya Mungu, bali pia inatuambia jinsi ambavyo tunapaswa kuishi kila siku. Je, utaamua hivi sasa kuacha kuangalia na kuzitazamia “taa nyekundu” na kuanza kuangalia jinsi ya kumpenda na kumfurahisha Mungu?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;IV. Juma lijalo: Injili na Kanisa.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/3455255205653026852-6346519025160760791?l=lesoni.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lesoni.blogspot.com/feeds/6346519025160760791/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://lesoni.blogspot.com/2011/12/somo-la-12-kuishi-kwa-kuongozwa-na-roho.html#comment-form' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3455255205653026852/posts/default/6346519025160760791'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3455255205653026852/posts/default/6346519025160760791'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lesoni.blogspot.com/2011/12/somo-la-12-kuishi-kwa-kuongozwa-na-roho.html' title='Somo la 12: Kuishi kwa Kuongozwa na Roho Mtakatifu'/><author><name>Lessoni ya Kiswahili</name><uri>http://www.blogger.com/profile/05032927242368522742</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-3455255205653026852.post-7361277974431507544</id><published>2011-12-02T20:05:00.000-08:00</published><updated>2011-12-04T05:15:55.338-08:00</updated><title type='text'>Somo la 11: Uhuru Katika Kristo</title><content type='html'>Somo limetafsiriwa na Mgune MAsatu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;(Wagalatia 4:1-15) &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Somo hili limetafsiriwa kutoka katika Copr. 2011, Bruce N. Cameron, J.D. Marejeo yote ya maandiko yametoka kwenye tafsiri ya New International Version (NIV), copr. 1973, 1978, 1984 International Bible Society, isipokuwa kama itaelezwa vinginevyo. Nukuu kutoka kwenye tafsiri ya Biblia ya NIV inatumika kwa ruhusa ya Wachapishaji wa Biblia wa Zondervan. Majibu yaliyopendekezwa yanapatikana kwenye parandesi (kwenye mabano). Somo limekaa kimtazamo kwamba mwalimu anatumia ubao au sehemu nyingine yoyote ambayo inaweza kuonekana na wanafunzi. Kama huwa una kawaida ya kupokea somo hili kwa njia ya barua pepe na hukulipata kwa juma moja, unaweza kulipata kwa kubofya kwenye www.lesoni.blogspot.com kwa lugha ya Kiswahili na http://www.GoBible.org kwa lugha ya Kiingereza pamoja na lugha nyingine kama vile Kifaransa, Kijerumani. Omba kwa ajili ya uongozi wa Roho Mtakatifu unapojifunza.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Utangulizi: Uhuru ni kitu kizuri sana! Sote tunafahamu kuwa tunataka kuwa huru. Tunakuwa tunafahamu pale ambapo tunakuwa hatuna uhuru. Lakini je, hivi maana ya uhuru ni ipi hasa? Naweza kuwa na uhuru wa kumpiga ngumi puani jirani yangu. Lakini, hatadhani kwamba alikuwa huru kama angekuwa anapigwa ngumi na mimi mara kwa mara! Je, Paulo anamaanisha nini anapotuambia “kusimama imara” katika uhuru wetu? Hebu tuzame kwenye somo letu la Wagalatia na kuona kile tunachoweza kujifunza! &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;I. Simama Imara&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma Wagalatia 5:1. Je, ni nani aliyetupatia uhuru? (Yesu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Unapomchukulia mwanzilishi wa uhuru wetu, je, hiyo inatuambia kitu fulani kuhusiana na asili ya uhuru wetu? Kwa mfano, je, Yesu angetupatia uhuru wa kuwadhuru wengine?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Je, tuko huru na kitu gani? (Paulo anatuambia kuwa “mzigo” wa “kongwa la utumwa” umebebwa.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Soma Wagalatia 5:2-4. Je, hili kongwa la utumwa ni kitu gani? (Paulo anataja tohara, lakini pia anataja “torati yote.”)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Kama sheria ni nakala ya tabia ya Mungu, kama ambavyo nimesikia mara kwa mara, je, yawezaje kuwa kongwa la utumwa? (Sidhani kama sheria/torati ndio “kongwa,” badala yake nadhani ni matakwa yanayotakiwa, kwamba tuitimize torati yote (tuishike sheria yote) ama tufe, hilo ndilo kongwa la utumwa. Ni kazi kubwa kutimiza kile kisichowezekana. Ni kama “Sisyphus” kusukuma mwamba kuelekea juu ya kilima.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Muhimu: “Sisyphus” ni mungu wa Kigiriki. Alihukumiwa kusukuma jiwe kubwa juu ya kilima maisha yake yote. Jiwe lenyewe ni kubwa kiasi kwamba hata haliwezi kuvingirika, lakini pamoja na yote hayo bado anapaswa kulisukuma ili liweze kwenda juu ya kilima.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Paulo anaposema, “Sikilizeni maneno yangu,” je, unadhani anasema kitu gani? (Hili ni jambo la muhimu!)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;3. Je, kuhesabiwa haki kwa matendo ni “upinga Kristo?” (Ndiyo. Ndio maana mazungumzo haya ni ya muhimu sana. Kama unaamini kwamba matendo yako ni ya msingi sana kwa ajili ya wokovu wako, basi umemtupilia mbali Yesu na matendo yako yamechukua nafasi yake. Wewe ni mpinga Kristo.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;4. Je, hakuna upande fulani hivi wa kati – kwamba ninaamini katika wokovu kwa imani lakini pia ninaamini kwamba matendo mema ni muhimu kwa ajili ya wokovu wangu? (Kama tunadhani kwamba matendo yetu yanatuhesabia haki, basi  “tunatengwa” na Yesu. Hatuwezi kuidai neema kwa sababu “tumetanga mbali na neema.”)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;II. Utafakari Uhuru&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;A. Soma Wagalatia 5:5-6. Kama kuhesabiwa haki kwa matendo kunapaswa kuepukwa, je, tunapaswa kutafuta kitu gani? (Roho Mtakatifu. Roho Mtakatifu ndiye wakala wa kutupatia haki.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, imani ni suala tu la utamkaji? (Paulo anarejea suala la “imani kujielezea yenyewe kupitia upendo.” Ni zaidi ya utamkaji tu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Hili wazo la kuielezea imani yetu kupitia kwenye upendo linatuelekeza nyuma kwenye mjadala wetu kuhusu kile ambacho uhuru unamaanisha. Kama kweli ungekuwa huru, ungeweza kufanya jambo lolote, sawa? Hebu turukie mbele kidogo. Soma Wagalatia 5:19-21. Kama kweli ungekuwa huru, ungekuwa na uwezo wa kutenda mambo haya, sawa? (Paulo anatuambia kwamba hatuwezi kuyafanya mambo haya halafu tuurithi Ufalme wa Mungu. Lazima Paulo atakuwa na maana nyingine ya uhuru.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;C. Fikiria maelezo fulani. Chukulia kwamba una mtoto mwenye umri wa miaka miwili. Halafu unamwambia mwanao, “ninakupa uhuru. Unaweza kufanya chochote utakacho. Lakini, kama unataka mwendelezo wa malezi na msaada wangu, basi unapaswa kushi nami na kufuata maelekezo yangu.” Kama wewe ndiye mtoto mwenye miaka miwili, njia yako ya uhuru itakuwa ipi? (Utakufa kama utachagua kuenenda njia zako mwenyewe. Kuwa mfu ndio mwisho wa uhuru wako wa kufanya uchaguzi. Njia pekee ya kuendelea kuishi ni kumchagua mzazi wako. Yesu alitupatia fursa ya uhuru wa mauti ya milele. Lakini, uhuru wa kweli unatutaka tutembee naye.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;D. Hebu tuliangalie hili katika mtazamo mwingine. Je, ni uhuru wa aina gani unaotaka kuufurahia mbinguni? Je, ungependa wananchi wenzako kule mbinguni waweze kufurahia “chuki, uchawi, uadui, ugomvi, wivu, hasira, fitina, faraka, uzushi, husuda, ulevi na ulafi?” (Kama chanzo na mateso hapa duniani kitajipenyeza na kuingia kule mbinguni, basi hutaufurahia uhuru.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;E. Mfano wa mwisho kabisa. Fikiria dhambi uliyoifanya ambayo unaijutia kabisa kuliko zote. Je, “ulifurahia” uhuru kwenye hiyo dhambi? (Kwa wazi kabisa, ulikuwa huru kuitenda dhambi, lakini kilichofuatia ni mateso! Rafiki, tunaweza kuangalia uzoefu wetu wenyewe ili tuweze kuelewa kwamba njia pekee ya kuufurahia uhuru wa uchaguzi ni kufanya maamuzi sahihi.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;III. Uhuru na Upendo&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma Wagalatia 5:13-14. Je, hilo umelisikia wapi hapo kabla? (Unaweza kushangazwa kwa kutambua kwamba umelisikia zaidi ya mara moja! Soma Mambo ya Walawi 19:18 na Mathayo 22:37-40.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, uhuru niliopewa na Yesu unamaanisha kuwa sina wajibu? (Hapana! Inamaanisha kuwa nina wajibu wa kuwapenda wengine kama ninavyojipenda mwenyewe na wajibu wa kuepuka kutosheleza matamanio ya asili yangu ya dhambi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Je, kauli ya Paulo inaendana na mjadala wetu wa kile tunachokidhani ni uhuru wa kweli? (Hatuambii kitu ambacho ni kipya kwenye uzoefu wetu wenyewe.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, tunakubaliana kuwa tunapomdhuru mtu mwingine basi tunajidhuru wenyewe? Na, tunapompenda mtu mwingine, basi tunajipenda wenyewe? &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;C. Soma Wagalatia 5:15. Je, hii inatuambia nini ambacho tayari tunakijua kuhusu kuwadhuru watu wengine kwa “uhuru” wetu? (Wanalipiza kisasi! Watachukua kipande kutoka mafichoni mwako!)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;IV. Wakili wa Upande wa Pili&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Tumekuwa tukirukia rukia mafungu kwenye Wagalatia 5, hebu turejee nyuma na kusoma mafungu tuliyoyaruka. Soma Wagalatia 5:7. Hii ni njia isiyo ya kawaida ya kuelezea kuhesabiwa haki kwa imani: kuuheshimu ukweli! Au, ndivyo hivyo? (Sio njia isiyo ya kawaida. Uamuzi wa kumwamini Mungu na kumtumainia Mungu (kama ilivyokuwa kwa Ibrahimu) ni sawa kama vile uamuzi wa mtoto wa miaka miwili wa kuwatii na kuwatumainia wazazi wake. Ni uamuzi kuhusu kiapo cha utii.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Soma Wagalatia 5:8. Nani anayeweza kuondosha kama mwanzilishi wa kuhesabiwa haki kwa imani? (Yesu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;C. Soma Wagalatia 5:9. Je, ni vigumu kiasi gani kukabiliana na kosa/dosari? (Hii ni enye kudhuru kwa siri! Inajipenyeza na kuambukiza kanisa zima.) &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;D. Soma Wagalatia 5:10. Je, tunaweza kukubaliana na Paulo? Kutokana na kile alichokiandika hadi hivi sasa, kwa nini awe jasiri kiasi hicho?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Kama tuna aina fulani hivi ya wazo “jipya” la kulitikisa kanisa, je, tuchukulie jambo gani? (Kama wazo letu halina msingi wa Biblia, kama tunaleta mikanganyiko kanisani, basi tutalipa adhabu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;a. Je, tunamfahamu anayesababisha mikanganyiko?  (Shetani. Paulo anatuambia kuwa hawezi kuwa Yesu. Kwa hiyo, lazima atakuwa ni –&lt;br /&gt;b. mpinzani wa Yesu (Shetani) na wafuasi wake wanaofanya mambo haya kanisani.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;E. Hebu ruka mbele kidogo na usome Wagalatia 5:12. Kwa ulinganisho, soma tena Wagalatia 5:6. Je, unazilinganishaje hizi kauli mbili? (Kosa la msingi linahitaji jibu madhubuti.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;F. Soma Wagalatia 5:11. Kwa nini kosa la kuhesabiwa haki kwa matendo ni “kosa la msingi?” (Linabatilisha msalaba. Mungu wetu alisulubiwa. Wazo la mungu kusulubiwa ni “kosa/hatia.” Nani ambaye atamfuata mungu aliyeuawa? Tunafanya hivyo! Wakristo wanaelewa kwamba maisha, kifo na ufufuo wa Mungu wetu ndio ufunguo wa uzima wetu wa milele. Kama hulipati suala hili kwa usawia, basi wewe sio Mkristo.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;G. Rafiki, je, unaipata hoja ya Paulo inayosema kwamba njia ya Mungu ya kuuelekea uhuru wa kweli ni kuamini, kumtumaini na kumheshimu yeye. Tunaokolewa kwa neema, kwa kumchagua Yesu, lakini haya sio maneno tu, ni uchaguzi wa maisha. Ni uchaguzi wa kumpenda Mungu na watu wengine ili kwamba hatia, huzuni na pambano la ubinafsi liweze kuachwa nyuma. Tunaweza kusimama katika mwanga na furaha ya uhuru wa kweli. Je, utaufanya huo uchaguzi wa maisha hivi leo?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;V. Juma lijalo: Kuishi kwa Kuongozwa na Roho Mtakatifu.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/3455255205653026852-7361277974431507544?l=lesoni.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lesoni.blogspot.com/feeds/7361277974431507544/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://lesoni.blogspot.com/2011/12/somo-la-11-uhuru-katika-kristo.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3455255205653026852/posts/default/7361277974431507544'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3455255205653026852/posts/default/7361277974431507544'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lesoni.blogspot.com/2011/12/somo-la-11-uhuru-katika-kristo.html' title='Somo la 11: Uhuru Katika Kristo'/><author><name>Lessoni ya Kiswahili</name><uri>http://www.blogger.com/profile/05032927242368522742</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-3455255205653026852.post-924210254232852819</id><published>2011-11-25T01:01:00.000-08:00</published><updated>2011-11-25T01:03:37.435-08:00</updated><title type='text'>Somo la 10: Maagano Mawili</title><content type='html'>Somo limetafsiriwa na Mgune Masatu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wagalatia 4:21-31, Warumi 4) &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Somo hili limetafsiriwa kutoka katika Copr. 2011, Bruce N. Cameron, J.D. Marejeo yote ya maandiko yametoka kwenye tafsiri ya New International Version (NIV), copr. 1973, 1978, 1984 International Bible Society, isipokuwa kama itaelezwa http://www.blogger.com/img/blank.gif&lt;a href="www.lesoni.blogspot.com"&gt;&lt;/a&gt;vinginhttp://www.blogger.com/img/blank.gif&lt;a href="www.GoBible.org"&gt;&lt;/a&gt;evyo. Nukuu kutoka kwenye tafsiri ya Biblia ya NIV inatumika kwa ruhusa ya Wachapishaji wa Biblia wa Zondervan. Majibu yaliyopendekezwa yanapatikana kwenye parandesi (kwenye mabano). Somo limekaa kimtazamo kwamba mwalimu anatumia ubao au sehemu nyingine yoyote ambayo inaweza kuonekana na wanafunzi. Kama huwa una kawaida ya kupokea somo hili kwa njia ya barua pepe na hukulipata kwa juma moja, unaweza kulipata kwa kubofya kwenye  kwa lugha ya Kiswahili na  kwa lugha ya Kiingereza pamoja na lugha nyingine kama vile Kifaransa, Kijerumani. Omba kwa ajili ya uongozi wa Roho Mtakatifu unapojifunza.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Utangulizi: Majuma kadhaa yaliyopita tulijifunza kuwa ahadi ya Mungu ya kuhesabiwa haki kwa imani kwa Abrahamu iliendelea kuwepo sambamba na uelewa wa Abrahamu wa amri za Mungu. Tuliona kwamba sababu iliyofanya vitu hivi viwili (neema na sheria) viwepo bega kwa bega ilikuwa ni kwa sababu vilikuwa na malengo tofauti. Juma hili Paulo anawajumuisha wanawake na watoto kwenye mjadala. Je, hii itatupatia mtazamo sahihi zaidi kwenye uchaguzi wetu wa kuitegemea sheria na kuitegemea neema? Hebu tuzame kwenye somo letu la Wagalatia na kujifunza zaidi! &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;I. Sheria Inazungumza&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma Wagalatia 4:21. Swali hili linaelekezwa kwa wale wanaoamini kwamba lazima tuitii sheria ili tuweze kuokolewa. Je, kuna mtu yeyote hapa anayeamini hivyo? Hata kama huamini hivyo, kwa ajili ya mjadala hebu tuchukulie kwamba tunaamini hivyo. Kwa hiyo, Paulo anauliza kuwa, je, sheria inasemaje? (Sheria inasema kuhusu mambo mengi sana. Mara kwa mara nimesikia ikisemwa kwamba sheria “ni nakala ya tabia ya Mungu.” Hilo linapaswa kuwa jema!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, ni kweli kwamba Paulo anahitaji jibu kutoka kwa wasikilizaji wake kuhusiana na swali lake la kile ambacho sheria inasema? (Hapana. Anasema kuwa wasikilizaji wake hawana habari/utambuzi wa kile sheria inachokisema, na anataka kutuambia kile ambacho sheria inasema.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Soma Wagalatia 4:22-24. Je, Paulo anapendekeza kuwa sheria inasema nini? (Inasema, “mimi ni Hajiri na wanae.”)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Hebu subiri kidogo! Sioni mahali popote hilo likiwa limeandikwa kwenye Amri Kumi. Je, Paulo anasema kuwa hili limeandikwa wapi? (Paulo anasema “mambo haya husemwa kwa mfano.” Kiyunani hutafsiri neno “kwa mfano” kuwa “allegoreo” – istiari, usambamba, maelezo. Paulo anatuambia kuwa kisa cha Hajiri ni kisa cha sheria.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;II. Kisa cha Hajiri&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Hebu tugeukie kisa cha Hajiri. Soma Mwanzo 15:2-6. Hili ni fungu ambalo huwa tunalirejea mara kwa mara: Mungu alimwahidia Ibrahimu uzao mkubwa, Ibrahimu alimwamini Mungu, na imani hiyo ilimfanya Mungu “amzawadie” Ibrahimu haki.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Soma Mwanzo 16:1-2. Je, Sarai (Sara) alimwamini Mungu? (Alimwamini Mungu – kwa kuwa alidhani kuwa Mungu alimfunga tumbo ili asizae.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, hakuwa akimheshimu Mungu? (Nilirudi nyuma na kuziangalia ahadi alizopewa Ibrahimu kuhusiana na kuwa na uzao mkubwa. Ahadi hizi ni kwa Ibrahimu, sio kwa Sara. Sara alikuwa tu akimsaidia Mungu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;C. Hebu tujadili hili kidogo. Paulo anatuambia kuwa Hajiri ni kisa kinachohusiana na sheria. Hajiri alijitokeza kwenye mchakato kwa sababu ya maamuzi yaliyofanywa na Sara na Ibrahimu. Hebu tuone kile tunachoweza kujifunza kuhusiana na huu ulinganifu:&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, haikuwa sahihi kwa Sara kuwa na lengo la kupata watoto kwa ajili ya Ibrahimu? (Hapana.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Je, haikuwa sahihi kwa Sara kumsaidia Ibrahimu kupata watoto? Je, kwani mke hapaswi kuwa wa msaada? &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;3. Je, kulikuwa na kitu chochote kibaya kutokana na kile alichokifanya Sara? (Sara aliamua kufanya kazi ya Mungu. Natambua kuwa utamaduni wa wakati ule ulitambua kwamba Hajiri alikuwa ni mali ya Sara, kama vile ambavyo angeweza kumiliki motokaa hivi leo. Sara angeweza kuchukulia ahadi ya Mungu kwa Ibrahimu kuwa ahadi kwake kwa sababu mbele za macho ya Mungu wanandoa ni kitu kimoja (wawili wanapokuwa kitu kimoja – Mwanzo 2:24). Kwa vile alimmiliki Hajiri, angeweza kutafakari kuwa hakuwa akikiuka sheria ya ndoa ya “wawili kuwa kitu kimoja” kwa kuwa Hajiri alikuwa ni mali yake. Kwa hiyo, angetenda kwa mujibu wa mapenzi ya Mungu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;a. Je, hii ni sawa - taswira ya wale wanaoishika sheria? (Ndiyo! Kwa hakika hii ndio hali halisi. Badala ya kumwamini Mungu (kama ambavyo Ibrahimu alifanya) na kumwacha Mungu atimize ahadi yake, Sara alikuwa akijishughulisha sana na kile ambacho Mungu tayari alikwisha ahidi kuwa atakifanya. Kama tu angemwamini Mungu, hiyo ingetosha.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;b. Je, tuna tatizo dogo la kimantiki hapa – Biblia (Wagalatia 4:24) inasema kuwa “wanawake wanawakilisha maagano mawili.” Hajiri anawakilisha sheria, lakini ni Sara aliyefanya jambo lisilo sahihi. Je, tunapaswa kulielewaje hili? (Tunahitajika kuliangalia hili kwa mujibu wa mtazamo wa Ibrahimu. Mungu alimwahidi watoto na ingeendana na Biblia kama watoto hao wangetokana na Sara. Sara alibadili hili kwa kumwingiza Hajiri kwenye mchakato mzima. Kwa hiyo, Hajiri anawakilisha wokovu unaopatikana kwa matendo ya mwanadamu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;D. Soma Wagalatia 4:25. Je, kwa nini Hajiri analinganishwa na Mlima Sinai na Yerusalemu? (Sinai ndipo mahali ambapo Amri Kumi zilitolewa. Yerusalemu ni chanzo cha wale wanaohoji kwamba sheria lazima itunzwe/ishikwe ili kuweza kuokolewa. Hajiri na mwanae ni watumwa. Wale walio chini ya sheria ni watumwa wa adhabu ya kifo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, kuna dini kubwa inayoshadadia wokovu kwa matendo, inayohusianishwa na Arabuni na Hajiri?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Licha ya uhasama kati ya Uislamu na dini ya Kiyahudi, je, kuna mtazamo unaofanana kati yao kuhusu wokovu? (Kila dini hivi leo, isipokuwa Ukristo, inaamini katika “wokovu kwa matendo.”)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;E. Soma Wagalatia 4:26-27. Je, ni nani aliyekuwa akiishi katika Yerusalemu iliyokuwa mbinguni kwa wakati ule? (Yesu! Yesu, huku akiwa ameshatimiza matakwa ya sheria kwa ajili yetu , sasa yupo mbinguni. Hayo ndio makao yetu ya kweli ya kiroho, sio Yerusalemu ya duniani iliyomkataa Yesu kama Masihi.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Utabaini kuwa fungu la 27 ni nukuu kutoka Isaya 54:1.  Je, “mwanamke tasa” ni nani? (Sara!)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;a. Je, mwanamke “aliye na mume” ni nani? (Kumbuka kuwa Sara alimtoa Hajiri kwa Ibrahimu. Ni Hajiri ambaye sasa “ana mume.” Paulo bado anawaongelea wanawake wawili.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;b. Je, ni sahihi kiasi gani kusema kuwa, “watoto wa mwanamke aliyeachwa pekee ni wengi?” (Hatimaye Sara ndiye ambaye angemzaa Isaka, na kwa hiyo kuwa mama wa taifa la Kiyahudi na mwishowe, Masihi.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;III. Kisa cha Isaka&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma Wagalatia 4:28. Je, ni kwa namna gani sisi (wale wanaoamini katika kuhesabiwa haki kwa imani pekee) tu kama Isaka? &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Soma Warumi 4:18-21. Je, vitu muhimu vya imani ya Ibrahimu ni vipi? (Kwamba kile kilichoahidiwa hakikuwa kikiwezekana katika hali ya kibinadamu. Lakini, Ibrahimu aliiamini ahadi ya Mungu na alimpatia Mungu utukufu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;C. Soma Warumi 4:22-25. Sasa jibu swali langu la awali, “Je, ni kwa namna gani sisi tu kama Isaka?” (Isaka alipatikana ikiwa ni matokeo ya imani ya baba yake kwa ahadi ya Mungu. Mungu Baba yetu alituahidia Yesu. Tunao uzima kupitia kwa Yesu. Kama vile Ibrahimu alivyozawadiwa haki kwa sababu aliamini kumpata Isaka aliyeahidiwa, kwa hiyo tunazawadiwa haki kama tunaamini katika maisha, kifo na ufufuo wa Yesu kwa ajili yetu (kwa niaba yetu).)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;IV. Hitimisho&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Tumeona kwamba malengo ya Sara kwa Ibrahimu kimsingi yalikuwa sawa na malengo ya Mungu kwa Ibrahimu. Je, hiyo inatufundisha nini kuhusiana na wale wanaoamini kwamba matendo ni ya muhimu katika kuupata wokovu? (Matendo mema ni jambo zuri! Kutenda mambo mema kimsingi ni mpango wa Mungu maishani mwetu. Tatizo sio lengo, bali njia. Kama tukifuata njia ya Ibrahimu na kumwamini na kumtumainia Mungu, njia yetu ni imara. Kwa upande mwingine, kama tukiyaangalia matendo yetu wenyewe, basi njia yetu sio tu kuwa itaishia kwenye kushindwa, bali pia ni dhambi.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Soma Wagalatia 4:29. Paulo anatuambia kuwa wale wanaoamini katika haki kwa imani wanateswa na wale wanaoamini katika haki kwa matendo. Kwa nini? (Je, unafurahia kazini kwako pale ambapo wewe peke yako ndiye unayefanya kazi kwa uaminifu kwa siku? Hapana! Unawaonea wivu wale wasiokuwa na maana na wavivu. Kama unaamini matendo yako yatakuokoa, basi unawaonea wivu wale wanaodai wanaokolewa kwa neema. Mioyo yetu (au tuseme wangu) ya asili inaamini katika kufanya kazi kwa bidii kwa sababu kwa asili mimi ni mchapa kazi. Kuikubali zawadi ya bure ya wokovu ni kinyume na mioyo yetu ya asili.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;C. Soma Wagalatia 4:30-31. Kumbuka kwamba wale ambao wanaoshadadia matendo kwa asili wanawadharau wale wanaookolewa kwa neema. Je, Paulo anasema kuwa tunapaswa kufanya nini kwa watu wanaoshadadia haki kwa matendo? (Tuwaepuke!)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;1. Uuuuuuh! Hebu subiri kidogo! Nilidhani kwamba tulikubaliana na malengo ya wenye kushadadia matendo? Ya kwamba kuzishika Amri Kumi ilikuwa ni jambo jema? Je, kwa nini tuwatupe watu “wema” nje ya mahusiano yetu? (Soma Wagalatia 5:1-4. Hili ni suala zito sana. Wale wanaokana haki kwa imani pekee wanaikana kazi ya Yesu. Wanakana sehemu ya muhimu na ya msingi sana ya injili. Wanatenganishwa na Yesu na wanaelekezwa kwenye mauti ya milele kwa sababu lazima waishike sheria yote.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;D. Rafiki, je, unaona jinsi swali hili lilivyo zito? Kama unayategemea matendo yako kwa ajili ya wokovu wako, basi umepotea. Umemkana Yesu. Kwa nini usitubu dhambi zako hivi leo, uyakubali kwa imani matendo ya Yesu kwa niaba (ajili) yako na kisha usalie kwenye uelewa wako mzuri kabisa wa wokovu kwa neema pekee!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;V. Juma lijalo: Uhuru Katika Kristo.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/3455255205653026852-924210254232852819?l=lesoni.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lesoni.blogspot.com/feeds/924210254232852819/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://lesoni.blogspot.com/2011/11/somo-la-10-maagano-mawili.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3455255205653026852/posts/default/924210254232852819'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3455255205653026852/posts/default/924210254232852819'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lesoni.blogspot.com/2011/11/somo-la-10-maagano-mawili.html' title='Somo la 10: Maagano Mawili'/><author><name>Lessoni ya Kiswahili</name><uri>http://www.blogger.com/profile/05032927242368522742</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-3455255205653026852.post-4234705622019099849</id><published>2011-11-06T09:54:00.000-08:00</published><updated>2011-11-06T09:58:01.860-08:00</updated><title type='text'>Somo la 7: Njia ya Kuielekea Imani</title><content type='html'>Somo limetafsiriwa na Mgune Masatu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;(Wagalatia 3:21-25)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Somo hili limetafsiriwa kutoka katika Copr. 2011, Bruce N. Cameron, J.D. Marejeo yote ya maandiko yametoka kwenye tafsiri ya New International Version (NIV), copr. 1973, 1978, 1984 International Bible Society, isipokuwa kama itaelezwa vinginevyo. Nukuu kutoka kwenye tafsiri ya Biblia ya NIV inatumika kwa ruhusa ya Wachapishaji wa Biblia wa Zondervan. Majibu yaliyopendekezwa yanapatikana kwenye parandesi (kwenye mabano). Somo limekaa kimtazamo kwamba mwalimu anatumia ubao au sehemu nyingine yoyote ambayo inaweza kuonekana na wanafunzi. Kama huwa una kawaida ya kupokea somo hili kwa njia ya barua pepe na hukulipata kwa juma moja, unaweza kulipata kwa kubofya kwenye &lt;a href="http://www.lesoni.blogspot.com"&gt;www.lesoni.blogspot.com&lt;/a&gt; kwa lugha ya Kiswahili na &lt;a href="http://www.GoBible.org"&gt;http://www.GoBible.org&lt;/a&gt; kwa lugha ya Kiingereza pamoja na lugha nyingine kama vile Kifaransa, Kijerumani. Omba kwa ajili ya uongozi wa Roho Mtakatifu unapojifunza.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Utangulizi: Juma lililopita tuliona changamoto ya mwanasheria: “Kama kuhesabiwa haki kwa imani ndio njia sahihi, je, ni kwa nini Mungu aliianzisha sheria pale Sinai miaka 430 baada ya mkataba wake wa kuhesabiwa haki kwa imani na Abrahamu? Tulipojaribu kufumbua (kufasiri) kile ambacho mwanasheria alikuwa akikihoji, tulifikia uamuzi kwamba mojawapo ya hoja inafahamika vizuri sana na wanasheria wa Marekani. Unapokuwa na sheria mbili zinazokinzana, sheria mpya inashika hatamu dhidi ya sheria ya zamani. Sinai ilikuja baada ya Abrahamu! Hata hivyo,  ili kuweza kuishinda hii hoja, wanasheria walihitaji kitu zaidi ya muda tu, walihitaji ukinzani baina ya Sinai na kuhesabiwa haki kwa imani. Hebu tuzameni kwenye Biblia zetu ili tuweze kuchunguza mwendelezo wa hoja ya Paulo kuhusiana na huu mtafaruku/ukinzani! &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;I. Mtafaruku/Ukinzani&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma Wagalatia 3:21. Je, kuna ukinzani kati ya sheria na kuhesabiwa haki kwa imani? (Paulo hasemi tu kwamba “hapana,” bali “kwa hakika kabisa hapana.”)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, umewahi kugundua kuwa mara nyingine watu huwa wanapiga kelele ili waweze kuficha makosa yao? Je, kuongea kwake kwa mkazo kwa kutumia maneno “kwa hakika kabisa hapana” ni njia ya kuficha udhaifu kwenye hoja yake?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Mara nyingine huwa hatuuoni msitu kwa sababu tunauangalia kwa ukaribu sana mti mmoja. Paulo anawezaje kusema kuwa hakuna ukinzani? Je, kwani haandiki hii barua kwa Wagalatia kwa sababu ya ukinzani? Kwani haikumpasa kumkemea Petro kwa sababu ya ukinzani/mtafaruku? (Angalia Wagalatia 2:11-14.) Je, kwani hatulijadili hili sasa hivi kwa sababu ya ukinzani/mtafaruku?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;3. Ninaweza kufikiria kwa njia nyingi jinsi ambavyo sheria na neema zinatofautiana/zinapingana. Sheria inasema kuwa “tii la sivyo utakufa.” Neema inasema kuwa “amini na uishi.” Je, ni kwa njia gani Paulo anasema kuwa “kwa hakika kabisa” hazipingani? (Sheria haiwezi kutupatia uzima. Paulo anasema kuwa sheria haina chochote cha kutupatia haki. Kutupatia haki sio kusudi lake. Kama sheria ingeweza kutuokoa, basi wanasheria wangekuwa sahihi kuhusiana na ukinzani na kipaumbele cha sheria mpya.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;4. Hebu tupunguze mwendo kidogo kwa muda mfupi na kulitafakari hili. Je, kwani wanasheria hawadhani kwamba kusudi la sheria ni kutupatia wokovu? Kama unadhani kuwa ahadi na sheria vina kusudi moja, basi unapaswa kuendana na sheria, sawa? (Hii inatufanya tuchunguze umuhimu wa suala hili – je, sheria na ahadi vina lengo moja?)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;II. Kusudi/Lengo&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma Wagalatia 3:22-23. Paulo anasema kuwa sisi sote ni wafungwa. Je, wafungwa wanataka nini? (Uhuru. Heshima.)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, kwa nini hatutaki kuwapa wafungwa uhuru? (Kwa sababu hawaustahili.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Je, kwa nini tunastahili kufungwa jela? (Kwa sababu ya dhambi.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;3. Unaonekana kuwa kwenye kundi zuri ajabu kwangu! Je, nani aliye mfungwa wa dhambi? Kila mmoja hapa. “Dunia yote.”)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;4. Je, hivi punde tu hatujagundua kwamba hoja ya Paulo ya “hakuna ukinzani kwa hakika kabisa” ina makosa kwa uhakika kabisa? Kama sheria inatufanya kuwa wafungwa, na neema inatuweka huru, kwangu mimi hiyo inaonekana kuwa kama ukinzani mkubwa sana!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;a. Kama tukiangalia lile swali la “lengo/kusudu” je, kusudi la vyote viwili, yaani sheria na neema, sio kubainisha kama tusalie kuwa wafungwa kwenye jela?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Hebu tuangalie mfano wa kivitendo. Tuseme kwamba sheria A inatuambia kuwa kama tuna hatia kwenye kodi zetu, tunaweza kuepuka adhabu yoyote kama tukilipa kodi zetu au tukijiunga na kanisa. Sheria B inasema kuwa kwa wale wasiolipa kodi zao, basi adhabu yao ni kwamba wanatakiwa kwenda gerezani. Je, hizo sheria mbili zinakinzana? Enyi wanasheria, je, mahakama itaitupilia mbali sheria ya kwanza? (Hapana, hutaitupilia mbali sheria ya awali. Badala yake, nitasema kwamba hizo sheria mbili zinaweza kuhuwianishwa kwa kutamka kwamba sheria ya awali ilisababisha vitu visivyofuata sheria kwenye kanuni ya jumla.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;C. Angalia tena Wagalatia 3:23. Sisi ni wafungwa kwenye mahabusu. Imani inakuja kututembelea. Je, hii kauli ya “imani hii ilikuja” inamaanisha nini? Je, inamaanisha kwamba ulipata na kuendeleza imani ya namna fulani hivi? (Wagalatia 3:22 inarejea “imani ya Yesu Kristo,” lakini hapa inaonekana kuwa rejea ni kwa Yesu. Yesu (“imani hii”) alipokuja, basi uvunjaji wa mahabusu uliwezekana.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;III. Mtazamo Mpana&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Utakumbuka kwamba juma lililopita tulichunguza usahihi wa ukweli wa hoja inayohusiana na muda ya mwanasheria: kwamba sheria ilikuja baada ya ahadi kwa Abrahamu. Tuligundua kwamba hii haikuwa kweli kwenye Amri Kumi. Amri ya Sabato na amri ya mauaji zilifahamika kwa wazi kabisa tangu wakati wa Adam na Hawa. Je, ilikuwa tu sheria inayohusiana na kafara (sheria ya “mapokeo”) ndio ilikuja baadaye?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Soma Mwanzo 4:3-5. Je, hii inasema nini kuhusiana na mapokeo? (Mapokeo yalikuwepo. Juma lililopita tulikiangalia kisa hiki katika kujifunza kwamba sheria ya maadili tayari ilikuwepo. Sasa tunaona kwamba kisa hiki kinahusisha sheria zote mbili, yaani ya maadili na ya mapokeo!)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Soma Mwanzo 7:1-3 na Mwanzo 7:7-9. Je, kwa nini tunaona rejea ya wanyama walio safi na wanyama wasio safi zamani kabisa kabla ya Walawi 11 na rejea yake kwa wanyama ambao “sio wasafi kimapokeo” (Walawi 11:4)?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;3. Je, inawezekana kwamba wanasheria wamekosea, na kwamba sheria ya maadili na sheria ya mapokeo ilikuwepo tangu mwanzo kabisa? Kama hivyo ndivyo, je, ni kwa nini Mungu anafanya hivyo?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;a. Paulo anasema kwamba Mungu ana lengo tofauti kwenye sheria kuliko vile anavyofanya kwenye neema. Je, hiyo inakubaliana na wazo la sheria ya maadili na mapokeo iliyokuwepo tangu mwanzo? (“Kwa hakika kabisa!” Hii inaonyesha kwamba Mungu alidhani kuwa sheria hizi mbili zilikuwa na malengo tofauti.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;IV. Mwangamizaji/Mpondaji&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma Wagalatia 3:24. Hebu tangalie kwa makini kauli isemayo kuwa “sheria iliwekwa kuwa kiongozi.” Baadhi ya tafsiri za Biblia zinasema sheria ilikuwa “mwalimu mkuu.” Nimesoma maoni kadhaa yanayosema kuwa Uyunani inamrejea mtumwa ambaye ni kiongozi wa wana wa bwana wake. Ni kama vile “yaya” hivi leo. Utabaini kuwa Paulo anatuita majina kadhaa hapa. Tayari ameshatuita kuwa wafungwa. Sasa anaongezea “watoto wasio na akili,” “watoto wadogo wanaohitaji maelekezo ya watu wazima.” Je, huyo ni wewe?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Likiwa kama suala la kivitendo, je, lengo la mtoto kwenda shule ni lipi, kulelewa na yaya au kufundishwa? &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Je, ulijifunza nini shuleni? Je, ulijifunza nini kutoka kwa “yaya” wako (tuchukulie kuwa ulikuwa na yaya) au wazazi wako (tuchukulie kuwa hukuwa na yaya)? (Nilijifunza mambo mawili shuleni. Kwanza, nilijifunza mambo chanya ambayo nitayahitaji nitakapokuwa mkubwa. Pili, nilijifunza mambo hasi kunihusu mimi. Kwa kadri nilivyoendelea kwenda shule, ndivyo nilivyojiona kuwa bubu zaidi.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;a. Kama, kutokana na vile tulivyobaini, Mungu alitupatia ahadi ya neema na matakwa ya sheria zikiwa pamoja katika kipindi cha historia ya wanadamu, je, lengo la sheria kwa mwalimu mkuu, yaya, mkuu wa gereza ni lipi? (Sio tu kutufundisha kiwango cha ukamilifu wa Mungu, bali kupondaponda kiburi/majivuno yetu. Kutufundisha kuwa sisi sio watu werevu sana na wenye utii mkubwa kupindukia. Kutufundisha kwamba uanadamu kwa ujumla, na hususan wewe, huwezi kuishika sheria ya Mungu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;b. Soma Mathayo 5:27-28. Je, Yesu na Paulo wako kwenye njia moja? (Yesu anatupatia mtazamo wa wajibu wa kweli wa sheria ambao unatuondolea kiburi/majivuno yetu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Utabaini kwamba Wagalatia 3:24 inasema kuwa sheria “inatuelekeza kwa Kristo.” (Ukweli kwamba tunafungwa jela kwa dhambi inatufanya tutafute nji ya kutokea. Ukweli kwamba kiburi/majivuno yetu yamekwisha, na kwamba tunatambua kuwa tunahitaji neema, kunatufanya tuitafute neema. Yesu ndiye njia ya kutuondoa dhambini. Kwa hiyo, wajibu wa sheria ni kutuelekeza kwa Yesu na ahadi yake ya neema.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;V. Uhuru&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma Wagalatia 3:25. “imani imekuja” – ikimaanisha kuwa Yesu alikuja duniani, akaishi na kufa kwa ajili yetu (kwa niaba yetu), na akafufuka kwenye uzima wa milele ili kwamba tuweze kuokolewa. Sheria imekuongoza, mfungwa wa dhambi uliyepondwapondwa, hadi kwenye hiki chanzo kikubwa cha uhuru ulichokikubali kwa imani. Je, tupo pamoja hadi kufikia hapo?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Hebu tufuatilie mantiki ya Paulo inayofuatia. Watoto wanapokua, je hawapo tena chini ya uangalizi wa walimu wao wa shule ya awali/msingi, mayaya wao au wakufunzi wao? (Hapana.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;a. Je, ni aina gani ya tabia utakayoitarajia? (Tabia ya kisomi! Hiyo ndio sababu tunawapeleka shule.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;2. Je, nini kinatokea kama mtoto mkubwa anakiuka kanuni za shule, yaya au mkufunzi? (Hakitokei kitu chochote – kinachohusiana na nidhamu iliyofundishwa shuleni, na yaya au mkufunzi. Lakini, isipokuwa tu kama hawa walimu hawakuwa na umuhimu wowote, kukiuka kanuni kunaweza kuwa na matokeo ya kivitendo.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;3. Je, tupo chini ya uangalizi wowote sasa? (Kama tuko sahihi kwamba mara zote Mungu alikuwa na sheria na neema mbele za macho ya wanadamu, hiyo inamaanisha mambo kadhaa:&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;a. Mara zote imekuwa ni lengo la Mungu kwa sisi kuelewa kiwango chake, ambacho kinapondaponda mawazo yetu yenye kiburi ili tuweze kufikia kiwango chake; na,&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;b. Kutuelekeza kwenye ahadi yake ya neema (ambayo imeshatimizwa). Kuielewa taswira kamili ndio “uangalizi” wetu wa sasa. Sote tunaelewa kiwango cha Mungu kwa ajili ya maisha yetu, na tunataka kufanya jambo lolote kwa ajili yake kwa sababu ya zawadi yake ya neema.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Rafiki, je, umejawa kiburi kiasi kwamba unaweza kuupata wokovu? Yaani kitu unachoweza kukifanya kitamfanya Mungu akuzawadie thawabu ya milele? Kwa nini usikiri kiburi/majivuno yako hivi leo, na uingie kwenye mahusiano yenye kubadili maisha ukiwa na Mungu?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;VI. Juma lijalo: Kutoka Utumwani Hadi Kuwa Warithi.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/3455255205653026852-4234705622019099849?l=lesoni.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lesoni.blogspot.com/feeds/4234705622019099849/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://lesoni.blogspot.com/2011/11/somo-la-7-njia-ya-kuielekea-imani.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3455255205653026852/posts/default/4234705622019099849'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3455255205653026852/posts/default/4234705622019099849'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lesoni.blogspot.com/2011/11/somo-la-7-njia-ya-kuielekea-imani.html' title='Somo la 7: Njia ya Kuielekea Imani'/><author><name>Lessoni ya Kiswahili</name><uri>http://www.blogger.com/profile/05032927242368522742</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-3455255205653026852.post-8764614131583571797</id><published>2011-10-28T04:08:00.001-07:00</published><updated>2011-10-28T04:11:08.545-07:00</updated><title type='text'>Somo la 6: Kipaumbele (Umuhimu wa) cha Ahadi</title><content type='html'>Somo limetafsiriwa na Mgune Masatu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;(Wagalatia 3:15-20)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Somo hili limetafsiriwa kutoka katika Copr. 2011, Bruce N. Cameron, J.D. Marejeo yote ya maandiko yametoka kwenye tafsiri ya New International Version (NIV), copr. 1973, 1978, 1984 International Bible Society, isipokuwa kama itaelezwa vinginevyo. Nukuu kutoka kwenye tafsiri ya Biblia ya NIV inatumika kwa ruhusa ya Wachapishaji wa Biblia wa Zondervan. Majibu yaliyopendekezwa yanapatikana kwenye parandesi (kwenye mabano). Somo limekaa kimtazamo kwamba mwalimu anatumia ubao au sehemu nyingine yoyote ambayo inaweza kuonekana na wanafunzi. Kama huwa una kawaida ya kupokea somo hili kwa njia ya barua pepe na hukulipata kwa juma moja, unaweza kulipata kwa kubofya kwenye &lt;a href="http://www.lesoni.blogspot.com"&gt;www.lesoni.blogspot.com&lt;/a&gt; kwa lugha ya Kiswahili na &lt;a href="http://www.GoBible.org"&gt;http://www.GoBible.org&lt;/a&gt; kwa lugha ya Kiingereza pamoja na lugha nyingine kama vile Kifaransa, Kijerumani. Omba kwa ajili ya uongozi wa Roho Mtakatifu unapojifunza.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Utangulizi: Je, umewahi kuwa kwenye hali ambapo imani yako inatiwa changamoto na mtu ambaye unadhani kuwa yuko sahihi? Mwanzoni unajisikia kukereka. Kisha unaanza kujisikia vibaya kwamba umekuwa ukikosea. Kisha unaangalia muktadha wote tena ili uwe na uhakika kwamba una mtizamo sahihi. Somo letu la Biblia juma hili linanikumbusha kuhusiana na suala hili. Paulo anatuambia kwa ujasiri kabisa kwamba Abrahamu aliokolewa kwa neema, sio kwa matendo. Lakini, baadaye wapinzani wa Paulo wanaibua hoja nzito: kama mpango wa wokovu ulikuwa ni kupitia imani pekee, kwa nini baadaye Mungu alitupatia Amri Kumi? Je, hiyo ina mantiki gani endapo Amri Kumi sio mpango wa Mungu wa sasa? Hebu tuzame kwenye somo letu la Biblia na tuone kile tunachoweza kukibaini kwamba nani yuko sahihi!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;I. Hoja ya Mkataba&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Juma lililopita tuliishia kwenye somo ambapo Paulo alibainisha kuwa uhusiano wa kuhesabiwa haki kwa imani aliokuwa nao Abrahamu kati yake na Mungu sasa unapatikana kwetu. Habari njema hii! Hebu tuendelee kwa kusoma Wagalatia 3:15. Je, Paulo analeta hoja ya aina gani? (Analeta hoja ya kisheria. Hii ni hoja iliyoelemea kwenye mkataba wa kisheria.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Kwenu wana sheria, je, Paulo anahoji kitu gani? (Mikataba inatekelezwa kama jinsi ilivyoandikwa. Mkataba wa Abrahamu na Mungu (wokovu kwa njia ya imani pekee) ni makubaliano halali yanayotekelezeka.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Je, nadharia ya kisheria ya Paulo iko sahihi? Je, inawezekana kuiweka pembeni mikataba ya kisheria? (Kwa ujumla, hapana. Sio ya kisheria. Kama una mkataba halali na mtu, unaweza kwenda mahakamani kuutekeleza mkataba wako.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Soma Wagalatia 3:16-18. Utabaini kuwa sasa Paulo anakiita kile alichokipokea Paulo kuwa ni “ahadi.” Je, ahadi zinatekelezwa kisheria? (Ni hadi pale utakapozipa umuhimu. Hiyo inamaanisha “ni hadi pale utakapoahidi kubadilishana kitu cha thamani.” Kama ukiahidi kunipatia gari lako, nami nikaahidi kukupatia dola za Marekani 20,000, tuna mkataba unaotekelezeka na sio ahadi isiyotekelezeka.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, kuna umuhimu gani, kama upo, ambao Abrahamu alimpatia Mungu? &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Kwa uhakika kabisa, kuna mjadala mkubwa wa namna ambavyo Paulo anatafsiri ahadi ya Mungu kwa Abrahamu (angalia, kwa mfano, Mwanzo 12:3) na hususan neno “uzao.” “Nitauacha huo mjadala, kwa sababu Paulo anaielezea tena hoja yake kwa njia yenye kuleta ubishani kidogo kwenye mafungu ya 17-18. Je, ni kweli kwamba mkataba wa baadaye haubatilishi makubaliano ya awali? (Ndiyo. Kama wewe na mimi tumekubaliana masharti ya mkataba, unaweza kujitolea kubadili masharti, lakini sio lazima nikubali.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;3. Je, hoja ya kiteolojia ya Paulo ni ipi? (Hoja ni kwamba kama mkataba “uliojadiliwa” na Abrahamu ulikuwa kwamba kama aliamini atapata wokovu, basi Mungu hawezi kubadili huu mkataba baadaye kwa kusema kwamba lazima tuzitii amri ili kuweza kuupata wokovu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;II. Hoja Kinyume na Mkataba&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma Wagalatia 3:19. Hebu tusome “kwa undani zaidi (kupata maana iliyojificha)” na tujaribu kubaini, kwa mujibu wa ukanushi wa Paulo, kile ambacho wapinzani wa Paulo walikuwa wakikihoji. Je, unadhani hoja ya wapinzani wa Paulo iliyokuwa ikipinga hoja ya Paulo ilikuwa ni ipi? (Kama imani ndio ilikuwa makubaliano kati ya Mungu na wanadamu, basi je, ni kwa nini baadaye Mungu alitoa sheria yake?)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, wapinzani wa Paulo wanaleta hoja nzuri ajabu? (Tunaweza kulielewa hili kwa njia mbili. Hivi punde tu tumejadili uelewa wa aina moja -  kama kweli tuna mkataba, kinyume na ahadi tu, tunaweza kutekeleza mkataba halisi dhidi ya Mungu. Njia ya pili ya kuliangalia hili ni kama sheria mpya. Kule Marekani, kama kuna sheria ya zamani na sheria mpya kabisa, na kuna ukinzani kati ya hizo sheria mbili, basi sheria mpya ndio inayotumika (ndio hutawala).)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Hebu tuangalie hii hoja ya pili – kwamba Mungu alitoa sheria baadaye (pale Sinai) iliyobadili sheria ya zamani (aliyopewa Abrahamu). Je, nadharia za kweli zipo sahihi kwa kiasi gani katika hii hoja iliyo kinyume? &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;a. Soma Mwanzo 2:2-3 na Kutoka 20:8-11. Je, amri ya Sabato ilianzia Sinai? (Hapana.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;b. Soma Mwanzo 4:8, Mwanzo 4:10-12 na Kutoka 20:13. Je, uzuiaji wa mauaji ulianzia Sinai? (Hapana.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;3. Je, wapinzani wa Paulo wana tatizo la kweli la wazi kabisa kuhusiana na hoja yao? (Ndiyo. Kama kile kilichotolewa pale Sinai kilikuwepo kabla Abrahamu hajazaliwa, basi hii hoja ina tatizo kubwa sana.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;4. Kumbuka kwamba lazima pawepo na ukinzani kati ya sheria ya zamani na mpya ili sheria mpya iweze kuchukua udhibiti. Je, kuna ukinzani kati ya haki kwa imani na sheria iliyotolewa pale Sinai? &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;a. Kama umejibu kuwa, “ndiyo,” je, dhambi zilisamehewaje katika mfumo wa patakatifu?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;(1) Je, watu walitakiwa kupiga “push-ups” walipotenda dhambi?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;(2) Je, walitakiwa kulipa faini?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;(3) Je, walitakiwa kuahidi kutojihusisha na dhambi hiyo hiyo kwa kipindi cha mwaka mzima? (Hapana. Walitoa kondoo asiye na mawaa. Hii ilikuwa/ni sio “matendo.” Ilirejea makubaliano na Abrahamu na kuangalia mbele kile ambacho Yesu angekifanya ili aweze kutupatia neema kwa ajili yetu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;5. Kama tunaweza kuona hizi dosari kwenye hoja za wapinzani wa Paulo, je, wana hoja yoyote yenye mantiki? (Lazima watakuwa wanahoji, “Kwa nini Mungu aliijali sana sheria mamia ya miaka baada ya kufanya makubaliano ya neema kati yake na Abrahamu?”)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;a. Je, Mungu anatoa jibu gani kwa swali hili? (Wagalatia 3:19 – Kwa sababu ya kiasi cha dhambi (“uvunjaji wa sheria”).)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Hebu turejee nyuma kidogo. Je, unadhani wana wa Israeli walifahamuje kuhusiana na Mungu wao baada ya mamia ya miaka ya utumwa kule Misri? (Huenda hawakufahamu sana. Hii inafanya maoni ya Wagalatia 3:19 isemayo kuwa “makosa ya sheria (uvunjaji wa sheria)” ilete mantiki. Watu wa Mungu sio tu kwamba walikuwa wakitenda dhambi, bali pia hawakuwa na wazo lolote kuhusiana na kiwango cha Mungu cha tabia/mwenendo. Mungu alihitaji watu wake wajue kile alichokichukulia kuwa ni dhambi.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Kama Mungu aliweka mkataba na Abrahamu kwamba aliokolewa kwa neema, pale sheria ya Mungu ilipofahamika na Abrahamu, je, hiyo inasema nini kuhusu uhusiano kati ya imani na sheria? (Inasisitiza wazo la kwamba makubaliano yetu na Mungu ni ya wokovu kwa imani, na sio kwa kuishika sheria. Lakini, pia inasema kitu muhimu kuhusu sheria.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Je, sheria ya Mungu ni muhimu kwake na kwetu? (Ndiyo. Ikiwa neema, bila rejea yoyote kwa sheria, ilikuwa ni mkataba kati ya Abrahamu na Mungu, basi Mungu asingekuwa na haja ya kuanzisha Amri Kumi (na sheria zote zilizosalia) pale Sinai kwa watu ambao hawakujua kitu chochote kuhusiana na sheria.) &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;C. Soma Warumi 3:19-20. Je, fungu hili linakubalianaje na hali ya watu wa Mungu pale Sinai? (Kwa hakika hiki ndicho tulichokuwa tukikijadili! Mungu anatumia sheria yake kutufanya tuwe na utambuzi wa dhambi zetu. Je, tunawezaje kuitambua dhambi bila sheria? Tungekuwa tunajivuna/tunajisifu kuhusu kuhesabiwa kwetu haki kama tusingekuwa na sheria ya kutunyamazisha.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;D. Soma Warumi 3:21-24. Je, tunakuwaje wenye haki? (Kwa imani katika Yesu. Kwa kumwamini Yesu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;E. Soma Warumi 3:25-26. Je, patakatifu pa Agano la Kale pana sehemu gani katika hili? (Paulo anatumia taswira ya mfumo wa kafara kuelezea kazi ya Yesu. Huu ndio umoja tunaouona pale Sinai, sio mtafaruku ambao ungehitaji kuusema “Mungu alianzisha sheria mpya pale Sinai iliyo juu ya makubaliano ya zamani ya neema na Abrahamu.”)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;III. Mjumbe (Mpatanishi)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Hebu turejee kwenye Wagalatia 3. Soma tena sehemu ya mwisho ya Wagalatia 3:19 na uongezee Wagalatia 3:20. Tunaona neno jingine la kisheria: “mjumbe.” Je, mjumbe ni nani? (Sio mwanasheria anayewakilisha upande mmoja. Badala yake, mjumbe anapaswa kufanya kazi na pande zote mbili ili kufikia muafaka wa ugomvi/mgongano kati ya pande mbili. Kuzifanya pande zote mbili zifikie suluhisho/muafaka.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Hii inamaanisha kuwa mjumbe (mpatanishi) pamona na malaika wanaiweka mbele sheria. Je, sheria inaenenda kama mjumbe kati ya Mungu na wanadamu?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;a. Je, sheria imemfanyia nini Mungu?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;b. Je, uelewa wetu wa sheria umetufanyia kitu gani? (Maoni mbalimbali yanatofautiana kuhusu kile ambacho fungu la 20 linamaanisha. Maoni ya jumla ni kwamba Musa anachukuliwa kama “mjumbe (mpatanishi).” Lakini, ninaona kwamba sheria inafanya kazi kama mjumbe nyakati mbili muhimu tofauti kutuweka pamoja na Mungu. Kwanza,  sheria inatuonyesha upendo wa Mungu. Mungu alitufilia ili kutimiza matakwa ya sheria. Pili, sheria ni kiwango – kiwango tusichoweza kukifikia. Sheria inatufanya tuikubali kafara ya neema ya Yesu – ikiwa ni shukrani kwa Mungu, na kutokujiweza kwetu mbele ya sheria. Je, nini kinaweza kutuleta karibu na Mungu zaidi ya hicho?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;c. Je, sheria inaathirije mtazamo wetu dhidi ya utii? (Yesu anasema, “Mkinipenda, mtazishika amri zangu.” Yohana 14:15. Kwa hakika huu ni ukweli mtupu! Kama tunaiheshimu kafara ya Yesu, tunaona kwamba sheria lazima itakuwa ni ya muhimu sana kwa Mungu. Vinginevyo, Mungu angeipuuza sheria na kumwokoa Yesu kutoka katika kifo cha kutisha. Upendo wa Mungu katika kukazia kutimiza matakwa kunatusaidia kuitikia kwa upendo kwa kudhamiria kwamba tutaishi, kwa uwezo wa Roho Mtakatifu, maisha yanayompendeza Mungu. Sasa tunaweza kuona (Wagalatia 3:20) kwa nini “Mungu ni mmoja,” kwenye mfumo wake kwa sababu wokovu ni “mmoja.”)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Rafiki, kama bado hujakubali kikamilifu kuhesabiwa haki kwa imani pekee, je, utaikubali sasa hivi? Kwa nini usimwombe Yesu akusamehe dhambi zako, na akuokoe kwa neema yake?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;IV. Juma lijalo: Njia ya Kuielekea Imani.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/3455255205653026852-8764614131583571797?l=lesoni.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lesoni.blogspot.com/feeds/8764614131583571797/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://lesoni.blogspot.com/2011/10/somo-la-6-kipaumbele-umuhimu-wa-cha.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3455255205653026852/posts/default/8764614131583571797'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3455255205653026852/posts/default/8764614131583571797'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lesoni.blogspot.com/2011/10/somo-la-6-kipaumbele-umuhimu-wa-cha.html' title='Somo la 6: Kipaumbele (Umuhimu wa) cha Ahadi'/><author><name>Lessoni ya Kiswahili</name><uri>http://www.blogger.com/profile/05032927242368522742</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-3455255205653026852.post-7816560937816435913</id><published>2011-10-21T12:06:00.000-07:00</published><updated>2011-10-21T12:11:59.852-07:00</updated><title type='text'>Somo la 5: Imani Katika Agano la Kale</title><content type='html'>Somo Limetafsiriwa na Mgune Masatu&lt;br /&gt;&lt;a href="http://www.GoBible.org"&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;(Wagalatia 3:1-14)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Somo hili limetafsiriwa kutoka katika Copr. 2011, Bruce N. Cameron, J.D. Marejeo yote ya maandiko yametoka kwenye tafsiri ya New International Version (NIV), copr. 1973, 1978, 1984 International Bible Society, isipokuwa kama itaelezwa vinginevyo. Nukuu kutoka kwenye tafsiri ya Biblia ya NIV inatumika kwa ruhusa ya Wachapishaji wa Biblia wa Zondervan. Majibu yaliyopendekezwa yanapatikana kwenye parandesi (kwenye mabano). Somo limekaa kimtazamo kwamba mwalimu anatumia ubao au sehemu nyingine yoyote ambayo inaweza kuonekana na wanafunzi. Kama huwa una kawaida ya kupokea somo hili kwa njia ya barua pepe na hukulipata kwa juma moja, unaweza kulipata kwa kubofya kwenye &lt;a href="http://www.lesoni.blogspot.com"&gt;www.lesoni.blogspot.com&lt;/a&gt; kwa lugha ya Kiswahili na &lt;a href="http://www.GoBible.org "&gt;http://www.GoBible.org &lt;/a&gt;kwa lugha ya Kiingereza pamoja na lugha nyingine kama vile Kifaransa, Kijerumani. Omba kwa ajili ya uongozi wa Roho Mtakatifu unapojifunza.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Utangulizi: Je, umewahi kusumbuka kichwani mwako kuhusiana na swali la kwa nini Mungu anasema “Kwa kuwa mimi Bwana sina kigeugeu” (Malakai 3:6), lakini, inaonekana kwamba Mungu wa Agano la Kale ni tofauti sana na Mungu wa Agano Jipya? Mwonekano wa “Ahadi ya Kale” na “Ahadi Mpya” kwa hakika unaonekana kama una mabadiliko. Mungu amebadili vigezo vya uhusiano wetu! Paulo anatoa hoja kwamba Mungu hajabadili jinsi anavyowasiliana na wanadamu – na njia hiyo ni ya kuhesabiwa haki kwa aimani. Hebu tuzame kwenye somo letu la Wagalatia 3 na kujifunza zaidi!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;I. Aliyerogwa!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma Wagalatia 3:1. Chukulia kwamba umekaa pembeni ukimsikiliza Paulo akisema maneno haya kwa Wagalatia. Je, wamedharauliwa?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Kama ndivyo, kwa nini? (Paulo anasema kuwa wanaenenda kama watu “waliorogwa” na kama wale walio chini ya ushawishi wa mwovu. “Enyi waovu msio na akili (wapumbavu).)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Je, hivi ndivyo ambavyo Paulo anapaswa kuzungumza na wale ambao hivi leo wanaamini kuwa wanaweza kuokolewa kwa matendo yao wenyewe?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Ninasita kuwaita washiriki wenzangu wa kanisa kuwa “waovu wasio na akili (wapumbavu),” kwa hiyo lazima Paulo atakuwa alikuwa na sababu nzuri ya kuwaita kuwa wapumbavu. Je, ni sababu gani anayoitoa katika Wagalatia 3:1? (Walimwona akielezea kuhusu Yesu kusulubiwa.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Tafakari kuhusu jambo hili. Kwa nini kusulubiwa kwa Yesu kunawafanya Wagalatia kuwa wapumbavu? Au, kuwa wenye mapepo? (Kwa nini Mungu afe kifo cha uchungu mikononi mwa uumbaji wake? Dhana hii ni ya kipuuzi kama inavyoonekana. Ni pale tu unapoona kuwa tulisulubiwa pamoja na Yesu (Wagalatia 2:20) ili kukamilisha matakwa ya sheria, ndivyo inavyoonekana kuwa ni upuuzi na kama kuwa na mapepo kufikiria kuwa juhudi zetu zina maana.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Hebu tutumie mfano. Unatengeneza sanamu kutoka kwenye kipande cha mti, na kisha unailetea sadaka kila asubuhi ili iweze kukusamehe dhambi zako. Je, huo ni upumbavu? (Ndiyo! Kwa sababu wewe ndiye umeitengeneza sanamu hiyo.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;a. Je, hiyo ni sawa na kuwa na mapepo? (Shetani anataka tupuuze au tusiamini kwamba Yesu alikufa kwa ajili ya dhambi zetu. Kwa hiyo, ni kweli, haya ni mapepo – hususan kwa vile yanatufanya tudai kuwa tunafanya kazi ya Mungu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;C. Soma Wagalatia 3:2-5. Sawa, Paulo anasema kuwa, enyi watu wapumbavu, nina swali moja kwenu. Sasa tunaona kuwa lazima Paulo awe ni mwanasheria, kwa sababu “neno lake moja tu” linazaa maswali kadhaa! Maswali ambayo angependa kupata majibu ya kiuerevu!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;1. Je, Roho Mtakatifu anakuja kwa kuitii sheria au kwa kuamini katika kile alichokisema Yesu?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;a. Hebu ngoja niulize swali langu mwenyewe hapa. Je, Roho Mtakatifu yu maishani mwako? Kama sivyo, je, inawezekana ni kwa sababu unatumia njia mbaya?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Baada ya kumpata Roho Mtakatifu maishani mwako ili akuongoze, je, unadhani kwamba unaweza kufanya kazi nzuri ya kujiongoza mwenyewe?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;3. Kama umeteswa kwa sababu ya imani yako, je, unataka kuitupilia mbali?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;4. Je, unaona miujiza maishani mwako kwa sababu ya kuitii sheria, au kwa sababu ya uwezo wa Mungu unaofanya kazi kupitia kwenye imani?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;a. Hebu ngoja niulize maswali kadhaa hapa. Je, unaiona miujiza maishani mwako? Kama sivyo, je, inawezekana ni kwa sababu unatumia njia mbaya?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;b. Unapozungumza na watoto wako, je, unaizingatia zaidi sheria au unamzingatia Roho Mtakatifu?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;(1) Kama una watoto walio katika umri wa kubalehe, jaribu kukaa nao na kuwauliza haya maswali na jinsi watakavyoyajibu na wanadhani kuwa wewe utajibuje.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;(2) Kama hauoni miujiza maishani mwa wanao, je, ni kwa sababu umekuwa ukiivunja sheria badala ya uwezo na neema ya Mungu? (Najua kwamba nimekuwa nikiwaambia wanangu mara zote kwamba “wawe watiifu!” Baba yangu alikuwa akisema “Ninyi ni wana wa Don Cameron, mwenende kama yeye!”)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;5. Maswali manne yaliyopita niliyoyanukuu kutoka kwa Paulo ni maswali yasiyohitaji majibu – ikimaanisha kwamba ni maswali ya wazi kabisa yakiwa na majibu ya dhahiri. Mtu anayeuliza swali lisilohitaji jibu hahitaji jibu lako, anakutaka wewe uone dhana ya dhahiri kabisa. Je, dhana ya wazi ya Paulo ni ipi? (Uwezo wa Mungu, na kutoishika sheria, ndio chanzo cha maisha mazuri ya Mkristo.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;D. Hebu tusimame kidogo na kupitia hoja za Paulo za kuhesabiwa haki kwa imani. Hoja yake katika sura ya kwanza ni kwamba Yesu alimpatia yeye ujumbe wa kuhesabiwa haki kwa imani pekee moja kwa moja. Madai yake katika sura ya pili ni kwamba viongozi wa kanisa walikubaliana naye, ingawaje kuuweka ujumbe wake kivitendo ilichukua muda, na baadhi yao, kama vile Petro, mara kadhaa walitoka nje ya msitari. Hoja yake mwanzoni mwa sura ya tatu ni kuangalia jinsi Mungu anavyofanya kazi maishani mwetu wenyewe.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;II. Mfano wa Ibrahimu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma Mwanzo 12:1-3. Je, wajibu wa Abramu katika historia ya sayari yetu ni upi? (Yeye ndiye mwanzo wa kundi maalum la watu ambao kupitia kwao Mungu alikuwa amepanga kuwabariki watu wote wa dunia.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;B. Soma Wagalatia 3:6. Je, kwa nini Mungu anamgeukia Paulo kama mfano? (Paulo anasema kwamba tangu mwanzo kabisa mwa mahusiano maalum ya Mungu na kundi maalum la watu (kwa lengo la kuhamasisha mapenzi ya Mungu), kuhesabiwa haki kwa imani ndio ilikuwa kanuni.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;C. Hebu tuangalie kisa hiki kidogo. Soma Mwanzo 15:1-6. Je, hiki ni kisa kuhusu Uungu (Umungu)? Kuhusu haki? (Mungu alimwambia Abramu (Mwanzo12:3) kwamba ndiye atakayekuwa chombo ambacho kupitia kwacho dunia yote itabarikiwa. Sehemu ya mustakabali kwa ajili ya hili ilikuwa (Mwanzo 12:2) kwamba Abramu atakuwa na wazao wengi. Kama Mungu alikwambia kuwa utakuwa na kanisa kubwa kabisa kupita yote katika maeneo yanayokuzunguka, na kanisa hilo kubwa ndilo litakuwa chanzo cha mibaraka kwa ajili ya jamii inalolizunguka, je, ungefanyaje?? (Ningeanzisha kanisa!)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Kwa nini hilo halitendeki kwa Abramu? (Huenda Abramu anafanyia kazi suala la kupata mtoto. Lakini, suala la msingi ni kwamba Abramu lazima kwanza amwamini Mungu ili kufanya jambo hilo litokee. Lazima atambue kwamba hii ni kazi ya Mungu na wajibu wa Mungu. Abramu hana uwezo wake binafsi kufanya jambo hilo. Kwa hakika, pale ambapo Abramu na Sarai wanafanya mpango wa kutekeleza suala hili kwa uwezo wao wenyewe (Mwanzo 16), inakuwa balaa -yaani mambo yanakuwa magumu/yanaharibika.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Je, kisa hiki cha Abramu kinatusaidia tuelewe vizuri zaidi suala la kuhesabiwa haki kwa imani? (Mungu hatwambii tulale kwenye maisha yetu ya Ukristo. Anatuambia  tuwe na imani naye. Hii ni kazi yake. Ni Roho wake. Hatuwezi kuifanya sisi wenyewe.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;D. Soma Wagalatia 3:7-9. Je, Ibrahimu, baba wa watu wa jamii ya Kiyahudi, ni baba yetu pia? (Hii ndio hoja ya Paulo iliyounganishwa. Mungu wa Agano la Kale ana hii njia isiyobadilika kwa wanadamu. Mtazamo wa watu wake maalum umepanuka – Mungu asifiwe kwa kuwaunganisha watu wa mataifa na watu wake maalum – lakini mpango wa msingi haujabadilika!)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;III. Laana&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma Wagalatia 3:10. Sijui wewe unasemaje, lakini mimi huwa ninakuwa na wasiwasi pale watu wanapoanza kutoa laana. Je, kwa nini watunza sheria sana hawakosei tu? Kwa nini wanalaaniwa? (Soma Kumbukumbu la Torati 27:26. Kama kuitunza Sabato, kuachana na vitendo vya wizi, mauaji, tamaa, na uzinzi ndivyo msingi wako wa wokovu, basi wewe umelaaniwa. Kwa nini? Kwa sababu huwezi kuyafanya mambo haya. Kama ukisema kwamba kufanya jambo lolote kati ya haya ni muhimu kwa ajili ya wokovu, basi umejihukumu wewe mwenyewe!)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Soma Wagalatia 3:11-12. Je, wenye haki wanaishi kutokana na utii wa sheria? (Hapana. Wanaishi kwa haki kwa imani.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;C. Yote haya yananifanya nitahayari. Sitaki kulaaniwa, lakini ninaiangalia sheria kwa ukaribu sana. Kumbukumbu la Torati 6:8 inasema “zifunge [amri] juu ya mkono wako.” Hivi karibuni nimeanza kuvaa kikuku/bangili mkononi mwangu ambayo ina Amri Kumi. Soma Wagalatia 3:13. Je, ni kwa nini ni lazima tusiegemee kwenye utii wa sheria ili tuweze kuokolewa? (Yesu tayari alikwishafanya hivyo kwa ajili yetu. Yesu alilaaniwa ili kwamba tusiweze kulaaniwa kwa kushindwa kwetu kuitii sheria. Sio hivyo tu, Yesu alilipa adhabu kwa ajili ya laana yake – na kwa hiyo kwa ajili ya laana yetu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;IV. Utaratibu Mpya na wa Zamani&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;A. Soma Wagalatia 3:14. Je, tunapaswa kuwa na wasiwasi kuhusiana na kutunza sheria (ikijumuisha Amri Kumi)? (Hapana. Badala yake, lazima tuwe na Roho Mtakatifu anayeishi maishani mwetu!)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Kama wewe pia unatahayari sasa hivi, basi utabaini kwamba hali iyo hiyo inamkabili Ibrahimu. Je, Ibrahimu anapaswa kuwa na wasiwasi kuhusu kuwa na wazao wengi? Je, alipaswa kuwa na wasiwasi kuhusu Yesu kuzaliwa kutoka katika mmojawapo wa wazao wake? (Hapana! Kile ambacho Mungu alimtaka Abrahamu afanye ni kumtumainia yeye. Kumwamini yeye.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Je, kuna kitu chochote kilichobadilika kwenye uhusiano kati ya wanadamu na Mungu? (Hakuna kilichobadilika tangu enzi za Ibrahimu! Ibrahimu aliamini katika ahadi – ambayo ilijumuisha Yesu kuja kuchukua nafasi yetu. Tunaamini kwamba ahadi imetimizwa na tunaipokea/tunaikubali zawadi hiyo kwa imani.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Rafiki, je, utakaa mbali na laana, na kuitegemea haki pekee inayokujia kwa imani katika Yesu?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;V. Juma lijalo: Kipaumbele (Umuhimu) cha Ahadi.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/3455255205653026852-7816560937816435913?l=lesoni.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lesoni.blogspot.com/feeds/7816560937816435913/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://lesoni.blogspot.com/2011/10/somo-la-5-imani-katika-agano-la-kale.html#comment-form' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3455255205653026852/posts/default/7816560937816435913'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3455255205653026852/posts/default/7816560937816435913'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lesoni.blogspot.com/2011/10/somo-la-5-imani-katika-agano-la-kale.html' title='Somo la 5: Imani Katika Agano la Kale'/><author><name>Lessoni ya Kiswahili</name><uri>http://www.blogger.com/profile/05032927242368522742</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-3455255205653026852.post-4851955317083883239</id><published>2011-10-16T23:06:00.000-07:00</published><updated>2011-10-16T23:08:45.500-07:00</updated><title type='text'>Somo la 4: Kuhesabiwa Haki kwa Imani Pekee</title><content type='html'>Somo limetafsiriwa na Mgune Masatu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;(Wagalatia 2:15-21)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Somo hili limetafsiriwa kutoka katika Copr. 2011, Bruce N. Cameron, J.D. Marejeo yote ya maandiko yametoka kwenye tafsiri ya New International Version (NIV), copr. 1973, 1978, 1984 International Bible Society, isipokuwa kama itaelezwa vinginevyo. Nukuu kutoka kwenye tafsiri ya Biblia ya NIV inatumika kwa ruhusa ya Wachapishaji wa Biblia wa Zondervan. Majibu yaliyopendekezwa yanapatikana kwenye parandesi (kwenye mabano). Somo limekaa kimtazamo kwamba mwalimu anatumia ubao au sehemu nyingine yoyote ambayo inaweza kuonekana na wanafunzi. Kama huwa una kawaida ya kupokea somo hili kwa njia ya barua pepe na hukulipata kwa juma moja, unaweza kulipata kwa kubofya kwenye &lt;a href="http://www.lesoni.blogspot.com"&gt;www.lesoni.blogspot.com&lt;/a&gt; kwa lugha ya Kiswahili na &lt;a href="http://www.GoBible.org"&gt;http://www.GoBible.org&lt;/a&gt; kwa lugha ya Kiingereza pamoja na lugha nyingine kama vile Kifaransa, Kijerumani. Omba kwa ajili ya uongozi wa Roho Mtakatifu unapojifunza.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Utangulizi: Hebu tupitie kile tulichokwishajifunza hadi hivi sasa kwenye somo letu la barua ya Paulo kwa Wagalatia. Paulo ana ujumbe maalum wa injili alioupokea moja kwa moja kutoka kwa Yesu. Viongozi wa kanisa la awali waliamini jambo hili, lakini palikuwepo na mpambano mkali katika kanisa la Galatia, na miongoni mwa waumini wa mwanzo, juu ya huo ujumbe na matakwa ya injili. Juma hili Paulo anaelezea ujumbe wake wa injili. Tunapojifunza ujumbe huo, tunahitaji kujiuliza kama bado linakubalika miongoni mwa Wakristo? Je, bado linakubalika mawazoni mwetu wenyewe? Hebu tuzame kwenye somo letu na kuchunguza tena kiini cha ujumbe wa injili!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;I. Ujumbe wa Injili wa Paulo&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma Wagalatia 2:15-16. Je, kuitii sheria kuna wajibu gani katika wokovu wetu? (Hakuna wajibu wowote. “Kwa kuitii sheria hakuna mtu hata mmoja atakayehesabiwa haki.”)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, huu ndio ujumbe ambao viongozi wa juu wa kanisa waliukubali? (Ndiyo. Inawezekana ilikuwa vigumu kukubaliana nao (angalia safari ya Petro pale ambapo Wayahudi kutoka kwenye ofisi yake ya nyumbani walipowasili Galatia), lakini hiyo ndio teolojia ambayo viongozi waliikubali.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Je, Paulo anaandika kuhusu “sheria’ipi? Amri Kumi? Sheria ya mapokeo? Maandiko yote ya Musa? (Haijalishi ni kwa namna gani sheria inavyotafsiriwa kama kuishika sheria hiyo hakutupatii wokovu. Kama wokovu ni suala la imani pekee, basi matakwa yoyote utakayojaribu kuyaongezea ni kinyume na ujumbe wa injili.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;II. Tatizo la Wazi la Ujumbe wa Injili ya Paulo&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma Wagalatia 2:17. Hili ni swali la msingi ambalo ni la muhimu sasa kama ilivyokuwa katika kipindi kile – “Je, haki kwa imani pekee inahamasisha dhambi?” “Je, unawezaje kuwaambia watu kwamba sheria haijalishi tena – watakasirika!” Je, Paulo anatoa jibu gani? (Hapana, watu hawapaswi kukasirika. Injili ya haki kwa imani pekee haihamasishi dhambi.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, vipi kama swali katika fungu la 17 lingeulizwa kwako, je, ungelijibuje? Je, ni dhahiri kwako kwamba wakati ambapo ukitafuta kuhesabiwa haki kwa imani kuwa wewe ni mdhambi? (Kwangu mimi hiyo ni dhahiri.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Je, umejiingiza kwa Wakristo wanaosema kwamba wako huru dhidi ya dhambi? &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Kama hivyo ndivyo, je, walikuwa mawakili mahiri wa haki kwa imani? (Nawakumbuka watu wawili walioniambia kwamba walidhani kwamba walikuwa wanafanya vyema kwenye suala la kuitii sheria. Mmoja alidai kutokuwa na dhambi kwa muda wa miaka miwili. Hukumu yangu ilikuwa kwamba waliamini kuwa utii ulikuwa ni muhimu kwa ajili ya wokovu.)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Angalizo langu kwamba wale wanaodhani kuwa wao ni wema sana pia wanaamini katika kuitunza sheria ili waweze kuokolewa sio suala la kisayansi. Lakini, kama umeona jambo hilo hilo, kwa nini unadhani kwamba watu wanaoamini kuwa wao ni watiifu wanaamini utii wao ni muhimu kwa wokovu? &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;a. Na kama hili ni kweli, basi inaonekana kwamba wokovu kwa matendo unahamasisha utii, sawa?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;C. Soma Wagalatia 2:18-19. Kwa nini Paulo anahoji kwamba haki kwa imani pekee haihamasishi uvunjaji wa sheria (haihamasishi dhambi)? (Yesu alipokufa badala yetu kwa ajili ya dhambi zetu, nasi pia tulikufa katika sheria. Kwa hiyo, sheria haituhukumu tena. Lakini, kama tukiijenga upya sheria – katika hilo Paulo anamaanisha kuwa kama tunaamini kwamba utii wa sheria ni muhimu kwa ajili ya wokovu, basi dhambi zetu zipo dhidi yetu na tunaikiuka sheria.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Hebu tuliangalie hili tena. Paulo anasema kuwa shtaka dhidi ya teolojia yangu ni kwamba linahamasisha ukiukwaji wa sheria. Lakini, Paulo anadai kuwa kinyume chake ndio ukweli halisi. Wale wanaosema kwamba kuishika sheria ni muhimu kwa ajili ya wokovu wanawafanya wavunja sheria kuwa nje kabisa ya kila mtu – hata kwa Wakristo wenye kumcha Mungu kwa dhati kabisa!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;a. Je, huu ni “ujanja/werevu” mkubwa? Je, hoja ya Paulo ni kama ujanja wa mikono (kimiujiza)? Kama tukibatilisha sheria ya kudhibiti mwendokasi, basi hakuna hata mmoja kati yetu atakuwa mwenye kuendesha kwa mwendo wa kasi. Kama tukitekeleza sheria ya kutokwenda mwendo wa kasi, basi sisi sote ni waendeshaji wa mwendo wa kasi. Kubatilisha sheria ya kuendesha kwa mwendo wa kasi kunatufanya sisi sote tuwe wananchi tunaofuata/tunaozingatia sheria!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;D. Soma Wagalatia 2:20-21. Kama swali langu la mwisho linakuletea shida akilini mwako, elezea ni kwa vipi kuifuta sheria ikiwa kama chanzo cha wokovu hutoa watu wakamilifu zaidi? (Paulo anatuambia kuwa kama vile tulivyokufa pamoja na Yesu katika mauti yake, ndivyo vivyo hivyo tunapaswa kuishi pamoja na Yesu kwenye maisha yake ya ufufuo. “Tunaishi kwa ajili ya Mungu” na “Kristo anaishi ndani yangu.”)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Hili linaonekana kama suala dhahania (la kuwazika tu). Hebu tuseme kwamba kesho mimi “nikiwa mfu” nitazishika sheria zote na alama za barabarani. Marehemu hajui kitu chochote. Kwa hiyo, sijui kitu chochote kuhusiana na sheria za barabarani. Je, hiyo itanifanyaje mimi kuwa dereva makini na mzuri zaidi? (Kwa hakika, haitafanya hivyo.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Vipi kama nikiongezea ukweli kuwa mtu aliyesanifu sheria zote za barabarani “anaishi ndani yangu.” Je, nitakuwa dereva wa aina gani? (Kama nilijazwa ujasiri na roho ya mtu aliyekuwa msanifu mahiri wa barabara, sheria za barabarani na alama za barabarani, ningekuwa na uelewa mzuri wa namna ya kuendesha. Nadhani hicho ndicho anachotufundisha Paulo.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;E. Hebu turejee kwenye Wagalatia 2:19 na tuchunguze zaidi kauli inayosema “kuifilia sheria” kwa undani zaidi. Je, inamaanisha nini “kuifilia sheria?” Je, inamaanisha kuwa hatuijali? Yaani tunaishi kana kwamba haipo?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;a. Wagalatia 2:20 inasema “Nimesulubiwa pamoja na Kristo.” Kwa nini Yesu alikufa? (Alikufa ili alipe adhabu ya kuikiuka sheria. Hii inamaanisha kuwa sisi pia tulikufa pamoja na Yesu (“tulisulubiwa pamoja na Kristo”) kwa kuikiuka sheria.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;(1) Je, ni kwa namna gani niliifilia sheria? (Niliifilia hukumu ya sheria. Niliifilia adhabu kwa kuikiuka sheria.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;b. Je, hiyo inamaanisha kuwa hatuijali tena sheria? (Hapana. Mungu ndiye aliyeiandika sheria. Sheria ni nzuri. Hata hivyo, haitishii tena kwa maana kwamba kama nisipoitii nitakufa. Tayari nimekwishaifilia sheria kupitia kwa Yesu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;F. Hebu turejee kwenye swali langu la msingi linalohusiana na masuala ya barabarani. Utakumbuka kwamba niliuliza kuwa kama sheria zote za barabarani zitabatilishwa, je, hiyo inamaanisha kuwa hakuna hata mmoja wetu ambaye atakiuka sheria za mwendokasi? Nadhani Paulo anasema kitu fulani tofauti kidogo: Yesu alilipa adhabu kwa ajili ya adhabu zote za ukiukaji wa sheria za barabarani. Kwa hiyo, sheria hizo hazitufanyi kuwa watunza sheria. Kinachotufanya tuwe watunza sheria ni kuwa na mbunifu wa barabara na mtoa sheria za usalama barabarani waishi akilini mwetu!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;G. Soma Warumi 6:5-7. Kwa mara nyingine tena Paulo anarejea kwa sisi kufa pamoja na Yesu pale alipokufa kwa ajili ya dhambi zetu. Hata hivyo, anaongezea kitu fulani zaidi ya “adhabu kulipiwa” kwa ajili ya ukiukwaji wa sheria. Je, anaongezea kitu gani? (Anasema kwamba “hali yetu ya kale” ilikufa “ili kwamba mwili wa dhambi uweze kupotea.”)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, unadhani inamaanisha nini kwa miili yetu ya dhambi kufa? (Hii inamaanisha kuwa matamanio yetu ya kale ya kutenda dhambi yanakufa.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;a. Anachokiandika Paulo hapa kinaonekana kuwa cha dhahiri kabisa, inachokifanya kisiwe cha dhahiri ni kwamba ninajua matamanio yangu ya kale yako hai. Je, nini kimetokea? Au, je, mimi ni Mkristo masikini tu? (Pitia kwa haraka haraka Warumi 7:14-24. Paulo ana uzoefu ule ule nilio nao mimi.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;b. Ni kwa jinsi gani “hali yako ya kale inaweza kufa” na bado ukaendelea kuwa na mpambano ambao Paulo anauelezea? (Hebu tuliangalie hilo fungu.) &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;III. Kuishi kwa Uwezo wa Roho wa Mungu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma Warumi 7:4. Kama tumeifilia sheria, je, lengo maishani mwetu ni lipi? (Tupate “kuwa mali” ya Yesu kusudi “tumzalie Mungu matunda.”)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Soma Warumi 7:5-6. Sheria pamoja na mambo ya asili ya zamani vinahamasisha tamaa za dhambi. Je, ni kwa jinsi gani Roho Mtakatifu anabadili hilo?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;C. Soma Warumi 6:11-14. Je, hili linasema nini kuhusiana na dhana kwamba Roho Mtakatifu anaweza kutusaidia kuishi? (Kujitoa kwetu kwa Mungu lazima imaanishe kuwa tunamwambia Mungu “mimi hapa, naomba unisaidie kuishi maisha yanayokupendeza wewe!”)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;D. Soma Warumi 8:5-9. Je, hii inapendekeza kuwa tuishije? (Kwa mara nyingine tena, Paulo anatuambia kuwa lazima tufanye uchaguzi wa kuyafanya yale ambayo Roho Mtakatifu anayatamania.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;E. Mjadala wetu unaonekana kuwa wa kuwazika sana. Hebu tuangalie maoni ya Yesu yanayoweza kutusaidia. Soma Mathayo 5:27-28. Je, ni kwa namna gani mtu anayeamini katika kuhesabiwa haki kwa matendo ataenenda ili aweze kuitunza amri hii? (Kutokufanya ngono nje ya ndoa.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;1. Kwa mtazamo mwingine, Yesu anaifanya amri kuwa mbaya zaidi kwa watunza sheria – anasema kuwa pia unatakiwa kudhibiti mawazo yako ili uweze kuepuka kuikiuka hii amri, sawa?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Je, Paulo anatuambia kuwa Yesu anafundisha kitu gani? (Kama unataka kutembea na Mungu, usijimakinishe kwenye amri iliyo kinyume na uzinzi, badala yake, makinika kwenye mtazamo wa akili yako. Mwombe Roho Mtakatifu akusaidie uielekeze akili yako kwenye kile ambacho Roho Mtakatifu anakitamania kwa ajili yako.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;3. Je, huku kutembea katika Roho Mtakatifu ni muhimu kwa ajili ya wokovu? (Soma Warumi 5:19. Hapana. Ni maisha makamilifu ya Yesu pekee ndio yanayotufanya kuwa wenye haki. Hata hivyo, kuishi katika Roho ni matamanio ya wale wanaookolewa.) &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;F. Sasa unajua kwa nini Petro alisema (juma lililopita) kwamba ni vigumu kumwelewa Paulo kwa nyakati fulani! Rafiki, je, utatubu dhambi zako na kudhamiria hivi leo kumwomba Roho Mtakatifu kila asubuhi ili akusaidie uielekeze akili yako kuishi kwa mujibu wa maelekezo ya Roho wa Mungu, na sio kuielekeza akili yako kwenye asili yako ya dhambi?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;IV. Juma lijalo: Imani Katika Agano la Kale.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/3455255205653026852-4851955317083883239?l=lesoni.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lesoni.blogspot.com/feeds/4851955317083883239/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://lesoni.blogspot.com/2011/10/somo-la-4-kuhesabiwa-haki-kwa-imani.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3455255205653026852/posts/default/4851955317083883239'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3455255205653026852/posts/default/4851955317083883239'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lesoni.blogspot.com/2011/10/somo-la-4-kuhesabiwa-haki-kwa-imani.html' title='Somo la 4: Kuhesabiwa Haki kwa Imani Pekee'/><author><name>Lessoni ya Kiswahili</name><uri>http://www.blogger.com/profile/05032927242368522742</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-3455255205653026852.post-8199373550759007155</id><published>2011-10-07T02:21:00.000-07:00</published><updated>2011-10-07T02:24:54.292-07:00</updated><title type='text'>Somo la 3: Umoja Katika Injili</title><content type='html'>Somo limetafsiriwa na Mgune Masatu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;(Wagalatia 2:1-14)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Somo hili limetafsiriwa kutoka katika Copr. 2011, Bruce N. Cameron, J.D. Marejeo yote ya maandiko yametoka kwenye tafsiri ya New International Version (NIV), copr. 1973, 1978, 1984 International Bible Society, isipokuwa kama itaelezwa vinginevyo. Nukuu kutoka kwenye tafsiri ya Biblia ya NIV inatumika kwa ruhusa ya Wachapishaji wa Biblia wa Zondervan. Majibu yaliyopendekezwa yanapatikana kwenye parandesi (kwenye mabano). Somo limekaa kimtazamo kwamba mwalimu anatumia ubao au sehemu nyingine yoyote ambayo inaweza kuonekana na wanafunzi. Kama huwa una kawaida ya kupokea somo hili kwa njia ya barua pepe na hukulipata kwa juma moja, unaweza kulipata kwa kubofya kwenye &lt;a href="http://www.lesoni.blogspot.com"&gt;www.lesoni.blogspot.com&lt;/a&gt; kwa lugha ya Kiswahili na &lt;a href="http://www.GoBible.org"&gt;http://www.GoBible.org&lt;/a&gt; kwa lugha ya Kiingereza pamoja na lugha nyingine kama vile Kifaransa, Kijerumani. Omba kwa ajili ya uongozi wa Roho Mtakatifu unapojifunza.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Utangulizi: Juma lililopita tulijifunza kwamba Paulo alikuwa na madai ya kushangaza kuhusiana na chanzo cha ujumbe wake. Alidai kwamba Yesu mwenyewe ndiye aliyemfundisha, na kwamba hakuna mtu mwingine yeyote yule aliyewajibika kwa ujumbe aliokuwa akiutangaza. Tulipochunguza suala hili, tulijifunza kwamba Luka na Petro waliyaamini madai na fikra za Paulo kwamba Paulo alikuwa anashiriki nao ujumbe alioujifunza moja kwa moja kutoka kwa Mungu. Juma hili tunaendeleza mjadala kuhusu kama Paulo ana ujumbe unaotofautiana na ule wa viongozi wengine wa kanisa la awali. Je, umoja ni muhimu? Je, suala la kutokukubaliana kanisani ni jambo jema? Je, tunapaswa kuwa na “Wakristo” na “akina Paulo?” Au, je, injili ya haki kwa imani ni ujumbe unaounganishwa wa kanisa la Mungu? Hebu tuzame kwenye somo letu la Wagalatia na kujifunza zaidi!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;I.  Safari ya Kurejea/Kurudi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma Wagalatia 2:1-2. Kumbuka kwamba katika sura ya kwanza ya Wagalatia Paulo anasema kwamba alikwenda Yerusalemu kuwatembelea Petro na Yakobo. Paulo sasa anarejea. Kwa nini? (Mungu alimwambia arudi. Anasema ilikuwa ni “jibu la kufunuliwa.”)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, unadhani lengo la Mungu lilikuwa ni lipi kwa kumtaka Paulo arejee kwenye “ofisi ya nyumbani?” (Utagundua kuwa Paulo anasema kwamba “aliwaeleza injili ile aihubiriyo katika Mataifa.” Lazima Mungu atakuwa alijihusisha na injili ile ile iliyofundishwa kwa Wayahudi na watu wa Mataifa.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Paulo anasema kwamba ana uwoga, na kwa sababu hiyo aliongea kwa faragha na uongozi. Je, ni woga upi ambao yumkini Paulo anauzungumzia? &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;a. Je, woga wa Paulo ni kwamba amekosea kwenye teolojia yake?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;b. Je, ni woga ambao viongozi katika Yerusalemu hawatakubaliana naye? (Mwelekeo wote wa Wagalatia hadi hivi sasa ni kwamba Paulo alipokea ujumbe wake kutoka kwa Yesu. Hana yeyote wa kumshukuru kwa ajili ya ujumbe wake katika ofisi yake ya kule nyumbani. Kwa hiyo, haionekani kama anaogopa kwamba amekosea. Vile vile haonekani kujali sana kuhusiana na uongozi katika ofisi ya nyumbani pia. Lazima iwe kwamba anajihusisha sana kuhusiana na umoja wa kanisa.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;3. Ni kwa jinsi gani Paulo aogope kwamba amekuwa akipiga mbio kwa muda wa miaka kumi na minne ya kazi bure? (Kumbuka kwamba Paulo anapambana dhidi ya injili ya uongo katika kanisa la Galatia. Kama hana uungwaji mkono kutoka kwenye ofisi ya nyumbani, je, anawezaje kutarajia kuwashawishi Wagalatia kwamba yuko sahihi? Isipokuwa tu kama kuna umoja katika ujumbe, wakashifikaji wake watadai kwamba Paulo hayuko sahihi (amekosea).)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;4. Kwa nini Paulo aombe mkutano wa faragha? (Kwa hakika kabisa alikuwa na wapinzani Yurusalemu na Galatia. Mara nyingi mikutano mikubwa huwa inayumbishwa na hisia kali, badala ya kutafakari sababu za msingi. Kwa kukutana na uongozi wa juu, angeweza kuelezea kile alichokuwa akikifanya na kukifundisha kwa uhakika, na sababu za kufanya hivyo.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;a. Je, hii inatufundisha nini kuhusu demokrasia kanisani?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Soma Wagalatia 2:3. Je, Paulo alifanikiwa? (Utakumbuka kwamba mojawapo ya jambo kubwa lilikuwa ni tohara. Uongozi haukupendekeza kwamba mmojawapo wa wasaidizi wa msingi wa Paulo alipaswa kutahiriwa.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;C. Soma Wagalatia 2:4-5. Elezea jinsi ambavyo unafikiria hiki kitendo cha “upelelezi” kilifanya kazi? (Paulo hakuwa akifanya kazi katika nyakati za simu, barua pepe na televisheni. Je, viongozi wa kanisa kule Yerusalemu wangewezaje kujua kwamba alikuwa akifundisha isipokuwa kama yeye (au watu wengine) alitoa taarifa ya kile alichokuwa akikifanya? Pendekezo ni kwamba maadui wa kiteolojia wa Paulo walikuwa wakipeleka taarifa za uongo kwa viongozi kule Yerusalemu. Mungu alimfunulia Paulo kwamba alipaswa kufanya safari kuelekea kwenye ofisi ya nyumbani ili kuwaelezea ukweli.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, Paulo anazungumza na nani anaposema “hatukujitia chini yao hata saa moja?” (Paulo anazungumza na washiriki wa kanisa la Galatia na anawarejea wapinzani wake wa kiteolojia.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;a. Je, nia ya Paulo kusema jambo hili ni ipi? Hebu jiweke kwenye nafasi ya mshiriki wa kanisa la Galatia unapojibu swali hili. (Kama vile ambavyo viongozi katika ofisi ya nyumbani hawakujua kile ambacho Paulo alikuwa akiwafundisha watu wa Mataifa, vivyo hivyo washiriki wa kanisa la Galatia hawakujua kile ambacho Paulo alikuwa akikisema kwenye taarifa yake kwa ofisi ya nyumbani. Angeweza kusema kwa kila kundi kile tu ambacho walitaka kukisikia. Paulo anawahakikishia Wagalatia kwamba hafanyi kitu kama hicho. Ana ujumbe ule ule bila kujali kama hadhira yake ni Wayahudi katika ofisi ya nyumbani au makanisa ya Mataifa.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;D. Soma Wagalatia 2:6-9. Je, viongozi muhimu ni wapi? (Paulo anawataja: Yakobo, Petro na Yohana.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, Paulo anaonekana kuwa kama mwasi hapa? (Ndiyo. Je, umewahi kubaini kwamba mtu fulani “atalipa zaidi” kwa sababu ya msingi wa matatizo flani flani? Nimewahi kuona hili – kanisa linalojizatiti kwenye tatizo linajikita zaidi katika eneo hilo. Paulo hahitaji kuwa na mashaka kwa umuhimu wa Yakobo, Petro na Yohana ili azidishe/aongezee mamlaka yake mwenyewe. Lakini, hivyo ndivyo ninavyoelewa kauli zake zinazoonekana kupunguza umuhimu wa uongozi katika ofisi ya nyumbani.) &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Je, inaonekana kuwa jambo la ajabu kwamba Paulo alikuwa na dosari binafsi? (Muda, utamaduni, muktadha na tafsiri vinafanya hitimisho langu kuhusu mtazamo wa Paulo kuwa usioeleweka. Lakini, kama niko sahihi basi inaibua tu umuhimu wa neema!)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;E. Hapo awali nilikuuliza kuhusu demokrasia kanisani. Paulo anasema kwamba alipokea ujumbe wake moja kwa moja kutoka kwa Yesu (Wagalatia 1:1), na kwamba alishiriki ujumbe huo na uongozi wa juu kwanza. Inaonekana wazi kwamba Paulo haangalii kura za watu wachache miongoni mwa watu ili athibitishe mawazo yake. Anaonekana kuangalia uthibitisho wa mawazo yake kutoka kwa viongozi katika ofisi ya nyumbani, badala ya kuwa radhi kupokea maelekezo kutoka kwa viongozi. Je, ni aina gani ya uongozi wa kanisa utakaopatikana kutokana na mitazamo ya aina hii? (Njia pekee ya kuoanisha kauli na mwenendo wa Paulo hapa na uongozi wa kanisa ni kuamini kwamba Paulo alikuwa na uhakika kwamba ujumbe wake ulitoka kwa Mungu, na kwamba Mungu atayafanya mapenzi yake kwa uwazi kabisa kwa uongozi.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;II. Masikini&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma Wagalatia 2:10 na Matendo 2:44-47. Je, umaskini uliotajwa kwenye Wagalatia ni matokeo ya maamuzi ya kiuchumi ya kanisa la awali? (Kihistoria, unapoondoa kichocheo cha kufanya kazi kwa ajili ya kupata faida, kinachofuatia ni umaskini. (Angalia Mithali 16:26 &amp; Mithali 14:23.) Hata hivyo, Matendo 11:27-29 inapendekeza kuwa njaa kubwa inaweza kuwa sehemu ya tatizo. Utabaini kwamba hii njaa kubwa inaukabili ufalme wote wa Rumi.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Kati ya mahitaji yote ya kiteolojia ambayo viongozi wa kanisa wangeweza kuyaweka kwa Paulo, hili pekee ndilo. Je, hiyo inapendekeza nini kuhusu umuhimu wa kuwasaidia maskini? Au, je, hii inafundisha kwamba kuwasaidia maskini ni pendekezo tu?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Utabaini kwamba watu wa Mataifa hawakuombwa kuenenda kwa mujibu wa Matendo 2:44-47. Kwa nini hivyo? (Hebu subiri. Matendo 2:45 inasema kwamba waumini walipewa kile walichokuwa na haja nacho. Pendekezo kwa watu wa Mataifa katika Wagalatia 2:10 ni kuwasaidia maskini – wale walio wahitaji.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;III. Petro Dhidi ya Paulo&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma Wagalatia 2:11-14. Hebu tujadili hili kwa undani zaidi. Paulo anamkabili Petro hadharani, kiongozi mahiri wa kanisa. Je, tunapaswa kuwakabili viongozi wetu wa kanisa hadharani pale tunapodhani kuwa wamekosea? &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Kama jibu ni, “ndiyo,” je, nani anayepaswa kufanya hivi? Mtu yeyote, au viongozi wengine tu kama Paulo?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Je, nini asili ya tatizo lililoanzishwa na Petro? (Tatizo ni hadhara. Sio tu kwamba Petro anafanya mwafaka kwenye suala muhimu, lenye teolojia iliyokuwepo kwa kipindi hicho, bali pia watu wa Mataifa wanadhalilishwa kwa kufikirishwa kuwa wao ni Wakristo wa daraja la pili. Sidhani kwamba viongozi wanapaswa kukabiliwa hadharani kuhusiana na matatizo binafsi, yanapaswa kuwa matatizo ya hadhara.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;a. Vipi kuhusu swali la nani anayepaswa kumkabili kiongozi? (Paulo alipokea ujumbe wake kutoka kwa Yesu. Ujumbe wake ulithibitishwa na viongozi wa kanisa. Kweli hizo mbili ni za muhimu sana kwenye suala la kuwakabili viongozi wa kanisa.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;3. Angalia fungu hilo kwa undani zaidi na baini tofauti kati ya kile Paulo anachokifikiria na kile anachokisema. Je, kuna tofauti gani kati ya vitu hivyo viwili? (Mawazo yake ni makali, lakini kile anachokisema ni kauli ya ukweli usiopingika ukifuatiwa na swali.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;a. Je, sababu ni ipi ya kwa nini Paulo atumie swali kukabiliana na Petro? (Alimtaka Petro ajibu swali kwa njia ambayo ilimtia Petro hatiani kosa lake. Linganisha 2 Samweli 12:1-10 ambapo Nathani anaomba ushauri wa Mfalme Daudi. Swali linawasilishwa kama kisa, na jibu la Daudi linamtia hatiani kutokana na dhambi yake.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;b. Je, hili ni somo kwa jinsi ambavyo sisi (au viongozi wa kanisa) tunapaswa kuukabili uongozi wa kanisa? (Huu unaonekana kuwa mfano mzuri. Fanya makabiliano ya hadhara kwa masuala ya hadhara tu. Makabiliano hayapaswi kuwa makali, badala yake yanapaswa kutafuta namna ya kumtia hatiani kiongozi kuhusu tatizo la dhambi. Ni bora zaidi kwa viongozi kuwakabili viongozi wengine. Makabiliano hayatakiwi kuwepo bila uungwaji mkono wa uongozi wa kanisa kwenye mada husika na uongozi wa Roho Mtakatifu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Rafiki, Mungu anajihusisha sana na umoja wa kanisa lake. Je, utaomba na kufanya bidii kwa ajili ya kanisa lenye umoja?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;IV. Juma lijalo: Haki kwa Imani Pekee.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/3455255205653026852-8199373550759007155?l=lesoni.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lesoni.blogspot.com/feeds/8199373550759007155/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://lesoni.blogspot.com/2011/10/somo-la-3-umoja-katika-injili.html#comment-form' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3455255205653026852/posts/default/8199373550759007155'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3455255205653026852/posts/default/8199373550759007155'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lesoni.blogspot.com/2011/10/somo-la-3-umoja-katika-injili.html' title='Somo la 3: Umoja Katika Injili'/><author><name>Lessoni ya Kiswahili</name><uri>http://www.blogger.com/profile/05032927242368522742</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>2</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-3455255205653026852.post-3910334027278037880</id><published>2011-09-30T02:42:00.000-07:00</published><updated>2011-10-02T22:41:47.219-07:00</updated><title type='text'>Somo la 2: Mamlaka na Injili ya Paulo</title><content type='html'>Somo limetafsiriwa na Mgune Masatu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;(Wagalatia 1, Matendo 15)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Somo hili limetafsiriwa kutoka katika Copr. 2009, Bruce N. Cameron, J.D. Majibu yaliyopendekezwa yanapatikana kwenye parandesi (kwenye mabano). Somo limekaa kimtazamo kwamba mwalimu anatumia ubao au sehemu nyingine yoyote ambayo inaweza kuonekana na wanafunzi. Somo hili pia linaweza kupatikana kutoka &lt;a href="http://www.GoBible.org"&gt;http://www.GoBible.org&lt;/a&gt; kwa lugha ya Kiingereza pamoja na lugha nyingine kama vile Kifaransa, Kijerumani. Omba kwa ajili ya uongozi wa Roho Mtakatifu unapojifunza.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Utangulizi: Juma lililopita tulijifunza kwamba Paulo aliitegemea elimu yake ya thamabi na bora kabisa na mamlaka yake ya zamani ya kisheria katika kujitetea dhidi ya mashtaka ya kuvunja sheria yaliyoletwa mbele yake. Juma hili tutaona kwamba kwa mara nyingine tena Paulo anajitetea – na anatoa madai ya kustaajabisha sana. Je, aina hii ya utetezi inatuambia kitu gani? Inatuambia kuwa Paulo anaamini kwamba changamoto kubwa zimeibuliwa kwa faida ya uaminifu wake. Je, unajisikiaje pale ambapo mtu anaposhambulia uaminifu wako au hadhi yako? Ni ngumu sana, sawa? Je, unadhani ni kwa nini Paulo yu chini ya hilo shambulizi kubwa? Hebu tuzame kwenye somo letu la Wagalatia na kuona kama haya mashambulizi yanathibitika!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;I. Mamlaka ya Paulo&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma Wagalatia 1:1-2. Ni kwa jinsi gani kiongozi wako wa kidini alipatikana kwa ajili ya kuongoza kundi lako? (Kwa kawaida, wanadamu (wakiongozwa na Roho Mtakatifu) walifanya mchakato wa kumpata.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, Paulo anasema nini kuhusu wito wake? (Haukutokana na wanadamu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Kwa nini Paulo anasema “si mtume wa wanadamu, wala kutumwa na mwanadamu?” je, “wala kutumwa na mwanadamu” inaongezea kitu gani? (“Commentary” ya Jack Sequeira inasema kwamba maadui wa injili walikuja kwenye kanisa la Galatia (kanisa lililoanzishwa na Paulo) na kuwaambia washiriki kwamba Paulo “alijichagua mwenyewe.” Hakuwa na mamlaka ya kweli kwenye mafundisho yake. Kwa hiyo, kwenye lugha yake ya “wala kutumwa na mwanadamu” Paulo anasema “sikujichagua mimi mwenyewe.”)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;3. Je, ni nani aliyeupa mamlaka/aliyeidhinisha ujumbe wa Paulo? (Anasema ni “Yesu Kristo na Mungu Baba!"&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Hebu turukie mbele na kusoma Wagalatia 1:11-12. Je, madai ya Paulo hapa ni yapi? (Kwamba Yesu mwenyewe ndiye aliyemfundisha.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, kwa nini tunapaswa kumwamini Paulo? Yesu tayari alikuwa amesharejea mbinguni!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;a. Kama tukiviondosha vitabu vilivyoandikwa na Paulo kutoka kwenye Biblia, huenda tukawa na mtazamo tofauti wa wokovu. Kwa kawaida Yesu huwa anarejea kitu fulani kinachohitajika kufanywa na mtu ili aweze kuokolewa. (Angalia, kwa mfano, Mathayo 5:17-20; Mathayo 25:34-36; Mathayo 19:21.) Najua kwamba kauli hizi zinazoonekana kupingana na neema zinaweza kuelezewa, ila nina mashaka kama watu wengi wanaweza kujaribu kuelezea bila maandiko ya Paulo kuhusu neema. Hii inamaanisha kuwa swali la wapi Paulo alipata wazo lake ni jambo la muhimu sana – hata hivi leo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;C. Soma Wagalatia 1:15-20. Je, hii inaathiri vipi uaminifu wa Paulo? (Kwa ujumla huwa sipendezwi pale ambapo mtu anakana kwamba hadanganyi! “Kweli kabisa, hicho ndicho kilichotokea!” Kinachompatia Paulo uaminifu ni kwamba anatoa undani (maelezo ya kina) wa mafunzo yake – Alikuwa Arabuni kwa miaka mitatu akipokea mafunzo kutoka kwa Yesu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, unadhani Yesu alitumia muda wa miaka mitatu akiwa na Paulo – kwa haraka haraka muda huo huo alioutumia Yesu na wanafunzi wake? (Kwa hakika hatujui. Paulo hadai kwamba Yesu alikuwa akimfundisha muda huu wote.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;D. Soma Matendo 9:10-15. Nani aliyendika kitabu cha Matendo? (Tunaamini Luka ndiye aliyekiandika, sio Paulo. Kwa hiyo, Luka ameshawishika, kutokana na taarifa kutoka kwa Anania, kwamba Paulo alichaguliwa kipekee na Mungu ili ashiriki injili na watu wa Mataifa.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;E. Soma 2 Petro 3:15-16. Je, mwanafunzi (mfuasi) Petro anasema nini kuhusu maandiko ya Paulo (zaidi ya kwamba ni magumu kuyaelewa kwenye baadhi ya sehemu)? (Kwamba maandiko ya Paulo yanatokana na busara ambayo Mungu alimpa Paulo, na kwamba yapo kwenye kiwango cha “Maandiko mengine,” na kwamba kuyapuuzia au kuyapindisha inamaanisha upotevu wa wokovu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, hii inatuambia nini kuhusu mamlaka ya Paulo? (Kwamba viongozi wa kanisa wa mwanzo, Luka na Petro, walikubali kauli za Paulo kuhusiana na chanzo cha mamlaka yake. Nasi tunapaswa kuzikubali.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Hebu turejee kwenye swali letu la msingi: unadhani ni kwa nini mamlaka ya Paulo hayakustahili shambulizi kama hilo? (Kama shetani alitaka kutia muhuri ujumbe wa neema, basi Paulo ndio angekuwa mlengwa wake mkuu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;3. Je, neema (haki kwa imani pekee) ni ya muhimu? (Kinyume na baadhi ya Ukristo, dini zote za dunia zinategemea matendo. Hiyo inapaswa kutuambia kitu muhimu kuhusu mpambano kati ya wema na uovu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;F. Kabla hatujaondoka kwenye hiki kipengele, hebu tusome Matendo 1:6. Mara zote nimekuwa nikifikiri kuwa hili swali, lililowasilishwa kwa Yesu mara tu alipokuwa akirejea mbinguni, lazima lilikuwa la kusikitisha. Wafuasi wake bado wanaonekana kuchanganyikiwa kuhusu utume wa Yesu. Je, inawezekana kwamba kutokana na muktadha wa hili swali, Yesu alitafakari tena suala la kutumia msingi wa mvuvi wa zamani kuiendeleza injili, na kuamua kwamba ataongezea mwanateolojia mwerevu, mwenye elimu kubwa kwenye kundi lake kuu? &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;II. Injili&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Tukiwa sasa tumeshaafikiana kuhusu mamlaka ya Paulo, hebu turejee kwenye Wagalatia 1:1. Je, Paulo anamwelezea Yesu kwa namna gani? (“Aliyefufuka kutoka katika watu.”)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Kwa nini? (Hili ndilo suala kuu kwenye dhana ya wokovu kwa neema. Aidha tunaishi au kufa kutokana na sheria, au tunaishi au kufa kwa kuyakubali maisha, kifo na ufufuo wa Yesu kwa niaba (ajili) yetu. Sehemu ya muhimu sana katika hili (kwa Yesu na kwetu) ni sehemu ya ufufuo!)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Soma Wagalatia 1:3-5. Hebu tusiruke kwa haraka haraka maneno tunayoyaona mara zote. Je, inamaanisha nini kuwa na “neema na amani,” na kwa nini Paulo aseme maneno haya badala ya “utajiri na uzuri?” (Neema, kwa mara nyingine tena, ndio tiketi yetu ya kuelekea kwenye uzima wa milele. Hii inatupatia amani na Mungu. Yesu anafufuliwa kutoka katika wafu, kwa hiyo tuna neema na amani vinavyopatikana kwetu.)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;C. Soma Wagalatia 1:6-7. Je, ni nani anayeachwa? (Paulo anaonekana kujinukuu yeye mwenyewe. Yeye ndiye aliyewaleta kwenye neema.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, tatizo ni lipi? (Wanaigeuka injili.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Fikiria kuhusu hili kidogo. Ninapofikiria kuhusu kupotea, wazo langu ni kwamba Shetani atanizamisha sana dhamnini kiasi kwamba sitajali tena kuhusu uhusiano wangu na Mungu. Paulo anaonekana kuonya kuhusu tatizo tofauti – tatizo ambalo wanaopaswa kuwa wafuasi wa Mungu wanatuelekeza kwenye injili ya uongo “iliyopotoshwa.” Je, hiyo injili ya uongo inaweza kuwa ipi?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;D. Soma Matendo 15:2-6. Je, Matendo inaandika nini kama tatizo la injili ya uongo? (Kwamba watu wa Mataifa lazima watahiriwe na kutii sheria ya Musa.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, kuna tatizo gani la kutahiriwa au maelekezo ambayo Mungu alimpa Musa? Je, hapo zamani Mungu alitoa ushauri mbaya? &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;E. Soma Matendo 15:7-11. Petro anasimama na kutoa hoja kwenye mtazamo wa Paulo. “Commentary” moja niliyoisoma ilisema kwamba (Matendo 15:5) “sheria ya Musa” ilikuwa inarejea sheria ya mapokeo badala ya Amri Kumi. Je, kutatua swali hilo ni muhimu?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Petro na Paulo wanasema kwamba kile kinachotakiwa kwa ajili ya wokovu ni imani pekee. Watu wenye injili ya uongo wanasema kwamba kile kinachohitajika kwa ajili ya wokovu ni imani pamoja na kitu kingine. Ukiifanya hii kuwa kanuni ya kimahesabu: Wokovu = Imani + X. Je, suala ni kuwa “X” inasimama badala ya kitu gani? Au, je, suala ni kama kiukweli wokovu unahitaji “X”?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Kama suala ni “X” inasimamia kitu gani, basi tunahitajika kuamua kama “X” ni Amri Kumi au sheria ya kimapokeo. Lakini, endapo suala ni kama kweli tunahitaji “X”, bila kujali kuwa “X” itakuwa kitu gani, basi kutafuta utambulisho wa “X” ni upotezaji wa muda.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;F. Soma Wagalatia 1:8-9. Je, ni jambo baya kiasi gani kuhubiri injili ya uongo? (Uzima wa milele upo mashakani.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;G. Baada ya mjadala wa hili suala, Yakobo anasimama na kutoa uamuzi wa kanisa la awali. Soma Matendo 15:19-20. Kwa jinsi ninavyolielewa hili, tohara na sheria ya Musa havipo tena, kuachana na ulaji wa vyakula fulani na usafi wa masuala ya ngono bado vipo. Je, hii ni “X” mpya? Je, kanuni ya wokovu sasa ni Imani + X, X ikiwa imeelezewa kwenye fungu la 20? (Pitia kwa haraka haraka 1 Wakorintho8. Hapo, Paulo anatoa hoja kwamba wale tu “ambao dhamiri zao ni dhaifu” wanaacha kula nyama zilizotolewa kwa sanamu. Kauli za Paulo katika 1 Wakorintho 8, na akili ya kawaida kabisa, vinatuambia kuwa ulaji wetu na masuala ya usafi wa ngono haviwezi kuwa “X” mpya. Tohara, sheria ya Musa, Amri Kumi, ulaji sahihi na usafi wa masuala ya ngono, vyote ni mambo mema. Maelekezo haya yalitoka kwa Mungu ili kuyabariki maisha yetu na kutusaidia kuenenda katika njia Zake. Lakini, hakuna hata moja kati ya hizo iliyo kwenye sehemu ya kanuni ya wokovu. Kuvifanya viwe sehemu ya kanuni ya wokovu ni injili ya uongo.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;H. Rafiki, vipi kuhusu wewe? Je, unakubali kwamba ujumbe wa Paulo ulitoka kwa Yesu? Je, unaamini katika wokovu kwa imani pekee? Au, je, unaiendeleza injili ya uongo kwamba toba na imani katika Yesu vinahitajika kuongezewa kwa kiwango cha “X” – kivyovyote vile tunavyoweza kuielezea hii “X”? Mimi ni mtu ambaye ni mshindani. Ninapenda kupata ushindi na ninachukia kushindwa. Lakini, linapokuja suala la wokovu, asili yangu ya ushindani inahitajika kutupwa jalalani. Hakuna kitu chochote, kwa hakika kabisa hakuna kitu chochote ninachokifanya (ikijumuisha kuandika haya masomo) kilaleta tofauti yoyote kwenye wokovu wangu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;III. Juma lijalo: Umoja Katika Injili.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/3455255205653026852-3910334027278037880?l=lesoni.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lesoni.blogspot.com/feeds/3910334027278037880/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://lesoni.blogspot.com/2011/09/somo-la-2-mamlaka-ya-paulo-na-injili.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3455255205653026852/posts/default/3910334027278037880'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3455255205653026852/posts/default/3910334027278037880'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lesoni.blogspot.com/2011/09/somo-la-2-mamlaka-ya-paulo-na-injili.html' title='Somo la 2: Mamlaka na Injili ya Paulo'/><author><name>Lessoni ya Kiswahili</name><uri>http://www.blogger.com/profile/05032927242368522742</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-3455255205653026852.post-7780314798475780864</id><published>2011-09-26T02:36:00.000-07:00</published><updated>2011-09-26T02:41:59.446-07:00</updated><title type='text'>Robo ya Nne, 2011:Somo la 1: Paulo: Mtume kwa Mataifa</title><content type='html'>Somo limetafsiriwa na Mgune Masatu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;(Matendo 9 &amp; 22)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Somo hili limetafsiriwa kutoka katika Copr. 2009, Bruce N. Cameron, J.D. Majibu yaliyopendekezwa yanapatikana kwenye parandesi (kwenye mabano). Somo limekaa kimtazamo kwamba mwalimu anatumia ubao au sehemu nyingine yoyote ambayo inaweza kuonekana na wanafunzi. Somo hili pia linaweza kupatikana kutoka &lt;a href="http://www.GoBible.org"&gt;http://www.GoBible.org&lt;/a&gt; kwa lugha ya Kiingereza pamoja na lugha nyingine kama vile Kifaransa, Kijerumani. Omba kwa ajili ya uongozi wa Roho Mtakatifu unapojifunza.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Utangulizi: Kuna msemo wa zamani unaosema kwamba tunahitajika kujiweka kwenye nafasi ya mtu mwingine kabla hatujaelewa kwa dhati kabisa hali anayopitia mtu huyo. Nilipokuwa kijana mdogo, nilikuwa nikitumia muda wa majira ya kiangazi kwa kujenga miji (nyumba) na fleti (vyumba vya kuishi) pamoja na kaka wangu. Asubuhi moja tukiwa kwenye safari ndefu ya kuelekea kazini, gari la kaka wangu liliharibika na akaamua kwamba tunapaswa tu kutembea na kuona kama mtu fulani anaweza kutupatia “lifti.” Hatukuwa tumevaa kwa unadhifu, na tulikuwa tumebeba vifaa. Haikuwa taswira nzuri ya kumfanya mtu afikirie kutupa “lifti.” Kwa kawaida nilipokuwa nikiendesha gari, sikuwa nikiwabeba wale waliokuwa wakijaribu kuomba “lifti” – hiyo ilikuwa hatari! Lakini sasa, nilikuwa nikisubiri kwa matumaini makubwa na kutamani kuona mtu fulani aonyeshe moyo wa huruma kwetu! Ili kuweza kuelewa vizuri barua iliyoandikwa kwa Wagalatia, tutajaribu kujiweka sisi wenyewe kwenye nafasi ya mwandishi wake, Paulo. (Kwa wale wasiojua, aliyekuwa “Sauli” ndiye baadaye aliitwa “Paulo.” Nitamwita tu kuwa “Paulo” katika somo hili.) Hebu tuzame kwenye somo letu la Biblia na kuona kile Biblia inachotufundisha kuhusu maisha yake. Hebu tuone itakuwaje tukiwa kama Paulo!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;I. Paulo: Utangulizi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma Matendo 21:26-28. Paulo anatiwa kizuizini/mbaroni kwa mashtaka gani? (Kwa sababu anakiuka sheria ya Kiyahudi na kufundisha kinyume kwa watu wa Kiyahudi.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Hebu turuke mafungu kadhaa na kusoma utetezi wa Paulo. Soma Matendo 22:2-3. Je, huu ni wasifu wa aina gani? (Paulo anasema yeye ni Myahudi, sio adui wa Wayahudi. Alilelewa Yerusalemu, kituo cha utamaduni wa Kiyahudi.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Kama ilivyo kwa mashtaka kwamba Paulo yu kinyume na sheria, anasema kwamba alifundishwa na Gamalieli. Je, Gamalieli ni nani? (“Commentary” ya Adam Clarke inatuambia kuwa Gamalieli alikuwa mjukuu wa Hillel (mmojawapo wa walimu maarufu wa Kiyahudi), alikuwa rais wa baraza la Sanhedrin, na mpokeaji wa 35 wa tamaduni. “Commentary” ya Fausset inaongezea kwamba alifurahiwa kama “utukufu wa sheria,” na alikuwa mteuzi wa kwanza kuitwa Raban “bwana wetu.”)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;a. Kwa kutumia maneno ya siku hizi, je, Paulo anasema nini? (Kwamba alifundishwa na mamlaka ya juu kabisa ya sheria duniani. Ana uzoefu/maarifa/ujuzi mkubwa sana wa sheria kuliko wale wanaomshtaki.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;C. Soma Matendo 22:4-5. Je, ni kwa namna gani hii inahusika na mashtaka dhidi ya Paulo? (Unasema kwamba niko radhi kukiuka sheria? Nimekuwa nikiwaua watu waliopingana na sheria!)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;D. Je, unaweza kuelezeaje kwa ufupi utetezi wa Paulo hadi hatua hii tuliyofikia? (Ana elimu bora zaidi ya sheria kuliko washtaki wake, na ana ari kubwa ya sheria kuliko washtaki wake. Hakanushi mashtaka, ila anasema tu kuwa “Ninyi ni akina nani hadi mnishtaki?”)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;E. Umemsikia Paulo. Hebu jiweke kwenye nafasi yake. Je, ni mtazamo wa namna gani ambao ungetarajia awe nao? Je, mtazamo wa aina gani unaakisiwa kwenye utetezi wake hadi hapo tulipofikia? (Angejisikia kuwa mtu wa hali ya juu sana. Na, yeye ni mtu wa hali ya juu kwa mujibu wa elimu yake.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;F. Soma Matendo 22:6-10. Hebu tuzungumze kuhusu hili. Paulo anaweka wasifu wake mkubwa kabisa kupita maelezo, na kisha anasema “Mungu alinichagua.” Kwa nini Mungu alimchagua?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Soma Waamuzi 7:2-3, 1 Wakorintho 1:20-21 na 1 Wakorintho 1:26-29. Biblia ina habari inayojirudiarudia kuhusu Mungu kutenda kupitia kwenye udhaifu wa wanadamu. Kuwa mwerevu na mwenye elimu ya kutosha ni tatizo kwa sababu watu wa aina hiyo wana tabia ya kudai utukufu unaompasa Mungu. Je, Mungu amebadili njia yake?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Tatizo jingine la kuwa na akili nyingi, elimu na uwezo ni kwamba tuna kawaida ya kuvitegemea badala ya kumtegemea Mungu. Pamoja na yote haya, kwa nini Mungu amchague mtu (Paulo) mwenye mtazamo wa kujiona kuwa ni mtu wa hali ya juu? (Sina uhakika. Lakini, hii ni habari njema kwa watu werevu, wenye elimu ya kutosha. Mungu hakumtumia Paulo kwa namna kubwa tu, bali pia alimtumia Danieli na Musa. Mungu anawatumia watu wenye vipaji/vipawa, wenye elimu ya kutosha na anawatumia wale wanaopungukiwa hivi vipawa/vipaji. Bwana asifiwe kwa sababu sisi sote tuna fursa ya kumtumikia Mungu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;II. Paulo: Maelekezo&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Angalia tena sentesi ya kwanza ya matendo 22:10. Kama ungekuwa na elimu kama ya Paulo, ari yake kwa sheria ya Mungu, na hati yake ya mamlaka kutoka baraza la Sanhedrin kuwaangamiza Wakristo, je, ungekuwa unauliza hili swali? (Maisha yako yote yamepinduliwa juu chini! Ulidhani kwamba ulikuwa ukimtii Mungu. Ulidhani kwamba Yesu alikuwa mlaghai/mdanganyifu. Sasa unabaini kwamba Yesu ni Mungu! Kwa kweli kabisa hutajua nini cha kufanya.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, Mungu anatoa jibu la aina gani? (Kwanza, fuata maelekezo rahisi, kisha nitakupa maelekezo zaidi.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Soma Matendo 22:12 na Matendo 9:10-15. Je, Anania ni mtu wa namna gani? (Mwenye kuamini! Lakini, anataka kuwa na uhakika kuwa Mungu anafahamu kweli zote kuhusu huyu mtu ambaye amekuwa akiwaua Wakristo! Utabaini kwamba Paulo anamwita Anania “mtauwa kwa kuifuata sheria.” Hiyo ilimpa kitu fulani kinachofanana na cha Paulo. Na kwa kuongezea, mtu huyu aliwaheshimu majirani zake wa Kiyahudi.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;C. Soma Matendo 22:13. Je, kitendo hiki kinamwashiria nini Paulo? (Mtu huyu anaweza kutenda miujiza. Anaweza kufanya zaidi ya kile alichofanya Mungu! Kwa hiyo, lazima atakuwa amepewa uwezo wa Mungu. Mara moja nitakuwa na mtazamo wa imani kubwa na shukrani mbele zake.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Tunapata habari zaidi za hili tukio katika Matendo 9. Hebu tusome Matendo 9:17-19. Utabaini kwamba Anania ananukuu matendo ya Yesu na Roho Mtakatifu kwenye hili tukio. Je, hii inapendekeza kitu gani?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;2. Paulo alipofushwa na mwanga. Kwa nini “magamba” yaanguke kutoka machoni mwake? (Undani wa habari hii unakifanya kisa hiki kiwe cha kuaminika – kitu chenye sura ya kuonekana kilibadili kile ulichoweza kuona. Haionekani kwamba magamba yalifanyika ikiwa ni matokeo ya mwanga mkali, lakini Mungu alitaka kuonyesha badiliko lenye sura ya kuonekana.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;D. Soma Matendo 22:14. Hebu tuvunjevunje hili kwenye sehemu kadhaa. Nilidhani kuwa Paulo alikuwa mjuzi zaidi kwenye sheria – akiwa amefundishwa na Gamalieli. Je, lugha ya “amekuchagua wewe upate kujua mapenzi yake” inapendekeza kitu gani? (Kwamba Paulo anahitaji elimu zaidi. Huenda elimu tofauti.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, ni nani “Mwenye Haki?” (Hii lazima imaanishe kuwa ni Yesu. Angalia Zaburi 16:10.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;a. Kama inamaanisha Yesu, je, hii inawezekanaje? (Hii inatupatia mwangaza wa kufurahisha. Paulo anaahidiwa kwamba Yesu mwenyewe atamfundisha. Kwa vile Matendo 1:3 inaandika kwamba Yesu aliwafundisha mitume wengine baada ya ufufuo wake, hii inaleta mantiki.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;b. Soma Wagalatia 1:11-12 na Wagalatia 1:15-17. Je, ni madai gani yale yale anayoyadai Paulo kuhusu maelekezo yake katika injili? (Kwamba aliyapokea moja kwa moja kutoka kwa Yesu!)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;E. Soma Matendo 22:15-16. Je, Paulo anamshuhudia nani? (Watu wote.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, hii iliathiri vipi uelewa wake wa awali kuhusu maisha? (Lengo lake lilikuwa ni kuwafundisha Wayahudi na kuendeleza uelewa wa sheria. Sasa ana ujumbe wa juu zaidi ya watu wake mwenyewe.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Kwa nini Paulo alipaswa kubatizwa? (Huu ni ukubali/uelewa kwamba mafundisho yake ya awali kuhusu maisha, kile alichodhani kuwa ni Ufalme wa Mungu, badala yake kilikuwa ni dhambi.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;a. Je, ni vigumu kiasi gani kwa mtu mwenye akili nyingi, elimu kubwa na mtazamo wa hali ya juu, kugeuka kwa nyuzi 180? (Kwa hakika hii ilikuwa ni vigumu sana.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;F. Soma Matendo 22:17-20. Je, Paulo anakubali maelekezo ya Mungu bila kusita? (Hapana! Mungu anamwambia Paulo aondoke kwa sababu hataweza kuwashawishi watu hawa. Paulo anasema, “Bila shaka! Watu hawa wanajua kuwa nilikuwa mtetezi mwenye ari ya juu wa mawazo yao! Kwa hakika, watanichukulia kwa dhati kabisa!)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;G. Soma Matendo 22:21. Je, maelekezo ya Mungu kwa ajili ya maisha ya Paulo ni yapi? (Kuwafundisha watu wa mataifa.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Unadhani ni kwa nini Paulo anaandika hoja yake dhidi ya maelekezo ya Mungu? Je, anawaambia nini wasikilizaji wake pamoja na sisi? (Anasisitiza sehemu ya Mungu kwenye kazi yake.  Anampa Mungu sifa. Paulo anasema nilikuwa na elimu bora, nilikuwa mwerevu, nilikuwa mwenye hamasa kubwa na mchapa kazi. Niliungwa mkono na viongozi wa dini wa taifa langu. Lakini, Mungu aliyabadili hayo yote. Alibadili kila kitu na kunipa utume ambao sikuuchagua.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;a. Hebu jiweke kwenye nafasi ya Paulo. Je, ungejisikiaje?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;H. Soma Matendo 22:22. Je, Paulo alikuwa anaelezea kisa maarufu? (Hapana!)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;1. Je, unadhani kwamba Paulo angeweza kutarajia hili? (Ndiyo. Hii inafanya kile alichokisema kiwe cha kuaminika. Watu wanasema uongo ili kuepuka matatizo. Watu wanaosema mambo yanayowaingiza kwenye matatizo kwa kiasi kikubwa sana wanaweza kuwa wanasema ukweli. Wanasheria wanaita hili kuwa ni “tamko dhidi ya maslahi binafsi.”)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;I. Kama wewe ungekuwa Paulo, ukayaangalia maisha yako ya zamani, je, ungefikiria nini kuhusu jinsi ambavyo Mungu amekuongoza?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, ilikuwa ni upotezaji wa muda kwa Paulo kufundishwa na Gamalieli? (Hapana. Ilikuwa ni muhimu kwamba Paulo alikuwa ni mwanafunzi mzuri, na kwamba alikuwa na mwalimu bora kabisa, na kwamba alijawa na msukumo. Alichohitaji sasa kilikuwa ni kuelewa mapenzi ya Mungu kwa ajili ya maisha yake kwa uzuri zaidi.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;J. Rafiki, je, vipi kukuhusu wewe? Je, unapambana kwa ajili ya kupata mafanikio katika yote uyafanyayo? Je, Mungu amekupatia talanta  ambazo unazitumia kuuendeleza ufalme wake? Je, u wazi ili uweze kuongozwa na Roho Mtakatifu katika njia ambazo hukuzitarajia?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;III. Juma lijalo: Mamlaka ya Paulo na Injili.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/3455255205653026852-7780314798475780864?l=lesoni.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lesoni.blogspot.com/feeds/7780314798475780864/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://lesoni.blogspot.com/2011/09/robo-ya-nne-2011somo-la-1-paulo-mtume.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3455255205653026852/posts/default/7780314798475780864'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3455255205653026852/posts/default/7780314798475780864'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lesoni.blogspot.com/2011/09/robo-ya-nne-2011somo-la-1-paulo-mtume.html' title='Robo ya Nne, 2011:Somo la 1: Paulo: Mtume kwa Mataifa'/><author><name>Lessoni ya Kiswahili</name><uri>http://www.blogger.com/profile/05032927242368522742</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-3455255205653026852.post-5362455268496981361</id><published>2011-09-16T04:16:00.000-07:00</published><updated>2011-09-19T10:51:10.989-07:00</updated><title type='text'>Somo la 13: Ibada Katika Kitabu cha Ufunuo</title><content type='html'>Somo limetafsiriwa na Mgune Masatu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;(Ufunuo 4, 13 &amp; 14)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Somo hili limetafsiriwa kutoka katika Copr. 2009, Bruce N. Cameron, J.D. Majibu yaliyopendekezwa yanapatikana kwenye parandesi (kwenye mabano). Somo limekaa kimtazamo kwamba mwalimu anatumia ubao au sehemu nyingine yoyote ambayo inaweza kuonekana na wanafunzi. Somo hili pia linaweza kupatikana kutoka &lt;a href="http://www.GoBible.org"&gt;http://www.GoBible.org&lt;/a&gt; kwa lugha ya Kiingereza pamoja na lugha nyingine kama vile Kifaransa, Kijerumani. Omba kwa ajili ya uongozi wa Roho Mtakatifu unapojifunza.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Utangulizi: Ufunuo ni kitabu chenye kustaajabisha! Sio tu kwamba kinatupatia makanisa, wageni, viumbe na mpambano lakini pia kinatuelezea kuhusu ushindi wa mwisho. Sijui kuhusu wewe, lakini ninaposhinda kitu maishani, huwa ninajisikia vizuri. Mungu hunipatia ushindi wangu na maarifa haya yananifanya nijisikie kumpa sifa! Fikiria ni kwa kiasi gani tutajisikia kusifu pale ambapo Mungu atatupa ushindi wa mwisho kabisa dhidi ya dhambi, kifo na majonzi! Hebu tuzame kwenye somo letu la Biblia ili tuone jinsi wale walio mbinguni wanavyofurahia hii ibada ya ushindi!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;I.  Ibada ya Ufalme (Enzi)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma Ufunuo 4:1. Fikiria kuhusu mpangilio huo. Mlango ulio wazi,  sauti “kama ya baragumu,” ikitoa ukaribisho wa kutazama sinema kuhusu mambo yajayo. Je, utakubali? &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Soma Ufunuo 4:2. Je, ni nani aliyefanya sinema hii iweze kutizamwa? (Roho Mtakatifu!)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, hii ndio thawabu unayotaka kuipokea?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Yohana ndiye ambaye anatizama sinema (maono). Je, nini kilicho nyuma ya mlango? (“Kiti cha enzi kikiwa na mtu aliyekaa juu yake.”)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;3. Kwa nini Yohana anasema “mtu fulani (mmoja)” ameketi juu ya kiti cha enzi? Je, huyu ni mtu atokaye kwenye utunzaji wa nyumba aking’arisha kiti cha enzi? (Inaonekana kama ni kitu cha muda baada ya muda ya kile alichokiona Yohana. Huenda ni Mungu akiwa amekalia kiti cha enzi, lakini Yohana bado hajalijua hilo, na kwa hiyo hasemi jambo hilo. Hii inafanya kisa hiki kiwe cha kuaminika (inaongezea kisa hiki sifa)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;C. Soma Ufunuo 4:3-4. Kwa nini Mungu anakuwa na wazee ishirini na nne wakiwa wamekaa kwenye viti katika chumba chake cha kifalme? (Hii inathibitisha tena kwamba Mungu anataka kuishi pamoja na watu wake. Anatutaka tushirikiane naye katika utawala wake. Wanadamu wanaweza kuhitaji washauri, lakini Muumba wa Ulimwengu hahitaji. Pamoja na yote hayo, anachagua kuwa nasi ili tuweze kutawala pamoja naye.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;D. Soma Ufunuo 4:5. Mara zote huwa ninafurahia masuala ya Mungu katika Biblia yanayohusisha “ngurumo.” Hakuna mwanadamu katika kipindi cha Yohana ambaye aliwahi kuona injini ya aina yoyote. Hawakujua chochote kuhusiana na umeme. Je, unadhani ni chanzo gani cha nishati alicho nacho Mungu chini ya uwezo wake mkubwa?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Baini kuwa chanzo cha nishati kwa ajili ya hizi taa ni Roho Mtakatifu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;E. Soma Ufunuo 4:6. Je, Mungu anapenda mwonekano wa aina gani? (Mwonekano wa maji! Hii inanipa uhakika kwamba mwonekano wa maji utakuwa sehemu ya mbingu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;F. Sasa tunaingia kwenye sehemu ya ibada. Soma Ufunuo 4:6-8. Hawa ni wageni wanaofurahisha kuangalia. Kwa nini unafikiri wana haya macho yote? (Hawakosi kuona kitu chochote!)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Kwa nini hayo mabawa yote? (Wanaweza kwenda kwa haraka.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Chukulia mwonekano wa jumla wa hao viumbe wanne: simba, ndama, mwanadamu na tai. Je, hii inaashiria kitu gani? (Simba ni jasiri, ndama ni thabiti (ana nguvu) na ni mwaminifu, mwanadamu ana akili na tai ni mwepesi, mwenye mbio, anakwenda kwa haraka na ni mwadilifu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;3. Je, ni kwa jinsi gani kauli za hawa wageni zinamwelezea Mungu? (Mara tatu zinasema kwamba Yeye ni mtakatifu, na kisha zinatoa nyakati za vipindi vitatu. Mungu alikuwa mtakatifu kabla, ni mtakatifu sasa na atakuwa mtakatifu kesho (wakati ujao).)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;4. Chukulia taarifa hii yote kama rangi iliyopakwa kwenye karatasi ngumu. Je, tunaona picha gani? (Kwa vile wanamwelezea Mungu kwa sauti zao, kwa nini tusihitimishe kwamba wanamwelezea Mungu kwa mwonekano wao: Wakiona pote, wepesi kukabiliana na tatizo lolote, jasiri, thabiti/wenye nguvu, waaminifu, wenye akili, na waaminifu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;5. Je, hii inatufundisha nini kuhusu ibada mbinguni? (Niliangalia baadhi ya commentaries zilizopendekeza kwamba viumbe hawa waliwakilisha injili nne, viwango vinne vya makabila ya Israeli, au nguvu nne za asili. Inaonekana kuwa na mantiki zaidi kwamba yote haya yanaelezea tabia za Mungu. Ibada ni mambo yote kumhusu Mungu, sio kutuhusu sisi. Vipengele vyote vya ibada vinapaswa kujielekeza kumpa Mungu utukufu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;a. Kila mara unapoimba wimbo wa kitabuni au wimbo wa sifa, tafakari kuhusu hili: je, wimbo huu unanihusu zaidi kuliko vile unavyopaswa kumpa Mungu sifa?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;b. Kama miili ya wageni iliwakilisha tabia za Mungu, je, hiyo inatupendekezea nini kuhusu ibada? (Ibada sio tu kile tunachokisema, bali vile tunavyoishi.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;G. Soma Ufunuo 4:9-11. Katika chumba cha enzi cha mbinguni, je, nini msingi wa wazee ishirini na nne kumpa Mungu sifa? (Ya kwamba Yeye ni Muumba (“kwa kuwa wewe ndiwe uliyeviumba vitu vyote”). Kila kiti kiliumbwa kwa mapenzi ya Mungu na kila kitu kinaendelea kuwepo kwa mapenzi ya Mungu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, hii inawaacha wapi wale wanaokana uumbaji na kuendeleza nadharia ya uibukaji? (Wanashambulia msingi wa mamlaka ya Mungu na msingi wenye mantiki wa kumpa Mungu “utukufu, heshima na uwezo.” Huu sio mjadala wa upole kati ya marafiki, huu ni mjadala unaochora msitari kwenye mchanga kati ya wale wanaoendeleza ibada kwa Mungu na wale wanaodhoofisha ibada kwa Mungu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;II. Ibada ya Mnyama&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma Ufunuo 13:1-4. Mnyama pia alikuwa na tabia za wanyama. Je, nini ulio msingi wa ibada kwa mnyama? (Uwezo. “Nani awezaye kufanya vita naye?” Alimpa mnyama mamlaka/uwezo.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;1. Hebu fikiria kuhusu hili kidogo. Je, kuna tofauti gani kati ya msingi wa ibada kwa Mungu na ibada kwa mnyama? (Ibada kwa Mungu imejengwa kwenye tabia Yake (takatifu) na kwa kile alichokifanya na anachokifanya (uumbaji na mwendelezo wa ulimwengu). Ibada kwa mnyama imejengwa kwenye nguvu/uwezo ghafi (usio na ujuzi/uzoefu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Soma Ufunuo 13:5-7. Kama ungekuwa unachagua kati ya ibada ya kweli na ya uongo, je, ungeangalia ishara gani? (Mashambulio kwenye jina la Mungu, mbingu, malaika, na kwa wafuasi wa Mungu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, unayasikia wapi mambo kama haya hivi leo?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Je, ni rahisi kuchanganya aina hizi mbili za ibada? (Baadhi ya watu wanataka kuhoji kwamba mambo yaya ni magumu/tatanishi. Je, hili linaweza kuwa gumu/tatanishi kwa kiasi gani? Ama umwabudu Mungu Muumba au umshambulie yeye, mbingu, malaika, na wafuasi wa Mungu. Ama ibada yako imejengwa kwenye tabia na mibaraka ya Mungu, au imejengwa kutokana na kulazimishwa (kwa nguvu). Haionekani kuwa ngumu/tatanishi kivile kwangu!)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;III. Wito wa Mwisho wa Kuabudu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma Ufunuo 14:6-7. Je, ujumbe wa kwanza wa wito wa mwisho kwa wale walio duniani kuhusu kuabudu ni upi? (“Injili ya milele.”)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, sehemu ya kwanza ya huu wito ni ipi? (Kumcha Mungu na kumtukuza.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;a. Je, hiyo inamaanisha nini? (Ni wito wa utii na sifa (kusifu).)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;(1) Je, haya mambo mawili yanahusianishwa? (Tunampa Mungu utukufu kwa kuzifuata njia zake.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Je, sehemu ya pili ya huu wito ni ipi? (“Saa ya hukumu yake imekuja.”)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;a. Je, hiyo inamaanisha nini? (Ni wito wa kutubu kwa sababu muda (“saa”) ya hukumu ya Mungu ni sasa.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;3. Je, sehemu ya tatu ya huu wito ni ipi? (Kumwabudu Mungu kwa kuwa Yeye ni Muumba.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Soma Ufunuo 14:8. Je, ujumbe wa pili wa wito wa mwisho kuhusu ibada ni upi? (Mpinzani wako ameshindwa. Wakristo wanapaswa kupeleka ujumbe wa injili kwa ujasiri kwa sababu “Babeli, ule mji mkubwa” umeanguka!)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;C. Soma Ufunuo 14:9-11. Je, ujumbe wa tatu wa wito wa mwisho kuhusu ibada ni upi? (Ni onyo. Muda wa kufanya uchaguzi ni sasa. Hatma iko juu – uzima wa milele au ghadhabu ya Mungu iliyotengenezwa pasipo kuchanganywa na maji.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;D. Soma Ufunuo 14:12. Kama huwa unasoma masomo haya mara kwa mara, unayafahamu mambo haya. Umesikia ujumbe wa malaika watatu. Kama umefanya uamuzi sahihi, je, ushauri wa malaika wa mwisho kwetu ni upi? (Endelea kuwa mwaminifu. Vumilia kwa upole.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;1. Je, nini kinachojumuisha uaminifu, uvumilivu na ustahimilivu? (Haki kwa imani “Endelea kuwa mwaminifu kwa Yesu,” na kuwa na mtazamo wa utii.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;E. Rafiki, je, huyu ni wewe? Je, umekubali wito wa kumchagua Yesu kuwa Bwana wako? Je, umetubu dhambi zako na kukubali kafara ya Yesu kwa ajili (niaba) yako? Je, unaishi maisha yanayompa Mungu utukufu? Je, unainua sauti yako kumsifu Muumba wako? Je, u na mtazamo wa utii wa unyenyekevu kwa mapenzi ya Mungu? Kama sivyo, kwa nini usifanye uamuzi huo hivi leo? Hukumu tayari i  hapa. Uovu umeangushwa. Mungu analeta sura za mwisho za historia ya hii dunia kwenye mwisho wake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;IV. Juma Lijalo: Tutaanza somo zuri ajabu linalohusu injili katika Wagalatia!&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/3455255205653026852-5362455268496981361?l=lesoni.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lesoni.blogspot.com/feeds/5362455268496981361/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://lesoni.blogspot.com/2011/09/somo-la-13-ibada-katika-kitabu-cha.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3455255205653026852/posts/default/5362455268496981361'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3455255205653026852/posts/default/5362455268496981361'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lesoni.blogspot.com/2011/09/somo-la-13-ibada-katika-kitabu-cha.html' title='Somo la 13: Ibada Katika Kitabu cha Ufunuo'/><author><name>Lessoni ya Kiswahili</name><uri>http://www.blogger.com/profile/05032927242368522742</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-3455255205653026852.post-3602687733403050671</id><published>2011-09-11T11:57:00.000-07:00</published><updated>2011-09-11T11:59:01.179-07:00</updated><title type='text'>Somo la 12: Ibada Katika Kanisa la Awali</title><content type='html'>Somo Limetafsiriwa na Mgune Masatu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;(Matendo 1, 2, 17, &amp; 18, 1 Wakorintho 13)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Somo hili limetafsiriwa kutoka katika Copr. 2009, Bruce N. Cameron, J.D. Majibu yaliyopendekezwa yanapatikana kwenye parandesi (kwenye mabano). Somo limekaa kimtazamo kwamba mwalimu anatumia ubao au sehemu nyingine yoyote ambayo inaweza kuonekana na wanafunzi. Somo hili pia linaweza kupatikana kutoka &lt;a href="http://www.GoBible.org"&gt;http://www.GoBible.org&lt;/a&gt; kwa lugha ya Kiingereza pamoja na lugha nyingine kama vile Kifaransa, Kijerumani. Omba kwa ajili ya uongozi wa Roho Mtakatifu unapojifunza.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Utangulizi: Je, watu walioishi na Yesu waliabuduje? Kanisa la awali lilijawa watu waliopata fursa ya kumsikiliza Yesu akifundisha. Je, walipata utambuzi maalum kutoka kwa Bwana wetu? Je, tunaweza kuingiza kile walichokuwa wakikiabudu kwenye ibada yetu? Hebu tuzame kwenye Biblia na kuona kile tunachoweza kujifunza!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;I. Maelekezo&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma Matendo 1:1-3. Je, ni mambo gani mawili aliyoyajadili Yesu na wafuasi wake baada ya ufufuo wake? (Kwamba kwa hakika alikuwa amefufuka kutoka kaburini, na Ufalme wa Mungu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, Yesu alikuwa ni mwalimu pekee aliyehusika? (Hapana. Fungu linaelezea kwamba Yesu alichukuliwa juu “alipokuwa amekwisha kuwaagiza kwa Roho Mtakatifu.”)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Soma Matendo 1:4-6. Baada ya maelekezo yake baada ya ufufuo kuhusu Ufalme wa Mungu, je, wafuasi wa Yesu waliyaelewa vizuri? (Hapana! Bado walidhani kwamba Ufalme wa Mungu ulikuwa uletwe kwa urudishaji wa Ufalme wa Israeli.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, unaelezeaje kwamba wanafunzi bado walikuwa wamekosea kuhusiana na hili? (Hii inaonyesha kwamba mara nyingine tunakuwa na ugumu mkubwa wa kuuelewa ukweli – hata pamoja na kuwa na walimu bora kabisa.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;C. Soma Matendo 1:7-9. Kwa nini Yesu hakusema, “Enyi wapumbavu! Kwa nini mmekuwa hamnisikilizi kwa makini”?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, inawezekana kwamba wanafunzi hawakuwa wamekosea? (Soma Ufunuo 21:1-3. Muda unakuja ambapo Yesu atafanya mambo yote mapya katika nchi, ikijumuisha kuileta Yerusalemu Mpya kutoka mbinguni.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Baini katika Matendo 1:8 kwamba Yesu anawarejea wafuasi wake kuwa mashahidi “katika Yerusalemu, na katika Uyahudi wote, na Samaria.” Je, hii inapaswa kuwaambia nini wafuasi wake kuhusu ufalme? (Ya kwamba Ufalme wa Mungu sio tu Israeli, bali Samaria na hata mwisho wa nchi.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;3. Je, hii inatufundisha nini kuhusu ibada katika kanisa la awali? (Bado walikuwa wanatafuta suluhisho la masuala ya msingi ya injili.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;D. Hebu tuangalie tena Matendo 1:8. Tumejifunza kwamba Roho Mtakatifu tayari alikuwa akifanya kazi pamoja na Yesu katika kuwaelekeza wafuasi wake. Je, Yesu anaahidi nini anaposema “mtapokea nguvu, akiisha kuwajilia juu yenu Roho Mtakatifu?” (Hii inapendekeza viwango vya nguvu/uwezo vya karama ya Roho Mtakatifu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;1. Soma tena Matendo 1:5. Je, inamaanisha nini “kubatizwa katika Roho Mtakatifu?”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;E. Soma Matendo 1:12-14. Unadhani walikuwa wanasali kwa ajili ya kitu gani? (Urejeshwaji wa Ufalme wa Yerusalumu. Uwezo wa Roho Mtakatifu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;F. Je, ni masomo gani tunayoyapata hapa kuhusu ibada? (Walikuwa kwenye maombi. Tunahitajika kuomba kwa ajili ya uelewa sahihi wa injili. Tunatakiwa kuomba sio tu kwa ajili ya Roho Mtakatifu, bali kubatizwa katika Roho, kupokea uwezo mkuu mkubwa.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;II.  Utimizwaji&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma Matendo 2:1-4. Tuliona kwamba Roho Mtakatifu alifanya kazi pamoja na Yesu kutoa mfululizo wa mwisho wa maelekezo kwa wafuasi wa Yesu. Je, nini kilicho tofauti sasa? (Roho Mtakatifu amekuja kwa nguvu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, ishara za kuja kwa Roho Mtakatifu kwa nguvu zilikuwa zipi? (Upepo ulivuma kama kimbunga. Moto uliwakalia kila mmoja wao. Walipata karama ya ajabu ya kuzungumza lugha za kigeni.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Kamwe hii haijawahi kunitokea. Je, hii imewahi kukutokea? Aina yote ya makanisa yana picha za moto kwenye alama zao za utambulisho na nembo zao, lakini sio moto halisi makanisani mwao. Kwa kadri ninavyoweza kuelezea, nina Roho Mtakatifu wa “kawaida.” Kamwe sijawahi kuwa na uzoefu wa Roho Mtakatifu wa “hali ya juu.” Kwa nini? (Nimewahi kuwa kwenye mikutano ambapo nilidhani kuwa kwa namna ya pekee kabisa nilijihisi kuwa na Roho Mtakatifu, lakini kamwe sijawahi kusikia upepo wala kuona moto.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;a. Je, ni kwa jinsi gani hawa wanafunzi walipokea uwezo wa aina hiyo? (Mambo mawili. Walikuwa wameahidiwa uwezo huo, na waliomba kwa dhati na bidii kabisa ili kupata uwezo huo.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Je, tumeahidiwa Roho Mtakatifu kwa nguvu?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;C. Wasikilizaji walisema (Matendo 2:12) “Maana yake nini mambo haya?” Hebu tusome kile anachokisema Petro kuwa inamaanisha. Soma Matendo 2:14-18. Je, tumeahidiwa Roho Mtakatifu, sio tu uwezo wa kawaida, bali uwezo wa juu/mkubwa? (Ndiyo! Kama miaka elfu mbili iliyopita ilistahili kama “katika siku za mwisho,” je, tungekuwa tunauitaje wakati wetu sasa? Kama Yoeli 2 inasema hii ahadi inahusika kwa wale walio “katika siku za mwisho,” uelewa pekee wenye mantiki ni kwamba unahusika kwetu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Unakumbuka vitu viwili vilivyohitajika kwa Roho Mtakatifu kuja kwa nguvu? Ahadi ilikuwa ya kwanza, na ombi la dhati ilikuwa kitu cha pili. Je, umeshaomba kwa dhati na kwa bidii kabisa kwa ajili ya Roho Mtakatifu kuja kwa nguvu?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;D. Hebu tuendelee kusoma. Soma Matendo 2:22-24. Je, ni kitu gani hiki? (Ujumbe wa injili.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, ni wajibu gani alioufanya Roho Mtakatifu mwenye uwezo mkubwa kwenye hii huduma ya ibada/kiinjili? (Soma Matendo 2:32-33. Roho Mtakatifu alikuwa uthibitisho wa ukweli wa ujumbe. Huduma ilipata usikivu wa watu wengine, ilithibitisha kwamba Petro hakuwa amelewa na kuyafanya haya mambo.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;E. Soma Matendo 2:37-39. Je, ni wajibu gani mwingine anaoufanya Roho Mtakatifu? (Roho Mtakatifu alisaidia kuwatia hatiani wasikilizaji kuhusu dhambi zao. (Tazama Yohana 16:8-11.) Roho Mtakatifu pia alikuwa ni thawabu iliyoahidiwa.)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, Petro alikuwa anaahidi Roho Mtakatifu wa kawaida au yule mwenye uwezo mkuu kama thawabu katika Matendo 2:38? (Je, umewahi kununua kitu na ulipokifikisha nyumbani kikaanza kutokufanya kazi kama ambavyo kilikuwa kikifanya ulipokuwa dukani? Je, ulifanya nini jambo hilo lilipotokea? Sioni jinsi ambavyo Petro alikuwa akifanya jambo lolote zaidi ya kuahidi kile ambacho wamekiona punde – Roho Mtakatifu mwenye uwezo wa hali ya juu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;F. Soma Matendo 2:40-43. Jibu zuri ajabu! Watu elfu tatu waliongolewa kwa siku moja! Baini rejea kwa Roho Mtakatifu mwenye uwezo wa hali ya juu katika fungu la 43. Je, hii inapendekeza nini? (Kila mtu aliingiwa na hofu kutokana na maajabu na miujiza. Lakini, inaonekana kwamba ni mitume pekee ndio walikuwa wakiitenda.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, tunapaswa kuhitimisha kwamba Roho Mtakatifu mwenye uwezo mkubwa anapatikana (alikuwa akipatikana) kwa viongozi pekee?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Soma tena Matendo 2:17-18. Je, ni viongozi ndio wanaoelezewa hapa? (Hapana. Ni kinyume chake tu. Vijana na wazee wana karama. Wanawake wana karama. “Watu wote” wana karama.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;3. Rafiki, sijui jibu kwamba ni kwa nini Roho Mtakatifu mwenye uwezo mkubwa hayupo hivi leo. Ninataka kuusikia upepo, kuuona moto na kupata uzoefu wa Roho Mtakatifu mwenye uwezo mkubwa. Nadhani tunahitajika kuomba kwa dhati na kwa bidii kwa ajili ya hili na kuona kile ambacho Mungu atakitenda! Kwa muda huu, hebu tutafutie ufafanuzi suala hili kwa undani zaidi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;III. Mkutano Mwingine wa Kiinjili&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma Matendo 17:16-21. Je, ni aina gani ya majibizano anayoyapata Paulo kwenye mahubiri yake? (Inaonekana kuanzia kutoka kwenye kushuku hadi kwenye udadisi wa wastani.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, mambo yangekuwa tofauti kama Paulo angekuwa na Roho Mtakatifu mwenye uwezo wa hali ya juu akitenda kazi pamoja nae?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Ukipitia kwa haraka haraka Matendo 17:22-31, utaona kwamba Paulo anawahubiria injili kulingana na ushahidi wa mazingira ya asili. Ujumbe wake ni sawa na wa Petro wakati wa Pentekoste. Petro alidondoa kutoka kwenye Biblia na Paulo alidondoa kutoka kwenye mambo ya asili. Soma Matendo 17:32-34. Je, Paulo ana waongofu wangapi? (Wachache tu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Petro alikuwa na Roho Mtakatifu mwenye uwezo mkubwa na waongofu 3,000. Paulo hakuwa nae na alikuwa na waongofu wachache. Je, kuna tatizo lolote kwa Paulo? Soma Matendo 9:17. Paulo (Sauli) “amejazwa Roho Mtakatifu.”)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Soma Matendo 18:4-5 na Matendo 18:8-11. Je, Paulo yupo na nani kwenye mahubiri yake ya injili? (Tunamtia Paulo hatiani kwa kutokuwa na uwezo/nguvu inayounganishwa na Pentekoste, lakini Mungu anasema kuwa yu pamoja na mahubiri ya Paulo.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;3. Kwa vile Mungu anasema kuwa yu pamoja na Paulo kwenye mahubiri yake, ni kwa nini Roho Mtakatifu mwenye nguvu hayupo?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;IV. Ushauri Kuhusu Roho Mtakatifu Mwenye Uwezo wa Hali ya Juu/Uwezo Mkubwa&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;A. Soma 1 Wakorintho 13:1-3. Je, kuna uhusiano gani kati ya karama za kiroho na upendo kwa watu wengine? (Tunaambiwa kutopoteza mtazamo wa lengo. Lengo la kweli sio Roho Mtakatifu mwenye uwezo mkubwa. Hizi karama za Roho Mtakatifu ni zana za kuiendeleza injili. Kiini cha injili ni upendo kwa Mungu na wanadamu wenzetu. Mathayo 22:37-40.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Soma 1 Wakorintho 14:1. Je, ni mtazamo gani tunaopaswa kuwa nao kuhusu Roho Mtakatifu mwenye uwezo mkubwa? (Tunapaswa kutamani (na kuomba kwa ajili ya) uwezo wote wa Roho Mtakatifu ambao yu radhi kushiriki nasi. Lakini, tunahitaji kutambua kwamba karama za Roho Mtakatifu ni zana kwa ajili yetu kuwaleta watu wengine kwenye Ufalme wa Mungu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;C. Rafiki, je, utaomba kwa dhati na kwa bidii sio tu kwamba Roho Mtakatifu mwenye uwezo wa hali ya juu amwagwe kwako na kanisani kwako, bali kwamba Roho akupatie moyo wa upendo kwa watu wengine?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;V. Juma Lijalo: Ibada Katika Kitabu cha Ufunuo.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/3455255205653026852-3602687733403050671?l=lesoni.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lesoni.blogspot.com/feeds/3602687733403050671/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://lesoni.blogspot.com/2011/09/somo-la-12-ibada-katika-kanisa-la-awali.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3455255205653026852/posts/default/3602687733403050671'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3455255205653026852/posts/default/3602687733403050671'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lesoni.blogspot.com/2011/09/somo-la-12-ibada-katika-kanisa-la-awali.html' title='Somo la 12: Ibada Katika Kanisa la Awali'/><author><name>Lessoni ya Kiswahili</name><uri>http://www.blogger.com/profile/05032927242368522742</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-3455255205653026852.post-8313467376660224537</id><published>2011-09-06T01:00:00.000-07:00</published><updated>2011-09-06T01:03:33.872-07:00</updated><title type='text'>Somo la 11: Katika Roho na Kweli</title><content type='html'>Somo Limetafsiriwa na Mgune Masatu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;(Yohana 4)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Somo hili limetafsiriwa kutoka katika Copr. 2009, Bruce N. Cameron, J.D. Majibu yaliyopendekezwa yanapatikana kwenye parandesi (kwenye mabano). Somo limekaa kimtazamo kwamba mwalimu anatumia ubao au sehemu nyingine yoyote ambayo inaweza kuonekana na wanafunzi. Somo hili pia linaweza kupatikana kutoka &lt;a href="http://www.GoBible.org"&gt;http://www.GoBible.org&lt;/a&gt; kwa lugha ya Kiingereza pamoja na lugha nyingine kama vile Kifaransa, Kijerumani. Omba kwa ajili ya uongozi wa Roho Mtakatifu unapojifunza.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Utangulizi: Fikiria wewe kuwa na uwezo wa kumuliza Yesu kwamba ni kitu gani alichodhani kuwa kilikuwa cha muhimu sana kuhusiana na ibada. Je, hicho kitu hakitakuwa maalum? Hata hivyo, imebainika kuwa tunalo jambo hilo kwa uhakika kabisa na limeandikwa kwenye Biblia. Hebu tuzame mara moja kwenye somo letu la Biblia na kujifunza zaidi!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;I. Mgeni Mwenye Uhasama/Uadui&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma Yohana 4:1-3. Inaonekana kana kwamba Yesu anapata ushindi kwenye huu mpambano wa ubatizo! Je, kwa nini ajiondoe, tena pale anapokuwa ameshinda? (Huu sio mpambano, ni dhana isiyohitaji kuzingatiwa. Mafarisayo sasa wanabadili mtazamo wao na kumfanya Yesu kuwa “adui” mkuu. Yesu aliamua kwamba ilikuwa vema ajitoe/arudi nyuma.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Soma Yohana 4:4. Njia ya moja kwa moja kuelekea Galilaya ni kupitia Samaria. Wayahudi na Wasamaria hawakuwa wakipendana kwa sababu Wayahudi walidhani Wasamaria walikuwa wadhaifu. Kwa hiyo, Wayahudi mara kwa mara hawakupitia Samaria. Je, unadhani ni kwa nini Biblia inasema Yesu “alipaswa” kupitia Samaria? (Huenda Roho Mtakatifu alimwongoza kupitia Samaria.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;C. Soma Yohana 4:5-8. Ni yapata saa sita za mchana. Kwa nini Yesu akae kisimani badala ya kwenda na wanafunzi kununua chakula? (Kwa mara nyingine tena, hii inapendekeza kuwa Roho Mtakatifu anamwelekeza kuwa mahala hapa.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;D. Soma Yohana 4:9. Je, umewahi kujaribu kuzungumza na watu fulani, na wakataka kubadilisha mazungumzo hayo kuwa kwenye masuala ya kisiasa au ya kibaguzi? Je, hii inakuambia nini kumhusu huyu mwanamke wa Kisamaria? (Anataka kuwa mwenye machukizo.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Hebu tuchukulie kwamba Roho Mtakatifu anamwongoza Yesu kuwa na huu mjadala. Je, utalichukuliaje? “Asante, Roho Mtakatifu, nilihitaji kofi la maneno usoni!”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Je, utashawishika kujibu, “Acha mambo yasiyokuwa na mantiki. Mimi nina kiu tu!”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;II. Mahusiano ya Kiinjili na Maji ya Uzima&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma Yohana 4:10. Je, unadhani kwamba ni kweli Yesu ana kiu, au anajaribu tu kuanzisha mazungumzo?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, Yesu anajaribu kuyaelekeza wapi haya mazungumzo? (Kwenye utume wake duniani.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Soma Yohana 4:11-12. Jibu la swali lake kuhusu Yesu na Yakobo ni “Ndiyo.” Je, unadhani mwanamke alimaanisha hili kama swali? (Hapana. Anamshutumu kwa kuwa mtu asiye na akili timamu – akijiondosha kwenye uhalisia.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;C. Soma Yohana 4:13-15. Je, mwanamke amebadili mtazamo wake ghafla dhidi ya Yesu? (Inaonekana kuwa hivyo.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, unadhani ni kwa nini hili lilitokea? Je, twawezaje kutoka kwenye  uhasama/uadui hadi kwenye werevu? (Uwezo wa Mungu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Je, unao marafiki na watu wengine unaowafahamu wenye uhasama na Mungu na kwa hiyo ni maadui kwako?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;a. Je, ni somo gani tunaloweza kujifunza kuhusu kushiriki injili na watu wenye uhasama?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;3. Hebu turejee nyuma na kutafakari kauli za Yesu. Je, ni maji gani anayoyazungumzia Yesu?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;a. Soma Yohana 7:37-39. Yesu anatupatia kile alichompatia huyu mwanamke. Je, umekikubali?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;b. Je, maisha kama yale yaliyokuwa na “mito ya maji yaliyo hai itatoka ndani yake” yataonekanaje?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;(1) Yesu anatumia ishara ya maji kwa sababu maalum. Maji yanafanya kitu gani? (Yanaburudisha. Yanafanya mambo yaonekane yenye uhai/upya. Yanafanya mambo yakue.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;(2) Je, maisha yako yapo kama haya? Je, unawatia nguvu wale wanaokuzunguka? Je, unawaburudisha/fariji watu wengine? Je, unawasaidia kukua kiroho?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;(3) Fikiria kanisa zima lililojaa watu wanaotoa mito ya maji ya uzima! Je, aina hiyo ya ibada itaonekanaje?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;D. Soma Yohana 4:16-18. Juma lililopita tulijifunza kwamba Mungu alisema kuwa atatusikiliza tutakapomtafuta kwa moyo wetu wote, na hatawasikiliza wale waliomkataa hata kama walipiga kelele sikioni mwake. Huyu ni mwanamke asiyekuwa na maadili. Kama Roho Mtakatifu ndiye aliyeongoza hili kutaniko, je, ni kwa nini? (Kuna tofauti kati ya wale wanaogeuza kwa ukakamavu migongo yao kwa Mungu na kuiendeleza ibada ya uongo, na wale wanaojichafua tu katika dhambi.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, kwa nini Yesu aliisonda dhambi yake? (Alimwonyesha kwamba aliufahamu ukweli – kitu ambacho huenda mtu mgeni asingeweza kukijua. Hakuwa mtu asiyekuwa na akili timamu. Na kwa kuongezea, Mungu anatupima kwenye maeneo yetu yenye udhaifu wa kiroho.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;E. Soma Yohana 4:19-20. Mwanamke anakiri kuwa Yesu ni mtu maalum, lakini kisha anabadili mada. Kwa nini? (Huyo mwanamke ni kama jinsi sisi tulivyo. Tunamwendea mtu anayeibukia kiroho, na tunataka kuongelea kuhusu masuala makuu/makubwa ya kiteolojia yanayotenganisha kanisa letu na makanisa mengine, hatutaki kuongelea kuhusu dhambi kwenye maisha yetu wenyewe!)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;III. Ushauri wa Yesu Juu ya Ibada ya Kweli&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma Yohana 4:21. Yesu anaendelea mbele na jaribu la mwanamke la kutaka kubadili mada kwenye masuala makubwa/makuu ya kiroho. Je, sio jibu sahihi kwamba watu wanapaswa kuwa wanaabudu Yerusalemu? (Soma 1 Timotheo 2:8. Yerusalemu itaharibiwa hivi karibuni. Mfumo wa patakatifu pa mbinguni utatimizwa kwa kafara ya Yesu na ufufuo. Yesu anaelekeza wakati ambapo kila mtu mahali popote anapaswa kuinua mikono yake katika maombi na kumwabudu Mungu!) &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Soma Yohana 4:22. Yesu anasema wokovu watoka kwa Wayahudi, kwa nini? Je, huku sio kumdhihaki/kumfedhehesha huyu mwanamke? (Wayahudi walikuwa na mfumo wa patakatifu uliokuwa ukijielekeza kwa Yesu. Yesu alikuwa Myahudi katika uanadamu wake.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;C. Soma Yohana 4:23-24. Tunaingia kwenye ushauri wa Yesu usio na kikomo kuhusu ibada! Hebu tuchimbue zaidi kile inachomaanisha kumwabudu Mungu katika “roho na kweli.” Je, kauli ya “Mungu ni Roho, nao wamwabuduo yeye imewapasa kumwabudu katika roho” inaleta mantiki yoyote kwako?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Hebu tuseme hili katika muktadha unaofanana: “Baba yako ni mwanaume, lazima uzungumze nae kama mwanaume.” “Mama yako ni mwanamke, lazima uzungumze nae kama mwanamke.” Je, hiyo inatufundisha nini kuhusu kuwasiliana na wazazi wetu?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Hebu tusome Mathayo 28:18-19. Katika hili fungu Yesu anatuambia kuwa Mungu ni zaidi ya Roho, Yeye pia ni Baba na Mwana. Je, Yesu anatuambia nini katika Yohana 4:24 kuhusu kumwabudu Mungu katika “Roho?” (Katika kiwango cha kawaida kabisa, Mungu yu tofauti na miungu ya uongo kwa sababu yeye sio sanamu na hazingirwi na mahala pamoja. Hii kimantiki inaendana na jibu la Yesu kwenye swali kuhusu mahali pa ibada. Unaweza kumwabudu Mungu mahali popote. Katika kiwango cha ndani zaidi, Yesu anatuambia kuwa Roho Mtakatifu ndiye kiini cha ibada.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;D. Soma Yohana 16:7-15. Je, ni sehemu gani ya Mungu Baba, kwa mujibu wa Yesu, itakuwa sehemu ya rejea katika kukabiliana na wanadamu? (Roho Mtakatifu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Kama Roho Mtakatifu ndiye kiini cha ibada, je, kiwango cha uhusishaji wa Roho Mtakatifu katika ibada yako ni kipi?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Nina marafiki wangu wa dhati kanisani kwangu wanaotumia neno “Pentekoste” kama neno hasi (sio chanya). Kama kitu ni cha “Kipentekoste,” basi kwa dhahiri ni kibaya (cha kimakosa), na kwa hiyo kukitia kitu alama kama cha Kipentekoste kinamaliza mjadala. Roho Mtakatifu alikuja kwa uwezo wakati wa Pentekoste (Matendo 2). Je, marafiki wangu, na wale wanaokubaliana nao, wanatakiwa kurekebisha fikra zao kwenye hii mada? (Nadhani hivyo!)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;E. Hebu tuangalie sehemu ya pili ya Yohana 4:24. Sehemu ya kwanza ya ibada ya kweli ni Roho. Je, inamaanisha nini kuabudu “katika kweli?”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Soma 1 Wakorintho 14:22-25. Je, Biblia inasema nini kuhusu vipaji vya Pentekoste? (Ya kwamba vinatakiwa kutumika kwa busara. Tunaposoma 1 Wakorintho sura za 12-14 tunajifunza kwamba kanisa katika Korintho lilikuwa limejawa na uwezo wa Roho Mtakatifu. Paulo anasema hii inatakiwa kujaribiwa na “kweli.” Kumbuka kwamba katika Yohana 16:13 Roho Mtakatifu anatakiwa kutuongoza katika “kweli.” Paulo hawaambii Wakorintho kuwa wanajihusisha na nguvu za kishetani. Badala yake, anasema matumizi yetu ya Roho yanapaswa kuonyesha mantiki ya kawaida: kweli.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;2. Soma 1 Wakorintho 12:1-3. Je, ni somo gani analotupatia Paulo kuhusu Roho Mtakatifu? (Hakuna ujumbe unaotoka kwa Roho Mtakatifu utapingana na injili. Manabii wa Agano la Kale, maneno ya Yesu, na manabii wa Agano Jipya wote wataendana na Roho Mtakatifu hivi leo kwa sababu wote wana chanzo kimoja.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;3. Soma 1 Wakorintho 14:18-20. Je, hawa “ndugu” wanashawishiwa na mapepo? (Hapana. Hili ni jambo la muhimu sana. Waamini wanaweza kumtumia vibaya Roho Mtakatifu. Wanaweza kuzungumza na kuandika kama watoto. Hatutakiwi kuhitimisha kwamba kwa sababu tu mtu fulani alimtumia vibaya Roho wa Mungu kwamba ilikuwa ni ya kishetani. Huenda inaweza kuwa tu ni upumbavu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;4. Mara kadhaa marafiki wangu wa Kipentekoste wamekuwa wakisema isipokuwa tu kama Roho Mtakatifu atazungumza nao kwenye suala la Biblia, hawatabadili msimamo wao. Je, hii ni sahihi? (Tumejifunza kwamba Roho Mtakatifu atatuongoza kwenye kweli, lakini Biblia ni Neno la Mungu. Kama Biblia ipo wazi, Roho anazungumza nasi.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;F. Rafiki, je, ibada yako ipo katika “Roho na kweli?” Baadhi ya makanisa yamo kwa undani zaidi katika “kweli” kiasi kwamba yanatii kiu ya Roho. Baadhi ya makanisa yapo kwenye undani zaidi katika “Roho” kiasi kwamba yanatii kiu ya kweli. Je, utaomba ili kwamba wewe na kanisa lako muabudu kikamilifu katika Roho na kweli?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;IV. Juma Lijalo: Ibada Katika Kanisa la Mwanzo.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/3455255205653026852-8313467376660224537?l=lesoni.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lesoni.blogspot.com/feeds/8313467376660224537/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://lesoni.blogspot.com/2011/09/somo-la-11-katika-roho-na-kweli.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3455255205653026852/posts/default/8313467376660224537'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3455255205653026852/posts/default/8313467376660224537'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lesoni.blogspot.com/2011/09/somo-la-11-katika-roho-na-kweli.html' title='Somo la 11: Katika Roho na Kweli'/><author><name>Lessoni ya Kiswahili</name><uri>http://www.blogger.com/profile/05032927242368522742</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-3455255205653026852.post-3001065713548039439</id><published>2011-08-26T04:28:00.000-07:00</published><updated>2011-08-26T04:33:44.271-07:00</updated><title type='text'>Somo la 10: Ibada: Kutoka Uhamishoni Hadi Urejeshwaji</title><content type='html'>&lt;br /&gt;Somo Limetafsiriwa na Mgune MAsatu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;(1 Wafalme 8, Ezekieli 8 &amp; 9, Yeremia 29)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Somo hili limetafsiriwa kutoka katika Copr. 2009, Bruce N. Cameron, J.D. Majibu yaliyopendekezwa yanapatikana kwenye parandesi (kwenye mabano). Somo limekaa kimtazamo kwamba mwalimu anatumia ubao au sehemu nyingine yoyote ambayo inaweza kuonekana na wanafunzi. Somo hili pia linaweza kupatikana kutoka &lt;a href="http://www.GoBible.org"&gt;http://www.GoBible.org&lt;/a&gt; kwa lugha ya Kiingereza pamoja na lugha nyingine kama vile Kifaransa, Kijerumani. Omba kwa ajili ya uongozi wa Roho Mtakatifu unapojifunza.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Utangulizi: Je, mara nyingine inaonekana kwamba Mungu si halisi? Au, kama yeye ni halisia, hajihusishi sana kuhusiana na sisi? Au, kama anajihusisha, anafanya mambo kwa sababu tusizozielewa? Yanapotokea haya, je, tunamlaumu nani? Maswali yote niliyoyauliza yanatoa shutuma kwa Mungu. Kutoa shutuma ni suala gumu ambalo kwa ujumla huwa linaendana na hoja za kweli. Lakini, mara zote tunapaswa tujiulize kuhusiana na mitazamo yetu tunapoamua kumshutumu/kumlaumu Mungu. Hebu tuzame kwenye somo letu la Biblia ili tujifunze zaidi kuhusu ukimbizi wa watu wa Mungu, mitazamo yao, na mtazamo tunaopaswa kuwa nao mbele za Mungu!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;I.	Utangulizi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A.	Kumbuka kwamba tulijifunza jinsi Mfalme Daudi alivyokuwa akicheza kwa furaha alipoleta Sanduku la Agano la Mungu Yerusalemu (Samweli 6:12-15). Mwana wa Daudi, Mfalme Sulemani, alijenga Hekalu la Mungu Yerusalemu na akaliweka Sanduku la Agano Hekaluni (1 Wafalme 8). Hebu tusome sehemu ya sala/ombi la Mfalme Sulemani la kuliweka wakfu Hekalu na Sanduku la Agano. Soma 1 Wafalme 8:46-49. Je, Sulemani anaomba nini kuhusu dhambi na adhabu? (Anayaunganisha haya mambo mawili.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1.	Je, njia ya kuondokana na adhabu ni ipi? (Kumgeukia Mungu “kwa moyo wao wote.”)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B.	Soma 1 Wafalme 8:59-61. Je, Sulemani anasema kuwa lengo la sala yake ni lipi? (Kwamba Mungu na watu Wake wawe na uhusiano ambao kila mtu anayeishi duniani ajue kwamba “Bwana ndiye Mungu na kwamba hakuna mwingine.”)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1.	Je, hilo ndilo lengo maishani mwako?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;II.	Ibada ya Siri&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A.	Soma Ezekieli 8:1. Ezekieli anasema kwamba yupo nyumbani kwake na Wazee wa Yuda. Je, hiyo inamaanisha nini? (Lazima atakuwa alikuwa kwenye kikao fulani hivi cha kiutawala au cha kidini.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1.	Je, inamaanisha nini kwa kauli “mkono wa Bwana Mungu kumwangukia?” (Roho Mtakatifu anamtokea Ezekieli.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B.	Soma Ezekieli 8:2-4. Ezekieli anachukuliwa kwenye maono na Roho Mtakatifu. Je, maono yake yanamwelekeza wapi? (Kwenye mji mkuu, Yerusalemu, na kwenye lango la kaskazini la Hekalu – Hekalu lile lile lililowekwa wakfu na Sulemani kwa ajili ya utukufu wa Mungu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;C.	Soma Ezekieli 8:5-6. Je, watu wanauabudu wivu? (Hapana. Kutoka 20:5 inawaambia watu wasiabudu miungu ya uongo, kwa sababu Yehova ni “Mungu mwenye wivu.”)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;1.	Je, tunachukulia tu kuhusu mtu mmoja kuiabudu sanamu moja? (Hapana. Mungu anasema “Nyumba ya Israeli” inafanya mambo ya machukizo.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2.	Maelezo (“Commentary”) ya Keil na Delitzsch ya Agano la Kale inatuambia kuwa wanyama wa kafara walipelekwa kupitia kwenye hili lango ili waweze kutolewa kama kafara. Je, hii inapendekeza nini kuhusu asili ya hii dhambi? (Kwamba badala ya kumtegemea Mungu kwenye ibada yao, watu sasa walikuwa wanaitegemea miungu ya uongo.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;D.	Soma Ezekieli 8:7-11. Ezekieli anaona kile kinachoendelea kwa kutoboa tundu kwenye ukuta wa hekalu. Je, unadhani hii ishara inamaanisha nini? (Hii sio ibada ya wazi. Ezekieli alikuwa anachungulia kupitia kwenye tundu alilolipanua hadi mlangoni. Hii ibada ilikuwa inafanyika nyuma ya milango iliyofungwa (au tuseme kwamba “nyuma ya pazia”).)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1.	Soma Hesabu 11:16. Je, unadhani kuwa Ezekieli alikuwa akiwaangalia watu sabini? Au, je, unadhani kuwa neno “wazee sabibi” ni la kiishara? (Hesabu hii inaonekana kurejea watu sabini waliokuwa viongozi wa Israeli kipindi cha Safari ya Wana wa Israeli. Kwa hiyo, nadhani hii ni ishara ya uongozi wote wa taifa.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;E.	Hebu fikiria kuhusu haya mafungu. Je, tunapaswa kuhitimisha nini kuhusu ibada ya Yuda katika kipindi chake? (Ezekieli ana kikao kikubwa baina yake na uongozi, na Mungu anamwonyesha kuwa wanaiabudu kwa siri miungu mingine. Lengo/Dhana nzima ya Hekalu imeharibiwa.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1.	Je, tunawezaje kutumia onyo hili hivi leo? Hata hivyo nina uhakika kuwa matendo yasiyo ya “siri” yanaendelea kanisani kwangu, lakini je, vipi kuhusu nyumbani mwetu? Je, tunaiabudu miungu mingine kupitia kwenye televisheni, intaneti, majarida au vitabu?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2.	Je, tunaupotosha ujumbe wa kwamba Mungu wa kweli ndiye ambaye utukufu wote unamstahili?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;F.	Soma Ezekieli 8:12. Kwa nini watu wanamgeuka (wanampa kisogo) Mungu kisirisiri? (Aidha wanadhani Mungu hawajali (“Bwana ameiacha nchi”) au Mungu haelewi (Bwana hatuoni.”))&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1.	Je, watu wengine waliabudu miungu mingine kupitia kwenye televisheni, intaneti, majarida au vitabu kwa sababu walidhani Mungu hakuwajali au haelewi? Au, je, huku ni kufungamana kubaya – kwa dhati somo halijihusishi nasi sana hivi leo?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;G.	Hebu tupambanue asili ya tatizo kwa undani zaidi. Soma Ezekieli 8:16-18. Je, unadhani inamaanisha nini kulipa kisogo Hekalu na kuliabudu jua? (Walikuwa wanaiabudu asili. Walimpa kisogo Mungu wa kweli na badala yake kuabudu kile alichokiumba. Hii inabadili dhana nzima ya Hekalu na maana yake.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1.	“Kuliweka tawi puani” sio maneno niliyo na uzoefu nayo, ila nimewahi kusikia “kugeuza pua yako.” Je, ni kitu gani kingine wanakifanya hawa watu? (Wanawaumiza majirani wao na kuiabudu asili. Lengo la awali lilikuwa ni kumpa Mungu utukufu kupitia kwenye matendo mema ya watu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2.	Je, Mungu anajibuje? (Mungu atatenda haki.) &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;III.	Alama&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A.	Soma Ezekieli 9:1-2. Kundi la ajabu namna gani! Je, watu hawa ni akina nani? (Walinzi wenye silaha wa hekalu na mwandishi.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B.	Soma Ezekieli 9:3-4. Je, msingi wa kupata alama ni upi?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;C.	Soma Ezekieli 9:5-6. Tuafikiana kuwa tatizo la ibada lilienea kwa sababu wazee “sabini” walikuwa ni ishara ya uongozi mzima (wote). Je, kwa nini hukumu inaanzia hekaluni Yerusalemu? (Wale walikuwa waliokuwa katika uongozi. Wale waliokuwa karibu sana na mfumo wa ibada.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1.	Baini kiwango cha hukumu katika Ezekieli 9:4. Je, nani anayeepuka hukumu ya Mungu? (Wale “wanaougua na kulia kwa sababu ya machukizo yote yanayofanyika kati yake.”)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;a.	Je, hii inaendana na haki kwa imani? (Juma lililopita tulikubaliana kuwa haki kwa imani inaambatana na mtazamo sahihi. Wale walioepuka hukumu walifanya hivyo kwa sababu ya mtazamo wao. Walisumbuliwa na dhambi.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;(1)	Je, hili ni somo linalohusika kwetu hivi leo? (Ndiyo. Tunaona kwamba watu walijihusisha kwenye uovu wa dhahiri, lakini ilipokuja suala la tutekelezwa hukumu, uamuzi uliugeukia mtazamo wao.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;D.	Katika 2 Wafalme 25 Biblia inaandika uangamizi wa Babeli wa Hekalu lililojengwa na Mfalme Sulemani. Hekalu halikuleta tena utukufu kwa Mungu. Hukumu iliyoelezewa kabla na Ezekieli na watu wengine ilitekelezeka. Kumbuka watu walisema kwamba Mungu haelewi au hajali? Tunaona hapa kwamba Mungu alifahamu na kujali kwa sababu aliwaonya watu kuhusu hukumu, na kisha akaitekeleza. Hebu tugeukie mtazamo wa Mungu kuhusiana na hili.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;IV.	Mtazamo wa Mungu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A.	Soma Yeremia 29:10-11. Tulichokisoma hivi punde katika Ezekieli kinaonekana kuwa cha kikatili. Je, mpango mkuu wa Mungu kwa ajili yetu ni upi? (Mungu anataka kutubariki, sio kutujeruhi. Hata na uangamizi wa Babeli wa Hekalu la Mungu, na mauaji na utekaji wa watu wa Mungu, Mungu anawaambia kuwa awataokoa katika kipindi cha miaka sabini.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B.	Soma Yeremia 29:12-14. Je, aina gani ya mtazamo Mungu anaitafuta hapa? (Anataka watu wake wamtafute kwa moyo wao wote.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1.	Soma tena Ezekieli 8:18. Je, nini kinacholeta utofauti kwenye utayari wa Mungu wa kusikiliza? &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;C.	Je, ni uhusiano gani uliopo kati ya mtazamo wa “kuugua na kulia” wa Ezekieli 9:4, na mtazamo wa “kunitafuta na kuniona” wa Yeremia 29:13? (Kama lengo lako maishani ni kumpa Mungu utukufu kupitia kwenye uhusiano wako na Mungu, basi tatizo la dhambi Hekaluni litakuwa la kusumbua sana.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;V.	Mwitikio wa Haki&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;A.	Soma Nehemia 1:4-7. Nehemia aliposikia hukumu ya Mungu juu ya Yerusalemu, alifanya hii sala. Je, unadhani vitu gani vilivyo vya muhimu kwenye hii sehemu ya sala ya Nehemia? (Anamkiri Mungu wa kweli, aliye Mungu wa upendo. Anatubu dhambi.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1.	Je, unaweza kufikiria ombi ambalo Nehemia angekuwa akimshutumu Mungu kwa kuwa mzembe au asiyejali kwa sababu ya uangamivu wa hekalu na watu wa Mungu?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B.	Hebu tuendelee na sala ya Nehemia. Soma Nehemia 1:8-9. Je, ni kitu gani katika sala/ombi tunakiona hapa? (Nehemia anakumbuka maelekezo ya Mungu na ahadi zake. Hebu baini lengo: “mahali nilipopachagua ili kuliweka jina langu hapo.” Utukufu wa Mungu ndilo lengo.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;C.	Soma Nehemia 1:10-11. Je, Nehemia anajiweka kwenye nafasi gani kwa ajili yake katika sala yake? (Mwishoni!)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;D.	Je, unaweza kuona katika sala ya Nehemia, mtazamo wa “kuugua na kulia” na kitu cha “kunitafuta na kuniona?” (Ndiyo. Huu ni mchanganyiko wa ile mitazamo miwili ambayo Mungu anaitamania kwa ajili yetu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;E.	Rafiki, je, una mtazamo kama wa Nehemia? Je, hufurahii tatizo la dhambi? Je, unamtafuta Mungu kwa moyo wako wote kwa lengo la kumpatia utukufu? Kama sivyo, kwa nini usitubu leo na kumwomba Roho Mtakatifu abadilishe mtazamo wako?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;VI.	Juma Lijalo: Katika Roho na Kweli.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/3455255205653026852-3001065713548039439?l=lesoni.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lesoni.blogspot.com/feeds/3001065713548039439/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://lesoni.blogspot.com/2011/08/somo-la-10-ibada-kutoka-uhamishoni-hadi.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3455255205653026852/posts/default/3001065713548039439'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3455255205653026852/posts/default/3001065713548039439'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lesoni.blogspot.com/2011/08/somo-la-10-ibada-kutoka-uhamishoni-hadi.html' title='Somo la 10: Ibada: Kutoka Uhamishoni Hadi Urejeshwaji'/><author><name>Lessoni ya Kiswahili</name><uri>http://www.blogger.com/profile/05032927242368522742</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-3455255205653026852.post-2981545329216381316</id><published>2011-08-19T05:27:00.000-07:00</published><updated>2011-08-19T05:29:58.443-07:00</updated><title type='text'>Somo la 9: “Usiamini Katika Maneno ya Uongo/Udanganyifu”: Manabii na Ibada</title><content type='html'>Somo Limetafsiriwa na Mgune Masatu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;(Yeremia 7, Isaya 58, Mika 6)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Somo hili limetafsiriwa kutoka katika Copr. 2009, Bruce N. Cameron, J.D. Majibu yaliyopendekezwa yanapatikana kwenye parandesi (kwenye mabano). Somo limekaa kimtazamo kwamba mwalimu anatumia ubao au sehemu nyingine yoyote ambayo inaweza kuonekana na wanafunzi. Somo hili pia linaweza kupatikana kutoka &lt;a href="http://www.GoBible.org"&gt;http://www.GoBible.org&lt;/a&gt; kwa lugha ya Kiingereza pamoja na lugha nyingine kama vile Kifaransa, Kijerumani. Omba kwa ajili ya uongozi wa Roho Mtakatifu unapojifunza.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Utangulizi: Miaka mingi iliyopita, nilikuwa eneo la Michigan kukutana na kundi la walimu waliokuwa na pingamizi la kidini kuhusu kukitegemeza chama cha walimu. Walimu wengi walifurahi sana kwa mimi kuwasaidia kwa sababu waliridhika kwamba haikuwa ikimpendeza Mungu kusalia kwenye hicho chama kilichopingana na kanuni za Mungu. Mwalimu moja alijali sana kuhusiana na wajibu wake kwa Mungu, lakini pia alijali kuhusiana na bima ya gari lake iliyotolewa na chama cha walimu. Alitaka kujua kama akijiondoa kutoka kwenye chama angeweza kuendelea kuhudumiwa na chama kuhusu bima ya gari lake. Nilipomwambia kuwa, “Hapana,” wasio wanachama hawakuwa na haki ya kuendelea kudhaminiwa bima, alijibu kuwa itakuwa gharama sana kwake kuweka pingamizi la kidini. Tulipokuwa tukiondoka kikaoni, niligundua kuwa alikuwa akiendesha gari jipya aina ya Cadillac. Imani yake inaweza kuthamanishwa na kiasi alichoweka akiba kutokana na bima iliyotolewa na chama cha walimu. Je, vipi kuhusu sisi? Je, imani yetu inaleta utofauti maishani mwetu? Je, inapaswa kuwa hivyo? Au, je, haki kwa imani inatupumzisha kutoka kwenye vitu kama hivyo? Hebu tuzame kwenye somo letu la Biblia na tujifunze kuhusu imani inayoleta utofauti!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;I.	 Watu wa Mungu, Kanisa la Mungu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A.	Soma Yeremia 7:1-2. Je, Mungu alikuwa akimfikiria nani akilini mwake kama mpelekaji wa ujumbe Wake? (Watu wake. Aliwataka wale waliokuwa wakiingia kwenye ibada kuusikia huu ujumbe.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B.	Soma Yeremia 7:3-4. Mungu anasema “Unatakiwa kufanya mabadiliko maishani mwako (tengenezeni njia zenu na matendo yenu)”. Baadhi ya watu wanajibu wakiwa na neno kuhusu jiografia: “Hili ni hekalu la Bwana.” Je, kiuhalisia kabisa watu hawa wanasema nini? (Wanaabudu katika kanisa lililo sahihi.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1.	Baini kwamba hawa watu wanarudia jibu lao mara tatu. Kwa nini? (Kurudia jambo mara mbili katika Biblia ni njia ya kawaida ya kusema kwamba kitu fulani ni cha muhimu. Huenda walisema mara tatu ili kujiridhisha wao wenyewe.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2.	Fungu linapendekeza kwamba “Hili ni hekalu la Bwana” ni kauli ambayo watu wanaitumia mara kwa mara. Mungu anaiita kauli kuwa “maneno ya uongo.” Je, ni kitu gani kwenye kauli hiyo kinapotosha? (Utambulisho wa kanisa sio unaokuokoa.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;a.	Baini kuwa hawa watu sio tu kwamba walikuwa na “kanisa” sahihi, bali pia walikuwa wakiingia kwenye mfumo sahihi wa ibada. Tena muhimu zaidi, walikuwa wakimwabudu Mungu wa kweli. Je, mfumo sahihi wa ibada mbele za Mungu wa kweli unaweza kuwa wa uongo?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;C.	Soma Yeremia 7:5. Je, Mungu anawataka watu Wake wafanye nini? (Wabadili “njia zao.” Kwa Kiebrania inamaanisha “barabara,” kwa hiyo hii inamaanisha uelekeo wa maisha yao, mtazamo wao. Mungu anataka badiliko la mtazamo.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;1.	Hebu tusimame kidogo na kutafakari hili. Hawa watu walikuwa na kanisa sahihi, Mungu wa kweli, na ibada sahihi, lakini Mungu aliwaita kuwa waongo. Je, hii inatufundisha nini kuhusu ibada? (Kwamba haikomi/haiishi pale tunapoondoka kanisani.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;II.	Ibada Inayoishi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A.	Soma Yeremia 7:6-7. Je, mgeni, yatima na mjane wana kitu gani cha kawaida kwa pamoja? (Wamepungukiwa uwezo katika jamii.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1.	Je, utawakandamiza kwa kutowasaidia? (Kuna mafungu mengine ya Biblia yanayojadili kuhusu kuwasaidia wahitaji, lakini hilo sio fungu mojawapo. Neno la Kiebrania linalohusu “ukandamizaji” linamaanisha “laghai/ghilibu” au “kiuka.” Watu hawa kwa ujasiri kabisa wanawaonea watu wasiojiweza.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2.	Kinyume na kuwadhuru wasiojiweza, ni kitu gani kingine hawa watu wanakifanya? (Wanawaua watu wasiokuwa na hatia.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;3.	Je, kwa ujumla unaelezeaje mtazamo wa hawa watu wa Mungu? (Wanatumia vibaya uwezo wao.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;4.	Marekani, serikali inawalipa watu masikini na wasio na kazi, na hii inaongeza kodi ya ziada kwa watu wanaofanya kazi kwa bidii na kufanikiwa. Kwenye demokrasia, tunaamua vitu kwa kupiga kura, na tuna wapiga kura muhimu wengi walio masikini kuliko wapiga kura muhimu walio matajiri. Je, watu masikini wanaweza kutumia vibaya uwezo wao, au je, hii tu ni dhambi ya matajiri?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B.	Soma Yeremia 7:7-8. Je, Mungu atawabariki wale wanaotumia uwezo wao vibaya? (Hawawezi kumtegemea Mungu, kwa kuwa Mungu anasema kwamba wanajidanganya. Mungu anawaambia kwamba atawanyang’anya miji yao na nchi yao.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;C.	Soma Yeremia 7:9-11. Je, tunamwabudu Mungu kwa usahihi kama tunatumia vibaya uwezo wetu? (Hapana! Mungu anasema kuwa hawa watu wanawadhuru watu wengine kwa kutumia njia mbaya kabisa. Kwa kuongezea, wanaitii miungu mingine.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1.	Je, hii inasema nini kuhusu haki kwa imani?(Sidhani kama haki kwa imani inahusika hapa, kwa sababu hawa watu wanaiweka imani yao kwa Baali, ingawaje wanahudhuria kwenye kanisa sahihi. Matendo mabaya yanaelezea tu kwamba hawana mtazamo wa utii kwa Mungu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2.	Baini kwamba Mungu anasema kuwa anawaona. Je, anatuona?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;a.	Kama unasema, “ndiyo,” hebu ngoja nikuulize swali wewe binafsi. Je, matendo yako yanabadilika kulingana na kama watu wengine wanakuangalia? Je, utaangalia vipindi vya televisheni hivyo hivyo, kuangalia tovuti hizo hizo, au kusikiliza muziki huo huo kama viongozi wako wa kanisa wakiwa pamoja nawe?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;(1)	Kama usingefanya hivyo, basi kwa nini ujihusishe na mambo haya wakati ambapo Mungu anakuona?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;(2)	Je, mwenendo wetu mbele za Mungu (anayesema kuwa anaangalia muda wote) ni suala la ibada? (Ibada ni kumheshimu Mungu na kumwonyesha utii wetu. Kwa muktadha huo, utii ni ibada.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;III.	Wafuasi Waaminifu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A.	Soma Isaya 58:1. Je, Mungu anafadhaika kuhusiana na dhambi za watu?  &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1.	Je, Mungu anaziitaje dhambi zao? (Uasi.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;a.	Hili ni neno linalofurahisha sana. Ninaamini katika haki kwa imani. Ni njia pekee ya kuuelekea uzima wa milele. Lakini, hebu tuchunguze tatizo la dhambi. Je, Mungu anaiangaliaje dhambi, na hiyo inasema nini kuhusu haki kwa imani? (Dhambi ni uasi dhidi ya Mungu. Ni kuukataa ufalme Wake. Imani na matendo haviwezi kutenganishwa kimantiki, kwa sababu matendo yetu yanatokana na mitazamo yetu. Dhambi inatokana na mtazamo wa uasi dhidi ya Mungu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B.	Soma Isaya 58:2. Je, kwako wewe watu hawa wanaonekana kuwa ni waasi ?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;C.	Soma Isaya 58:3. Hebu tuangalie sehemu ya kwanza ya hili fungu. Je, hawa watu wanajikana nafsi?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;D.	Soma Isaya 58:3-4 na Warumi 7:14-15. Je, Isaya anazungumza na kikundi cha watu ambao wanafanana kabisa na mtume Paulo (na, kama ukweli ukielezwa, wanafanana tu kama wewe na mimi)?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1.	Je, lengo la kufunga  na “kujinyenyekeza kwetu” ambavyo watu wanasema kuwa wanavifanya ni lipi? (Kujikana nafsi.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2.	Kwa nini “uwanyonye … wafanyakazi” au muanze “kupigana kwa ... ngumi?” (Wanajipendelea wenyewe dhidi ya wafanyakazi wao. Wanasisitiza kutekeleza mawazo yao dhidi ya washiriki wa kanisa wenzao. Kwa hakika hiki ni kinyuma cha kujikana nafsi!)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;E.	Soma Isaya 58:6-7. Je, Mungu anatoa wito gani kwenye (saumu) mfungo wetu? (Kuwa na msimamo/uthabiti! Kujichunguza binafsi. Tunawezaje kusema kuwa tunajikana nafsi, kama tunawanyanyasa watu wengine kwa ajili ya manufaa yetu? Mungu anatuambia tufumbue macho yetu na kuona mambo kama vile Yeye anavyoyaona.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;F.	Hebu turukie nyuma hadi mwanzoni kabisa mwa huu mjadala. Soma tena Isaya 58:2. Kutokana na kile kinachoendelea, je, tunawaelezeaje hawa watu? (Je, mtu fulani amewahi kukutaka utoe maoni/mawazo yako, na ikaonekana kuwa hawana haja na maoni yako – isipokuwa kama unakubaliana nao? Hawa watu hawaulizi kwa sababu wapo makini kuhusiana na utayari wao wa kubadilika. Wanatafuta uthibitisho/uidhinishwaji wa kimamlaka wa matendo yao ya ubinafsi!)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1.	Je, uko makini kwa kiasi gani kuhusu kutafuta na kufuata maoni ya Mungu?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;G.	Soma Mika 6:6-8. Sadaka za kuteketezwa, kondoo, mafuta, vyote ni mifano ya kafara ya Yesu inayokuja kwa ajili/niaba yetu. Je, hii inatufundisha nini kuhusu haki kwa imani ya kweli? Ibada ya kweli? (Kutoa kafara (sadaka), kuomba kwa jina la Yesu, bila kujali kuwa ni mara kwa mara kiasi gani tunafanya hivyo, havituokoi. Hizi sio kama kauli ya kimaajabu, au neno la siri (password) la mwisho. Badala yake, ibada ya kweli, haki kwa imani ya kweli inahusisha mtazamo unaoakisiwa kwenye maisha yetu ya kila siku: rehema, haki, kujitahidi kusalia kwenye hatua za Mungu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;H.	Rafiki, je, umeyachunguza maisha yako? Je, ibada yako ni ya juu juu? Je, mtazamo wako wa kila siku unaendana na mtazamo wako unapokuwa kanisani? Je, unamwomba Mungu, lakini hutaki kwa hakika kujua jibu lake? Je, mara zote wewe ni mbinafsi, ukitumia udhaifu wa watu wengine? Mwombe Roho Mtakatifu, sasa hivi, abadilishe moyo wako na mtazamo wako, ili kwamba “utembee kwa unyenyekevu pamoja na Mungu wako.”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;IV.	Juma Lijalo: Ibada – Kutoka Uhamishoni Hadi Urejeshwaji.&lt;br /&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/3455255205653026852-2981545329216381316?l=lesoni.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lesoni.blogspot.com/feeds/2981545329216381316/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://lesoni.blogspot.com/2011/08/somo-la-9-usiamini-katika-maneno-ya.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3455255205653026852/posts/default/2981545329216381316'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3455255205653026852/posts/default/2981545329216381316'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lesoni.blogspot.com/2011/08/somo-la-9-usiamini-katika-maneno-ya.html' title='Somo la 9: “Usiamini Katika Maneno ya Uongo/Udanganyifu”: Manabii na Ibada'/><author><name>Lessoni ya Kiswahili</name><uri>http://www.blogger.com/profile/05032927242368522742</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-3455255205653026852.post-5039924520154065001</id><published>2011-08-16T07:58:00.000-07:00</published><updated>2011-08-16T08:03:51.066-07:00</updated><title type='text'>Somo la 8: Kukubaliana/Kuendana, Mwafaka na Mtafaruku Katika Ibada.</title><content type='html'>Somo Limetafsiriwa na Mgune Masatu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;(1 Wafalme 11 &amp; 19, Luka 16, 1 Wakorintho 9, Warumi 14)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Somo hili limetafsiriwa kutoka katika Copr. 2009, Bruce N. Cameron, J.D. Majibu yaliyopendekezwa yanapatikana kwenye parandesi (kwenye mabano). Somo limekaa kimtazamo kwamba mwalimu anatumia ubao au sehemu nyingine yoyote ambayo inaweza kuonekana na wanafunzi. Somo hili pia linaweza kupatikana kutoka &lt;a href="http://www.GoBible.org"&gt;http://www.GoBible.org&lt;/a&gt; kwa lugha ya Kiingereza pamoja na lugha nyingine kama vile Kifaransa, Kijerumani. Omba kwa ajili ya uongozi wa Roho Mtakatifu unapojifunza.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Utangulizi: David Wagner ambaye ni mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Hillsdale alifanya utafiti kuhusu historia ya matumizi ya kinanda kilichotengenezwa kwa bomba kwenye ibada kanisani. Wagner anataarifu kwamba Thomas Brattle, mshiriki wa Kanisa la Kiprotestanti la New England, alifariki mwaka 1713. Aliliachia kanisa kinanda chake cha bomba, lakini kanisa lilikataa zawadi hiyo “likiamini haikuwa sahihi kutumia vyombo vya muziki kwenye ibada.” Je, maamuzi ya kanisa la Kiprotestanti yalikuwa ni kukataa kuendana na ulimwengu, azma ya kutokubadili/kutokuingilia/kutokuafiki ibada yake kwa Mungu? Kwa hakika, mwaka 1713 kulikuwa na mtafaruku juu ya aina gani ya muziki inayojumuisha ibada sahihi! Miaka mia tatu baadaye, kitu hicho hicho ni kweli. Hebu tuzame kwenye somo letu la Biblia ili tuweze kubaini kile inachomaanisha “mwafaka” katika ibada!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;I.	Mifano ya Mwafaka wa Kidhambi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A.	Soma 1 Wafalme 11:4-6. Nini kilitokea kwa Sulemani uzeeni mwake?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1.	Nilidhani unapaswa kuwa mwenye busara zaidi unapokuwa mzee! Nini kilichomfanya Sulemani ateleze? (Soma 1 Wafalme 11:1-2. Mungu aliwaambia watu Wake wasiwaoe wanawake waliyoifuata miungu mingine. Sulemani hakutii hilo na lilihafifisha imani yake kwa Mungu wa kweli.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B.	Soma 1 Wafalme 11:7-8. Je, nini kilicho kiini cha ibada ya uongo? (Kujenga madhabahu kwa ajili ya miungu ya uongo, na kuiabudu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;C.	Soma 1 Wafalme 18:19-20. Je, nini ulikuwa mgogoro wa ibada uliowafanya Eliya na Mfalme Ahabu wawe na ugomvi? (Unaweza kuhitajika kusoma muktadha mpana, bali ugomvi ulikuwa ni kama Baali, Ashera au Yehova ndiye alikuwa Mungu wa kweli.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;D.	Soma 1 Wafalme 19:14-18. Haya ni mazungumzo baina ya Mungu na Eliya. Je,  hitimisho lisilo sahihi la Eliya lilikuwa ni lipi? (Alidhani kwamba, yeye peke yake, ndiye alikuwa mwaminifu kwa Mungu. Badala yake ilibainika kuwa angalao watu 7,000 walisalia kuwa waaminifu kwa Mungu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1.	Je, jaribu la Mungu la kuwagawa wale waliokuwa bado wanamwabudu dhidi ya wale waliolegeza masharti kidhambi lilikuwa ni lipi? (Kama “walimsujudia” ama “walimbusu” Baali.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;a.	Je, inamaanisha nini “kumbusu” Baali? (Kusujudu kulikuwa ni tendo halali la kuabudu. Kumbusu Baali kuliashiria mapenzi kwake.)&lt;br /&gt;II.	Mifano ya Mwafaka wa Kimungu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A.	Soma Kumbukumbu la Torati 4:1-4. Je, ni makosa gani mawili ambayo wafuasi wa Mungu wanaweza kuyafanya katika juhudi zao za kuepuka kumwabudu Baali? (Wanaweza kuwaambia watu kuwa matendo yasiyo ya kidhambi ni ya kidhambi, na wanaweza kuwaambia watu kuwa matendo ya kidhambi sio ya kidhambi.) &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1.	Je, tendo moja ni baya zaidi kuliko jingine? (Kwa hakika, yote mawili ni ukiukwaji wa mapenzi ya Mungu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2.	Nilipokuwa chuoni, nilikuwa ninafuga ndevu (na bado ninazifuga). Sabato moja, nilipokuwa nimetembelea kanisa la rafiki wangu wa kike, niliombwa kuliongoza kanisa na kuhudumu kwa kutoa ombi. Nilikubali, kitu kilichomaanisha kuwa nilikaa mbele katika kipindi chote cha huduma kuu. Ilitokea kuwa hubiri lilihusu dhambi ya ufugaji wa ndevu. Mhubiri alimalizia hubiri lake kwa kusema kitu kama “Fidel Castro anafuga ndevu, na sote tunajua kile anachokisimamia.” Nilifikiria, “Vipi kuhusu ufafanuzi wa Yesu kuwa na ndevu?” Je, mhubiri alikuwa akitenda dhambi alipokuwa akihubiri hubiri lake?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B.	Soma Luka 16:1-7. Je, meneja (wakili) ni mtu mwema au mtu mbaya? Je, meneja amelegeza kanuni zake ili aweze kuishi maisha bora? (Kwa wazi kabisa sio mwaminifu, akijipendelea mwenyewe dhidi ya bwana wake.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;C.	Soma Luka 16:8-9. Je, bwana ni nani? (Yesu ndiye anayeelezea hiki kisa. Anajiweka yeye mwenyewe kwenye nafasi ya bwana.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1.	Je, Yesu anaona kitu gani kuwa ni chema kwenye hiki kisa cha kutokuwa na uaminifu na usaliti? (Ya kwamba meneja ni mwerevu. Yesu anasema kuwa wafuasi Wake wanahitajika kuwa werevu zaidi.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;D.	Soma kwa makini Luka 16:9. Je, unadhani “mali ya udhalimu” ni ipi? (Lazima viwe vitu ambavyo dunia inavichukulia kuwa ni vya thamani: fedha, uzuri, ushawishi.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1.	Je, inamaanisha nini “kujifanyia marafiki?” (Kwa vile “makao ya milele” yanaelezea mbingu, Yesu anatuambia tutumie zana za kidunia kuwaleta watu kwenye injili.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;E.	Soma Luka 16:10-12. Je, ni kwa namna gani hili ni hitimisho sahihi kwenye kisa tulichokisoma hivi punde? (Kwa hakika mwanzoni hii haileti maana hata kidogo. Kisa kinaleta maana iliyo kinyume chake! Lakini, kama tukiangalia kwa undani zaidi, tunaona kwamba Yesu anatufundisha kwenye hiki kisa kuwa tunahitajika kuwa werevu kama dunia katika kuipeleka injili kwa watu wengine – na tunahitajika kutumia mali ya kidunia kutenda hilo.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1.	Je, unadhani kuwa fasili/ufafanuzi wa Yesu kuhusu mwafaka ni upi? (Tunalegeza msimamo kuhusu injili pale ambapo hatutumii rasilimali zetu zote zilizopo kuuendeleza ufalme wa mbingu. Sisi ni watumishi wasioaminika kama tukimwangusha Mungu katika hili!)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;F.	Soma 1 Wakorintho 9:19-22. Mtume Paulo anaelezea njia yake ya kuwaleta watu wengine kwa Yesu. Je, yeye ni mtu wa mwafaka?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1.	Je, Paulo ni mnafiki, anaamini jambo moja na kutenda jambo jingine?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2.	Je, unadhani Paulo anamaanisha nini anapoandika “Nalikuwa kama Myahudi kwa Wayahudi, ili niwapate Wayahudi?”	&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;3.	Soma Wagalatia 2:11-13. Hebu subiri kidogo! Paulo anamshutumu Petro kwa kuwa “kama Myahudi, ili awapate Wayahudi,” sawa? Je, hilo silo aliloliandika Paulo kwamba tunapaswa kulifanya?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;a.	Je, kuna tofauti gani unayoiona hapa? Je, unaelezeaje karipio la Paulo kwa Petro? (Petro hajaribu kuwapata Wakristo wapya, “watu kutoka kwa Yakobo” tayari walikuwa Wakristo. Tatizo linaonekana kuwa mwafaka wa Petro unawaumiza Wakrito wapya kutoka kwa mataifa.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;b.	Je, ni kanuni ipi ya kuiendeleza injili unaweza kuichukua kutoka kwenye hoja ya Paulo ya mwafaka na mwafaka wa Petro? (Paulo anaonekana kusema kwamba katika hali tofauti anajirekebisha ili afanane na utamaduni wa kuwaleta watu wengine kwenye injili. Petro anawaudhi tu Wakristo waliopo.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;III.	Mwafaka Usiokuwa na Mwafaka&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A.	Soma Warumi 14:1-4. Mimi ni mla mboga mboga, kwa hiyo imani yangu sharti iwe dhaifu! Soma tena 1 Wakorintho 9:20. Unatabasamu ninapoandika kuwa mimi ni mla mboga mboga. Je, hisia zako zingekuwaje kama ningeandika “nipo chini ya sheria?” Hisia mojawapo inaonekana kuwa ni mjadala usiokuwa na madhara (isipokuwa kama nina afya njema), wakati ambapo hisia nyingine inaonekana kuwa ni kosa kubwa la kiteolojia. Je, ni kwa kiasi gani tunatakiwa kuchukulia utayari wetu hadi kwenye mwafaka?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B.	Soma Warumi 14:13-18. Je, utasema kile ambacho Paulo anakitetea hapa kuwa ni “mwafaka?”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1.	Je, kiwango cha Paulo cha mwafaka usiokuwa na mwafaka ni kipi? (Usifanye kitu chochote kitakachomzuia mtu mwingine kuipata imani.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;C.	Hebu tuone kama tunaweza kufikia baadhi ya hitimisho kuhusu ibada. Tumejifunza kwamba Yesu anatuita watumwa wasio waaminifu kama hatutumii zana za kidunia kuiendeleza injili. Tumejifunza kwamba Paulo anatetea kuhusu kuendana/kukubaliana na mawazo ya tamaduni tofauti (na kiteolojia?) ya kuiendeleza injili. Tumejifunza kwamba Mungu anatuambia kuwa ni dhambi kuzuia mambo ambayo hajayazuia (au kuruhusu mambo anayoyazuia). Pia tumejifunza kwamba Sulemani alipojiingiza kwenye miungu ya kitamaduni ya wakeze wa kigeni, alitenda dhambi. Hebu niambie, ni kanuni gani za ibada unazoziamini Mungu anazihitaji?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1.	Hebu tukurejeshe nyuma kwa miaka 300 na kisha utumie kanuni yako. Upo kwenye Baraza la Kanisa la Kiprotestanti ambalo ni punde tu limebaini kwamba Thomas Brattle amekupatia kinanda chake cha thamani. Je, utapigaje kura yako?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;a.	Vipi kama nikiongezea ukweli kwamba watu wengi ambao hawakuwa na moyo wa kujiunga na kanisa la Kiprotestanti wangejiunga nalo kama wangeweza kusikia muziki wenye kuburudisha kutoka kwenye kinanda?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;D.	Rafiki, maoni yangu ni kwamba kanuni isiyoyumba ya Mungu kuhusu ibada inahusu kutoabudu miungu ya uongo. Kanuni yake ya pili ni kwetu sisi kutumia akili zetu za kawaida na busara kuendana na utamaduni wa kuiendeleza injili. Kanuni yake ya tatu ni kwamba epuka kuwatukana/kuwafedhehesha wale ambao imani yao ni dhaifu – wale ambao wanachanganya vipaumbele vyao vya kitamaduni na sheria ya Mungu. Ili kuweza kuzishika hizi kanuni zote kwa uzuri zaidi, ushauri wangu ni kuabudu katika kanisa linalokua (lile linaloiendeleza injili) ambalo lina mtindo wa ibada unayoitaka.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;IV.	Juma Lijalo: “Usiamini Katika Maneno ya Udanganyifu”: Manabii na Ibada&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/3455255205653026852-5039924520154065001?l=lesoni.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lesoni.blogspot.com/feeds/5039924520154065001/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://lesoni.blogspot.com/2011/08/somo-la-8-kukubalianakuendana-mwafaka.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3455255205653026852/posts/default/5039924520154065001'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3455255205653026852/posts/default/5039924520154065001'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lesoni.blogspot.com/2011/08/somo-la-8-kukubalianakuendana-mwafaka.html' title='Somo la 8: Kukubaliana/Kuendana, Mwafaka na Mtafaruku Katika Ibada.'/><author><name>Lessoni ya Kiswahili</name><uri>http://www.blogger.com/profile/05032927242368522742</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-3455255205653026852.post-2645706398568838678</id><published>2011-08-05T02:53:00.000-07:00</published><updated>2011-08-05T02:56:15.394-07:00</updated><title type='text'>Somo la 7: Ibada Katika Zaburi</title><content type='html'>Somo Limetafsiriwa na Mgune Masatu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;(Zaburi 19, 49 &amp; 73)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Somo hili limetafsiriwa kutoka katika Copr. 2009, Bruce N. Cameron, J.D. Majibu yaliyopendekezwa yanapatikana kwenye parandesi (kwenye mabano). Somo limekaa kimtazamo kwamba mwalimu anatumia ubao au sehemu nyingine yoyote ambayo inaweza kuonekana na wanafunzi. Somo hili pia linaweza kupatikana kutoka &lt;a href="http://www.GoBible.org"&gt;http://www.GoBible.org&lt;/a&gt; kwa lugha ya Kiingereza pamoja na lugha nyingine kama vile Kifaransa, Kijerumani. Omba kwa ajili ya uongozi wa Roho Mtakatifu unapojifunza.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Utangulizi: Je, umegundua kuwa masomo yetu ya sasa kuhusu ibada yanalenga kwenye sababu zetu binafsi za kumwabudu Mungu? Tunamwabudu kwa sababu ya kile alichoturendea! Hizi sababu binafsi za kuabudu zinaleta machozi ya furaha na shukrani machoni mwangu. Lakini, je, hizi sababu binafsi za kuabudu ni za “kibinafsi?” Ukizingatia kuwa, Shetani alimwambia Mungu kuwa ibada ya Ayubu ilikuwa ni kwa sababu zake binafsi. (Ayubu 1:9-10.) Vipi kama unaamini kwamba Mungu amekuangusha? Vipi kama maisha hayajaenda vizuri, ingawaje unadhani kwamba umekuwa mwaminifu? Hebu tuzame kwenye somo letu la Biblia ili tuweze kutafiti na kuchunguza kuhusu ibada isiyoweza kuelezeka kutokana na fikra zetu binafsi!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;I. Mwovu na Ibada&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma Zaburi 73:1-3. Kwa nini huyu mfuasi wa Mungu karibia apoteze imani yake? (Wivu kwa waovu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Soma Zaburi 73:4-6. Je, unawafahamu watu kama hawa? Wanaishi vizuri, wanajivunia kuhusu maendeleo yao, na hawamruhusu mtu yeyote awaingilie!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;C. Soma Zaburi 73:9-11. Je, mahusiano ya hawa watu wajivuni na Mungu ni yapi? (Wanaleta madai ya kiroho ya namna fulani. Wao ni watu maarufu na wenye mafanikio. Watu “wanakunywa” kile wanachotakiwa kukiuza. Marekani tunasema “watu wanaodanganywa na kiongozi.”)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, wanywaji wanasema nini kuhusu Mungu? (Kama watu wajivuni na wenye mafanikio wanadai njia ya kiroho, kwa nini wafikiri kuwa Mungu ana busara yoyote au maarifa?)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Je, unaona kwamba huu ni ukweli hivi leo? (Hali ya kiroho ya “watu maarufu” ni kwamba kila mtazamo wa maisha (isipokuwa Wakristo walio makini) una hadhi sawa.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;D. Soma Zaburi 73:13-14. Je, umekuwa ukimfuata Mungu na kudhani kuwa hakukunufaishi kwa jambo lolote zuri? Kusema kweli, kumfuata Mungu kumeyafanya maisha yako kuwa mabaya zaidi? Je, huwa “unaadhibiwa kila asubuhi” kwa kumfuata Mungu?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;E. Je, hisia za aina hii zinaingilianaje na ibada? (Hutajisikia kuwa na shukrani kwa Mungu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;II. Kulitafakari&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma zaburi 73:15. Je, nini kinachomzuia rafiki yetu mwenye mashaka asielezee haya mawazo hadharani? (Ana wasiwasi kwamba atawafanya watu wengine waende mbali (wamwache) na Mungu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, yu sahihi kunyamaza kuhusiana na mashaka yake? &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Soma Zaburi 73:16-17. Je, jibu limekuja kiurahisi? (Hapana. “Alikandamizwa” na tatizo. Kwa hakika, alipambana nalo nafsini.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;1. Hivi karibuni tulijifunza kuhusu patakatifu. Je, panatusaidiaje kutatua tatizo? (Kumbuka kuwa patakatifu ni taswira/picha ya Mungu ya mpango wa wokovu. Mwanakondoo anakufa kwa ajili ya dhambi ya mwanadamu. Yesu, Mwana Kondoo wa Mungu, alikufa ili kutupatia uwezekano wa uzima wa milele.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;C. Hebu tuendeleze huu mtizamo wa fikra katika Zaburi 49:10-11. Je, hatima/majaaliwa ya kawaida ya werevu na wapumbavu ni yapi? (Wanakufa.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;D. Soma Zaburu 49:16-20. Je, hili ndilo jibu? Tunapokuwa na wivu kwa waovu wanaoishi vizuri sana, tunapaswa kusema, “Utakufa kama mbwa na hutakuwa na chochote mautini.”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, huo ni mtazamo wa aina gani?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;E. Soma Zaburi 49:14-15. Maelezo ya kawaida ni “Nitalala nitakapokuwa nimekufa.” Je, hii ni “Nitatawala nitakapokuwa nimekufa?”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, ni kwa namna gani unaweza kuelezea hili katika mtazamo chanya kwa kadri iwezekanavyo? (Maisha haya ni kile chote ambacho wanapewa waovu. Wenye haki wanakombolewa na Mungu kuingia kwenye uzima wa milele.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;F. Soma Zaburi 73:21-22. Je, sisi ni Wakristo wa namna gani kama tunamtilia Mungu mashaka na kushindwa kujifunza neno lake ili kuyaelewa mapenzi yake? (Wanyama katili: wasiokuwa na akili na wajinga.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;G. Soma Zaburi 73:23-24. Je, Mungu anatupatia nini zaidi ya uzima wa milele? (Fungu hili lipo ukutani ofisini kwangu. Kama tunajifunza ili kuyaelewa mapenzi ya Mungu, atatulinda na mafundisho yake hapa duniani, na baadaye “atatuchukua na kutupeleka kwenye utukufu wake.”)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;H. Soma Zaburi 73:25-26. Je, ni kwa namna gani nyingine tunapaswa kuthibitisha usitawi wa waovu? (Raha za duniani zina ukomo. Matamanio ya kweli ya mioyo yetu yanapaswa kuwa Mungu. Yeye ni nguvu yetu na utajiri wetu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;III. Tamko&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Hebu tubadili gia kidogo. Hadi hivi sasa tumejifunza kwamba mfuasi wa Mungu anaweza kuona kwamba mtu mwovu anakusanya mali zaidi (utajiri) na utukufu zaidi hapa duniani, lakini Mkristo anapata ushauri/mawaidha na urafiki (kuwa pamoja na) wa Mungu sasa, na uzima wa milele baadaye. Je, tunawezaje kujua kuwa haya mambo ni ya kweli? Soma Zaburi 19:1. Unadhani ni kitu gani mbingu zinakitangaza kuhusu Mungu?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Fikiria kwamba meli kubwa ajabu inatia nanga kwenye mji wako. Haina kiungo/ufa (kati ya mbao), haina vifaa (vya dhahiri) vinavyotumika kukazia vitu. Imetengenezwa kwa vifaa ambavyo kamwe hatujawahi kuviona, sehemu yake ni angavu kama gilasi/kioo. Inatembea kwa uwezo mkubwa, lakini haina kelele. Je, unasema nini kuhusu watu walioitengeneza? (Wana teknolojia ya hali ya juu na ya kisasa kuliko sisi.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Fungu letu linasema kwamba anga ni “kazi” ya mikono ya Mungu. Je, tunapaswa kuhitimisha nini kutokana na hilo? (Ya kwamba Mungu alilifanya.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;3. Ili kupata dhana nzuri zaidi kuhusiana na tunachokiongelea, unapaswa kuangalia kwenye You Tube kwenye intaneti na kuangalia video za Louie Giglio zinazoelezea ukubwa na maajabu ya mbingu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;4. Katika mwaka mfupi, umbali ambao mwanga unasafiri katika kipindi cha mwaka mmoja, ni maili trilioni sita au kilometa trilioni 10. Louie Giglio anazungumzia kuhusu Kundi la Nyota la Whirlpool ambalo lipo umbali wa miaka mifupi milioni 31 kutoka kwetu. Lina nyota bilioni 300. Kwa hiyo, hebu fikiria kuhusu hili: Mungu aliumba kitu ambacho kipo umbali wa miaka mifupi milioni 31 na kina nyota bilioni 300. Kama unaabudu mungu (miungu), je, utakuwa  ni ule uliotengenezwa kwa mikono yako? Au, je, utamwabudu Yule aliyeumba Kundi la Nyota la Whirlpool?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;a. Tukizungumzia kuhusu mikono yetu, kama nikikutaka utengeneze kundi la nyota lililopo umbali wa miaka mifupi milioni 31, je, utaanzaje?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Soma Zaburi 19:2-4. Tumejadili kile ambacho tungehitimisha kuhusu watu waliotengeneza meli kubwa ajabu ya kufikirika. Je, watu wanasikia nini kutoka ulimwenguni hivi leo?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, umegundua kuwa kwa kadri watu wengi wanapokuwa wanaishi mahali fulani, basi ndivyo kwa hali ya chini kabisa mbingu zinatokea kwa uwazi?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Fungu letu linasema kuwa mbingu “hutolea maarifa.” Je, ni kwa jinsi gani hiyo ni kweli? (Hazionyeshi uwezo wa kufikiri na mpangilio tu, bali pia zinaonyesha uwezo mkubwa na rasilimali zilizo nje ya uwezo/mpaka wetu wa kufiriki.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;3. Je, ni nani asiye na uwezo wa kusikiliza huu ujumbe mbalimbali kumhusu Mungu? (Hakuna hata mmoja. Unasikika katika kila lugha na kabila na kila sehemu ya dunia.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;a. Je, unadhani kwamba hiyo ndio sababu Mungu aliziumba mbingu?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;C. Soma Zaburi 19:5-6. Je, ni kwa jinsi gani jua linafanana na bwana harusi? (Kwenye ndoa tunamwangalia bwana harusi na bibi harusi. Bibi harusi anaweka matumaini yake katika mafanikio ya bwana harusi. Dunia yetu inategemea katika joto la kila siku na mwanga wa jua.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;IV. Uhusiano Kati ya Mbingu na Sheria&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma Zaburi 19:7-8. Je, kwa nini Daudi anabadili mada kutoka kwenye mbingu kwenda kwenye sheria? Au, je, Daudi anabaki kwenye mada ile ile? (Anabadilika kutoka kwenye elimu ya sayari hadi kwenye teolojia (elimu ya dini), kutoka kwenye nyota hadi kwenye Amri Kumi. Lakini, vyote viwili vinafanya kazi kutokana na sheria zilizowekwa.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Hebu tuhusishe hili na mjadala wetu wa awali. Je, ni tatizo gani linalowakabili waovu? (Hawaifuati sheria ya Mungu. Wanakosa mawaidha na urafiki (ukaribu) hapa duniani, na maisha ya duniani ndio pekee “wanayoyafurahia.”)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, tunawezaje kujua kwamba kile tunachoamini kuhusu Mungu na sheria Yake ni cha kweli? (Kama Mungu ana uwezo wa kutosha kuweza kuweka kanuni zinazoongoza mbingu, tunaweza kuwa na imani na kanuni Zake zinazoongoza maisha yetu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;2. Baini kile ambacho Daudi anakisema kuhusu sheria – kwamba ni kamilifu. Je, sheria zinazoongoza mbingu ni kamilifu? (Hili ni jambo la kushangaza. Watu wanaoamini kususu suala la uibukaji (mageuko/mabadiliko) wanaelewa kwamba mbingu zinafuata sheria ambazo zinaweza kuelezewa kimahesabu. Tunaweza kubashiri mahali ambapo sayari na nyota zitakuwa siku zijazo, na kuelezea mahali zilipokuwa karne zilizopita. Matokeo yake, wale wanaoshadadia/wanaotetea suala la bahati na uchaguzi wa kiasili katika suala zima la uumbani wa ulimwengu na kila kilichomo, pia wanaelewa kwamba ulimwengu unaongozwa na sheria za kuaminika. Haina mantiki.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;C. Rafiki, Daudi anasema kwamba sheria inamfanya mtu “wa kawaida” kuwa mtu “mwenye busara.” Je, ungependa kuwa na busara? Kama wewe tayari una akili nyingi sana, fikiria vile ambavyo sheria ya Mungu itakutendea! Mungu anakiri kwamba baadhi ya watu wanaomkataa wanaendelea vizuri. Lakini, kama tuna busara vya kutosha kuweza kuona taswira/picha kubwa, tutaona kwamba watu waovu ni kundi lisilo na furaha. Kundi hilo halina mawaidha ya Mungu na urafiki (ukaribu) na Mungu sasa na milele. Rafiki, je, utachagua hivi leo kuwa miongoni mwa wale wanaotafuta kutembea na Mungu?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;V. Juma Lijalo: Kukubaliana, Mwafaka na Hatari Katika Ibada.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/3455255205653026852-2645706398568838678?l=lesoni.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lesoni.blogspot.com/feeds/2645706398568838678/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://lesoni.blogspot.com/2011/08/somo-la-7-ibada-katika-zaburi.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3455255205653026852/posts/default/2645706398568838678'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3455255205653026852/posts/default/2645706398568838678'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lesoni.blogspot.com/2011/08/somo-la-7-ibada-katika-zaburi.html' title='Somo la 7: Ibada Katika Zaburi'/><author><name>Lessoni ya Kiswahili</name><uri>http://www.blogger.com/profile/05032927242368522742</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-3455255205653026852.post-6188022100226941413</id><published>2011-07-22T04:20:00.000-07:00</published><updated>2011-07-22T04:25:42.631-07:00</updated><title type='text'>Somo la 5: U Heri Ee Israeli!</title><content type='html'>Somo Limetafsiriwa na Mgune Masatu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;(Mambo ya Walawi 9-10, Warumi 8, 1 Samweli 15)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Somo hili limetafsiriwa kutoka katika Copr. 2009, Bruce N. Cameron, J.D. Majibu yaliyopendekezwa yanapatikana kwenye parandesi (kwenye mabano). Somo limekaa kimtazamo kwamba mwalimu anatumia ubao au sehemu nyingine yoyote ambayo inaweza kuonekana na wanafunzi. Somo hili pia linaweza kupatikana kutoka &lt;a href="http://www.GoBible.org"&gt;http://www.GoBible.org&lt;/a&gt; kwa lugha ya Kiingereza pamoja na lugha nyingine kama vile Kifaransa, Kijerumani. Omba kwa ajili ya uongozi wa Roho Mtakatifu unapojifunza.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Utangulizi: Juma lililopita tuliangalia patakatifu palipojengwa wakati wa safari ya wana wa Mungu kutoka Misri. Kutokea kwenye hapo patakatifu, na patakatifu pa mbinguni, tulijifunza masomo kadhaa kuhusu matamanio ya Mungu ya kuwa pamoja nasi na kutuokoa kutoka kwenye mauti ya milele. Juma hili tunageuzia usikivu wetu kwenye mwanzo wa matendo na taratibu zinazounganishwa na patakatifu kuona kile tunachoweza kujifunza zaidi kuhusu Mpango wa Mungu kwa ajili yetu. Hebu tuzame kwenye somo letu la Biblia!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;I. Moto wa Kirafiki&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma Mambo ya Walawi 9:1-4. Je, ni nani aliyetakiwa kutoa sadaka? (Kila mtu. Viongozi na watu wa kawaida waliambiwa kuleta sadaka.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Baini kwamba Haruni alitakiwa kuwa wa kwanza kuleta sadaka. Kwa nini? (Haruni alikuwa Kuhani Mkuu. Lakini, kabla Haruni hajawahudumia watu waliosalia, ilimpasa kufanya mahusiano sahihi ya nafsi yake na Mungu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Je, ni aina gani za sadaka zililetwa? ( Sadaka za dhambi, za kuteketezwa, mahusiano (au amani) na nafaka.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;a. Fikiria kuhusu hizi aina mbalimbali za sadaka. Je, nini lilikuwa lengo la hizi sadaka? (Sadaka mojawapo ilikuwa ni kwa ajili ya kushugulikia tatizo la dhambi. Nyingine ilikuwa ni kuonyesha kuwa kitu fulani kiliachwa kwa hiari. Ya tatu, kwa mujibu wa maoni (commentary) ilikuwa ni “sherehe takatifu.” Hii ilikuwa ni sadaka ya ushirika. Sadaka ya nafaka ilikuwa (katika miktadha mingine) ni unga ambao ninadhani uliteketea kwa urahisi na kusababisha (Mambo ya Walawi 2:2) “harufu ya kupendeza kwa Bwana.”)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;3. Hatushughuliki na mfumo wa kafara tena, lakini ni kanuni zipi za ibada tunazoziona katika hili? (Kujihusisha kwetu kwa kwanza kabisa ni kuangalia tatizo letu la dhambi kwa kutubu na kuiacha dhambi. Kujihusisha kwetu kunakofuatia ni kutambua na kuachana na ubinafsi wetu. Kisha, tuna mwelekeo wa ushirika wa ibada. Mwisho, tuna furaha ya ajabu ya ushirika sahihi na Mungu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Soma Mambo ya Walawi 9:5-6. Je, watu walitakiwa kufanya haya mambo ili waweze kuuona utukufu wa Mungu? (Ndiyo. Kumbuka kwamba juma lililopita tulijifunza kwamba Mungu anataka kukaa pamoja na watu wake. Mungu anataka kuwa nasi tunapokuwa tunamwabudu. Lakini, ibada haipaswi kuwa baridi (bila kuonyesha hisia). Mungu ana matakwa/mahitaji aliyoyaweka kwa watu Wake yakiwa ni masharti ya kuufanya utukufu Wake uwatokee.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;C. Mambo ya Walawi 9:7-21 inaelezea jinsi haya maelekezo yalivyotekelezwa. Hebu tusome Mambo ya Walawi 99:22-24. Je, ni kwa namna gani Mungu anaonyesha ukubali wake wa hizi sadaka? (Utukufu wake unawatokea watu na moto Wake unaziteketeza sadaka.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, watu waliitikiaje kutokana na hili tukio? (Walipiga kelele za furaha na kuinama kifudifudi.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;D. Baadhi ya watu wanadai kuwa tunapokuwa kanisani tunapaswa kuwa watulivu sana kwa sababu sisi ni wadhambi na tupo mbele za Mungu Mtakatifu. Je, tunapaswa kuielewaje furaha, kelele na kuinama kifudifudi kwa hawa watu? (Sadaka zao zilikuwa zimekubalika. Dhambi zao zilikuwa zimesamehewa. Walikuwa mbele ya uwepo wa Mungu wao. Hiyo iliwapatia furaha kubwa waliyoielezea kwa kupiga kelele. Bila shaka waliinama kifudifudi kwa sababu walikuwa ni wanadamu mbele za utukufu wa Mungu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, unaweza kukumbuka wakati ambapo ulijisikia “kupiga kelele kwa furaha” dhidi ya msamaha wa Mungu wa dhambi zako na ukubali Wake kwako?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;a. Kama huwezi kukumbuka kipindi kama hicho, kwa nini hukumbuki?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;E. Soma Warumi 8:1-4. Je, Yesu anaitwaje? (“Kafara ya dhambi.”)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Kwa nini ilikuwa muhimu kwa Yesu kutolewa kafara? (Warumi 8:3 inatuambia kuwa sheria yenyewe haiwezi kutuokoa kwa sababu “ilidhoofishwa na asili ya dhambi.”)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;a. Je, ni asili ya dhambi ya nani inayoelezewa na Biblia? (Ya kwangu! Ya kwako!)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;F. Soma Warumi 8:12-17. Baada ya kumpokea Yesu kama kafara wetu wa dhambi, je, nini kinachofuatia? (Kwa uwezo wa Roho Mtakatifu “tunayazika matendo yetu mabaya ya mwili.” “Tunashiriki katika mateso ya [Yesu].”)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Tulijifunza kuwa nini ilikuwa sadaka ya pili iliyotolewa katika Mambo ya Walawi 9? (Sadaka ya kuteketezwa. Iliwakilisha kuachana na kitu fulani. Ilikuwa ni sadaka ya kutokuwa wabinafsi. Kuacha vipaumbele vyetu vya kidhambi. Kukubali kwamba tutahitajika kushiriki mateso ya Yesu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;G. Soma Warumi 8:18-19 na Warumi 8:26-27. Je, nini ilikuwa sadaka ya tatu katika Mambo ya Walawi 9? (Ushirika au sadaka ya amani.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, hii inaakisiwaje hapa? (Mungu anamtuma Roho Wake ili aishi pamoja nasi, atuombee.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Kumbuka jinsi kilele cha mchakato wa Mambo ya Walawi na zile taratibu ziliishia kwenye utukufu wa Bwana kuwatokea watu. Je, kuna ulinganifu gani na Warumi 8:18? (Milinganisho miwili: Utukufu wa Mungu unafunuliwa kwetu; na uumbaji unaosubiri Ujio wa Mara ya Pili wa Yesu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;H. Soma Matendo 2:1-3. Je, utukufu wa Mungu ulijidhihirishaje? (Kupitia katika moto!)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;I. Rejea nyuma kidogo na utafakari kile tulichojifunza. Kwa nini Mungu alianza na mfumo wa patakatifu? Kwa nini asimtume Yesu moja kwa moja, na kuacha kupitia mchakato na taratibu za Mambo ya Walawi? (Kumbuka juma lililopita nilikusimulia kisa kuhusu mwajiri wangu aliyenichorea picha/taswira? Mfumo wa patakatifu ni taswira kubwa sana ya Mungu ya mpango wa wokovu. Kwa bahati mbaya, watu wengi wa Mungu walimkataa Yesu hata pamoja na kupewa hiyo picha/taswira. Na kwa kuongezea, patakatifu ni zaidi ya taswira/picha. Waebrania 8:1-2 inatufundisha kuwa inaakisi uhalisia wa mbingu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;II. Moto Usiokuwa wa Kirafiki&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma Mambo ya Walawi 10:1. Inaonekana kwamba hili tukio linafuatia wakati wa furaha kuu ambao tumejadili hivi punde. Je, unadhani hawa vijana walifanya nini ambacho kilikiuka amri ya Mungu? (Soma Kutoka 30:7-9 na Mambo ya Walawi 16:12. Asili ya “moto ambao haukuruhusiwa.” Haiko wazi, lakini inaonekana kwamba hawakufuata maelekezo kwenye moto walioutumia.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Soma Mambo ya Walawi 10:2-3. Moto unatoka kwa Mungu tena, lakini mara hii unawala makuhani badala ya kafara/sadaka. Kwa nini? (Hawakumtii na kumheshimu Mungu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;C. Soma Mambo ya Walawi 10:4-6. Hapo kabla tulisoma kwamba Haruni “alinyamaza kimya” na sasa Musa anamwambia Haruni asiomboleze vifo vya wanawe. Kwa nini? (Kama Haruni alifikiri wanawe hawakufanya jambo lolote baya, angelalamika/angepinga. Mungu hakutaka huzuni ya Haruni dhidi ya vifo vya wanawe itafsiriwe na watu kama uasi dhidi ya adhabu ya Mungu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;D. Soma 1 Samweli15:22–23. Samweli anamweleza Mfalme Sauli hii habari mbaya kwamba  atapoteza ufalme wake kwa sababu hakumheshimu Mungu. Je, huu mfano unaendana na msalaba na Warumi 8? Je, utii wetu ni wa muhimu zaidi kuliko kafara ya Yesu? (Jibu la kwanza linaonekana kuwa “hapana.” Warumi 8:3 inanifundisha kuwa asili yangu ya dhambi inanifanya nisiweze kuishika sheria. Lakini, baini katika 1 Samweli 15:23 sababu za kukataliwa kwa Sauli: uasi na ukaidi. Warumi 8:12-14 inatuambia kuwa kama tukiishi kwa mujibu wa hii mitazamo tutakufa.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;E. Wana wa Haruni walikuwa kwenye mchakato wa sadaka, lakini walikufa. Linganisha visa vya moto wetu wa kirafiki na ule usiokuwa wa kirafiki. Je, ni masomo gani tunayopaswa kuyapata kutokana na hivi visa? (Tuna chaguzi mbili. Moto unaweza kuteketeza dhambi zetu au unaweza kututeketeza. Huu ni uchaguzi mzito wenye matokeo mazito. Kufanya uchaguzi sahihi huleta furaha. Kufanya uchaguzi mbaya huleta huzuni na mauti ya milele.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;F. Soma Mambo ya Walawi 10:8-9. Je, hii inapendekeza nini kuhusu chanzo cha dhambi ya wana wa Haruni? (Inapendekeza kuwa walikuwa wamekunywa divai/kileo. Katika sherehe za moto wa kirafiki, walianza kunywa – kulikowafanya wasiwe waangalifu na wasichukue tahadhari, wasiwe makini zaidi kuliko ambavyo walipaswa kuwa.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, ni somo gani tunalopaswa kujifunza kutokana na hili? (Mungu anaangalia furaha katika ibada, lakini pia anatarajia uchukuliaji makini wa maneno Yake.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;G. Soma Mambo ya Walawi 10:10-11. Je, lengo letu ni lipi katika kutofautisha kati ya vitu vitakatifu na vitu vya kawaida? (Lengo letu lina cha kujihusisha na kumheshimu Mungu. Malalamiko ya Mungu (Mambo ya Walawi 10:3) yalikuwa ni kwamba hakuheshimiwa. Lengo la ibada yetu linapaswa kuwa ni kumheshimu Mungu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;1. Je, somo hili linahusika maishani nje ya kanisa? Je, kila mara tupo kwenye utume wa kutofautisha kati ya vitu vilivyo najisi na visafi? (Soma Warumi 8:5. Warumi inatufundisha kuwa lengo la maisha yetu ni kuziweka akili zetu “kwenye yale mambo ambayo Roho anayatamania.” Huu ndio “usafi” wa Mambo ya Walawi 10.) &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;H. Je, umewahi kutathmini huduma yako ya ibada kuona kama inamheshimu Mungu? Je, huduma yako ya ibada inachukuliwa kwa umakini mkubwa, au inamezwa na fikra zako ndogo au mpango mdogo?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Vipi kuhusu maisha yako? Je, yanamheshimu Mungu?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;I. Rafiki, tumeona kuwa Mungu anawakilishwa na moto. Mungu yumo kwenye moto unaoashiria uwepo Wake na huleta furaha. Lakini, Mungu pia yumo kwenye moto unaowateketeza wadhambi. Tunamshukuru Mungu kwamba tunaokolewa kwa neema. Lakini, wokovu huo unahitaji uamuzi – uamuzi wa kuishi kwa mujibu wa (moto) wa uwezo wa Roho Mtakatifu na sio kwa asili yetu ya dhambi. Je, utachagua moto wa kirafiki hivi leo?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;III. Juma Lijalo: Ibada, Nyimbo na Sifa.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/3455255205653026852-6188022100226941413?l=lesoni.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lesoni.blogspot.com/feeds/6188022100226941413/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://lesoni.blogspot.com/2011/07/somo-la-5-u-heri-ee-israeli.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3455255205653026852/posts/default/6188022100226941413'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3455255205653026852/posts/default/6188022100226941413'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lesoni.blogspot.com/2011/07/somo-la-5-u-heri-ee-israeli.html' title='Somo la 5: U Heri Ee Israeli!'/><author><name>Lessoni ya Kiswahili</name><uri>http://www.blogger.com/profile/05032927242368522742</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-3455255205653026852.post-8343579018227480690</id><published>2011-07-14T07:06:00.001-07:00</published><updated>2011-07-14T07:10:20.760-07:00</updated><title type='text'>Somo la 4: Kufurahi Mbele za Bwana: Patakatifu na Ibada</title><content type='html'>Somo Limetafsiriwa na Mgune Masatu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;(Kutoka 25, Waebrania 10)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Somo hili limetafsiriwa kutoka katika Copr. 2009, Bruce N. Cameron, J.D. Majibu yaliyopendekezwa yanapatikana kwenye parandesi (kwenye mabano). Somo limekaa kimtazamo kwamba mwalimu anatumia ubao au sehemu nyingine yoyote ambayo inaweza kuonekana na wanafunzi. Somo hili pia linaweza kupatikana kutoka &lt;a href="http://www.GoBible.org"&gt;http://www.GoBible.org&lt;/a&gt; kwa lugha ya Kiingereza pamoja na lugha nyingine kama vile Kifaransa, Kijerumani. Omba kwa ajili ya uongozi wa Roho Mtakatifu unapojifunza.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Utangulizi: Nilipokuwa shule, nilitumia muda wa majira ya kiangazi kufanya kazi kwenye kampuni ndogo ya ujenzi. Haikuwa kazi nzuri. Kazi ilikuya ya hatari kwa sababu wamiliki wa kampuni hawakuonekana kuwa na uhakika wa baadhi ya kanuni za msingi, mfano kiwango cha juu cha umakini. Mmojawapo wa wamiliki wa kampuni alikata kipande cha ubao aliokuwa ameukalia na alianguka urefu wa futi nane kwenye sehemu ya kutembelea iliyojengwa kwa saruji. Wamiliki wa kampuni hawakujali kabisa masuala yenye kuleta hatari kwa waajiriwa wao kwa vile hawakuonekana kubaini masuala yaliyohusisha usalama wao wenyewe. Tatizo jingine lilihusisha suala la utoaji wa maelekezo. Mmiliki mmojawapo wa kampuni alielezea kwa haraka kile alichonitaka nikijenge, na nilipokuwa sijaelewa nilichotakiwa kufanya, alichukua kalamu ya risasi (penseli) yake na kuchora chini ardhini picha/ramani ya nilichotakiwa kukifanya. Kisha alisema kuwa tayari amekwishaniambia, na hata kunichorea picha (ramani), na kwa hiyo nilikuwa na maelekezo ya kutosha. Mungu wetu ametuchorea picha/taswira (ramani) kuhusu mpango wake wa wokovu. Tofauti na picha zilizochorwa na bosi wangu wa zamani, picha/taswira (ramani) ya Mungu ina utondoti (maelekezo) wa kutosha. Hebu tuzame kwenye Biblia yetu ili tuone picha/taswira ambayo Mungu aliwachorea watu wake kuhusu wokovu!  &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;I.  Picha (Taswira) ya Mbinguni – Mungu Pamoja Nasi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma Kutoka 25:8-9 na Waebrania 8:5. Tunaona kwamba Mungu alimwambia Musa kupafanya patakatifu kwa mujibu wa “mfano” ambao Mungu alimwonyesha. Baini kuwa Waebrania inakielezea kama “kivuli cha mambo ya mbinguni.” Je, hiyo inatuelezea nini kuhusu tafsiri ya tabenakulo la duniani? (Unaweza kulinganishaje kivuli chako na wewe mwenyewe? Ni nakala halisi, lakini inatupatia tu wazo la jumla la kitu halisi.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, Mungu alisema kuwa sababu Yake ya kumtaka Musa ajenge patakatifu ni ipi? (Mungu alitaka “kukaa pamoja” na watu Wake.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Soma Ufunuo 21:2-4. Je, mpango wa mwisho wa Mungu kwa wafuasi wake ni upi? (Kwamba ataishi pamoja nao! Mbingu itashushwa duniani na Mungu atakaa na wanadamu. Baini kuwa haya ni matamanio ya muda mrefu ya Mungu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Kama watu fulani wakisema kuwa wanataka kuishi nawe (na pia wanaweza kulipa kodi ya pango la nyumba) je, hiyo inasema nini kuhusu mtazamo wao dhidi yako? (Mungu anakupenda!)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;II. Picha (Taswira) ya Mbinguni – Wabia wa Wanadamu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma Kutoka 25:1-7. Je, mahala pa Mungu kukaa hapa duniani palipaswa kujengwaje? (Kutokana na sadaka kutoka kwa watu wa Mungu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Soma Kutoka 35:20-21. Je, watu walishurutishwa kumpatia Mungu nyenzo kwa ajili ya ujenzi wa patakatifu? (Hapana. “kila mtu ambaye moyo wake ulimhimiza, na kila mtu ambaye roho yake ilimfanya kuwa apenda” alileta sadaka.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Kama wewe ungekuwa Mungu, na ikawa upendeleo wa ajabu na heshima kwa ajili ya kundi lolote lile la wanadamu ambalo ungeamua kuliheshimu kwa uwepo wako, je, ungekuwa na mtazamo huu huu dhidi ya utegemezaji kifedha nyumba yako?&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Au, kama wewe ungekuwa Mungu, je, ungedhani kuwa isingestahili kushindana na wanadamu – na ungetamka tu halafu kasri kubwa linalotembea likatokea na kuwepo?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;3. Je, hii inatufundisha nini kuhusua mtazamo wa Mungu dhidi ya wanadamu? (Inaonyesha kuwa Mungu anataka kushirikiana nasi katika kutimiza mapenzi Yake, lakini Mungu hatushurutishi – hata kama ana madai halali kwa ajili ya msaada wetu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;C. Soma Kutoka 35:22. Je, unafikiria nini kuhusu chanzo cha dhahabu kwa ajili ya nyumba ya Mungu? &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Unakumbuka kwamba majuma mawili yaliyopita tulijifunza kuhusu ndama wa dhahabu aliyetengenezwa na Haruni? Soma Kutoka 32:1-4. Nini kilichotumika kutengeneza ndama wa dhahabu? (Kitu kile kile – pete za dhahabu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Fikiria hata nyuma zaidi kuhusu chanzo cha hii dhahabu. Kumbuka kwamba hawa watu walikuwa watumwa. Vitu vyao bila shaka vilitoka kwa Wamisri (angalia Kutoka 12:35-36). Je, hii inatuambia nini kuhusu malengo ya Mungu kwa ajili ya mali zetu? (Kwanza, Mungu anamiliki kila kitu. Waebrania walikuwa tu na hii dhahabu kwa sababu Mungu aliingilia kati kwa niaba yao. Kwa haki kabisa Mungu angeweza kuidai yote, lakini hakufanya hivyo. Aliwaacha watu waamue. Pili, dhahabu haikuwa “safi” au “chafu,” bali suala ni kuwa watu wa Mungu wataitumiaje. Je, tutaitumia kutengeneza sanamu, au tutaitumia kumpatia Mungu utukufu?)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;3. Je, hizi sadaka zinapendekeza nini kuhusu kuitegemeza kazi ya Mungu hivi leo? (Mungu anatutaka tulete talanta zetu za kilimwengu/kidunia na rasilimali zetu za kawaida na kuzitumia kuuendeleza Ufalme wa Mungu. Aina zote za sadaka na talanta zinaweza kutumika kuitegemeza injili.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;D. Soma tena Kutoka 25:9. Je, kwa usahihi kabisa Mungu alimtaka Musa aweje? (Mungu anasema ifanye “sawasawa” na haya yote nikuonyeshayo.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, unadhani kuwa Mungu anajali sana kuhusu sehemu yetu kwenye ubia wetu nae? (Mungu hatushurutishi. Mungu anatumia talanta zetu za kawaida. Lakini, Mungu ana viwango vya juu kwa ajili yetu. Kama tukichagua kushiriki kwenye kazi ya Mungu, Anatutarajia tutii.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;III. Picha (Taswira) ya Mungu – Mtazamo wa Patakatifu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma Waebrania 10:1. Baini tena rejea ya “kivuli.” Kama vile tulivyojifunza kwamba patakatifu pa duniani palikuwa ni kivuli cha patakatifu pa mbinguni, vivyo hivyo sheria ni kivuli “cha mambo mazuri yajayo.” Je, unadhani kitu halisia ni kipi – sheria nyingi zaidi?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Fungu hili linapendekeza kuwa lengo la sheria ni lipi? (Kutufanya kuwa wakamilifu. Kwa hili lengo, hiki ni kivuli tu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Soma Waebrania 10:2-7. Je, uhalisia wa sheria ni upi? Kipi kilicho halisi? (Kafara ya Yesu kwa ajili yetu. Lengo la sheria lilikuwa ni kutufanya tuwe wakamilifu, lakini kwa hilo ilikuwa ni kivuli tu. Yesu alikuwa halisi.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;C. Soma Waebrania 10:8-10. Kama Mungu hakupendezwa na dhabihu, kwa nini Agano la Kale lilizihitaji? (Angalia tena Waebrania 10:3. Tunaambiwa kuwa dhabihu zilikuwa ni kwa ajili yetu – kutukumbusha dhambi zetu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;D. Unaweza kupendekezaje kuwa tunaweza kukumbushwa hivi leo kuhusu dhambi zetu? (Yesu alikufa badala yetu. Tunapaswa kukumbushwa kuhusiana na hili kupitia kwenye huduma ya Meza ya Bwana. Angalia 1 Wakorintho 11:23-26.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, kuna njia nyingine unayoweza kukumbushwa mara kwa mara zaidi?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;a. Je, kuna njia ambayo sheria inaweza kuwa sehemu ya huu ukumbusho? (Soma Mathayo 22:36-40. Yesu anatuambia kumpenda jirani yako “kama nafsi yako.” Hii inahusisha kujikana nafsi. Waebrania 10 inaelezea zaidi kuhusu kafara (kujikana nafsi). Wazo linalonijia mawazoni mwangu ni kwamba tunapojitoa kwa ajili ya watu wengine, tunakumbushwa kuhusu kafara ambayo Yesu aliitoa kwa ajili yetu. Kwa njia hii sheria ni “kivuli” cha uhalisia wa upendo wa hali ya juu wa Yesu kwetu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;b. Soma Warumi 12:1. Je, Paulo anatufundisha nini kuhusu aina hii ya mtazamo ya dhabihu/kafara? (Ni aina ya ibada – ibada ya kweli na kamilifu/sahihi!)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Nipo likizo niandikapo somo hili. Nimepata kanisa mahalia ninaposalia kila Sabato ninapokuwa likizo. Makanisa haya yamekuwa madogo sana – na katika namna fulani hivi hii inakatisha tamaa sana. Kwa nini watu wachache sana wanahudhuria kanisani? Nini kinachoweza kukusababisha wewe binafsi kuliacha kanisa? (Je, tunahudhuria kanisani ili kwamba tuweze kutoa dhabihu? Au, tunahudhuria kanisani ili kwamba tuweze kulishwa kiroho na watu wengine?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;a. Kama tukiamua kuwa sehemu ya kundi lililowalisha watu wengine kiroho, je, hii itatulisha?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;E. Tulianza kwa kusema “Mungu amechora picha (taswira) ya aina gani kwa ajili yetu kwa patakatifu pake hapa duniani? Jibu lako kwa hilo swali ni lipi? (Mungu anataka kukaa pamoja nasi. Mungu hatushurutishi. Hata hivyo, kukaa pamoja na Mungu ni kujitoa kwa dhati kabisa. Mfumo mzima wa sheria na patakatifu unawapa watu wengine taswira ya kafara/dhabihu. Ibada ya kweli ni ukumbusho wa siku zote wa kile ambacho Mungu alikitoa kwa ajili ya dhambi zetu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;F. Rafiki, umeyachunguza maisha yako kutathmini kama una roho ya kujikana nafsi (kujitoa), au roho ya kujipendezesha/kujifurahisha? Je, utamwomba Roho Mtakatifu hivi leo ili abadili moyo wako ili kwamba uakisi vizuri zaidi sheria na upendo wa Yesu dhidi yako?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;IV. Juma Lijalo: U Heri, Ee Israeli.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/3455255205653026852-8343579018227480690?l=lesoni.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lesoni.blogspot.com/feeds/8343579018227480690/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://lesoni.blogspot.com/2011/07/somo-la-4-kufurahi-mbele-za-bwana.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3455255205653026852/posts/default/8343579018227480690'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3455255205653026852/posts/default/8343579018227480690'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lesoni.blogspot.com/2011/07/somo-la-4-kufurahi-mbele-za-bwana.html' title='Somo la 4: Kufurahi Mbele za Bwana: Patakatifu na Ibada'/><author><name>Lessoni ya Kiswahili</name><uri>http://www.blogger.com/profile/05032927242368522742</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-3455255205653026852.post-473944145147380426</id><published>2011-07-07T13:42:00.000-07:00</published><updated>2011-07-07T14:23:36.585-07:00</updated><title type='text'>Somo la 3: Sabato na Ibada</title><content type='html'>Somo limetafsiriwa na Mgune Masatu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;(Mwanzo 1-2, Kutoka 20, Wakolosai 1)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Somo hili limetafsiriwa kutoka katika Copr. 2009, Bruce N. Cameron, J.D. Majibu yaliyopendekezwa yanapatikana kwenye parandesi (kwenye mabano). Somo limekaa kimtazamo kwamba mwalimu anatumia ubao au sehemu nyingine yoyote ambayo inaweza kuonekana na wanafunzi. Somo hili pia linaweza kupatikana kutoka &lt;a href="http://www.GoBible.org"&gt;http://www.GoBible.org&lt;/a&gt; kwa lugha ya Kiingereza pamoja na lugha nyingine kama vile Kifaransa, Kijerumani. Omba kwa ajili ya uongozi wa Roho Mtakatifu unapojifunza.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Utangulizi: Fikiria talaka ya kutisha inayowahusisha watoto. Mama anamchukia baba, akijihisi kuwa yupo kwenye ushindani naye, na akitaka kufuta kumbukumbu yake kutoka mawazoni mwa watoto. Mambo gani mabaya sana mama anaweza kuyafanya ili aweze kumuumiza/kumsononesha/kumtia uchungu baba? Kitu cha kwanza kinaweza kuwa kujaribu kumzuia baba ili asiweze kuwaona wanawe. Pili, anaweza kuwaambia watoto kwamba baba hakuwapenda au hata hakuwajali. Tatu, anaweza kuwaambia kuwa yeye sio baba wao. Malengo ya baba ni kinyume chake tu: kusisitiza ukweli kwamba yeye ndio baba yao, kwamba anawapenda na kuwajali watoto wake, na kwamba anataka kuwa anawaona wanawe mara kwa mara. Sasa chukulia pambano kati ya Mungu na Shetani. Je, haileti mantiki kwamba Shetani atakuwa na malengo sawa na ya huyu mama? Shetani anatutaka tuamini kwamba Mungu hatupendi au hatujali, Mungu sio baba wetu, na hatupaswi kujali sana kuhusu kukutana na Mungu. Hebu tuzame kwenye somo letu la Biblia na kujifunza zaidi kuhusu masuala mahsusi!&lt;br /&gt;  &lt;br /&gt;I. Uumbaji wa Sabato&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma Mwanzo 1:26-27. Je, hii inatufundisha nini kuhusu uhusiano wetu na Mungu? (Kwa kiwango fulani, tumeumbwa kufanana na Mungu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, uhusiano wetu na uumbaji wote uliosalia ni upi? (Tumeumbwa ili kuutawala uumbaji wote uliosalia.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Je, unadhani ni kwa nini Mungu aliamua kwamba wanadamu wautawale uumbaji wote uliosalia? (Hii inasisitiza wazo la kwamba tumeumbwa kwa mfano wa Mungu. Kutokana na huu mfumo wa mahusiano, tunaanza kuona sehemu ya jinsi gani tunafanana na Baba wetu wa Mbinguni.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Soma Mwanzo 2:1-3. Je, sababu ya Mungu ya kuiumba Sabato ni ipi? (Alimaliza uumbaji wake. Kazi ya Mungu yenye uwezo mkubwa ilikamilika.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, Mungu alitamka nini kuhusu Sabato? (Ilibarikiwa na ilikuwa takatifu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Je, inamaanisha nini kuifanya siku kuwa “takatifu?” (Mungu aliitakasa siku.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;C. Hebu tuyaweke haya pamoja. Je, kuna uhusiano gani kati ya uumbaji wa Mungu wa wanadamu na Sabato? (Jumamosi ni siku maalum, siku takatifu, siku ambayo tunakumbushwa kwamba Mungu ni Muumba wetu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;D. Soma Kutoka 20:8-11. Mungu anaposema “Ikumbuke siku ya Sabato,” je, anarejelea kitu gani? (Hii ni rejea ya dhahiri ya kisa cha uumbaji katika kitabu cha Mwanzo.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Kwa nini Mungu anatuambia tufanye kazi kwa siku sita? (Kwa mara nyingine tena hii ni rejea yenye ufahamu fika wa siku sita za uumbaji wa Mungu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;2. Kwa nini tunaambiwa tusiwafanyishe kazi wanyama wetu siku ya Sabato? (Sio tu kwamba Mungu anatuambia vitu vyote vinastahili pumziko la Sabato, bali anasisitiza wazo kwamba tunatakiwa kuutawala uumbaji. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;II. Kiungo cha Sabato na Ibada&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma Mwanzo 1:1. Je, Mungu anajitambulishaje kwetu? (Anajitambulisha kama Muumba.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Unadhani ni kwa nini hili ni jambo la kwanza kabisa Mungu anatuambia kutoka kwenye Biblia yake?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Soma Ufunuo 14:7. Je, msingi wa Mungu wa kudai ibada yetu ni upi? (Kwamba yeye ni Muumba wetu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;C. Kwenye Biblia ya Nave, mafungu 104 ya Biblia (chini ya “Muumba” yakianzia kwenye kitabu cha Mwanzo hadi cha Ufunuo ambapo Mungu ama moja kwa moja, au kupitia kwa wanadamu, anayapatia madai yake umuhimu kuhusu mamlaka yake kwetu kwenye ukweli wa Uumbaji wake. Je, unahitimisha nini kuhusu fikra ya Mungu kutokana na hili? (Tunajifunza kuwa madai ya mamlaka ya Mungu yenye unyofu, mepesi na ya msingi dhidi ya wanadamu ni kazi yake ya uumbaji. Mungu anawaambia wanadamu: “Nimewaumba, kwa hiyo mnapaswa kunitii.”)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;D. Kumbuka utangulizi wetu kuhusu mwanamke aliyetalikiwa aliyetaka kufuta kumbukumbu ya watoto kumhusu baba yao? Kwa nini ni muhimu kwa Shetani kuishambulia ibada ya Sabato? (Inatimiza malengo mawili yenye mantiki ya Shetani ambapo hata sisi tuliweza kuyabaini. Kwanza, kwa vile Sabato ni kumbukumbu ya kila juma ya siku sita za Uumbaji wa Mungu, inaondoa hii kumbukumbu ya kila juma kwamba Mungu alituumba na kwa hiyo ana mamlaka juu yetu. Pili, kwa kuwa Sabato ni muda wa muhimu wa kujifunza, kumsifu na kumwabudu Mungu, kutokuijali/kiupuuza Sabato kunapunguza muda wetu wa kukutana na Baba wetu wa Mbinguni.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;E. Je, Shetani anafanya nini katika kufanya wanadamu wasahau kwamba Mungu ni Muumba wao? (Watu wengi sana hawaamini tena kwamba uumbaji wa siku sita unahusika kiusahihi kabisa kuhusu chanzo cha wanadamu. Wengi wanaamini kuwa wanadamu walitokea kwa bahati tu na kutokana na uasilia wa mambo. Wengi wanaamini kuwa wanadamu hawana madai ya ubora zaidi dhidi ya wanyama, na kwamba hatuna mamlaka ya kuwatawala. Wakristo wengi, hata wale wenye kumcha Mungu sana, hawaijali Sabato ya siku ya saba.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;III. Umuhimu wa Sabato&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Wengi wanasema, “Ili iweje? Kile ulichokisema hivi punde kuhusu umuhimu wa Sabato sio kizuri vya kutosha. Naweza kumwamini Mungu hata kama siamini kisa cha uumbaji au utunzaji wa Sabato.” Kama unadhani kuamini maelezo ya kitabu cha Mwanzo kuhusu Uumbaji na Sabato kunaleta tofauti, elezea kwa nini? (Kwanza, kama maelezo sio ya kweli, inamaanisha kuwa Mungu hakutuambia ukweli kuhusu chanzo cha wanadamu. Kama hivyo ndivyo, basi Mungu hasemi ukweli kuhusu mamlaka yake juu yetu. Mwisho, kama Mungu hasemi ukweli kuhusu chanzo chetu (kwa sababu anatia chumvi uwezo wake), hiyo inapendekeza kuwa Mungu wetu anapungukiwa uwezo.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;1. Je, tuna uhakika hili linaibua swali kuhusu utovu wa uaminifu wa Mungu? Je, Mungu anaweza tu kuwa anaelezea kisa chenye ishara, akitupatia aina fulani ya fumbo kubwa muhimu? (Tunaposoma Ufunuo, tunajua tunasoma kuhusu ishara. Kitambu cha Mwanzo kipo mahsusi zaidi kuhusu masuala yenye kinagaubaga. Haileti mantiki kukichukulia kuwa kisa chenye ishara – hususan kisa kuhusu mageuko/mabadiliko!) &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Soma Wakolosai 1:15-18. Je, Mtume Paulo aliamini katika Uumbaji? (Ndiyo.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, Paulo anamrejelea nani katika hili fungu? (Yesu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Je, tumaini lako la muhimu sana kama Mkristo ni lipi? (Mbingu. Unatumaini kuwa Yesu atakuchukua wewe na wale unaowapenda Mbinguni.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;3. Je, ni kiungo gani kinachofanywa na haya mafungu kati ya Uumbaji na tumaini letu la mbingu? (Yesu ana “mamlaka ya juu kabisa” dhidi ya Uumbaji na mauti. Kama Yesu hana uwezo wa kutosha wa kuumba nchi (dunia) na vilivyomo, kwa nini tuamini kuwa ana uwezo wa kutosha kukishinda kifo? Paulo anaonyesha kwamba hizi imani zinaungana.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;C. Hebu tuchukulie pale tulipo sasa. Sabato inaunganishwa na Uumbaji, mamlaka ya Mungu, na uwezo wa Mungu wa kutufufua kwa ajili ya uzima wa milele!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;IV. Uhuru Kutoka Utumwani&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma Kumbukumbu la Torati 5:15. Kwa nini Biblia inatoa sababu mbili tofauti kwa ajili ya Sabato?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Soma Warumi 6:15-18. Nini kilichotuweka huru kutoka kwenye utumwa wa dhambi? (Yesu ametuweka huru kutoka kwenye utumwa wa dhambi kupitia kwenye maisha yake na kifo chake kwa ajili yetu. Tunamheshimu Mungu kwa sababu ya kile alichotutendea.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;C. Je, unaweza kuona kiungo kati ya kumbukumbu ya Uumbaji na kumbukumbu ya wokovu wetu? (Mungu alitupatia uzima, na kisha akatupatia uzima wa milele.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, hii ina chochote cha kujihusisha na uwezo na mamlaka ya Mungu?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;V. Sabato na Ufufuo wa Yesu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma Mathayo 28:1 na Mathayo 27:50-53. Yesu alipumzika kaburini siku ya Sabato, lakini hawa wengine kwa hakika walifufuliwa siku ya Ijumaa. Kama wewe ungekuwa Mungu Baba, na Mwanao ameuawa kinyama ilhali akishinda Super Bowl ya dunia, je, ungetaka kumweka mikononi mwako mara moja? (Hakika! Hakuna mzazi hata mmoja ambaye atataka kusubiri japo kwa sekunde moja kumfariji na kumpongeza mwanae.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Kwa nini Mungu alisubiri hadi kufikia hatua ya kumfufua Yesu uzimani? (Chukulia mjadala wetu hadi hivi sasa. Sabato ndio msingi wa kile ambacho Yesu alikifanya na anakifanya kwa ajili yetu. Hitimisho la kimantiki ni kwamba Yesu alipumzika siku ya Sabato! Kama jinsi Yesu alivyopumzika baada ya kazi yake kubwa ya Uumbaji, kwa hiyo alipumzika baada ya kazi yake kubwa ya ukombozi. Ni maelezo pekee ya kimantiki ya ucheleweshaji.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;B. Rafiki, kama unaamini kuna pambano linaloendelea dhidi ya uwezo na mamlaka ya Mungu, kwa nini usiamue hivi leo kuonyesha utii wako kwa Mungu kwa kukubali maelezo yake ya Uumbaji na kukumbuka na kunukuu mamlaka yake kwa kuitunza Sabato?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;VI. Juma Lijalo: Kufurahi Mbele za Bwana: Patakatifu na Ibada.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/3455255205653026852-473944145147380426?l=lesoni.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lesoni.blogspot.com/feeds/473944145147380426/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://lesoni.blogspot.com/2011/07/somo-la-3-sabato-na-ibada.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3455255205653026852/posts/default/473944145147380426'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3455255205653026852/posts/default/473944145147380426'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lesoni.blogspot.com/2011/07/somo-la-3-sabato-na-ibada.html' title='Somo la 3: Sabato na Ibada'/><author><name>Lessoni ya Kiswahili</name><uri>http://www.blogger.com/profile/05032927242368522742</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-3455255205653026852.post-6355212356798775089</id><published>2011-07-04T02:24:00.000-07:00</published><updated>2011-07-04T02:27:15.487-07:00</updated><title type='text'>Somo la 2: Safari ya Wana wa Israeli na Ibada: Kumfahamu Mungu</title><content type='html'>Somo limetafsiriwa na Mgune Masatu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;(Kutoka 3, 20 &amp; 32, 1 Mambo ya Nyakati 15, 2 Samweli 6))&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Somo hili limetafsiriwa kutoka katika Copr. 2009, Bruce N. Cameron, J.D. Majibu yaliyopendekezwa yanapatikana kwenye parandesi (kwenye mabano). Somo limekaa kimtazamo kwamba mwalimu anatumia ubao au sehemu nyingine yoyote ambayo inaweza kuonekana na wanafunzi. Somo hili pia linaweza kupatikana kutoka &lt;a href="http://www.GoBible.org"&gt;http://www.GoBible.org&lt;/a&gt; kwa lugha ya Kiingereza pamoja na lugha nyingine kama vile Kifaransa, Kijerumani. Omba kwa ajili ya uongozi wa Roho Mtakatifu unapojifunza.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Utangulizi: Amri Kumi zinaanza na kauli kwamba hatupaswi kuwa na miungu mingine mbele za Mungu wetu. Kwa ujumla nimekuwa nikifikiria kuwa ibada ya sanamu (ambayo ilikuwa ni suala kubwa katika Biblia) ilikuwa ni upumbavu. Kwa nini mtu yeyote yule aabubu kitu walichokifanya kwa mikono yao? Kama suala hili ni la kipumbavu, kwa nini Mungu anajihusisha nalo sana? Kwa nini miungu ya bandia inaelezewa kwenye amri yake ya kwanza? Je, miungu ya kale si kitu chochote, au ni ya kilaghai/kitapeli? Kama Shetani alitaka kuwa kama Mungu, je, inawezekana kuwa malaika walioanguka ndio miungu ya uongo ya kale? (Angalia Ufunuo 14:11.) Kama miungu ya uongo sio kipande cha ubao/mti, bali kiumbe chenye busara, je, inajaribu kutufanya tusimwabudu Mungu kwa usahihi? Je, inajaribu kuiba/kuharibu ibada yetu? Kama ndivyo, hii inaelezea kwa nini Mungu wetu analipa suala hili kipaumbele. Hebu tuzame kwenye Biblia yetu kuona kile inachotufundisha kuhusu ibada ya kweli na ya uongo!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;I.  Kijiti Kinachowaka Moto na Ibada&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma Kutoka 3:1-3. Mungu anavuta nadhari ya Musa (usikivu wa Musa)! Kwa nini Mungu anamwingilia Musa kwa kutumia njia hii? (Alimtaka Musa afikiri kuwa hili ni jambo alilopaswa kulitafakari.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Soma Kutoka 3:4. Je, nawe ungejibu kama Musa alivyojibu? (Kwa hakika Musa alishtushwa na sauti – kwa hakika alikuwa pale.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;C. Soma Kutoka 3:5-6. Hebu tuchunguze hili kwa muda kidogo kuona kile tunachoweza kujifunza kuhusu ibada. Kwa nini Mungu anamwambia Musa kuvua viatu vyake? (Mungu ni mtakatifu hivyo hiyo inafanya mahali panapomzunguka kuwa patakatifu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Kwa nini Musa alitakiwa kuwa mbali? (Tunaweza kupakaribia mahali patakatifu, lakini hatuwezi kumkaribia zaidi Mungu mkamilifu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Je, ujumbe wa jumla kuhusu ibada ni upi? (Mungu huja kimiujiza – kijiti kinachowaka moto. Anafanya sehemu za kawaida kuwa takatifu. Tunaweza tu kumsogelea, lakini hatupaswi kumkaribia zaidi.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;D. Soma Yohana 13:3-5. Je, unaelezeaje kutoka kwa Mungu ambaye unavua viatu vyako mbele zake, kwenda kwa Mungu ambaye anaosha miguu yako?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, asili ya Mungu imebadilika?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Je, asili ya ibada  imebadilika?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;3. Soma Waebrania 4:14-16 na Warumi 5:10. Je, mafungu haya yanapendekeza kitu gani?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;a. Je, yanapunguza utukufu wa Mungu?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;II. Ndama wa Dhahabu na Ibada&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma Kutoka 32:1-4. Je, inawezekana kwetu sisi hivi leo kuwa wapumbavu kiasi hicho na wachukizaji kiasi hicho kwa Mungu? &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, ni kitu gani kwenye haya mafungu kinatoa chukizo kubwa kabisa kwa Mungu? (Kwamba kazi zenye uwezo kubwa wa Mungu zinahusishwa na kitu kilichotengenezwa kwa mikono ya mwanadamu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;a. Je, huwa unahusisha mafanikio yako na bidii yako ya kazi na maarifa yako badala ya uwezo wa Mungu?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Soma Kutoka 32:17-20. Je, hivi ndivyo tunavyoweza kuitambua ibada ya uongo – uimbaji, kucheza, na muziki wa sauti ya juu?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;C. Soma Kutoka 15:20-21. Je, hivi ndivyo tunavyoweza kutambua ibada ya kweli – uimbaji, kucheza, na ngoma?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;D. Soma 1 Mambo ya Nyakati 15:27-29. Je, hivi ndivyo ambavyo tunaweza kutambua ibada ya kweli kwa wale walio na moyo wa Mungu (1 Samweli 13:14) – kupiga kelele, muziki wa sauti ya juu, vyombo vya muziki vya kugonganishwa, vyombo vya muziki vilivyotengenezwa kwa uzi/ugwe, na kucheza? (2 Samweli 6:14 inaongezea taarifa zaidi kwamba huu haukuwa mchezo uliozuiliwa au wa kimapokeo. Daudi “alicheza mbele za Mungu kwa uwezo wake wote.” Hii ni ibada ya Mfalme Daudi.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;E. Tunahitajika kuchukulia kwa umakini hitimisho la ibada ya Mfalme Daudi yenye kucheza kwa uchangamfu sana. Soma 2 Samweli 6:20-22. Nini asili ya mjadala kuhusu ibada ya Daudi kwa Mungu?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Nini nafasi ya Mikali, mke wa Daudi wa kifalme? (Analalamika kuwa Daudi “anakosa adabu,” hana haya/ni hayawani na hana heshima. Anatenda kama mtumishi wa kawaida. Baini kuwa hii ni kabla ya sanduku la agano, alama ya uwepo wa Mungu.)&lt;br /&gt;2. Nafasi ya Mungu ni ipi? (Kwamba ibada isiyo na heshima na kumsherehekea Mungu ni sahihi. Mungu alimchagua Daudi na atamfurahia/anamsherehekea Mungu wake hata kama inaonekana kutokuwa na heshima na udhalilishaji/ufedheheshaji.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;3. Sasa, rafiki, je, hii inaonekana kama mjadala wa sasa dhidi ya ibada? Je, umesikia kwamba “kucheza, muziki wa sauti ya juu, kuimba, kupiga kelele na mkanganyiko wa ujumla” ni alama ya ibada ya sanamu?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;F. Hebu tusome jibu la Mungu kuhusu suala hili. Soma 2 Samweli 6:23. (Mikali alikuwa tasa baada ya kumshambulia Daudi kwa ibada isiyokuwa na heshima.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, umewahi kuwa kwenye nyumba ya ibada “tasa?” &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Je, umewahi kuwa kwenye huduma ya ibada iliyo kavu kama vumbi? Kila mtu ana nywele za rangi ya kijivu, nyeusi au nyeupe (kama mimi!), na hakuna mtu anayeonekana kusherehekea, kusherehekea kwa dhati, kile Mungu alichowafanyia?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;3. Je, laana ya Mikali imo ndani ya nyumba yako ya ibada?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;G. Watu wana maoni makali sana kuhusiana na hii mada. Maoni yetu yanatakiwa kujengwa kwenye msingi wa Biblia – hususan pale ambapo yako wazi sana. Hata hivyo, kuna mantiki ya kawaida katika hili. Angalia watoto wako. Je, wote wanaweza kukupenda na kukuheshimu?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;1. Je, unataka wakusalimuje? Kwa vichwa vyao vikiwa vimeinamishwa na midomo yao imefumbwa? Au, matabasamu ya furaha na kicheko, na furaha ya dhahiri?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;H. Shetani ameona, na kabla hajaasi, hata alikuwa sehemu ya ibada ya utukufu zaidi kwa Mungu. Kama Shetani anataka kuwa kama Mungu, kama anataka kuabudiwa, je, ni aina gani ya ibada Shetani ataihamasisha/ataitia moyo? (Itakuwa na mantiki kwamba kama Shetani anataka kuabudiwa kama Mungu, atataka kuhamasisha aina ya ibada anayopewa Mungu. Isipokuwa kama baadhi ya vipengele vya ibada ya kipagani vinakiuka kwa wazi sheria ya Mungu, hii inapendekeza kuwa kile kilichotokea kwa ndama wa dhahabu wa Haruni badala yake kinaweza kuonekana kama ibada ya kweli (ingawa ni sawa na lengo baya la ibada).)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;III. Miungu wa Kisasa na Ibada&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma Kutoka 20:4-6. Je, unamfahamu mtu mmoja aliye na sanamu sehemu ya nyuma ya nyumba yake na ayayoiabudu? (Kamwe sijawahi kuona hilo, hata mara moja, maishani mwangu mwote hapa Marekani.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, mojawapo ya kishawishi cha Shetani chenye mafanikio makubwa sana kimezeeka? Je, ulikuwa tu ni mtindo unaopita?&lt;br /&gt;2. Je, nini ishara ya ibada ya sanamu? (Sanamu ni kitu kinachotengenezwa na wanadamu. “Tunakisujudia” na kukiabudu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;a. Je, inamaanisha nini kuiabudu sanamu? (Tunaipatia fedha zetu, muda wetu, heshima yetu na tunapokea ushauri wake.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;3. Nilipokuwa ninasoma “Miungu ya Kimarekani,” (kitabu nisichokipendekeza) mojawapo ya mungu wa kisasa alikuwa ni televisheni. Televisheni, kuonyesha umuhimu wake, alisema (hii inanukuliwa kutokana na kumbukumbu baada ya kukisoma kitabu hicho) “Familia zinakusanyika kunizunguka, zinatoa muda wao, zinanipa usikivu wao, na zinatii maneno yangu.” Wow! Hiyo ilishika nadhari/usikivu wangu. Je, ibada yetu ya sanamu imejongea kutoka nyuma ya nyumba hadi sebuleni?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;IV. Ibada ya Ufunuo&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma Ufunuo 5:13-14 na Ufunuo 19:1-7. Je, ni matamanio yako makubwa kuungana na haya maneno ya sifa na kumwabudu/kumsujudia Mungu? &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Rafiki, kama unataka kuwa sehemu ya hili kundi, kwa nini usimsifu Mungu kwa mkazo huo hivi sasa? Kwa nini usipige kelele na kupaza (Ufunuo 19:1) sifa zako kwa Mungu? Kwa nini usimsifu kama unavyomaanisha, na sio kama unajiandaa kulala kidogo siku ya Sabato mchana?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;V. Juma Lijalo: Sabato na Ibada.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/3455255205653026852-6355212356798775089?l=lesoni.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lesoni.blogspot.com/feeds/6355212356798775089/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://lesoni.blogspot.com/2011/07/somo-la-2-safari-ya-wana-wa-israeli-na.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3455255205653026852/posts/default/6355212356798775089'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3455255205653026852/posts/default/6355212356798775089'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lesoni.blogspot.com/2011/07/somo-la-2-safari-ya-wana-wa-israeli-na.html' title='Somo la 2: Safari ya Wana wa Israeli na Ibada: Kumfahamu Mungu'/><author><name>Lessoni ya Kiswahili</name><uri>http://www.blogger.com/profile/05032927242368522742</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-3455255205653026852.post-8622255168603181378</id><published>2011-06-24T05:27:00.000-07:00</published><updated>2011-06-24T05:29:41.619-07:00</updated><title type='text'>Somo la 1: Ibada Katika Kitabu cha Mwanzo: Madaraja ya Waabudu</title><content type='html'>Somo limetafsiriwa na Mgune Masatu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;(Mwanzo 4 &amp; 22)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Somo hili limetafsiriwa kutoka katika Copr. 2009, Bruce N. Cameron, J.D. Majibu yaliyopendekezwa yanapatikana kwenye parandesi (kwenye mabano). Somo limekaa kimtazamo kwamba mwalimu anatumia ubao au sehemu nyingine yoyote ambayo inaweza kuonekana na wanafunzi. Somo hili pia linaweza kupatikana kutoka &lt;a href="http://www.GoBible.org"&gt;http://www.GoBible.org&lt;/a&gt; kwa lugha ya Kiingereza pamoja na lugha nyingine kama vile Kifaransa, Kijerumani. Omba kwa ajili ya uongozi wa Roho Mtakatifu unapojifunza.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Utangulizi: Nimebaini mabadiliko ya utamaduni nilipokuwa mtu mzima. Nilipokuwa kwenye makuzi (ukuaji) katika mazingira ya Kikristo ya kijijini nchini Marekani, watu ama walikuwa Wakristo au waasi, na waasi kwa ujumla walikubaliana na uasi wao. Waasi hawakutaka kudai kuwa wao ni watu wema, walikuwa jinsi walivyo (walikubaliana na hali yao.) Siku hizi watu wote wanadai kuwa wao ni watu wa “kiroho.” Watu, ambao siku za zamani walikuwa tu ni waasi, sasa wanadai kuwa wana utaratibu binafsi wa kimaadili ambao ni wa hali ya juu kuliko ule unaoelezewa kwenye Biblia. Somo letu juma hili ni kuhusu madai ya hali ya kiroho nje ya ule ulioidhinishwa na Mungu. Kwa vile tunapata huu mwanzo katika kitabu cha Mwanzo, labda “mabadiliko ya utamaduni” niliyoyasema hapo awali, ni mabadiliko tu ya uelewa wangu. Hebu tuzame kwenye somo letu la Biblia na kujifunza zaidi!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;I. Majuto ya Wazazi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma Mwanzo 4:1. Fikiria furaha na maajabu/mshangao kwenye uzao wa kwanza katika historia ya mwanadamu! Je, Hawa alimpa sifa nani? (Mungu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Unafahamu kisa cha anguko la wanadamu dhambini (Mwanzo 3), unadhani Adamu na Hawa walikielezeaje kwa Kaini?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;a. Je, unadhani bado walikuwa wanamlaumu mtu fulani kwa ajili ya anguko? (Angalia Mwanzo 3: 12-13.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Kama wewe ungekuwa Adamu au Hawa, je, ungesisitiza kitu gani kwenye elimu ya kidini kwa Kaini? (Utii kwa Mungu?)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, unadhani Adam na Hawa walimwambia Kaini kuwa nini kilikuwa madhara makubwa kabisa ya dhambi yao? (Kutokuishi mbele za Mungu?)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;I. Wana Wawili, Sadaka Mbili&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma Mwanzo 4:2-5. Kama nipo sahihi kwamba Kaini alilelewa kwa mtazamo kwamba anapaswa kutii, je, unaielezeaje sadaka yake? Kama wewe ungekuwa Kaini, je, ungethibitishaje chaguo lako la kutoa sadaka? (Uanuwai/utofauti! Kila mtu ana talanta tofauti, thawabu na uwezo. Nitampatia Mungu kitu kilicho na maana kwangu – kinachoakisi talanta na kazi zangu. Kuna barabara nyingi za kuielekea sadaka, na nitapita kwenye barabara ambayo inaendana na jinsi nilivyo.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Soma Mambo ya Walawi 17:11. Vipi kuhusu kafara ya damu iwe ndio kafara inayojitosheleza? (Hatuoni maelekezo ya wazi kwa Adamu na Hawa na watoto wao kuhusu jinsi ya kutoa sadaka. Hata hivyo, taarifa ya kuwa uchi ikiwa ni matokeo ya dhambi (Mwanzo 3:6-7) na uvishaji wa Mungu wa nguo za ngozi (kifo cha mnyama ili kuficha dhambi ya wanadamu – Mwanzo 3:6-7) inafunua mpango wa Mungu. Bila shaka ndio maana Mungu alitoa maelekezo, haikuandikwa tu kwenye Biblia.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Hebu turejee Mwanzo 4:5. Kama Kaini hamtii Mungu, kwa nini anaghadhibika? (Lazima atakuwa alikuwa na sababu za kuamini kuwa yupo sahihi. Hiyo inapendekeza kuwa kiukweli kabisa aliamini “uanuwai wa thawabu” ulikuwa ni jibu sahihi kwa maelekezo mahsusi ya Mungu (na kinyume chake.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma Mwanzo 4:6-7. Je, hii inatuambia nini kuhusu asili ya maelekezo ya Mungu kuhusu ibada kwa Kaini? (Kauli za Mungu zinafunua kwamba Kaini alifahamu vema. Alijua cha kufanya. Mungu anasema kuwa suala ni rahisi: tii! Bila shaka ndio maana hili lilionekana kama vile kwa wazazi wake.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, nini kilicho mbadala wa utii kwa Kaini? (Kaini atatawaliwa na dhambi.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Kwa nini Mungu anaielezea dhambi kana kwamba ni kitu chenye uhai? Mnyang’anyi/mporaji wa aina fulani? (Sura iliyotangulia inamwelezea Shetani kama mnyama anayetafuta kumdanganya Hawa. Mwanzo 3:1-5. Dhambi sio ya kupita, ni kama mporaji.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Uvishaji wa mavazi ya ngozi na maelezo ya Mambo ya Walawi 17:11 ya upatanisho wa damu vinatuonyesha kuwa haki kwa imani, na sio matendo binafsi, tayari vipo kama mpango wa Mungu. Kama hiyo ni kweli, kwa nini Mungu yu mahsusi kabisa kuhusu sadaka ya Kaini? (Wokovu sio mpango wa “njia nyingi.” Ni ama utoe kafara ya damu, au uwe na sadaka isiyokubalika.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Angalia tena Mwanzo 4:7. Je, hii inaendana vipi na neema – haki kwa imani? Mungu anawezaje kuwaambia wanadamu “waishinde” dhambi? (Neema ni uchaguzi. Ama tunaweza kuishi maisha ambayo tunakubali neno la Mungu na kujaribu kuishi kulingana na neno hilo, au tunaweza kufanya kanuni zetu wenyewe zinazoendana na hisia zetu wenyewe za usahihi na ubaya, na kupuuzia kanuni za Mungu. Neema inahusisha uchaguzi.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;I. Matokeo ya Sadaka Isiyo Sahihi&lt;br /&gt;    &lt;br /&gt;A. Soma Mwanzo 4:8-9. Je, unawezaje kuelezea hili? Ni kwa jinsi gani kimantiki Kaini alitoka kwenye lawama ya Mungu hadi kwenye mauaji yaliyodhamiriwa? (Hii inatupatia dira ya wazi ya wale wanaokubali haki kwa imani na wale wasiokubali. Kama Kaini angesema tu, “Sawa Mungu, nimetenda dhambi, nitafuata maelekezo yako” angekuwa salama. Badala yake, sio tu kwamba aliendelea kuasi dhidi ya Mungu, alimghadhibikia ndugu yake aliyetii. Utii wa Habili ulikuwa ni karipio kwa Kaini. (Na unashangaa kwa nini chombo cha habari cha taifa kina uhasama/uadui kwa wale wanaotafuta kuitii Biblia!) Mitazamo miwili iliyowasilishwa na wana wawili kimsingi inatofautiana.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma Mwanzo 4:10-12. Je, unafikiria nini kuhusu hukumu iliyowekwa na Mungu?  &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, ungetoa hukumu kali zaidi ya hiyo?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, adhabu ya Kaini ni ipi kwa hakika? (Hawezi kuwa mkulima tena. Atakuwa “mtoro” na mtu asiye na kikao duniani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;a. Je, hii inaendana na adhabu yoyote iliyowekwa na Mungu siku hizi? (Tunawaona wanadamu ambao, ikiwa ni matokeo ya fedheha ya dhambi, wanafukuzwa kutoka kwenye taaluma wanayoipenda.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma Mwanzo 4:13-14. Je, Kaini ametubu? (Kamwe hasemi kuwa anaomba msamaha kwa mauaji. Anahoji kuwa adhabu yake imekuwa kubwa. Ana wasiwasi kwamba mtu fulani mwingine tofauti na Mungu atampa hukumu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Baini hili lalamiko jingine: kwamba atasitirika mbali na uso wa Mungu. Je, hii inaonyesha kuwa ametubu kwa dhati? (Naamini kuwa majuto makubwa kabisa ya Adamu na Hawa yalikuwa ni kutengwa kwao na Mungu. Bila shaka walishiriki haya majuto na Kaini alipokuwa anakua. Ghafla, Kaini anakumbuka hili, na kuelewa kuwa ameanguka kwenye shimo lile lile – refu zaidi tu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma Mwanzo 4:15-16. Je, unaelezeaje haki ya Mungu? Je, haikumpasa kumwua Kaini pale pale? (Hii inaonyesha upendo na neema ya Mungu hata kwa mtu ambaye haonekani kutubu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma Mwanzo 4:14 na Mwanzo 4:17. Wale wanaopinga kumwabudu Mungu kama Muumba wanatumia haya mafungu mawili kuashiria kuwa Biblia haina suala halisia la uumbaji. Je, tuliwapata wapi hawa watu wengine wote? Wanasema, “Adamu na Hawa ni ishara tu ya watu wengine wengi walioumbwa na Mungu (au waliobadilika).” Je, unaelezeaje hili? (Soma Mwanzo 4:2-3. Baini “ikawa hatimaye akamzaa ndugu yake” (inayoruhusu kuzaliwa kwa mabinti kabla ya Habili) na “katika kipindi fulani,” inayotutaarifu kuwa kipindi fulani ambacho hakikuelezewa kilipita bila maelezo ya matukio yaliyotokea. Hakuna sababu kwa nini hiki kipindi kisingeweza kuwa miaka 200 – hata kwa idadi ya watu kutokea.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Baada ya kusoma kisa hiki, unawezaje kuelezea mtazamo wa Mungu kuhusu njia anuwai/mbalimbali za wokovu? (Tunaonyeshwa Mungu mwenye upendo na rehema, lakini pia Mungu aliye na kanuni na anayezitekeleza.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;I. Abramu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma Mwanzo 12:1-3. Kama wewe ungekuwa Abramu, je, ungeondoka? (Hivi ni vichocheo vya kupendeza vya kufanya uondoke!)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Unadhani ni kwa nini Mungu alimtaka Abramu kuhama? (Hii inaleta wazo la utengano. Wale wanaomwabudu Mungu wanahitajika kuwa na nafasi kutoka kwa wale walio wakatili kuhusu ibada ya Mungu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Soma Mathayo 9:10-13. Je, tunalinganishaje hizi taswira mbili? (Mungu anatuita kuuhubiri ulimwengu, sio kuushambulia. Lakini, Mungu anatamani sisi tuwe na utengano fulani na dunia.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma Mwanzo 22:1-2 na Mambo ya Walawi 20:1-3. Je, ungetoa hoja gani dhidi ya utii kama wewe ungekuwa Ibrahimu? (Mungu aliniahidi uzao mwingi! Mungu alinitaka nitengane, lakini hiki ndicho kitu ambacho kinafanywa na ulimwengu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma Mwanzo 22:3-5. Je, Ibrahimu anawadanganya watumishi wake kuhusu kurejea kwa Isaka?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma Mwanzo 22:6-8. Je, Ibrahimu anamdanganya Isaka?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma Mwanzo 22:9-14. Je, Mungu alitoa kafara kama jinsi Ibrahimu alivyomuahidi Isaka? (Ndiyo!)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Je, kisa hiki kina uhusiano wowote na kisa cha Kaini? (Vyote vinahusisha utii. Kaini aliitwa kutii dhidi ya vipaumbele vyake. Ibrahimu aliitwa kutii hata pale ambapo haikuleta mantiki ya kiteolojia.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, tunajifunza nini kutoka kwa Ibrahimu? (Ibrahimu hakuamini Mungu angemtaka amuue mwanaye. Lakini bado aliendelea kutembea katika utii.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Unapochukulia kisa cha injili, je, ni somo gani jingine tunalolipata kwenye kisa cha Ibrahimu na Isaka? (Mungu alimtoa mwanaye. Mungu ana sifa mbili za asili, upendo wa ajabu kwetu, na matarajio yake ya utii wetu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Rafiki, je, unajaribiwa kupuuzia mojawapo ya kanuni za Mungu kwa sababu ipo nje ya utamaduni wa sasa au mwelekeo wa kivitendo maishani mwako? Je, utamwomba Roho Mtakatifu leo kukupatia mtazamo wa Ibrahimu, kwamba utamtii Mungu bila kujali kama ni umaarufu au sio rahisi?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;I. Juma Lijalo: Ibada Katika Kitabu cha Kutoka: Kumwelewa Mungu ni Nani.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/3455255205653026852-8622255168603181378?l=lesoni.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lesoni.blogspot.com/feeds/8622255168603181378/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://lesoni.blogspot.com/2011/06/somo-la-1-ibada-katika-kitabu-cha.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3455255205653026852/posts/default/8622255168603181378'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3455255205653026852/posts/default/8622255168603181378'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lesoni.blogspot.com/2011/06/somo-la-1-ibada-katika-kitabu-cha.html' title='Somo la 1: Ibada Katika Kitabu cha Mwanzo: Madaraja ya Waabudu'/><author><name>Lessoni ya Kiswahili</name><uri>http://www.blogger.com/profile/05032927242368522742</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-3455255205653026852.post-2708083933968107860</id><published>2011-06-17T06:21:00.000-07:00</published><updated>2011-06-17T06:24:01.757-07:00</updated><title type='text'>Somo la 13: Kumvaa Kristo</title><content type='html'>Somo Limetafsiriwa na Mgune Masatu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;(Warumi 8 &amp; 13, 1 Wakorintho 15)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Somo hili limetafsiriwa kutoka katika Copr. 2009, Bruce N. Cameron, J.D. Majibu yaliyopendekezwa yanapatikana kwenye parandesi (kwenye mabano). Somo limekaa kimtazamo kwamba mwalimu anatumia ubao au sehemu nyingine yoyote ambayo inaweza kuonekana na wanafunzi. Somo hili pia linaweza kupatikana kutoka &lt;a href="http://www.GoBible.org"&gt;http://www.GoBible.org&lt;/a&gt; kwa lugha ya Kiingereza pamoja na lugha nyingine kama vile Kifaransa, Kijerumani. Omba kwa ajili ya uongozi wa Roho Mtakatifu unapojifunza.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Utangulizi: Kwenye masomo kadhaa yaliyopita tulitatizika pale tulipojifunza kuwa Wakristo “wema” wanaweza kuwa kama yule kijana mkubwa kwenye kisa cha mwana mpotevu (Luka 15), au Wayahudi washika dini kwenye kisa cha “Msamaria Mwema” (Luka 10), au marafiki wa mfalme kwenye kisa cha sherehe ya harusi katika Mathayo 22. Wasomaji wa masomo “wenye haki hafifu”, kwa upande mwingine, walikuwa wakifurahia. Wokovu kwa neema ni sababu nzuri ya kufurahia na kuendelea kufurahia. Lakini, Mungu anatupatia sote (Wakristo “wema” na “wabaya” kwa pamoja) habari za kufikiria kwa umakini pale anapoelezea (Mathayo 7:13-14) kuwa njia ya kuelekea wokovuni ni “nyembamba” na “ni watu wachache tu wanaoifuata.” Je, inawezaje kuwa “nyembamba” wakati imepewa kwa wote wanaoamini? Je, kuvaa vazi la harusi la wokovu ni tukio la mara moja ambalo tunaweza kusahau baadaye? Au je, ni zaidi ya hapo? Hebu tuzame kwenye somo letu la kujifunza Biblia na kubaini!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;I. Wokovu Maridadi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma Warumi 10:1-4. Je, Waisraeli wana tatizo gani? Je, wao ni wavivu? (Hapana. Wana “juhudi kubwa,” ikimaanisha “wachapa kazi.” Tatizo ni kwamba hawaelewi injili. Wana pengo kwenye uelewa wao.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Ukiendelea kusoma Warumi sura ya 10 na 11 utajifunza kuwa wokovu unatokana na kuamini, lakini tatizo ni kuelewa. Soma Warumi 12:1-2. Je, Paulo anaonya dhidi ya kushindwa kupi? (Usiifuatishe namna ya dunia hii.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Kwa nini hili liwe tatizo kama tuliokolewa kwa neema? (Baini kuwa Paulo bado anazungumzia kuhusu maarifa. Kama tunabadilishwa na injili, basi “tutakuwa na uwezo wa kujaribisha na kuthibitisha mapenzi ya Mungu ni yapi – mapenzi yake makamilifu, mema na ya kupendeza.” “Kupima/Kujaribisha” kitu fulani ni kujifunza zaidi kuhusiana na kitu hicho.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;a. Huu unaonekana kuwa kama mradi wa sayansi – tunajaribisha kitu fulani ili kuwa na uhakika kuwa ni cha kweli. Unadhani ni kwa nini kufuatisha namna ya dunia inamaanisha kuwa hatuwezi kufanya jaribio kikamilifu? (Tatizo la Waisraeli wa wakati wa Paulo ni kwamba hawakuelewa  mapenzi ya Mungu kikamilifu. Nasi tuna changamoto iyo hiyo – jinsi ya kuelewa mapenzi ya Mungu. Kama tunabadilishwa na injili, badala ya kuufuatisha ulimwengu, tunapewa vifaa vya kumpima/kumjaribu yule anaeyaelezea mapenzi ya Mungu kwa usahihi. Kama wewe ni wa dunia, uwezo wako wa kupima/kujaribisha u butu/umefifia sana.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;II. Upendo wa Dhati&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma Warumi 12:9-13. Je, kuna upendo usio wa dhati? (Ndiyo!)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;1. Kama unapenda uovu, je, upendo wako kwa Mungu si wa dhati? (Haya mafungu yanapendekeza mfululizo wa viwango vya upendo wa dhati. Inaonekana kwamba upendo wa dhati unahusisha kujitolea nafsi kwa umadhubuti.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Kwa kuzingatia mafungu tuliyoyasoma, je, itakuwa haki kuhitimisha kuwa kutokuelewa kwa Waisraeli waliomkataa Yesu kulitokana na upendo usio wa dhati?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;a. Je, upungufu wa maarifa na upungufu wa upendo wa dhati ni kitu kimoja katika huu muktadha? Kama sivyo, je, vinafanana? (Hebu tuendelee, tunahitaji taarifa zaidi!)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Hebu tuendelee kusoma hoja ya Paulo. Soma Warumi 13:1-5. Kama tunampenda Mungu, je, mtazamo wetu kwa serikali unapaswa kuwa upi? (Hatupaswi kuwa waasi!)   &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Kwa nini kuna kiungo kati ya upendo wa dhati kwa Mungu na mtazamo wa unyenyekeaji dhidi ya serikali? (Warumi 13:1 inasema kuwa Mungu aliiweka mamlaka.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;C. Soma Warumi 13:6-8. Je, kodi na ushuru vina kitu gani cha kufanana? (Kumpenda Mungu inamaanisha kuwa sisi ni raia wema. Tunalipa kodi zetu na tunalipa ushuru.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;D. Soma Warumi 13:9-10. Je, wale waliookolewa kwa neema wanatii Amri Kumi? (Ndiyo!)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Kwa nini? (Zimetokana na wajibu wetu wa kuwapenda wengine.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;a. Hebu tupitie hitimisho letu la “upendo wa dhati.” Je, kutii Amri Kumi na kuonyesha ukarimu kwa jirani zetu ni jaribio la udhati wa upendo wetu? (Kama tunabadilishwa na injili, badala ya kuendana na dunia, tunaweza kuona hili kama jaribio la kweli.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;b. Hebu tupitie pia suala la kama upungufu wa maarifa na upungufu wa upendo wa dhati vinaendana? (Ndiyo, vinaendana. Kama huelewi kuwa upendo wa dhati unaakisiwa kwenye maisha yaliyobadilika, basi hauielewi injili.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;E. Mkumbuke kijana mkubwa kwenye kisa cha mwana mpotevu? Soma Luka 15:28-30. Je, ungechukulia mtazamo wa kijana mkubwa kuwa ule wa “upendo wa dhati?” (Hakujisikia kumpenda baba yake au ndugu yake. Alichukulia huduma yake na utii wake kwa baba yake kuwa kama utumwa!)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, neema inatutoa nje ya utii? (Sio kwa njia yoyote ile. Neema inamaanisha kuwa utii wetu unahamasishwa na upendo, sio wajibu. Kijana mkubwa alifahamu kuhusu wajibu, hakuonekana kuwa na ufahamu mkubwa kuhusu upendo. Kwa uthibitisho zaidi wa wazo kwamba neema, upendo na utii vinahusiana, soma Warumi 6.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;III. Kuelekea Kwenye Maisha ya Neema – Mtazamo Wenye Sehemu Mbili&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;A. Kwa hiyo, hii inatokeaje maishani mwako? Je, tunapataje upendo wa dhati unaoishia kuwa na mtazamo chanya dhidi ya Mungu, serikali na wale wanaotuzunguka? Je, tunasaga meno yetu na kufumba midomo? (Isipokuwa, kama Waisraeli,, nimechanganyikiwa kuhusu hili, nimeishi muda mrefu vya kutosha kutambua kwamba hii ni rahisi sana kuandika kuihusu, lakini sio rahisi sana kuitenda. Upendo sio kitu kinachotokana na kudhamiria, udhati au wajibu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Ninaamini kuwa kuna sehemu mbili za kuishi maisha ya kweli ya neema. Soma Warumi 8:1-4. Je, tunatimizaje matakwa ya haki ya sheria? (Yesu alitimiza “matakwa ya haki ya sheria” kwa ajili yetu. Yesu alifanya hivyo kwa niaba yetu. Hiyo ndio sehemu ya kwanza. Huo ulikuwa ni unyanyuaji wa mzigo mzito kwa Yesu, lakini sio kwangu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Baini kwamba Warumi 8:4 inaonekana kusema kuwa Yesu anatimiza matakwa ya haki ya sheria “ndani yetu, tusioishi kwa mujibu wa asili ya dhambi.” Je, hiyo inamaanisha kuwa kitu fulani hivi kinahitajika kwetu sisi kustahili kwa ajili ya sehemu ya kwanza? (Kwa hakika inaonekana kuwa hivyo. Hii inaonekana kuwa sawa kabisa na “upendo wa dhati” tuliojadili hapo kabla.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;C. Soma Warumi 8:5-8. Je, tunaepukaje kuishi kwa mujibu wa asili yetu ya dhambi? (Tunafanya uamuzi wa kuziweka akili zetu kwa kile ambacho Roho Mtakatifu anakitamani badala ya kile ambacho asili yetu ya dhambi inakitamani.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;D. Hebu turukie mbele kwa muda kidogo. Soma Warumi 8:12-15. Tunamtumiaje Roho kuyaweka mautini “matendo mabaya ya mwili?” (Hii inapendekeza mwendelezo – kuishi kwa mujibu wa Roho kunatufanya tubaini, na kisha kukataa (“kuyaweka mautini”), yale mambo yaliyo dhambi.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;E. Soma Warumi 8:9-11. Je, ni muhimu kiasi gani kuwa na Roho Mtakatifu hai maishani mwetu? (“Kama mtu yeyote hana Roho wa Kristo, basi yeye si wa Kristo.” Inaashiria matokeo ya milele ya maisha yetu – mbingu au upotevu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;F. Ni kwa jinsi gani basi, unaelezea kuvaa vazi la Yesu la haki? (Kwa hakika sio kitu cha wakati mmoja. Sio jambo la “kusaga meno yako na kutii.” Kwanza ni (sehemu ya kwanza) uamuzi wa kukubali kafara ya maisha makamilifu ya Yesu kwa niaba yetu. Na pili (sehemu ya pili) ni uchaguzi wa kila siku wa kuongozwa na Roho Mtakatifu. Hiki ndicho ambacho Warumi inakiita “upendo wa dhati.”)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Ni sehemu gani ya hili ambayo Waisraeli wa wakati wa Paulo hawakuielewa? (Hawakuelewa sehemu ya kwanza (Yesu ndiye kafara ya Mwanakondoo wa Mungu). Yesu alisema walikuwa kama kijana mkubwa kwenye kisa cha mwana mpotevu – walihamasishwa na wajibu, sio upendo. Hiyo inamaanisha kuwa pia walikosa sehemu ya pili.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Je, huu mjadala wa sehemu za muhimu unaharibu imani yetu kwenye wokovu wetu? (Hapana. Tunaokolewa pale tunapoamua kukubali vazi la Yesu la haki. Uamuzi huo unaweza kubatilishwa kama tunaendelea kufanya chaguzi zisizo sahihi. Uamuzi huo unathibitishwa kwa kufanya uamuzi wa kuishi maisha yanayoongozwa na Roho Mtakatifu. Hii ndio sehemu ya “dhati” ya upendo wetu. Kile Yesu alichotufanyia kinaleta tofauti kwenye mtazamo wetu, na kwa hiyo utofauti maishani mwetu. Bado tuna “matendo yasiyo sahihi ya mwili” ya kuzikwa na uwezo wa Mungu. Lakini, tupo kwenye njia sahihi. Bwana asifiwe!)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;IV. Thawabu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;A. Soma 1 Wakorintho 15:50-52. Nini kinachoendelea hadi “parapanda ya mwisho?” (Miili yetu na damu. Badiliko la mwisho na la milele litakuja “kufumba na kufumbua” wakati wa Ujio wa Mara ya Pili wa Yesu. Hapo ndipo ubadilishwaji wetu utakamilika.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Soma 1 Wakorintho 15:53-57. Je, ni maadui gani wanaoshindwa? (Sheria, dhambi na mauti.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Kwa nini sheria kamilifu ya Mungu, nakala ya tabia yake, iwe adui aliyeshindwa? (Kwa sababu nguvu ya dhambi ni sheria. Sheria haimwokoi mtu yeyote. Inatuhukumu tu na kutuonyesha hali yetu ya dhambi. Yesu alipoitii sheria kikamilifu, alimwangamiza adui ambaye vinginevyo angehitaji kifo chetu. Kwa sababu hiyo, sheria, dhambi na mauti vyote vimeshindwa.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;C. Rafiki, je, ungependa kuingia kwenye safari ya ubadilishwaji? Je, ungependa kusikia kwamba dhambi na mauti vinashindwa maishani mwako? Kama unataka hayo, basi kubali kwa imani kafara ya Yesu kwa ajili yako, na jitoe kwamba kila siku utamwomba Roho Mtakatifu akusaidie ili uishi maisha yanayoongozwa na Roho.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;V. Juma Lijalo: Tutaanza mfululizo mpya wa masomo kuhusu ibada.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/3455255205653026852-2708083933968107860?l=lesoni.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lesoni.blogspot.com/feeds/2708083933968107860/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://lesoni.blogspot.com/2011/06/somo-la-13-kumvaa-kristo.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3455255205653026852/posts/default/2708083933968107860'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3455255205653026852/posts/default/2708083933968107860'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lesoni.blogspot.com/2011/06/somo-la-13-kumvaa-kristo.html' title='Somo la 13: Kumvaa Kristo'/><author><name>Lessoni ya Kiswahili</name><uri>http://www.blogger.com/profile/05032927242368522742</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-3455255205653026852.post-1974438659314297369</id><published>2011-06-09T22:23:00.000-07:00</published><updated>2011-06-09T22:25:52.985-07:00</updated><title type='text'>Somo la 12: Vielelezo Zaidi vya Mavazi</title><content type='html'>Somo limetafsiriwa na Mgune Masatu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Zingatia:&lt;br /&gt;Mwandishi wa somo hili anasema kuwa kama yalivyo maneno yasiyokuwa ya kawaida – “Walmart” ni maduka makubwa ya rejereja kule Marekani. Yana bei za chini za bidhaa, yana bidhaa nyingi na yanauza karibia kila kitu. Baadhi ya maduka ya Walmart yanakuwa wazi kwa muda wa saa 24. Watu wengi masikini wananunua vitu kwenye maduka hayo, lakini hata mwandishi (Profesa Bruce Cameron) pia anafanya manunuzi kwenye maduka hayo! Matabaka yote ya jamii wanafanya manunuzi pale – isipokuwa labda watu wenye hadhi ya juu kabisa. Mwandishi anapendekeza kuwa kama kuna maduka ya aina hiyo nchini kwako, basi uwe huru kutumia maduka hayo badala ya Walmart. Hapa kwetu Tanzania tumetumia maduka ya Kariakoo ambapo kwa kiasi fulani yanashabihiana na hayo maduka ya Walmart. Nawe pia jisikie huru kutumia maduka mbadala ya aina hiyo yanayopatikana mahali ulipo. Angalizo hili linahusika pia kwenye somo la juma lililopita la “Vazi la Harusi.”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Somo la 12: Vielelezo Zaidi vya Mavazi&lt;br /&gt;(Marko 5, Yohana 13 &amp; 19, Mathayo 26-27)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Somo hili limetafsiriwa kutoka katika Copr. 2009, Bruce N. Cameron, J.D. Majibu yaliyopendekezwa yanapatikana kwenye parandesi (kwenye mabano). Somo limekaa kimtazamo kwamba mwalimu anatumia ubao au sehemu nyingine yoyote ambayo inaweza kuonekana na wanafunzi. Somo hili pia linaweza kupatikana kutoka &lt;a href="http://www.GoBible.org"&gt;http://www.GoBible.org&lt;/a&gt; kwa lugha ya Kiingereza pamoja na lugha nyingine kama vile Kifaransa, Kijerumani. Omba kwa ajili ya uongozi wa Roho Mtakatifu unapojifunza.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Utangulizi: “Mtu anamuuma mbwa.” “Kisasi cha wapumbavu.” “Mwanaume mwenye sura mbaya anamwoa binti mrembo.” Kauli hizi zinatupatia habari zisizotarajiwa. Kwa kawaida mbwa huuma watu, mabarubaru (vijana wadogo wanaochipukia na walio katika umri wa kubalehe) maarufu, werevu na wenye mwonekano mzuri wanaonekana kutapakaa, na mwanaume mzuri anamwoa binti mzuri. Vipi kama Ufalme wa Mungu una kila kitu kinyume chake? Je, Mungu anaongoza ufalme wa wapumbavu? Au, je, hivyo ndivyo tu ulimwengu unavyofikiria? Kama Mungu ana mambo yenye kinyume, kwa nini? Je, kuna mbaraka katika hili kwa mtu wa kawaida? Hebu tuzame kwenye somo letu la Biblia na kubaini!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;I. Ushindi wa Najisi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma Marko 5:21-24. Unadhani ni kwa nini Yesu alikwenda pamoja na Yairo? (Yairo alikuwa na jambo la dharura. Alikuwa na imani. Alikuwa mkuu wa sinagogi.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Soma Marko 5:25-26. Hebu jiweke kwenye nafasi ya huyu mwanamke. Je, ungejisikiaje? (Amechanganyikiwa. Ametumia fedha zake zote akitafuta matibabu, na alikuwa anaendelea kujisikia vibaya zaidi.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;C. Soma Marko 5:27-28. Je, huu ni mpango wa namna gani? (Soma Mambo ya Walawi 15:25-27. Hapaswi kumgusa Yesu kwa sababu atamfanya kuwa najisi. Hiyo itamfanya Yesu kupitia mchakato wa utakaswaji.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;D. Soma Marko 5:29-34. Je, ni bahati mbaya tu kuwa huyu mwanamke aliponywa? Je, Yesu hana udhibiti wa nguvu/uwezo wake mwenyewe? (Mwanzoni kisa kinataka kuonekana kuwa kama hivyo, lakini tunaona kuwa uponywaji wake ni thawabu ya imani.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;E. Soma Marko 5:35. Kama Yesu angekuwa hapotezi muda kijingajinga na huyu mwanamke, je, binti wa Yairo angekufa?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Jiweke kwenye nafasi ya Yesu. Una watu wawili wahitaji: binti mdogo wa mkuu wa sinagogi aliye katika hali ya dharura, na mwanamke najisi aliye na ugonjwa sugu usio wa dharura. Je, ungemwona yupi kwanza? (Kutokana na mtazamo wa watazamaji, uamuzi wa Yesu kwa hakika hauna maana yoyote.)&lt;br /&gt;2. Je, unaweza kutafakari uamuzi wa Yesu kama unaleta maana yoyote? (Yesu hajali hadhi ya mtu yeyote. Yesu hajali muda. Kama ukiendelea kusoma hiki kisa, Yesu anamfufua huyu msichana mdogo. Anafanya kila kitu kwa usahihi, kwa mujibu wa ratiba yake.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;II. Ushindi wa Mwosha Miguu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma Yohana 13:1-8. Kwa nini Petro anapinga Yesu kumwosha miguu yake?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Soma Marko 14:10-11. Kwa nini Yuda anamsaliti Yesu?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;C. Soma Mathayo 20:20-21. Kwa nini mama wa Yakobo na Yohana (Angalia Marko 10:35) anaomba kwamba wanawe wawe kwenye nafasi ya juu kwenye Ufalme wa Yesu? (Maswali yote matatu yana jibu moja. Petro anaamini kuwa Yesu anakaribia kuwa Mfalme. Yuda anaamini kuwa kama akimtia Yesu “kashikashi” kidogo, Yesu ataonyesha uwezo wake na kuwa Mfalme. Mama anaamini Yesu atakuwa Mfalme.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;D. Hebu turejee kwenye Yohana 13:3-4 kuhusiana na chakula cha jioni cha Pasaka. Je, nini kipo mawazoni mwa wanafunzi? (Wanataka kuonyesha kuwa wao ni wa muhimu sana. Wanastahili nafasi za juu kwenye ufalme ujao wa Yesu. Kwa hiyo, hawadiriki kuruhusu waonekane wadhaifu kwa kuosha miguu ya mmoja wa wapinzani wao.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, nini kimo akilini mwa Yesu? (Yesu anajua kuwa kila kitu kimewekwa chini ya uwezo wake!)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Je, hii inahusianaje na kisa cha Yairo? (Yesu anaonyesha mfano wa utume ambao hakuna aliyeutarajia. Anamtumikia kila mmoja bila kujali mahali pao maishani au mahali pake.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;3. Je, hii inafanya kazi kwa wale tu  ambao (kama Yesu) wanafahamu wao ni Mungu? (Mambo mawili. Kwanza, Yesu alikuwa na mambo ya kutisha yenye kufedhehesha mbele yake. Pili, uhusiano wetu na Mungu unapaswa kuwa chanzo cha ujasiri wetu – ujasiri unaoturuhusu kutumikia.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;III. Ushindi wa Mshitakiwa&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma Mathayo 26:59-61. Chukulia kwamba unashughulikia mashtaka ya kesi dhidi ya Yesu? Je, tatizo ni lipi? (Watoa mashtaka wanatafuta “ushahidi wa uongo” na wana mashahidi wengi wa uongo wa kujitolea. Tatizo lazima liwe kwamba hakuna hata mmoja wa hawa mashahidi wa uongo wanaaminika.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Kwa nini wale wawili hatimaye walishuhudia ukweli? (Inaonekana kama kile alichokisema Yesu kwenye Yohana 2;9)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Je, unaweza kuuweka huu ushuhuda kwenye kumbukumbu? (Swali ni kwamba, “Ili iweje?” Jinsi ushuhuda unavyotoka, inaonekana kana kwamba Yesu ana wazimu, sio mhalifu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Soma Mathayo 26:62-63. Unadhani ni kwa nini Yesu alinyamaza? (Soma Kumbukumbu la Torati 17:6. Sehemu ya sheria ya Mungu ni haki ya kukaa kimya kwenye hukumu ya kesi ya kifo. Kujiponza/kujitia hatarini mwenyewe kulizuiwa. Yesu aweza kuwa alikuwa anadai haki yake dhidi ya kujitia hatarini yeye mwenyewe. Yaweza pia kuwa shtaka ni la kebehi/dhihaka sana kiasi kwamba Yesu alilichukulia kutostahili kupatiwa jibu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;C. Soma Mathayo 26:63-66 na Mambo ya Walawi 21:10. Nani anapaswa kushtakiwa hapa? (Kuhani Mkuu. Anakiuka kanuni ya “mashahidi wawili” kwenye hukumu za vifo, na anakiuka kanuni dhidi ya kurarua vazi lake. Katika Mamo ya Walawi 10:6 Haruni anaonywa kuwa kama atakiuka hii kanuni atakufa.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Kwa nini Kuhani Mkuu alifanya kile alichokifanya? (Aliweza kufanya hivyo. Alikuwa na uwezo wa kufanya hivyo.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;D. Yesu alipokuwa akipitia huu mchakato, nini kilikuwa kinakuja kufikia mwisho wake? (Mfumo wote wa hekalu (patakatifu). Sio tu kwamba Kuhani Mkuu alirarua vazi lake, lakini pazia la hekalu lilipasuka kutoka juu hata chini (Marko 15:38-39). Mamlaka zilipotosha ujumbe wa Mungu wa Mwanakondoo wa Mungu. Nguvu/uwezo ulibadilishwa na uchaji wa Mungu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;IV. Ushindi wa Uvumilivu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma Mathayo 27:27-31. Baini kuwa ishara za mfalme zilikuwa ni njia ya kumdhalilisha Yesu. Kwa nini Shetani alitia moyo huu udhalilishaji mahsusi? Je, nini kilikuwa mawazoni mwa Shetani? (Kumbuka kwamba dhambi ya Shetani ya awali ilikuwa ni kutaka kuwa kama Mungu. Isaya 14:14-15. Dhambi ya asili ya mwanadamu ilikuwa ni kutaka kuwa kama Mungu. Mwanzo 3:1-4. Shetani aliamini kwamba kama alitilia shaka na kukejeli hadhi ya Yesu kama Mungu, Yesu angeivunja.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Je, unataka iweje watu wanapokutania? Vipi kama wapo dhati kabisa kuhusu ukweli kwamba wanadhani una hadhi ndogo?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, unajibu vipi/unafanya nini pale watu wanapokutendea bila heshima? Vipi kuhusu pale ambapo watu wasiokuwa watiifu wanatoka katika “hali ya chini” maishani?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;C. Kwa nini Yesu hakuvunja? (Kwa sababu hakuwa kama Shetani na hakuwa kama Hawa/Eva na hakuwa kama wewe na mimi. Alikuwa mnyenyekevu. Na uvumilivu wake ndio uliomfikisha kwenye hili jaribu la kutisha. “[Yesu], akiwa katika asili ya Mungu, hakuchukulia usawa wake na Mungu kuwa kitu cha kung’ang’ania.” Wafilipi 2:6)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;D. Je, hivi visa viwili vya mwisho vinatufundisha nini kuhusu asili ya mamlaka? (Shetani na mawakala wake walitumia mamlaka, na matamanio ya uongozi, na tamaa ya mamlaka, kuendeleza ufalme wao usiokuwa wa haki. Mamlaka hayataongeza hadhi yako kwa Mungu, lakini inaweza, kuongeza urahisi wa kumwangukia Shetani.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;V. Ushindi wa Mavazi Yaliyopotea.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma Yohana 19:23-24. Je, udhalilishaji wa Yesu wa mwisho ni upi? (Kwamba anachapwa akiwa uchi na mavazi yake walipewa wauaji wake.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Soma Warumi 8:1-4. Je, udhalilishwaji wa Yesu ulitufanyia nini sisi? (Ulitupatia fursa ya uzima wa milele wenye utukufu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;C. Hebu tutafakari huu mfululizo wa visa kuhusu mavazi. Yesu (angalao kwa muda fulani) anampendelea mwanamke najisi dhidi ya Yairo, Yesu anaonyesha mfano wa unyenyekevu wa kuosha miguu, Yesu (Kuhani Mkuu wa mwisho) anatiwa hatiani kwa uwezo mbadhirifu wa Kuhani Mkuu, Yesu (Mfalme wa Wafalme) haheshimiwi kama mfalme, Yesu anadhalilishwa msalabani ili kutupatia uzima. Je, ni masomo gani tunayopaswa kujifunza kutokana na hili? (Kama kweli tunataka kuwa kama Mungu (mwangalie Hawa), basi tutaweka kando kiburi/majivuno yetu. Mungu amebadilisha mpango wa mambo ya kidunia. Anaendeleza unyenyekevu. Haangalia masuala ya hadhi. Anahamasishwa na upendo unaowatendea watu wote kwa usawa.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;D. Chukulia masomo yetu mawili ya nyuma. Kwenye kisa cha mwana mpotevu, kijana mkubwa “mwema” yupo hatarini kuipoteza mbingu, wakati kijana mdogo “mwovu” anaingia kwenye uzima wa milele. Kwenye kisa cha harusi ya mwana wa mfalme, marafiki na wanaostahili ufalme wanakataliwa ilhali wanunuzi wa maduka ya Kariakoo wanaingia mbinguni. Katika somo la juma hili tunajifunza kuwa unyenyekevu ni kitu cha kunga’ng’ania, na mamlaka ni mtego. Je, Yesu amefanya mambo kinyume mpango mzima wa mambo?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Kama ndivyo, kwa nini? Kwa nini dunia imepinduliwa juu-chini na hakuna kitu hata kimoja kinatokea kama tulivyotarajia? (Soma Mika 6:8. Hiki ndicho kiini cha injili – kuitafuta haki na rehema na kutembea kwa unyenyekevu na Mungu wetu aliyetembea kwa unyenyekevu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Je, hii ni habari njema? (Ndiyo! Njia hii ipo wazi kwa kila mtu. Hata watu wa “kawaida” wanastahili. Kwa hakika, wanaweza kuwa kwenye nafasi nzuri zaidi.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;E. Rafiki, je, unafuata mfano wa unyenyekevu? Je, unawajali wanaoonewa/wanaokandamizwa/watu hohe hahe na wasio na uwezo? Au, je, lengo lako maishani ni kutafuta uwezo na mamlaka? Kwa nini usomwombe Roho Mtakatifu, sasa hivi, kuubadilisha moyo wako?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;VI. Juma Lijalo: Kumvaa Kristo&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/3455255205653026852-1974438659314297369?l=lesoni.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lesoni.blogspot.com/feeds/1974438659314297369/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://lesoni.blogspot.com/2011/06/somo-la-12-vielelezo-zaidi-vya-mavazi.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3455255205653026852/posts/default/1974438659314297369'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3455255205653026852/posts/default/1974438659314297369'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lesoni.blogspot.com/2011/06/somo-la-12-vielelezo-zaidi-vya-mavazi.html' title='Somo la 12: Vielelezo Zaidi vya Mavazi'/><author><name>Lessoni ya Kiswahili</name><uri>http://www.blogger.com/profile/05032927242368522742</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-3455255205653026852.post-5171646921232401067</id><published>2011-06-02T13:18:00.000-07:00</published><updated>2011-06-02T13:21:23.669-07:00</updated><title type='text'>Somo la 11: Vazi la Harusi</title><content type='html'>Somo Limetafsiriwa na Mgune Masatu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;(Mathayo 21-22)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Somo hili limetafsiriwa kutoka katika Copr. 2009, Bruce N. Cameron, J.D. Majibu yaliyopendekezwa yanapatikana kwenye parandesi (kwenye mabano). Somo limekaa kimtazamo kwamba mwalimu anatumia ubao au sehemu nyingine yoyote ambayo inaweza kuonekana na wanafunzi. Somo hili pia linaweza kupatikana kutoka &lt;a href="http://www.GoBible.org"&gt;http://www.GoBible.org&lt;/a&gt; kwa lugha ya Kiingereza pamoja na lugha nyingine kama vile Kifaransa, Kijerumani. Omba kwa ajili ya uongozi wa Roho Mtakatifu unapojifunza.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Utangulizi: Mathayo 21 ina visa ambavyo vinafunua kuwa Mungu ana maadui miongoni mwa wanadamu. Tatizo la hawa maadui ni kwamba mwanzoni hawaonekani kuwa wapinzani, wanaonekana kuwa wategemezaji/wasaidizi. Juma lililopita tulijifunza kisa cha mwana mpotevu  na kujifunza kuwa wokovu wa mwana mkubwa “mwema” ulikuwa kwenye hati hati. Visa vyote havijatukalia vizuri sisi Wakristo “wema,” na vinatusukuma kuielewa injili vizuri zaidi. Hebu tuzame kwenye somo letu la Biblia ili tuwe na uhakika kwamba hatupo kwenye kambi ya  maadui wa Mungu!&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;I. Majibu Mawili&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;    A. Soma Mathayo 21:28-29. Kama Yesu anaelezea kisa cha Ufalme wa Mbingu, je, huyu ni mtu wa aina gani? (Mtu ambaye anamkataa Mungu, lakini baadaye maishani anabadili mawazo yake na kumfuata Mungu.)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;   B. Soma Mathayo 21:30-31. Je, huyu ni mtu aliyemo kanisani? (Huyu ni mtu anayekubali kuwa mfuasi wa Yesu, lakini aidha anasema uongo kuhusiana na hilo au baadaye anabadili mawazo yake.)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;       1. Je, unakubaliana na jibu lililotolewa na wasilikizaji wa Yesu?&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;       2. Kama unakubaliana na hili jibu, inawezaje kuwa kweli kwamba watoza ushuru na makahaba wanaingia kwenye Ufalme wa Mbingu? Hawa sio watu wanaofanya mapenzi ya Mungu! Au, je, wanafanya?&lt;br /&gt;    C. Soma Mathayo 21:32. Je, ni aina gani ya “kufanya mapenzi ya Mungu” wanayoweza kudai makahaba? (Awali tulipoanza hiki kisa, suala lilikuwa ni kufanya kazi kwenye shamba la mzabibu. Sasa, tunaitafuta “kazi” angalao kwa kuanzia – ni kuamini na kutubu.)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;          1. Tatizo kwa wale ambao hawakumwamini Yohana Mbatizaji ni lipi? (Hawakuamini kile alichokizungumzia Yohana “njia ya haki.”)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;               a. Je, hiyo inapaswa kutufundisha nini? (Kwamba ni muhimu kuwa na uelewa sahihi wa njia ya haki ya Mungu. Watu ambao ungewatarajia kuielewa na kuikubali hawakufanya hivyo. Badala yake watu ambao hawakutarajiwa waliielewa na kuikubali.)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;               b. Je, njia ya haki ni ngumu kuielewa? Je, ni kama hesabu ngumu? (Hapana. Tatilo lilikuwa ni mojawapo ya imani, sio tatizo la uelewa.)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;II. Mwaliko wa Awali&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;      A. Soma Mathayo 22:1-2. Je, tunataka kujifunza nini hivi punde? (Jibu la swali tulilojadili hivi punde lilikuwa la msingi sana – njia ya haki ya Mungu ni nini?&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;      B. Soma Mathayo 22:3-5. Je, hawa watu walioalikwa ni marafiki wa Mfalme? (Labda. Wanachukuliwa kustahili kualikwa kwenye sherehe ya harusi ya mwana wa Mfalme. Kwa hakika Mfalme ana uhusiano nao wa aina fulani.)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;            1. Je, Mfalme anasimamia/anatilia mkazo mwaliko wake? (Ndiyo. Anawakaribisha mara mbili. Alipaswa kujisikia kufedheheswa kwa kukataa kwao kwa awali, lakini badala yake anarudia tena mwaliko.)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;             2. Kwa nini marafiki wa Mfalme wanamkatalia? (wana mambo mengi sana ya kufanya kuhusiana na shughuli nyingi za maisha yao. Biashara zimeteka mawazo yao.)&lt;br /&gt;     C. Soma Mathayo 22:6. Je, hawa “marafiki” wana mtazamo wa aina gani? (Hawaenendi kama marafiki. Wanawatenda vibaya na kuwaua watumwa wa Mfalme.)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;           1. Je, unamtendeaje mchungaji wa kanisa lako? Vipi kuhusu viongozi/maafisa wa kanisa?&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;            2. Je, unaweza kuelezeaje kile “marafiki” walichokifanya? (Walijisikia kusumbuliwa/kubughudhiwa na kukasirishwa na mwaliko wa mfalme.)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;    D. Soma Mathayo 22:7. Mfalme inawezekana alikuwa mvumilivu na si mwepesi wa hasira, lakini je, yeye ni mdhaifu? (Hapana. Anatekeleza adhabu kwa “marafiki” wake walioenenda kama maadui.)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;         1. Kisa cha Yesu kinaelezewa muda mfupi kabla ya kuteswa/kusulubiwa kwake. Je, kisa hiki kinaashiria nini mawazoni mwetu? (Viongozi wa dini walimtuhumu Yesu na wakashauri mamlaka ya Kirumi imuue. Muda mfupi baada ya hapo, mji wao, Yerusalemu, uliharibiwa/iliangamizwa na Warumi.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;III. Mwaliko wa Pili&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;       A. Soma Mathayo 22:8. Kwa nini wale walioalikwa “hawakustahili” kuja? (Hawakujisikia kuja. Au, hawakujisikia kuja na badala yake walijisikia kufanya masuala mengine yahusuyo maisha yao.)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;      B. Soma Mathayo 22:9-10. Orodhesha njia ambazo hili kundi jipya la wageni waalikwa linatofautiana na kundi la wageni waalikwa wa kwanza? (1. Mfalme hawafahamu. 2. Sio watu wa kawaida kualikwa kwenye sherehe ya Mfalme kwa sababu hakuna kitu chochote maalum kuwahusu. Ni mchanganyiko wa kundi la watu wema na waovu. 4. Wako radhi kuja.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;          1. Kati ya hizo tofauti nne, ipi iliyo ya muhimu zaidi? (Wako radhi kuja!)&lt;br /&gt;    C. Soma Mathayo 22:11-12. Muda mfupi uliopita tulijifunza hiki kisa na niliita kundi la pili la wageni waalikwa kuwa "Walmart shoppers" (Yaani wanunuzi wa kwenye maduka kama ya Kariakoo). Kwa nini huyu mtu “atekewe” (bila kuwa na kisingizio) kama alikwenda moja kwa moja kwenye sherehe ya harusi akitokea Kariakoo? (Njia pekee hii inaweza kuleta mantiki kama Mfalme alikuwa anatoa mavazi ya harusi kwa hawa wageni wote. Kwa wazi kabisa, hakuna mnunuzi hata mmoja wa Kariakoo anayevaa vazi lake la harusi ya kifalme na kwenda nalo kufanya manunuzi!)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;IV. Uchambuzi wa Awali&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;       A. Tuna taarifa za kutosha kuhusu maana ya injili, njia ya uzima wa milele. Kama ukiweka kisa chetu cha kwanza kuhusiana na wana pamoja na kisa cha pili kuhusu sherehe ya harusi, je, jibu gani la pamoja tunalolipata kwenye swali: “Je, ninaingiaje kwenye uzima wa milele?” (Katika miktadha yote miwili, suala la msingi lilikuwa ni kwenda/kuja. Kwenda kufanya kazi kwenye shamba la mzabibu. Kwenda kwenye sherehe ya harusi.)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;       B. Kama suala la kivitendo, je, inamaanisha nini kwa sisi “kwenda/kuja” kwa Mungu?&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;            1. Huenda njia rahisi ya kukabili suala hili ni kubainisha kinachohusisha kutokuja/kutokwenda kwa Mungu . Nini kilichowazuia watu wasimwendee Mungu kwenye visa viwili tulivyojadili hivi punde?&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;                 a. Hebu tuanze na kisa cha wana wawili. (Kuliongelea tu haikuwa inatosha. Ulipaswa kutenda jambo fulani kuhusiana nalo. Kwa hakika, kuliongelea yaweza kuwa ni mtego. Kama unasema kuwa unakuja, lakini huji, unaweza kuwa umejipotosha. Kwa kiwango cha chini, chochote kile walichosema wale wana hakikuhusiana kabisa na matokeo.) &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;                 b. Vipi kuhusu kisa cha sherehe ya harusi?  (Mathayo 22:5 inatuambia kuwa kutokumjali/kumpuuzia Mungu, kuweka kazi zetu au biashara zetu mbele dhidi ya Mungu, ni kikwazo cha kotokuja. Mathayo 22:6 inatuambia kuwa uhasama kwa mawakala wa Mungu ni kikwazo cha kutokuja.Wanunuzi wa Kariakoo hawakuwa na uhasama kwa wasaidizi wa Mfalme, na walifurahiwa zaidi na sherehe ya haruzi kuliko wanavyofanya manunuzi Kariakoo.) &lt;br /&gt;                 c. Kwa hiyo, suluhisho letu kuhusu kile ambacho “kuja” kwa Mungu inamaanisha ni: a) Inamaanisha kutenda, sio kuzungumza tu; na b) Inamaanisha kuwa na mtazamo sahihi – kuwa radhi kumweka Mungu wa kwanza.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;V. Kusalia Kwenye Ukaribisho&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;     A. Soma tena Mathayo 22:11-13. Huyu ni mgeni mchunguzi sana. Aliitikia wito wa Mfalme, akaondoka Kariakoo, na kuja kwenye sherehe ya harusi. Lakini alitupwa nje katika “giza.” Je, tunaweza kuupoteza wokovu wetu? (Kama kuja kwenye sherehe kunamaanisha kuokolewa, basi huyu bwana “hakuokolewa.”)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;            1. Je, tunaepukaje majaaliwa ya huyu mtu? (Kufikiria kwamba mavazi yetu ya Kariakoo ni mazuri vya kutosha. Tunahitajika kukubali zawadi ya bure ya vazi la haki la Mfalme.)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;            2. Hebu mfikirie huyu mtu kidogo. Anaweka mwaliko wa Mfalme juu ya biashara yake, hakuwa na uhasama na mawakala wa Mfalme, alikuja kwenye sherehe ya harusi. Alifikiria tu kwamba haki yake ilikuwa bora vya kutosha. Je, maelezo haya yanaweza kuwa yanakuelezea wewe?&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;VI. Uchambuzi wa Mwisho &lt;br /&gt;       A. Soma Mathayo 22:14. Kama ungekuwa unafanyia kazi hili chapisho kwa kushirikiana na Mathayo, je, ungesema nini kuhusu usahihi wa hii kauli? (Sehemu ya kwanza ni sahihi – watu wa aina zote walialikwa kwenye sherehe ya harusi ya Mfalme. Lakini, sehemu ya mwisho ina makosa ya wazi kabisa – Mfalme alimchagua kila mtu. Hata pia aliwaalika wanunuzi wa Kariakoo! Kwa vile tunajua kuwa Biblia ni Neno la Mungu la uhakika, je, unaelezeaje hili? (Njia pekee hii inaleta mantiki yoyote ni kusema kuwa “Mungu anawachagua wale wanaochagua kuja kwake.”) &lt;br /&gt;             1. Kwa kuzingatia kile tulichojifunza, je, njia ya uzima wa milele ni ipi? (1. Kutubu (uamuzi wa kuweka mwaliko/wito wa Mungu juu ya matamanio yetu ya ubinafsi); 2. Kuja (kuitikia mwaliko/wito wa Mungu, kuwa na mtazamo sahihi; na 3. Kukubali vazi la Mungu la haki (kutegemea haki ya Yesu badala ya haki yako).)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;    B. Soma Mathayo 22:15. Je, unaelezeaje hii? (Yesu alikuwa anaharibu hadhi yao maalum. Walikuwa wachaguliwa. Yesu anawakubali wanunuzi wa Kariakoo wanaokuja kwake.)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;    C. Rafiki, unaweza kudhani kuwa wewe ni rafiki wa Mfalme, unaweza kudhani kuwa wewe ni mtu maalum sana, lakini haya mafumbo (hivi visa) yanaonyesha kuwa kuongea hakumaanishi kitu chochote. Mtazamo mbaya ni kikwazo. Mtazamo wako wa kuweka mambo ya Mfalme mbele, kukubali wito/ukaribisho wake, na kukubali vazi lake la haki ndio ufunguo. Je, utatubu, hivi sasa na kuingia kwenye Ufalme wa Mungu?&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;VII. Juma Lijalo: Vielelezo Zaidi vya Mavazi&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/3455255205653026852-5171646921232401067?l=lesoni.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lesoni.blogspot.com/feeds/5171646921232401067/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://lesoni.blogspot.com/2011/06/somo-la-11-vazi-la-harusi.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3455255205653026852/posts/default/5171646921232401067'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3455255205653026852/posts/default/5171646921232401067'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lesoni.blogspot.com/2011/06/somo-la-11-vazi-la-harusi.html' title='Somo la 11: Vazi la Harusi'/><author><name>Lessoni ya Kiswahili</name><uri>http://www.blogger.com/profile/05032927242368522742</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-3455255205653026852.post-1782069860024218673</id><published>2011-05-28T04:06:00.000-07:00</published><updated>2011-06-02T00:41:46.020-07:00</updated><title type='text'>Somo la 10: Mavazi ya Mwana Mpotevu</title><content type='html'>(Luka 15)&lt;br /&gt;Somo hili limetafsiriwa kutoka katika Copr. 2009, Bruce N. Cameron, J.D. Majibu yaliyopendekezwa yanapatikana kwenye parandesi (kwenye mabano). Somo limekaa kimtazamo kwamba mwalimu anatumia ubao au sehemu nyingine yoyote ambayo inaweza kuonekana na wanafunzi. Somo hili pia linaweza kupatikana kutoka &lt;a href="http://www.GoBible.org"&gt;http://www.GoBible.org&lt;/a&gt; kwa lugha ya Kiingereza pamoja na lugha nyingine kama vile Kifaransa, Kijerumani. Omba kwa ajili ya uongozi wa Roho Mtakatifu unapojifunza.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Utangulizi: Yesu anatuambia katika Luka 7:47 kuwa wale wanaosamehewa dhambi nyingi, hupenda sana. Wale wanaosamehewa kidogo, hupenda kidogo. Je, umekuwa “mwema” maishani mwako mwote? Je, ulikuwa mtiifu kwa wazazi wako, uongozi wa shule na mamlaka ya nchi? Je, umekuwa kanisani mara zote na bado upo kanisani? Kama ninakuelezea wewe, basi kubaini wakati mahsusi ulipobadilika (kumkiri Mungu) ni vigumu, sawa? Kama huna uzoefu hata mmoja kati ya haya, je, mara zote umekuwa ukijikuta matatani? Kama umekuwa mtu “mbaya,” lakini sasa umo kanisani, bila shaka kwa wazi kabisa unakumbuka uzoefu wako wa ubadilishwaji (wa kumkiri Mungu). Sasa basi sote tunajijua kuwa tu watu wa namna gani, vipi kama Mungu akituambia kisa ambacho dhana yake ni kwamba watu wema hawaingii kwenye Ufalme wa Mbingu? Hebu tuzame kwenye somo letu la Biblia na kujifunza zaidi!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;I. Mpango/Mtego&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma Luka 15:1-2. Elezea hadhira inayomsikiliza Yesu?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Ni kundi gani lilikuja kwa kupenda lenyewe na ni kundi gani lilikuja na malalamiko? (Yesu hakuwa na shida kuwaleta wadhambi wa dhahiri kwenye mikutano yake. Hata hivyo, watu “wema” walikuwa wakilalamika/wakinung’unika.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Je, wadhambi wa dhahiri wanakusanyika kanisani kwako kila Sabato?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;a. Kama sivyo, je, unafundisha kama Yesu alivyofundisha?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;b. Baini kama ungekuwa ukilalamika kuhusiana na kufurika kwa wadhambi?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Pitia kwa haraka haraka Luka 15:3-10. Yesu anaelezea visa viwili kuhusu kitu kilichopotea na kupatikana. Tunaelewa haya kuwa mafumbo ya “Ufalme wa Mbingu” – visa kuhusu wale wanaopotea na mtazamo wa Mungu dhidi ya kuwapatia uzima wa milele.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;II. Mwana Mdogo&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma Luka 15:11-12. Tafakari fungu hili kutoka katika mtazamo wa baba. Je, mwana mdogo anataka nini? Je, hataki nini? (Anataka fedha zako. Hakutaki wewe. Anataka maisha yawe kana kwamba umefariki.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Wazazi hebu niambieni, je, hii inaleta hisia gani?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Unafikiri ni kwa jinsi gani baba anatunza utajiri wake? (Fungu linasema “sehemu ya shamba” na “vitu/mali.” Kiyunani kinatafsiri neno “vitu/mali” kuwa ni “bios” au uzima. Mkulima anapopunguza sehemu ya ekari yake kwa theluthi moja (mdogo anapata theluthi moja, angalia Kumbukumbu la Totari 21:17), maisha yake, hadhi yake katika jamii, inapungua. Ardhi ni uzima wake.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;C. Soma Luka 15:13-16. Kama ungekuja kwa mwana mdogo na akakuomba mkopo, je, nini kingekuwa kisa chake? Je, ni katika misingi ipi angesema kuwa angekulipa? (Ingekuwa asili kwa yeye kulaumu njaa. Sio “kosa lake!” Atapata fedha zake.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;D. Soma Luka 15:17. Je, inamanisha nini kwamba “alipozingatia moyoni mwake?” (Alitambua kuwa alikuwa ameshindwa. Vyovyote vile ilivyokuwa kutokana na athari ya njaa, alikuwa katika hali mbaya kifedha.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, kushindwa mara nyingine ni mbaraka?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;E. Soma Luka 15:18-19. Je, unadhani mwana alikuwa akifanyia mazoezi/akikariri haya maneno alipokuwa akitembea kurejea nyumbani?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Elezea mwanzo wa  nafasi ya mjadala ya mwana? (Maelezo mazuri ya Tim Keller kuhusu Mungu Mtapanyaji, yaani, Mungu mtapanyaji wa upendo wake, uangalizi wake na neema yake (ambayo sehemu kubwa ya hili somo yameegemea) yanaelezea kuwa mwana alitaka kuajiriwa ili kwamba aweze kulipa kile alichokuwa amechukua kutoka kwa baba.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;III. Baba&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma Luka 15:20. Je, baba, ambaye alikuwa amefedheheshwa/ameaibishwa na kutupiliwa mbali/kuachwa na huyu mwana mbinafsi, anamtenda mwana kama vile mwana alivyomtenda?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Soma Luka 15:21-24. Je, ni kwa kiwango gani nafasi ya mjadala wa mwanzo wa mwana uliokaririwa unatoka? (Kukiri/kutubu peke yeke. Kujitolea kwake kulipa kunamezwa na ukaribishaji wa baba.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, sherehe inawakilisha nini kwenye visa vya Yesu vya Ufalme? (Ufalme wa Mbingu: Mathayo 22, Luka 14. Angalia pia Ufunuo 19.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Mwana mdogo anapokaribishwa kwenye sherehe kama mwana mkamilifu, je, hiyo inamaanisha nini? (Ameokolewa. Wokovu unakuja kwake kama zawadi ya bure pale ambapo yeye: a) Alipozingatia moyoni mwake; na, b) Anarejea kwa baba yake kwa kukiri/kutubu. Baba hata hana haja ya kusikia kuhusu kulipwa.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;IV. Mwana Mkubwa&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma Luka 15:25-27. Hivi punde tu tumejadili jinsi ambavyo wokovu ni zawadi ya bure kwa mwana mdogo. Je, kweli ulikuwa ya bure? Au, ulikuwa unatoka mfukoni mwa mwana mkubwa? (Kwa hakika ulikuwa unatoka mfukoni mwa mwana mkubwa!)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Soma Luka 15:28-30. Je, mwana mkubwa anajisikiaje kwa kupoteza mali yake kwa mwana mdogo?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Kumbuka kwamba mwana mdogo alijali kuhusu mali ya baba yake, lakini sio baba yake. Je, unaelezeaje mtazamo wa mwana mkubwa dhidi ya baba yake? (Kama alimpenda baba yake, basi angetaka kufurahi pamoja na baba. Badala yake, hamtii kabisa baba yake na mapenzi ya baba. Alimchukulia baba yake kuwa ni mchoyo/mnyimi/mbahili kwake (“mwana-mbuzi” sio “ndama mnono”). Kwa hiyo, mali na sio baba ndio ilikuwa kitu cha msingi kabisa akilini mwake.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Je, mwana mdogo na mkubwa wana tofauti gani? Je, wana lengo moja (mali na sio baba), lakini wanatofautiana tu njia ya kufikia lengo lao?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;3. Kama wewe ni mshiriki mwaminifu wa kanisa, je, mibaraka ya Mungu na ulinzi wake vina umuhimu kwako kwa kiasi gani?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;a. Je, unathaminije “mali” ya Mungu dhidi ya uwepo wa Mungu?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;b. Je, hii inatengaje kazi maishani mwake: kama una “mali” kidogo, je, una “uwepo” mkubwa wa Mungu? Je, unalazimishwa kumwamini na kumtegemea Mungu kama una vichache?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;4. Je, mwana mkubwa anaingia kwenye sherehe? (Hapana.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;a. Kwa nini? Angalia tena kile anachokisema mwana mkubwa. (Yeye ni: a) Bora kupita kiasi kwa ajili ya hili (“Nimekuwa nikikutumikia” wakati mwana mdogo amekuwa na “makahaba”); na, b) Amekasirika kwa ajili ya asili ya wema wa baba. (“Huyu mwana wako” ambaye “umemchinjia yeye ndama aliyenona.”))&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;b. Je, mwana mkubwa amepotea milele, na mwana mdogo ameokolewa milele? (Mwana mkubwa haingii kwenye sherehe ya baba yake.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;i. Soma Luka 15:31-32. Je, inamaanisha nini kuwa “ u pamoja nami siku zote?” (Suala ni kama kuwa na “vitu vya Mungu” na kuwa na Mungu (hapa) ni sawa na wokovu. Hili ni swali la kujadiliwa, na ninaweza kukosea kwa hakika, lakini kura yangu ni kwamba kukataa wito wa Mungu kuingia kwenye sherehe kwa sababu wewe ni bora zaidi na unajali sana kuhusu mali yako ni upotevu wa milele.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;c. Fikiria ile hadhira ya Yesu. Je, kisa hiki kinafananaje na yale makundi mawili?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;i. Je, kundi lako ni lipi?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;V. Mtu wa Utume&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Unapochukulia visa viwili vya kwanza vya Luka 15, je, nini iliyo mada ya pamoja katika visa hivyo inayokosekana  kwenye kisa cha ndugu wawili (mwana mdogo na mkubwa)? (Hakuna anayejitoa kumtafuta mwana mdogo aliyepotea.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Kwenye kisa cha ndugu wawili, nani kwa asili anapaswa kwenda kutafuta? (Mwana mkubwa.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;a. Kwa nini hakutafuta? (Hakutaka mwana mdogo arejee. Alithamini mali yake dhidi ya ndugu yake na dhidi ya furaha ya baba yake.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;b. Kabla ya anguko lake la kifedha, je, mwana mdogo angechukua muda wake kumtafuta/kumwangalia mwana mkubwa? (Hapana. Alikuwa na mashughuli mengi akifurahia mali yake. Alikuwa amejilenga yeye mwenyewe.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Je, “Mwana Mkubwa” anayekosekana kwenye  kisa chetu ni nani? (Yesu. Alikuja kututafuta.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, kuna yeyote katika kisa anayetafuta kilichopotea? (Baini kuwa katika Luka 15:20 baba anamwona mwana mdogo na kumkimbilia. Katika Luka 15:28 baba anaacha sherehe na kwenda nje na kumsihi mwana wake mkubwa.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Kama wewe umo kanisani, je, u mwana mkubwa sahihi kwa wadhambi na watoza ushuru?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;3. Ni kwa kiwango gani kujali kwako kwa ajili ya kutunza mali yako kunakuingilia wewe kuwasaidia “wana wadogo” kanisani kwako?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;C. Rafiki, kama unasoma hili somo, ubashiri wangu ni kuwa wewe ni “mwana mkubwa.” Je, utamwomba Roho Mtakatifu kukupa utambuzi moyoni mwako ili uweza kujibu swali: “Je, ninapenda mibaraka kutokana na kumtumikia Mungu zaidi kuliko ninavyompenda Mungu aliyenifilia?” “Je, matendo yangu mema na kujijali kwangu mwenyewe kutanizuia kuingia kwenye wokovu?”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;VI. Juma Lijalo: Vazi la Harusi.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/3455255205653026852-1782069860024218673?l=lesoni.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lesoni.blogspot.com/feeds/1782069860024218673/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://lesoni.blogspot.com/2011/05/somo-la-10-mavazi-ya-mwana-mpotevu.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3455255205653026852/posts/default/1782069860024218673'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3455255205653026852/posts/default/1782069860024218673'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lesoni.blogspot.com/2011/05/somo-la-10-mavazi-ya-mwana-mpotevu.html' title='Somo la 10: Mavazi ya Mwana Mpotevu'/><author><name>Lessoni ya Kiswahili</name><uri>http://www.blogger.com/profile/05032927242368522742</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-3455255205653026852.post-5993866593510695550</id><published>2011-05-19T22:06:00.000-07:00</published><updated>2011-05-19T22:08:13.761-07:00</updated><title type='text'>Somo la 9: Alama/Kinga Kilichonyakuliwa Kutoka Motoni</title><content type='html'>(Zakaria 1-3) &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Somo hili limetafsiriwa kutoka katika Copr. 2009, Bruce N. Cameron, J.D. Majibu yaliyopendekezwa yanapatikana kwenye parandesi (kwenye mabano). Somo limekaa kimtazamo kwamba mwalimu anatumia ubao au sehemu nyingine yoyote ambayo inaweza kuonekana na wanafunzi. Somo hili pia linaweza kupatikana kutoka &lt;a href="http://www.GoBible.org"&gt;http://www.GoBible.org&lt;/a&gt; kwa lugha ya Kiingereza pamoja na lugha nyingine kama vile Kifaransa, Kijerumani. Omba kwa ajili ya uongozi wa Roho Mtakatifu unapojifunza.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Utangulizi: Habari kubwa juma hili ni kwamba mkuu wa Shirika la Fedha Duniani, na mtu anayeongoza kwenye kura za maoni za uchaguzi wa Urais nchini Ufaransa, alimshambulia kijinsia mwanamke aliyekuwa akisafisha chumba chake hotelini. Chukulia kwamba hii ni kweli, je, ni kwa nini kitu kama hiki kinatokea? Je, ni kwa jinsi gani mtu wa kisasa, muhimu, mstaarabu ajihusishe kwenye tabia ya kutisha kama hiyo? Je, tunaweza kucheka kwa kujiamini na kunyooshea kidole? Au, je, wewe na mimi tuna uwezo dhidi ya mambo kama hayo? Jibu la Mungu ni “ndiyo,” huu unapaswa kuwa wakati wa ukweli kwetu sisi sote. Katika Warumi 3:10-18 Paulo ananukuu kauli ya Agano la Kale kwamba sisi sote “hatustahili.” Hakuna mwenye haki hata mmoja. Mwisho wetu sote ni kuunguzwa (Malaki 4:1). Somo letu juma hili ni kuhusu kunyakuliwa kutoka katika ule moto. Hilo linaonekana kuwa kama lengo muhimu! Hebu tuzame kwenye somo letu la Biblia na kubaini zaidi.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;I. Njia Kuelekea Kwenye Nyumba ya Mungu&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;    A. Soma Zekaria 1:1. Je, Dario ni nani? (Soma Danieli 5:30-6:2. Ni mfalme wa Wamedi aliyeishinda Babeli.)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;    B. Soma Zekaria 1:2-6. Je, nini kilitokea pale Mungu alipowakasirikia baba zao? (Walichukuliwa utumwani na Babeli na utumwa huo uliendelezwa na Wamedi/Waajemi.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;          1. Je, wangapi kati yetu, kwa sababu ya chaguzi duni, tunajikuta kuwa tu watumwa wa dhambi?&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;      C. Soma Hagai 1:1. Baini kipindi cha muda unaohusika. Je, unafananaje na ule wa Zekaria? (Ni mwaka uo huo! Tuna manabii wawili wa Mungu wanaotoa ujumbe kwa watu wake.)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;      D. Soma Hagai 1:2-6. Je, ni mpangilio/mwelekeo gani tunaouona kwenye ujumbe wa hawa manabii wawili? (Pale ambapo hatumsikilizi/hatumjali Mungu, tunakuwa na matatizo. Ni vigumu kufanikiwa.)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;       E. Sehemu ya mwisho ya Zakaria 1:6 inasema kuwa watu wa Mungu walikiri kuwa walistahili mambo mabaya waliyoyapata – na walitubu dhambi zao. Soma Zekaria 1:16-17. Je, mtazamo wa Mungu kwetu ni upi pale tunapotubu? (Anataka kutuonyesha rehema zake. Anataka kutubariki.)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;       F. Je, lengo mahsusi la Mungu kwa Yerusalemu ni lipi? (Unabii wa Zekaria na Hagai unazungumzia kuhusu kujenga upya nyumba ya Mungu (hekalu). Mungu atawaunganisha watu wake.)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;II. Kuingia Katika Nyumba ya Mungu&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;     A. Soma Zekaria 2:10-13. Fungu la 11 linaposema “mataifa mengi” linamzungumzia nani? (Mungu anasema kuwa watu wa Mungu sio tu kwamba ni Wayahudi. Badala yake, mataifa yote na makabila “watajiunga na Bwana katika siku ile, nao watakuwa watu wangu.” Tunaweza kuingia katika nyumba ya Mungu na kuishi pamoja naye!)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;          1. Swali ni kwamba, tunaingiaje kwenye nyumba ya Mungu?&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;      B. Soma Zekaria 3:1. Je, Yoshua ni mtu mwema au mbaya? (Soma Ezra 3:2-4. Yoshua sio tu kwamba ni Kuhani Mkuu, anazirejesha kafara na sikukuu mahali pake kama ilivyoelekezwa na Musa. Kwa hakika ni mtu mzuri/mwema.)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;           1. Kama yeye ni mtu mwema, kwa nini Shetani anamshtaki? (Soma Waebrania 9:7. Kuhani Mkuu alibeba dhambi za watu. Kimsingi, tunashtakiwa na Shetani.)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;       C. Soma Zekaria 3:2-3. Je, Shetani yuko sahihi kumshtaki Yoshua? (Ndiyo. Sio tu kwamba amevaa nguo “chafu sana,” lakini pia nywele zake zi motoni. (Sehemu ya mwili wake ipo motoni).)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;            1. Je, kuwa “mchafu sana” na kuwa motoni kunamaanisha nini? (Soma Ufunuo 20:15. Yoshua ni mdhambi – mdhambi sana. Anakaribia kuunguzwa/kuchomwa kutokana na dhambi zake.)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;             2. Je, kuna hoja yoyote kwamba Shetani hayuko sahihi kumshtaki Yoshua? (Shetani ni mbaya zaidi! Hata hivyo, Shetani hayupo kwenye suala lisilokuwa na umuhimu.)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;             3. Je, Mungu anajibuje hizi tuhuma dhidi ya mtu mchafu kwa dhahiri kabisa? (Mungu anamkemea Shetani!)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;              4. Fikiria kuhusu hili kwa muda kidogo. Kama hali hii sio ya muhimu, na Mungu ni hakimu na Shetani ni mshitaki, kwa nini Shetani amtuhumu Yoshua kama naye atakemewa kutokana nayo (Ninatia shaka kwamba Shetani anadhani anashinda hoja zake kwa Mungu. Swali ni kama anashinda alama nyingi kwako?)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;     D. Soma Zekaria 3:4. Je, ilimgharimu nini Yoshua kuwa huru dhidi ya dhambi? (Tamko la mbingu.)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;          1. Je, mavazi ya “thamani nyingi” aliyopewa Yoshua ni yapi? (Soma Mathayo 22:11 na Ufunuo 7:9. Ni alama ya haki.)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;          2. Je, Yoshua ana wajibu gani kwenye msamaha wa dhambi zake na dhambi zetu? (Kuhani Mkuu alikuwa mwombezi. Alisimama mbele za Mungu katika nyumba ya Mungu (hekalu) akibeba dhambi za watu.)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;     E. Soma Waebrania 8:1-2 na Waebrania 9:24-26. Je, kisa cha Yoshua na uelewa wetu wa patakatifu pa mbinguni unajihusishaje kwetu hivi leo? (Tunaokolewa vivyo hivyo. Sisi tu wachafu sana. Tunakuja mbele za Bwana tukikiri dhambi zetu na kuomba uombezi wake. Anatuondolea dhambi zetu kiurahisi kama vile kuvua nguo. Anatupatia haki yake kiurahisi kama vile kuvaa nguo.)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;      F. Soma Zekaria 3:5. Nani anazungumza? (Zekaria.)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;           1. Je, ana mamlaka gani ya kuamuru kwamba Yoshua apewe “kilemba kizuri?” (Watoa maoni wanadokeza kuwa hii ilikuwa sala, au ombi, kinyume na amri.)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;           2. Ni ishara gani unayoiona kwenye mfululizo wa mtu anayeomba kilemba kisafi (kizuri) baada ya kuwa amepewa vazi la haki? (Sijampata mtoa maoni yeyote anayekubaliana nami, lakini hili ni wazo langu. Ni kitu gani cha kwanza unachotaka kukifanya baada ya kuwa umeonyeshwa neema? Unataka badiliko kwenye mtazamo wako, fikra yako. Wazo lako lipo kwenye pale dhambi inapoanzia. Kama Mfalme Daudi unataka “moyo safi” (Zaburi 51:10).)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;      G. Soma Zekaria 3:6-7. Juma lililopita tulijifunza kisa cha Yesu kuhusu Msamaria Mwema. Yesu alielezea kisa cha Msamaria kikiwa ni jibu la swali (Luka 10:25), “Nifanye nini niurithi uzima wa milele?” Je, haya ni maelekezo mengine ya jinsi ya kufika mbinguni? (“Wale wanaosimama hapa” ni viumbe wa mbinguni.)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;            1. Je, tumerejea kwenye wokovu kwa matendo? Msamaria Mwema chaweza kuwa kitu cha kale ambacho hakikuwepo, lengo linaoonekana kutofikiwa. Lakini, lugha hii ni ya wazi – tunaitiwa kwenye aina fulani hivi ya matendo.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;             2. Je, unadhani inamaanisha nini “kuongoza nyumba ya [Mungu] na kuwa na mamlaka ya mahakama za [Mungu]? (Kuhani Mkuu “aliongoza” nyumba ya Mungu. Hakimu mkuu alikuwa na mamlaka na mahakama za Mungu. Lakini angalia, 1 Wakorintho 6:2.)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;                  a. Je, hii inabadili maana ya fungu ya “kwenda mbinguni”? (Mungu hatuambii tu jinsi ya kwenda mbinguni, anatuambia jinsi ya kufikia ngazi ya  juu mbinguni. Wale “wanaosimama hapa” walikuwa kwenye uwepo wa Mungu.)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;                3. Je, tumeitiwa kwenye matendo gani? (Kutembea na kushika matakwa/mahitaji.) &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;                       a. Je, ishara ya “kutembea” inapendekeza nini? (Sio uchanganuzi/uchambuzi wa mara kwa mara wa  matendo yako, badala yake ni mwelekeo wa jumla wa maisha yako.)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;                        b. Je, “kuyashika matakwa/mahitaji” kunapendekeza nini? (Kutii amri za Mungu.)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;      H. Je, tunapaswa kuhitimishaje kuhusu njia ya kuuelekea wokovu? (Msamaha wa dhambi na vazi la haki havitegemeani na matendo yetu. Yanategemeana na sisi kuja mbele za Mungu kwa ajili ya msamaha, na kisha Mungu anatupatia haki. Muda. Hata hivyo, maisha yetu hayaishii hapa. Tuna akili safi. Tunahitajika kuitikia upendo wa Mungu kwa maisha ambayo kwa ujumla yanaendana na mapenzi yake. Tunahitajika kuwa makini kwenye amri zake na kujaribu kuzishika.)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;           1. Je, maisha yetu ya haki yanaleta tofauti yoyote? (Matendo yetu hayatatuokoa, lakini hii inapendekeza kuwa yanaathiri hadhi yetu mbinguni! Hili sio fungu pekee la namna hii. Baini, pamoja na mengine, Mathayo 5:19 na Mathayo 6:19-20.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;      I. Soma Zekaria 3:8-9. Mungu anatuambia tuwe makini zaidi kuhusiana na hili suala. Kwa nini? (Kwa sababu kisa hiki kinaashiria mambo yajayo. Mungu anakaribia kutuambia mambo yetu yajayo.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;           1. Je, “Tawi” hili ni nani? (Soma Yeremia 23:5-6. Yesu!)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;           2. Je, “Jiwe” ni nani? (Soma Danieli 2:44-45. Jiwe pia linaweza kumrejea Yesu.)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;                 a. Baini kuwa Jiwe lina “macho saba.” Je, hiyo inatufundisha nii kuhusu siku zijazo? (Ya kwamba Yesu ana maono makamilifu. Anaangalia maisha yetu, anaangalia kwa ajili yetu.) &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;            3. Katika siku zijazo, “dhambi ya hii nchi” itaondolewa kwa siku moja. Je, hiyo ilitokea? (Ndiyo! Wakati Tawi, Jiwe, linapokufa kwa ajili yetu na kufufuka kwa uzima wa milele! Bwana asifiwe!)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;     J. Rafiki, juma lililopita na juma hili tumezungumzia jinsi ambavyo unaweza kuokolewa kwa neema pekee. Hakuna unachoweza kufanya kuupata wokovu. Baada ya wokovu wetu, Mungu anatuita kutembea katika njia zake na kuwa watiifu kwa amri zake. Katika mwanga wa kile ambacho Yesu amefanya kuokoa maisha yako, na maisha ya wale unaowapenda sana, je, utadhamiria hivi leo kuomba kwa ajili ya kuwa na akili safi ili kwamba matendo safi yatafuatia?&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;III. Juma Lijalo: Mavazi Mapya ya Mwana Mpotevu.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/3455255205653026852-5993866593510695550?l=lesoni.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lesoni.blogspot.com/feeds/5993866593510695550/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://lesoni.blogspot.com/2011/05/somo-la-9-alamakinga-kilichonyakuliwa.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3455255205653026852/posts/default/5993866593510695550'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3455255205653026852/posts/default/5993866593510695550'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lesoni.blogspot.com/2011/05/somo-la-9-alamakinga-kilichonyakuliwa.html' title='Somo la 9: Alama/Kinga Kilichonyakuliwa Kutoka Motoni'/><author><name>Lessoni ya Kiswahili</name><uri>http://www.blogger.com/profile/05032927242368522742</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-3455255205653026852.post-7278753089983256209</id><published>2011-05-16T04:59:00.000-07:00</published><updated>2011-05-16T05:02:58.197-07:00</updated><title type='text'>Somo la 8: Mavazi ya Utukufu</title><content type='html'>(Isaya 1 &amp; 61, Warumi 3, Luka 10) &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Somo hili limetafsiriwa kutoka katika Copr. 2009, Bruce N. Cameron, J.D. Majibu yaliyopendekezwa yanapatikana kwenye parandesi (kwenye mabano). Somo limekaa kimtazamo kwamba mwalimu anatumia ubao au sehemu nyingine yoyote ambayo inaweza kuonekana na wanafunzi. Somo hili pia linaweza kupatikana kutoka &lt;a href="http://www.GoBible.org"&gt;http://www.GoBible.org&lt;/a&gt; kwa lugha ya Kiingereza pamoja na lugha nyingine kama vile Kifaransa, Kijerumani. Omba kwa ajili ya uongozi wa Roho Mtakatifu unapojifunza.     &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Utangulizi: Huenda pambano kamwe halitaisha kwa kile ambacho ni sahihi kwenye ibada kanisani. Nina upendeleo wa wazi kabisa na ninawajua watu wengine ambao kwa wazi kabisa hawakubaliani nami. Somo letu juma hili linagusia jambo fulani la ndani zaidi – Jambo gani lililopo kwenye ibada yetu? Je, tunapaswa kuwa macho kwenye uovu ambao unaweza kujificha kwenye ibada yetu na kuubatilisha? Kwa vile tunaishi ili kumpa Mungu wetu sifa na utukufu, hebu tuzame kwenye somo letu la Biblia na kufunua kama tuna hatia ya uovu ambao hata unaifanya ibada yetu isikubalike mbele za Mungu!&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;I. Imani Isiyokubalika?&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;    A. Soma Isaya 1:1 na Isaya 1:10. Je, Isaya anazungumza na viongozi wa Yuda na Sodoma na watu wa Gomora? (Hapana. Je, wazazi wako wamewahi kukwambia “unaenenda kama watoto [watukutu] wa jirani?” Mungu anasema kuwa watu wake wanaenenda kama watu wa ajabu wa Sodoma na Gomora.)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;    B. Soma Isaya 1:11. Je, Isaya amepotosha ujumbe wa Mungu? Hawa wanyama wa kafara walijielekeza kwenye kafara ya Yesu. Je, Mungu amewahi kusema “sijali kuhusu ukweli kwamba unadai kafara ya Yesu kwa ajli ya dhambi zako?”&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;    C. Soma Isaya 1:12-14. Tunasema nini pale Mungu wetu anapotuambia hataki tuitunze Sabato tena? Hataki twende kanisani? Anachukia anapotuona tunamwabudu?&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;           1. Je, umuhimu wa haki kwa imani kwamba watu waovu (ambapo sote tu waovu) humwendea Mungu wakidai kafara ya Mwanaye na kumwabudu kwa utoaji wake wa ajabu wa wokovu?&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;               a. Kama hivyo ndivyo, je, unaelezeaje huu mkanganyiko katika Isaya? (Sasa unajua kwa nini kwamwe usitie mguu wako kwenye Agano la Kale, sawa? Ninatania tu kwa wale wasiokuwa na uhakika.)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;       D. Kioja kinaendelea hapa. Kitu kigumu kueleweka kinasemwa. Hebu tuendelee kusoma ili kuona kama tunaweza kubaini hili. Soma Isaya 1:15-16. Je, Isaya anatuambia kuwa kafara zetu (imani), ibada, kusifu na maombi (sala) hayatatufanyia jambo lolote jema isipokuwa tu kama “tutaacha kutemda mambo mabaya?”&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;             1. Soma Warumi 3:19-24. Kama tungeweza kuwaweka Isaya na Paulo kwenye chumba kimoja, je, wangekubali? Je, Paulo angesema, “Rafiki, tuna toleo la kisasa kwa ajili ya mfumo wako?”&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;             2. Angalia tena Isaya 1:16. Je, “kuosha” kunahusika vipi na kutufanya kuwa wasafi kiroho? (Hiki ni kitu kilicho nje kinachodhibiti “matendo yetu maovu.”)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;      E. Soma Isaya 1:17. Je, Mungu anawaita watu wake “Sodoma” na “Gomora” kwa sababu hawawasaidii watu wanaoonewa, mayatima na wajane?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;           1. Kwa nini Mungu hataji uongo, wizi, uuaji, uzinzi? Vipi kuhusu ushoga? Mungu, hata hivyo, anawaita kuwa Sodoma na Gomora!&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;            2. Ni kwa jinsi gani Mungu anavyoziita dhambi fulani majina na kuzifananisha na kuwaonea wasiokuwa na uwezo, kunajihusishaje na haki kwa imani?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;                   a. Au, hatupaswi tena kuwa na wasiwasi juu ya masikini na wasiojiweza kwa sababu kwa kuwa sasa tuna mfumo mpya kwa ajili ya injili?&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;II. Kukitafakari&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;      A. Soma Isaya 1:18. Mungu anasema “hebu tusemezane” hebu tufanye hivyo. Tunaposoma kuhusu dhambi zetu nyekundu kuwa nyeupe kama theluji au sufu, je, hiyo ni ishara ya haki kwa matendo yetu? (Hapana, hii ni ishara ya kuosha – suala la nje ambalo halibadili matatizo yoyote ya ndani.)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;      B. Soma Luka 10:25. Je, ungependa kujua jibu la swali hili? Hii itatuambia kama mfumo wetu wa wokovu umefanywa kuwa wa kisasa/umetengenezwa upya, sawa?&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;      C. Soma Luka 10:26-28. Je, hili ndilo jibu ulilotaka kulisikia – kwamba mfumo wako wa wokovu umefanywa kuwa wa kisasa?&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;            1. Je, tunahitaji kuwaweka Yesu na Paulo chumbani ili wajadili haki kwa imani?&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;      D. Soma Luka 10:29. Mtaalam wa sheria alimjibu Yesu jibu sahihi. Je, Biblia inamaanisha nini pale inaposema “naye akitaka kujidai haki?” (Sote tunataka kuyafanya matendo yetu kuwa ya haki – ambapo inamaanisha kuwa sote tunatafuta njia ya kutompenda jirani yetu kiukweli kama nafsi zetu!)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;       E. Soma Luka 10:30-37. Je, jibu hili linakusaidia uweze kujihesabia haki? (Hapana! Hili linatuambia kutumia muda wetu na fedha kuwajali na kuwatunza wahitaji wa kimwili, kifedha, na ulinzi walio wapumbavu wa rangi nyingine – hata wenye viburi na kujisifu!)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;            1. Je, unaweza kufikiria tafsiri pana ya “jirani yangu?”&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;      F. Hebu tuchukue muda kidogo kupitia tena hapa. Swali lilikuwa: “Nifanye nini ili niurithi uzima wa milele?” Jibu la Yesu ni kisa cha Msamaria kikifuatiwa na maelekezo ya “Enenda zako nawe ukafanye vivyo hivyo.” Je, tumejielekeza tu kupitia kwenye suala la haki kwa imani?&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;           1. Kama wewe ni mtu wa “haki kwa matendo,”  je, tumepitia kwenye suala la tumaini lako kwenda mbinguni kwa sababu (hapa ninabashiri) kazi zako dhaifu hazianzi kujilinganisha na zile za Msamaria?&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;      G. Hebu tumrejeshe Paulo kwenye mjadala wetu. Soma tena Warumi 3:19-20. Je, Msamaria Mwema ni mtu wa kubuni? Lengo lisilofikiwa? (Ndiyo.)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;            1. Je, unadhani kuwa hii ndio ilikuwa dhana ya Yesu? (Fikiria ambavyo mtaalam wa sheria angefanya kama Yesu angemjibu moja kwa moja: “Nenda mbinguni? Niamini!” Mtaalam wa sheria alisema “kuitii sheria ndio ufunguo wa kwenda mbinguni.” Yesu akajibu, “Ngoja nikuonyeshe kile ambacho inachomaanishwa kuitii sheria.” Tunajua mtaalam wa sheria hakufikia kiwango hiki kwa sababu (kama sisi tulivyo) “alitaka kujihesabia haki” kwa kuangalia tafsiri finyu ya “jirani” yake. Hakupata tafsiri finyu. Hakupata tafsiri finyu. Yesu alimwonyesha njia pekee yenye uhakia ya kwenda mbinguni ilikuwa ni kukubali haki ya Yesu kwa niaba yake.)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;     H. Sasa hebu terejee kwenye tatizo la marafiki zetu wa Sodoma na Gomora katika Yuda. Je, unaweza kuelezea kwa nini Mungu hakutaka kafara zao au ibada walipokuwa wakiwaonea  na kutowasaidia wasiokuwa na uwezo? (Hadhira ya Isaya haikuelewa kuwa walikuwa watu wa Sodoma na Gomora. Haki kwa imani inafanya kazi pale tu tunapoitegemea. Kwa kadri tunavyofikiri kuwa tu wema vya kutosha, tunategemea matendo yetu ili kuokolewa. Matendo yetu kamwe si mema vya kutosha. Kama unatilia shaka hilo angalia kwa makini kama unampenda jirani yako kama Mungu alivyokupenda. Mungu alikufa kwa ajili yako.)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;            1. Mwanaume (mwanamke) wa Gomora, je, unamtendea vipi masikini na asiyejiweza?&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;     I. Soma tena Isaya 1:18-20. Je, ujumbe wa Isaya kwetu ni upi kuhusu mavazi? (Kama ukiyafikiria (kwa kutafakari), utaona kuwa dhambi zako zinaweza kubadilika kutoka nyekundu hadi kuwa nyeupe kwa uoshaji wa njia moja tu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;         1. Je, maneno “utayari/radhi/hiari,” “pinga/kinza/bisha” na “uasi” yanajihusishaje na hii njia moja ya wokovu? (Huu ni mitazamo.)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;             a. Je, hiyo inamaanisha kuwa tunaamini kwenye haki kwa mtazamo? Mtazamo wetu unatuokoa au unatusababisha tupotee?&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;             b. Vipi kuhusu wazo kwamba hatuwezi kufanya jambo lolote kustahili wokovu? Je, kuna jambo la ziada linalosema kuwa mtazamo wetu ni wa kipekee?&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;     J. Soma Isaya 1:21-23. Mungu anamaanisha nini anapouita “mji mwaminifu” kuwa “kahaba?” (Watu wamemgeuka Mungu. Sio waaminifu kwake. Sio waaminifu kwenye kanuni zake. Hawaakisi upendo wake kwa sababu hawawatendei yatima haki. Kwa hakika, hata wamekataa kuwasikiliza na kuwawasilii wajane.)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;         1. Je, hili ni tatizo la kimtazamo? (Ndiyo!)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;      K. Tunapozungumzia “imani,” je, kweli tunamaanisha “mtazamo?” (Nadhani hivyo. Imani sio maneno matupu (Yakobo 2.) Imani ni mtazamo. Ni mtazamo kwamba Mungu anatupenda sana kiasi kwamba aliiacha mbingu na kufa kicho cha mateso kwa ajili yetu. Kwa hiyo lazima tumpende na “jirani” yetu ambaye pia alimfia (alimfilia). Tunajua hatuwezi kufikia kiwango cha “Msamaria” wa Mungu. Kwa hiyo tunakubali (tunapokea) haki kwa imani ya Yesu na kwa shukrani tukifuata kiwango cha Msamaria.)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;III. Vazi la Utukufu&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;         A. Soma Isaya 61:1-3. Je, masikini, waliovunjika moyo, mateka na wafungwa ni akina nani? (Hawa sio tu watu wasiokuwa na fedha. Hii inamaanisha watu walio masikini kwa sababu maisha yanakwenda mrama na hawana injili.)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;         B. Soma Isaya 61:10-11. Je, habari njema ya injili imefanywa kuwa mpya/ya kisasa kutoka katika nyakati za Isaya? (Wokovu wetu unatoka kwa Mungu pekee. Anatupatia “vazi la wokovu” “vazi la haki.” Anawapatia wale wanaotambua kile ambacho sheria inawataka kutenda, wanatambua upungufu wao katika kuitunza sheria, na wana mtazamo wa upendo kwa “masikini” (wa aina zote) wanaowazunguka. Mtazomo huu unabubujika kutoka kwenye furaha ya wokovu wetu tusioustahili. Unachokonoa zawadi ya upendo kwa wale wanaotuzunguka.)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;          C. Rafiki, je, moyo wako bado haujavunjika? Je, umetambua kwamba sheria inaleta mbele yako kiwango cha Msamaria kwa walio wahitaji, lakini umeshindwa kwa masikitiko kufikia hicho kiwango kwa sababu mara zote unajaribu kujihesabia haki? Kwa nini sasa hivi usikubali kwamba kamwe huwezi kufikia kiwango kwa nguvu zako mwenyewe? Kubali kwamba unahitaji zawadi ya vazi la neema na haki. Kwa nini usimwache Mungu avunjevunje moyo wako na kukufungulia njia ya furaha na upendo kwa walio masikini?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;IV.  Juma Lijalo: Alama Iliyonyakuliwa Kutoka Motoni&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/3455255205653026852-7278753089983256209?l=lesoni.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lesoni.blogspot.com/feeds/7278753089983256209/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://lesoni.blogspot.com/2011/05/somo-la-8-mavazi-ya-utukufu.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3455255205653026852/posts/default/7278753089983256209'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3455255205653026852/posts/default/7278753089983256209'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lesoni.blogspot.com/2011/05/somo-la-8-mavazi-ya-utukufu.html' title='Somo la 8: Mavazi ya Utukufu'/><author><name>Lessoni ya Kiswahili</name><uri>http://www.blogger.com/profile/05032927242368522742</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-3455255205653026852.post-8301620227914152949</id><published>2011-05-09T05:39:00.001-07:00</published><updated>2011-05-09T05:44:59.851-07:00</updated><title type='text'>Somo la 7: Katika Uvuli wa Mbawa Zake</title><content type='html'>Somo limetafsiriwa na Mgune Masatu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;(2 Samweli 12, Zaburi 32)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Somo hili limetafsiriwa kutoka katika Copr. 2009, Bruce N. Cameron, J.D. Majibu yaliyopendekezwa yanapatikana kwenye parandesi (kwenye mabano). Somo limekaa kimtazamo kwamba mwalimu anatumia ubao au sehemu nyingine yoyote ambayo inaweza kuonekana na wanafunzi. Somo hili pia linaweza kupatikana kutoka http://www.GoBible.org kwa lugha ya Kiingereza pamoja na lugha nyingine kama vile Kifaransa, Kijerumani. Omba kwa ajili ya uongozi wa Roho Mtakatifu unapojifunza.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Utangulizi: Nilipokuwa nakua, nilijifunza katika shule yangu ya Kikristo kuwa dhambi hufuatiwa na janga/maafa. Hiyo ni kweli mara kwa mara. Unastahili adhabu, unapata adhabu, na unapaswa kuelewa vizuri zaidi kuliko kumwomba Mungu kukuepusha na kile unachostahili, sawa? Huenda hapana. Somo letu juma hili linamwangalia mmojawapo wa mashujaa wakuu wa Mungu katika Biblia, aliyejiingiza katika dhambi kubwa, na kisha akateseka na adhabu. Lakini, kwa sababu fulani fulani hivi, bado alionekana kuwa na shukrani kwa ulinzi wa Mungu. Inaonekana kuwa kama fumbo/mwujiza. Hebu tuzame kwenye somo letu la Biblia na kuona kile tunachoweza kujifunza!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;I. Katika Uwajibikaji&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma 2 Samweli 12:1-3. Lilikuwwa wazo la nani la kumwambia Mfalme Daudi kisa hiki? (Mungu alimtuma Nathani.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, unaweza kujifananisha na mtu masikini kwenye hicho kisa kwa sababu una mnyama kipenzi?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Soma 2 Samweli 12:4-6. Jiweke kwenye nafasi ya Mfalme Daudi. Unadhani ungefikiria kwa nini Nathani alikuwa anakuelezea hiki kisa? (Mfalme alikuwa ni hakimu pia. Bila shaka Daudi alifikiri Nathani alikuwa anawasilisha suala gumu kwake ili alisuluhishe.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, unakubaliana na hitimisho la Daudi?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Je, sio ukatili mno kumtaka mtu afe kwa ajili tu ya mnyama? (Daudi hamaanishi kifo hapo, anadhani kuwa huo ni ukiukwaji mkubwa mno wa haki za binadamu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;C. Soma 2 Samweli 12:7-9. Unadhani ni kwa nini Mungu alimtaka Nathani amwingie Mfalme Daudi kwa kutumia njia hii – kwa kutumia kisa? (Alimtaka Daudi atangaze hukumu ya kunyang’anywa ujikwezaji wake.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, umewahi kumsikia mtu akisema kitu fulani, sio kukushutumu, lakini kitu chenye athari ya kukutia hatiani kutokana na dhambi yako? (Hii imenitokea. Nilidhani kuwa dhambi haikuwa mbaya kiasi hicho (na huenda hata sio dhambi), hadi pale mtu fulani aliposema jambo fulani lililoiweka kwenye mwanga halisi.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Kama wewe ungekuwa Daudi, je, ungesema kuwa hukumwua mke wa Uria, na kwa hiyo analojia/hali hiyo sio sahihi? (Daudi amekwama, kwa sababu jibu lingekuwa, “Hapana, badala yake ulimwua jirani (Uria).”)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;3. Kisa cha Nathani kinasaidia kufunua mzizi wa hizi dhambi za kutisha. Ni nini hiki? (Ubinafsi. Kutaka kitu tusichokuwa nacho – kitu kinachomilikiwa na mtu mwingine.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;D. Soma 2 Samweli 12:10-12. Je, Mungu anaiangaliaje dhambi ya Daudi? (Ya kwamba Daudi “amemdharau” Mungu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Kwa nini jambo hili ni la Mungu binafsi? Daudi haonekani kumdharau mtu yeyote – alianguka tu kwa mwanamke mzuri na baadaye alikuwa anajaribu kuifanya dhambi yake kuwa siri. (Mungu haziangalii Amri Kumi kama aina fulani ya orodha inayopendekezwa. Mungu anaangalia matendo yetu yakiakisi upendo wake kwetu. Hatumpendi pale tunapowajeruhi vibaya sana majirani zetu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Kama wewe ungekuwa Daudi, je, ungeziangaliaje siku zijazo?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;E. Soma 2 Samweli 12:13. Je, unadhani nini kilisababisha ungamo la Daudi, kisa, kauli kwamba alikuwa amemdharau Mungu, au utabiri kuhusu siku zijazo?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, kauli ya Daudi ni sahihi kiukweli? Ukizingatia kuwa, Daudi alifanya uzinzi na kusababisha mume kuuawa, je, ni sahihi kusema kuwa “amemfanyia Bwana dhambi” kinyume na zile zilizokuwa za moja kwa moja kwenye msitari wa Daudi?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Je, Mungu anasema nini kuhusu dhambi ya Daudi? (Imesamehewa. “Imeondolewa.”)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;II. Kusamehewa&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma Zaburi 32:1-2. Daudi anatolea maoni dhambi tuliyoijadili hivi punde. Nilidhani kuwa tatizo la Daudi lilikuwa ni kwamba alikuwa anafunika dhambi yake – na Mungu akakabiliana naye kwa ajili ya hiyo dhambi? Je, inamaanisha nini kuwa “anasitiri” dhambi zetu? (Baada ya dhambi kusamehewa, Mungu anazichukulia kuwa historia.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Baini maneno “ambaye rohoni mwake hamna hila.” Je, ni muhimu kiasi gani kwetu sisi kufikia hii hali? (Tumia hiki kama kipimajoto: kama unataka kuwapotosha watu, hiyo ni ishara kwamba kuna kitu fulani kibaya kwenye mwenendo wako/tabia yako.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Soma Zaburi 32:3-4. Je, hii inaathirije afya zetu? (Daudi anasema kuwa alijisikia vibaya (aliugua) na alijisikia kuathirika kimwili (mifupa kuchakaa, mwili kudhoofu).)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, inamaanisha nini kwa “mkono” wa Mungu “kunilemea” usiku na mchana? (Dhamiri yake ilimsumbua. Alishindwa kupata usingizi kwa sababu ya hiyo dhamiri.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Hebu tutafakari kidogo. Kama Daudi alihangaishwa sana na hatia kiasi kwamba hakuweza kulala usiku, kwa nini Nathani alijipenyeza kwake na kisa cha kumtia hatiani dhambi yake? (Zaburi hii iliandikwa baadaye sana. Tunapokuwa katikati ya dhambi, tunakuwa na wakati mgumu kuona mambo kwa wazi. Baadaye tunakuwa na maono ya wazi kabisa ya dhambi zetu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;C. Soma Zaburi 32:5. Je, hatua ya kwanza ya kupata ahueni kutokana na shinikizo la hatia na majuto/toba ni ipi? (Kukiri dhambi zetu kwa Mungu. Lazima tuache kujidanganya kuhusu dhambi zetu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Baini hii kauli ya kufurahisha “ukanisamehe upotovu wa dhambi yangu.” Nilidhani Mungu alisamehe dhambi. Je, ni kitu gani kingine kinachopendekezwa na hii kauli? (Daudi alibaini “mkono mkuu “ wa Mungu juu yake. Hiyo ilikuwa hatia. Mungu sio tu kuwa anasamehe dhambi, anatutua hatia zetu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Je, sio kitu cha asili kujisikia hatia kuhusiana na jambo la kutisha tulilofanya – hata baada ya kuwa tumesamehewa? (Soma Ufunuo 12:10. Shetani ndiye anayetushitaki kuhusiana na dhambi iliyosamehewa. Kama tumefanya mambo kwa usahihi, kwa kiwango kinachowezekana, hakuna kitu cha ziada  tunachokiweza. Mungu anasamehe dhambi zetu na anatutua hatia zetu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;III. Matokeo/Madhara&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma tena 2 Samweli 12:10-12. Kuna uzuri gani wa kumwondokeshea Daudi hatia kama anaishia kwenye haya matokeo yote ya kutisha?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, kweli Mungu amemsamehe Daudi kama anamhuzunisha na haya matokeo?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Je, kweli Mungu alitia msukumo wa ubakaji wa wazi wa wake za Daudi? (Soma 2 Samweli 16:22, Mambo ya Walawi 20:11 na Yakobo 1:13-15. Mungu anachukia dhambi. Kwangu mimi naona haiwezekani kwamba Mungu alimhamasisha Absalomu mwana wa Daudi kutenda dhambi. Badala yake, inaleta maana zaidi kusoma hili kama unabii wa Mungu kuhusu matokeo ya siku zijazo ya dhambi ya Daudi.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;3. Tumejadili Zaburi 32:1 inayosema kuwa dhambi zilizosamehewa “zinasitiriwa.” Je, matokeo haya yanaonekana kama “kifuniko” kwako? Baini kuwa Mungu anatumia neno “mwangaza wa mchana” mara mbili – ambayo tu ni kinyume cha “kusitiri” au “siri!” (Dhambi itatuua. Hatia inaifanya miili yetu ichakae. Mungu anaondoa vyote hivyo. Dhambi zetu, hata hivyo, zipo katika mazingira ya mwendo ambayo Mungu ataitumia kama adhabu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;a. Lengo la hii adhabu ni lipi? (Soma 2 Samweli 12:14. Kipengele kimoja cha dhambi ni utukufu wa Mungu. Kama Mfalme wake aliyependelewa, Mfalme aliyembariki, amejihusisha kwenye hiyo tabia ya kutisha, hiyo inajiakisi vibaya sana kwa Mungu. Mungu ataonyesha maadui zake kuwa kanuni za ulimwengu ni za kweli: utovu wa nidhamu kwa Mungu unaleta matokeo ya kutisha – hata kwa wale ambao Mungu anawapenda.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Soma Zaburi 32:6-7. Hebu subiri kidogo! Hivi punde tu tumejadili jinsi Mungu anavyosamehe dhambi, lakini anaruhusu matokeo ya dhambi zetu yatuadhibu. Je, Daudi anaongelea nini? (Kama Daudi angemfuata Mungu, asingekuwa kweye haya matatizo. Hata hivyo, nadhani Daudi anasema zaidi – kwamba hata katika matokeo/madhara Mungu alimlinda.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, kitu kama hicho kinawezekana? Mungu anaruhusu adhabu na kisha anakukinga kwenye mchakato mzima? Katikati ya adhabu unajisikia kuimba kuihusu? (Soma Luka 7:47. Unapotambua ni kwa kiasi gani umesamehewa, unapenda “sana.” Unaingia kwenye mkataba na matokeo halisi kwa sababu unatambua kuwa ni makosa yako na ni ya haki. Wakati huo huo Mungu anakupenda sana alikufa kwa ajili ya dhambi zako za kutisha. Alikusamehe. Kwa shukrani unamsifu Mungu! Hakukuua. Hakukutenga/hakukuweka kando. Anakupenda!)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;C. Soma Zaburi 32:8-9. Nina mashaka kama wengi wa wanaosoma fungu hili wamefanya uzinzi na kisha kumwua mwenzi asiye na hatia. Je, wito wa Mfalme Daudi kwetu ni upi? (Kujifunza kutokana na kisa chake. Kujifunza kuhusu upendo wa Mungu na msamaha wake. Kujifunza kuhusu matokeo/madhara. Aidha unaweza kufuata “ushauri” kama huu, au unaweza kuwa kama mtu mshupavu/mkaidi na kuacha dhambi zako zikuvute maishani. Ni uchaguzi wako.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;D. Soma Zaburi 38:10-11. Ahadi ya Mungu kwetu ni ipi? (Upendo wake hautashindwa! Kama tukitubu dhambi zetu, na kuamini neno la Mungu kuhusu namna bora ya kuishi, furaha, shangwe, nyimbo za kusifu zitatunyanyua kutoka kwenye matokeo ya dhahiri ya dhambi zetu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;E. Rafiki, vipi kuhusu wewe? Dhambi inavutia. Dhambi inaonekana kufurahisha. Lakini, dhambi ina matokeo mawili makubwa. Kwa kutenda dhambi tunaonyesha kuwa tunadharau upendo wa Mungu na kafara yake kwa ajili yetu. Kwa kutenda dhambi, tunajiweka wazi kwenye matokeo/madhara ya kutisha. Je, utadhamiria hivi leo kuepuka somo la ushupavu/ukaidi, na badala yake kujifunza kutokana na kisa cha Daudi?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;IV. Juma Lijalo: Mavazi ya Utukufu.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/3455255205653026852-8301620227914152949?l=lesoni.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lesoni.blogspot.com/feeds/8301620227914152949/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://lesoni.blogspot.com/2011/05/somo-la-7-katika-uvuli-wa-mbawa-zake.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3455255205653026852/posts/default/8301620227914152949'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3455255205653026852/posts/default/8301620227914152949'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lesoni.blogspot.com/2011/05/somo-la-7-katika-uvuli-wa-mbawa-zake.html' title='Somo la 7: Katika Uvuli wa Mbawa Zake'/><author><name>Lessoni ya Kiswahili</name><uri>http://www.blogger.com/profile/05032927242368522742</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-3455255205653026852.post-6841223447788454336</id><published>2011-04-29T11:13:00.001-07:00</published><updated>2011-04-29T11:16:43.143-07:00</updated><title type='text'>Somo la 6: Joho la Eliya na Elisha</title><content type='html'>Somo limetafsiriwa na Mgune MAsatu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;(1 Wafalme19, 2 Wafalme 2)&lt;br /&gt;Somo hili limetafsiriwa kutoka katika Copr. 2009, Bruce N. Cameron, J.D. Majibu yaliyopendekezwa yanapatikana kwenye parandesi (kwenye mabano). Somo limekaa kimtazamo kwamba mwalimu anatumia ubao au sehemu nyingine yoyote ambayo inaweza kuonekana na wanafunzi. Somo hili pia linaweza kupatikana kutoka &lt;a href="http://www.GoBible.org"&gt;http://www.GoBible.org&lt;/a&gt; kwa lugha ya Kiingereza pamoja na lugha nyingine kama vile Kifaransa, Kijerumani. Omba kwa ajili ya uongozi wa Roho Mtakatifu unapojifunza.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Utangulizi: Je, unakumbuka mchezo wa video wa Donkey Kong? Ingawa ni muda mrefu umepita tangu nilipocheza mchezo wa huo, bado nakumbuka nilivyokuwa nikijaribu kumchezesha Mario hadi kwenye maeneo ya miinuko. Tulikuwa tukipata mafanikio makubwa, na kisha ghafla kupitwa na mifululizo ya mapipa au vitu vingine vya hatari na kujikuta tukiwa nyuma chini kabisa. Je, maisha yako ya kiroho yanafanana na mchezo huo? Mafanikio makubwa yakifuatiwa na anguko kubwa? Mafanikio madogo yakifuatiwa na anguko dogo? Somo letu juma hili ni kumhusu Eliya, mtu aliyeshika kanuni za mchezo wa Donkey Kong. Hebu tuchupe kwenye somo letu la Biblia!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;I. Anguko&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma 1 Wafalme 19:1. Je, ni kisa gani alichokielezea Ahabu? (Ukipitia 1 Wafalme 18 utaona kuwa Eliya aliwapa changamoto Ahabu na manabii wa Baali, yaani mpambano wa watu wawili mbele ya mashahidi ya watu wote. Suala lilikuwa ni kuona kuwa nani angeweza kushusha moto kutoka juu pale mlimani: manabii wa uongo 850 na miungu yao au Eliya na Mungu wake? Mungu wa Eliya alishinda, na Eliya aliwaua mamia ya manabii wa uongo. Kwa hakika kilikuwa ni kisa.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Soma 1 Wafalme 19:2. Je, jibu hili ni la busara kwa kiasi gani?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, ni “miungu” gani kwa hakika aliyokuwa akiinukuu/akiirejea Yezebeli? (Hili ni jibu la kijeuri na la kishupavu. Mungu wa Eliya alishinda kwenye mpambano kati ya Eliya na manabii mbele ya mashahidi na mamia ya manabii wa mungu mshindwa waliuawa. Yawezekana Yezebeli alikuwa amejificha uvunguni mwa kitanda chake kwa kumwogopa Mungu wa kweli.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;C. Soma 1 Wafalme 19:3-5. Kama wewe ungekuwa Mungu, ungewafanyaje Yezebeli na Eliya?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Kwa kuwa Yezebeli aliomba kwa uchaji wa miungu, kwa nini tu isimshindie/wasishinde?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Kwa nini Eliya anaomba ili kwamba afe?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;3. Kama anataka kufa, ingekuwa mantiki angejielekeza kwenye kasri la Yezebeli. Ni hatua gani Mungu achukue kwenye uasi wa kipumbavu (Yezebeli) na mwoga mpumbavu (Eliya)?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;4. Je, una kisingizio kwa ajili ya Eliya?(Kuwaua wale manabii wote huenda kulikuwa na athari za kihisia kwake. Msongo kutokana na ule mpanbano mbele za mashahidi ulikuwa na athari kwenye hisia zake. Kwa hakika amechoka, mwenye msongo na mdhoofu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;5. Je, ni kweli kwamba hastahili joho la kikuhani? Ya kwamba yeye sio bora kuliko watangulizi wake? (Hadi kufikia kwenye uoga, alikuwa mmojawapo wa wapiganaji wakubwa kwa ajili ya Mungu wa majira yote. Yeye ni sura ya mwanadamu mwenye nguvu za Mungu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;D. Soma 1 Wafalme 19:5-6. Eliya alimwangusha Mungu. Je, Mungu anafanyaje? (Hamtimui Eliya. Anatuma usaidizi. Mungu mkuu wa namna gani tuliye naye!)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;E. Soma 1 Wafalme 19:7-8. Kwa nini malaika anamsaidia Eliya kutoroka?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Kwa nini asimpige kofi, kumrejesha kwa Yezebeli, na kusema “Pambano liko pale. Acha kukimbia uelekeo usio sahihi.”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;F. Soma 1 Wafalme 19:9-10. Kwa nini malaika na Mungu wanaonekana kuwa na majibu tofauti? (Mungu anatupenda na anatujali, lakini pia anatutia hamasa pale tunapokuwa sio waaminifu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, kisingizio cha Eliya ni kipi? Je, anamlaumu Mungu? (Anaamini kuwa yu peke yake. Mungu anahitajika kupata wasaidizi wengine.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;a. Je, hii ni kweli? (Haikuwa kweli pale moto uliposhuka chini pale mlimani.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;b. Je, haya maneno yametoka kinywani mwako ulipofikiri uliwahitaji watu wengine kusaidia kusukuma mbele kazi ya Mungu?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;c. Je, ni “sawa” kwa kuhani mkuu wa Mungu kufikiri na kuongea namna hii?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;II. Mungu na Anguko&lt;br /&gt;A. Soma 1 Wafalme 19:11-13. Eliya analalamika kwamba yuko peke yake na kwamba amechapwa. Mungu anasema kwamba Eliya anapaswa kutazama gwaride ambapo Mungu atakuwa Grand Marshal. Dhana ya Mungu ni ipi katika hili? (Mungu anadhibiti nguvu za asili.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, hilo ni somo jipya kwa ajili ya Eliya? (Hapana. Mjadala uliosababisha mpambano kuhusu moto baina ya pande mbili ulikuwa kwamba watu walikuwa wanamwabudu Baali (mungu mwenye uzao), na Mungu alileta ukame katika nchi.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;a. Kama somo sio geni, kwa nini Mungu analirudia? (Ni mara ngapi unahitaji Mungu arudie masomo yake kwako?)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Inamaanisha nini kwamba Mungu hayumo kwenye hizi nguvu kubwa za asili?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Baini kuwa Mungu anarudia swali lake la “Unafanya nini hapa” kwa Eliya mwishoni mwa gwaride. Kwa nini?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, Mungu yu kwenye unong’onezaji wa upole (sauti ndogo ya utulivu)? (Ndiyo. Suala ni kwamba Mungu anadhibiti nguvu za asili, lakini hawadhibiti watumishi wake!)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Kwa nini Eliya anafunika uso wake kwa joho lake mbele za sauti ndogo ya utulivu, lakini sio ambapo miamba ilipokuwa inavunjikavunjika na kurushwa? (Alitambua uwezo wa kweli wa Mungu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;C. Soma 1 Wafalme 19:14. Je, Eliya alipaswa kurudia jibu lake lile lile la awali? (Halionekani kukaribia kuwa jibu zuri baada ya mwonekano wa huu uwezo.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Unadhani Mungu alihitaji jibu gani? (Samahani kwa kukuangusha, sijui nilichokuwa nikikifikiria, nitarajea na kumkabili Yezebeli.”)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;D. Soma 1 Wafalme 19:15-18. Hebu jiweke kwenye nafasi ya Mungu. Je, utamwambia nini Eliya katika hatua hii? Je, sasa utamtimua?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, Mungu alimtimua Eliya? (Anamweka kwenye mpango wa kustaafu. Mungu anamwambia Eliya kuwa atamteua mrithi wake.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Je, utashauri kumwambia Mungu kuwa unataka kuachia ngazi?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;E. Soma sehemu ya kwanza ya 1 Wafalme 19:19. Je, hii ni muhimu/ina maana? (Ndiyo. Eliya aweza kuwa anasema mambo yasiyokuwa sahihi, lakini anakwenda pale Mungu alipoelekeza. Anamchagua Mungu na sio kifo/mauti.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;F. Soma 1 Wafalme 19:19-21 na Hesabu 20:23-29. Nini umuhimu wa Eliya kumvika Elisha joho lake? (Ni ishara ya kupasisha mamlaka.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, ilikuwa muhimu kwamba Eliya alitupa tu joho lake kwa Elisha, kinyume na kumpatia mavazi yake yote? (Tofauti na Haruni, Mungu hakuwa anambadilisha Eliya mara moja. Badala yake, Elisha alitumika kama msaidizi wa Eliya kwa muda fulani.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;G. Fikiria mfululizo huu kwa dakika moja hivi. Kama wewe ungekuwa Mungu, je, ungembadilisha Eliya kutokana na imani yake iliyoanguka/iliyofifia?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, ubadilishwaji wa Eliya ulikuwa na vingi vya kujihusisha na msemo wake wa “Nataka uiondoe roho yangu,” au anguko lake la imani?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Unalinganishaje hili na Haruni, ambaye hakuonekana kutaka kubadilishwa? (Haruni amekuwa akijihusisha kwenye dhambi nzito mara kadhaa. Eliya alikatishwa tamaa sana – lakini aliamua kuifuata njia ya Mungu. Mungu alimpatia Eliya msaidizi kumsaidia kubeba mzigo wake. Ingekuwa bora zaidi kwa Eliya kuomba kwa ajili ya msaidizi, sio kifo/mauti.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;III. Thawabu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma 2 Wafalme 2:1-3 na Mwanzo 5:23-24. Unadhani manabii walifikiria kuwa nini kitatokea kwa Eliya?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Unadhani Elisha alifikiria kuwa nini kitatokea? (Hakutaka kukiongelea. Hakuna hata mmoja baada ya Henoko alitwaliwa, kwa hiyo nadhani alifikiri kuwa Eliya atakufa siku hiyo.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Ruka na usome 2 Wafalme 2:16-17. Hii inafunua kwamba manabii hawakuwa na wazo kuwa Eliya alikuwa anakwenda kuchukuliwa mbinguni. Lazima watakuwa wamefikiria kuwa alikuwa anakwenda kufa.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Soma 2 Wafalme 2:7-10. Kwa nini hili ni jambo gumu? (Elisha anamwomba Eliya amdhibiti Mungu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Unafikiria nini kuhusu jibu la Eliya la “hebu tungoje tuone?” (Eliya alimwachia Mungu jambo hilo.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Je, umewahi kumwomba Mungu kitu fulani hivi chepesi – kama vile akusaidie kupata funguo zako – na kujisikia hatia kwa sababu watu wengine walikuwa wanamwomba awaponye saratani?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;a. Je, hili suala la “kuyapiga maji na yakagawanyika” linapendekeza nini kuhusu uwezo wa Mungu? (Uwezo wa Mungu upo kwa ajili ya mambo madogo na mambo makubwa. Sio kwamba uwezo wa Mungu unaotumika kukusaidia kupata funguo zako unampokonya/unamnyima mtu mwenye saratani uwezo wa Mungu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;C. Soma 2 Wafalme 2:11-12. Fikiria pale nyuma ambapo Eliya alikata tamaa na akataka kuondoka na kufa. Nadhani manabii walifikiri hii ndio ilikuwa siku ya kifo chake. Je, hii inasema nini kuhusu upendo wa Mungu wetu? (Anatupatia uzima, sio kifo! Upendo wa ajabu namna gani!)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;D. Kumbuka kwamba Mungu alimpa changamoto Eliya kwa kile alichokuwa anakifanya. Je, huyu ni mtu ambaye ungempa thawabu kwa kumchukua moja kwa moja mbinguni? (Mungu anajua kuwa sisi ni wanadamu wadhaifu. Eliya alikuwa mbia mkubwa wa Mungu. Baada ya “anguko” lake, alirejea kwenye njia sahihi na aliendelea kumtumikia Mungu kwa uaminifu. Mungu mkarimu namna gani tuliye nae!)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Baini tena 2 Wafalme 2:12. Je, Elisha amefurahi sana kiasi kwamba anaongea mambo yasiyokuwa na maana? Je, anawaona askari? (Kile anachokisema Elisha ni cha muhimu sana. Mtu aliyejazwa na Roho ana nguvu/uwezo zaidi kuliko jeshi la daraja la kwanza.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;E. Soma 2 Wafalme 2:13-15. Elisha anachukua joho na anararua mavazi yake yaliyozeeka. Je, hii inamaanisha nini/ni ishara ya kitu gani? (Manabii walikisema kile inachomaanisha – Roho wa Mungu sasa yupo juu ya Elisha.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;F. Rafiki, je, unajihisi kama unamwangusha Mungu nyakati zingine? Mungu sio tu kwamba anakupenda, bali anakupatia uwezo mkubwa wa kuutafuta/kufikia ufalme wa Mungu – uwezo wa Roho wake Mtakatifu. Je, utaomba hivi leo ili kupewa huo uwezo?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;IV. Juma Lijalo: Katika Uvuli wa Mbawa Zake.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/3455255205653026852-6841223447788454336?l=lesoni.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lesoni.blogspot.com/feeds/6841223447788454336/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://lesoni.blogspot.com/2011/04/somo-la-6-joho-la-eliya-na-elisha.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3455255205653026852/posts/default/6841223447788454336'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3455255205653026852/posts/default/6841223447788454336'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lesoni.blogspot.com/2011/04/somo-la-6-joho-la-eliya-na-elisha.html' title='Somo la 6: Joho la Eliya na Elisha'/><author><name>Lessoni ya Kiswahili</name><uri>http://www.blogger.com/profile/05032927242368522742</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-3455255205653026852.post-5372785373631708864</id><published>2011-04-25T01:00:00.000-07:00</published><updated>2011-04-25T01:05:49.611-07:00</updated><title type='text'>Somo la 5: Mavazi ya Kikuhani ya Neema</title><content type='html'>Somo limetafsiriwa na Mgune Masatu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;(Waebrania 7 &amp; 8, Kutoka 28) &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Somo hili limetafsiriwa kutoka katika Copr. 2009, Bruce N. Cameron, J.D. Majibu yaliyopendekezwa yanapatikana kwenye parandesi (kwenye mabano). Somo limekaa kimtazamo kwamba mwalimu anatumia ubao au sehemu nyingine yoyote ambayo inaweza kuonekana na wanafunzi. Somo hili pia linaweza kupatikana kutoka &lt;a href="http://www.GoBible.org"&gt;http://www.GoBible.org&lt;/a&gt; kwa lugha ya Kiingereza pamoja na lugha nyingine kama vile Kifaransa, Kijerumani. Omba kwa ajili ya uongozi wa Roho Mtakatifu unapojifunza.&lt;br /&gt;Utangulizi: Je, huwa unajiuliza kuwa, “Ninajuaje kama Ukristo ni imani sahihi?” Dini ya Kiyahudi ni ya kale. Uislamu ni wa hivi karibuni kuliko dini ya Kiyahudi au Ukristo, lakini unakua kwa kasi. Dini zote “zinahusiana” kwa maana kwamba zote zinatumia kitabu cha aina moja (Agano la Kale la Biblia). Marafiki zangu wa Kiyahudi huniambia kuwa Ukristo umeteka nyara dini yao. Waislamu wanakubali sehemu za Agano la Kale na Agano Jipya. Nadhani ni sahihi kusema kuwa Mtume Mohammed aliamini kuwa alikuwa mtu wa hivi karibuni kabisa (na mkuu) kwenye mlolongo wa manabii wa Agano la Kale. Sehemu kubwa ya jibu limo kwenye somo letu la juma hili kuhusu mfumo wa hekalu. Hebu tuzame kwenye somo letu la Biblia na kuona kile Mungu alichotuandalia!&lt;br /&gt;I. Mkondo/Mwelekeo wa Uthibitisho&lt;br /&gt;A. Soma Waebrania 8:1-5. Je, Musa alijenga hema ya aina gani? (Soma Kutoka 25:8-9 na Kutoka 26:30. Musa alijenga hekalu jangwani. Hii ilifanya muktadha wa ibada ya Kiyahudi. Hekalu la Musa lilielekezwa kwenye hekalu la mbinguni.)&lt;br /&gt;1. Je, lengo la hekalu jangwani lilikuwa lipi? (Ni mahali ambapo Mungu alikaa na watu wake. Lilitoa njia ambayo dhambi za watu zilisamehewa. Angalia Mambo ya Walawi 16.)&lt;br /&gt;2. Pale ambapo Waebrania 8:3 inarejea “kila kuhani mkuu” akitoa “vipawa na dhabihu,” hii inarejea/inanukuu huduma za hekalu za Agano la Kale. Je, marafiki zetu wa Kiyahudi wanapataje msamaha wa dhambi zao hivi leo? (Hilo ndilo tatizo la kimantiki la dini ya Kiyahudi hivi leo. Kutokana na sababu ambazo hazikufunuliwa kwenye Agano la Kale, wameacha mfumo wa utoaji kafara.)&lt;br /&gt;a. Unadhani ni hoja gani waliyo nayo kwa haya mabadiliko? (Hekalu liliharibiwa na Warumi mwaka wa 70 BK. Nilihudhuria Karamu ya chakula cha jioni ya Kiyahudi juma hili, na sehemu ya nukuu ilikuwa ni kwa ajili ya ujenzi mpya wa hekalu.)&lt;br /&gt;b. Je, watu wa Mungu walitoa kafara wanyama wao kwa ajili ya msamaha wa dhambi zao kabla ya utengenezwaji wa hekalu/madhabahu la pale jangwani? (Ndiyo. Soma Mwanzo 8:20. Kimantiki, marafiki zetu wa Kiyahudi bado wanapaswa kuwa wanatoa kafara wanyama wao kwa ajili ya msamaha wa dhambi.)&lt;br /&gt;B. Soma Waebrania 7:23-28. Je, madai yetu ni yapi kuhusu Yesu na mfumo wa hekalu? (Tumeona kwamba mfumo wa hekalu wa Agano la Kale ulikuwa tu ni mwavuli wa hekalu la mbinguni. Utoaji kafara wa Agano la Kale ulikuwa ni mfano (ulitabiri) maisha makamilifu ya Yesu na kafara ya kifo kwa ajili yetu kwa ajili ya msamaha wa dhambi zetu. Yesu sio kafara tu, Yeye ni Kuhani wetu Mkuu akitupatanisha katika hekalu la mbinguni kwa niaba yetu kwa ajili ya msamaha wa dhambi zetu!)&lt;br /&gt;1. Je, sisi tuna hatia kama tulivyoshtakiwa – je, tumeiteka nyara dini ya Kiyahudi? (Dini ya Kiyahudi pasipo kafara ya mnyama ina tatizo la kimantiki. Ukristo una jibu la hilo tatizo – Yesu ndiye utimilifu wa mfumo wa hekalu.)&lt;br /&gt;2. Je, hiyo inauacha Uislamu katika hali gani? Kwa sababu ni dini ya hivi karibuni, je, “inatimiza” dini ya Kiyahudi na Ukristo kwa uzuri zaidi? (Hapana. Uislamu unaukubali mfumo wa hekalu wa Agano la Kale kuwa wa kweli, lakini pia unapungukiwa kafara. Uislamu haukubali kuwa Yesu alikufa na kwamba alifufuka. Hauna hekalu na hauna Mwanakondoo kwa ajili ya ondoleo la dhambi. Hivi leo, Dini ya Kiyahudi na Kiislamu ni dini za “matendo” –kama jinsi zilivyo dini zote za Kimashariki. Wokovu unatokana na matendo ya mwanadamu. Mfumo wa hekalu haumaanishi kitu chochote. )&lt;br /&gt;II. Mavazi na Heshima&lt;br /&gt;A. Je, umewahi kusoma mwisho wa kitabu kwanza? (Mke wangu anafanya hivi mara zote, kamwe sifanyi hivyo.)&lt;br /&gt;1. Je, nini faida ya kusoma mwisho wa kitabu kwanza? (Inaondoa fumbo/siri. Inakusaidia uelewe kitabu unapokuwa unakisoma.)&lt;br /&gt;2. Je, nimefanya hivyo kwako hivi punde? Je, tumesoma mwisho wa kitabu kwanza kwenye somo letu la leo? (Ndiyo, kwa mantiki fulani tulikuwa sahihi kwenye hitimisho la ishara ya mwana kondoo na kuhani mkuu kweye huduma ya hekalu ya Agano la Kale. Hebu tuone kama hii inatusaidia kuelewa vizuri zaidi mavazi ya kuhani mkuu.)&lt;br /&gt;B. Hebu turejee na kusoma Kutoka 28:1-5. Je, lengo la haya mavazi ni lipi? (Kumpatia Haruni “utukufu na uzuri/heshima.”)&lt;br /&gt;1. Soma Kutoka 32:2-4. Je, Haruni alistahili utukufu na heshima? (Hapana.)&lt;br /&gt;C. Soma Luka 15:21-22. Nini lengo la kuvishwa vazi, pete na viatu kwa mwana mdogo? (Kumpatia utukufu na heshima ya uana (kuwa mwana).)&lt;br /&gt;1. Je, mwana mdogo alistahili utukufu na heshima ya kuwa mwana? (Anasema hakustahili.)&lt;br /&gt;D. Soma Mathayo 22:8-12. Kumbuka majuma kadhaa yaliyopita tulijadili hawa wanunuzi wa kwenye maduka kama ya Shoprite wakialikwa kwenye harusi ya mfalme. Je, wageni hawa wanastahili kualikwa? (Kwa hakika hapana kabisa. Tunaambiwa kuwa baadhi yao ni “wabaya.”)&lt;br /&gt;1. Je, nini lengo la kuwapatia vazi la harusi? (kuwapatia utukufu na heshima ambayo ungeitarajia kwa wageni kwenye harusi ya mwana wa mfalme. Walifunika mavazi yao yaliyonunuliwa “Shoprite.”)&lt;br /&gt;E. Je, kuna mantiki inayofanana kati ya vazi la kuhani mkuu, vazi la baba na vazi la harusi? Au, je, ninachanganya matufaa (apples) na machungwa? (Katika sehemu zote tatu, mtu asiyestahili alifanywa kustahili kwa kupatiwa kitu cha kuvaa. Walitakiwa kuboresha hadhi yao ili washerehekee tukio muhimu.)&lt;br /&gt;1. Je, nini kingetokea kama mgeni harusini angekataa vazi la harusi, mwana angekataa vazi alilopewa na baba yake au kuhani mkuu angekataa mavazi yake ya kikuhani? (Tunajua kwa hakika kwamba kuhani mkuu na mgeni harusini wasingeruhusiwa kukaa mbele za Mungu. Mwana mpotevu alitaka kuwa mbele za baba yake, na kwa furaha kabisa alikubali vazi alilopewa na baba yake.)&lt;br /&gt;2. Je, ni somo gani tunalojifunza kutokana na haya mavazi? (Kama tunataka kusherehekea na Mfalme, tunahitajika kuboresha hadhi yetu kwa kuvaa vazi analolitoa Mungu.)&lt;br /&gt;a. Je, hii inatufundisha nini kuhusu dini zote zinazoangalia “matendo?”&lt;br /&gt;III. Utondoti, Utondoti (Taarifa Kamilifu/za Kina, Taarifa Kamilifu/za Kina).&lt;br /&gt;A. Hebu turudi nyuma hadi hadi kwenye Kutoka 28 na kusoma taarifa zaidi kuhusu vazi la kuhani mkuu. Soma kutoka 28:9-12. Kwa kuwa hizi zote ni ishara, je, haya mawe ya ukumbusho yanaashiria nini? (Mara zote Mungu anataka majina ya watu wake mbele zake.)&lt;br /&gt;1. Kwa nini tu usiorodheshe makabila kumi na mawili kwenye ukuta wa hekalu la mbinguni? Ni umuhimu gani unaouona kwenye ishara kuwa kuhani mkuu ana majina yao mabegani mwake? (Hii inaashiria Yesu akibeba dhambi zetu mabegani mwake.)&lt;br /&gt;2. Je, mara zoteunataka jina lako liwe kuu mbele za bosi wako? (Angalia kwenye huo muktadha. Jina linakuja mbele za bosi katika muktadha wa dhambi iliyosamehewa!)&lt;br /&gt;B. Soma Kutoka 28:15-21. Ni somo gani tunalojifunza kutokana na ukweli kwamba majina ya makabila yalichongwa kwenye mawe ya thamani yaliyo katika mfano wa dhahabu? (Sisi ni wa thamani kwa Mungu. Anatuthamini!)&lt;br /&gt;C. Soma Kutoka 28:29-30. Baini majina ya watu wa Mungu sio tu kwamba yanavaliwa kwenye mabega ya kuhani mkuu, yanavaliwa moyoni mwake. Je, ni somo gani tunalojifunza kutokana na hiyo ishara? (Kwa kuwa kuhani mkuu ni ishara ya Mungu, tunajifunza kuwa tuko karibu sana na moyo wa Mungu anapotupatanisha kwa ajili yetu mbinguni.)&lt;br /&gt;1. Mafungu haya yanaanzisha wazo jingine, Urimu na Thumimu. Je, lengo la haya mawe ni lipi? (Soma Hesabu 27:21. Ukweli kwamba kifuko cha kifuani kinaitwa “kifuko cha kifuani cha maamuzi” kilichounganishwa na huu muktadha wa kuyatumia haya mawe kuelewa mapenzi ya Mungu, inatuonyesha kuwa haya mawe mawili yaliwasilisha mapenzi ya Mungu kwa watu wake.)&lt;br /&gt;2. Je, ni ishara gani unazoziona kwenye Urimu na Thumimu? (Chukulia jinsi ambavyo Kuhani wetu Mkuu, Yesu, anavyoangaza/yanavyomulika mapenzi ya Baba kwetu. Kama unataka kujua jibu la Mungu la matatizo magumu maishani, basi mwangalie Yesu.)&lt;br /&gt;IV. Hivi Leo&lt;br /&gt;A. Soma 1 Petro 2:9 na 1 Timotheo 2:5-6. Yesu anatuita kuwa “makuhani wa kifalme,” lakini Paulo anatukumbusha kuwa kuna mpatanishi mmoja pekee, naye ni Yesu. Ukiangalia yote tuliyojifunza kuhusu kuhani mkuu, je, tuhitimishe kuwa jukumu letu ni lipi hivi leo tukiwa kama makuhani? (Dhana ya ukuhani wa uanadamu ilikuwa ni kufunua mpango wa Mungu wa wokovu na kushiriki mapenzi yake pamoja na dunia yote. Baini kuwa 1 Petro 2:9 inatutaka “kuzitangaza fadhili” za Mungu. Huo ndio utume wetu wa kikuhani hivi leo!)&lt;br /&gt;B. Rafiki, je, utakubali na kuufanyia kazi wito wako kuwa kuhani wa Mungu aliye Hai? Je, utashiriki pamoja na dunia kwamba sio matendo yetu yanayotuokoa, bali tu ni kujitegemeza kwenye maisha, kifo na ufufuo wa Mwanakondoo wa Mungu. Je, utaiweka imani yako yote kwenye upatanisho wa Kuhani wetu Mkuu aliyepo kwenye Hekalu la Mbinguni?&lt;br /&gt;V. Juma Lijalo: Joho la Eliya na Elisha.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/3455255205653026852-5372785373631708864?l=lesoni.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lesoni.blogspot.com/feeds/5372785373631708864/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://lesoni.blogspot.com/2011/04/somo-la-5-mavazi-ya-kikuhani-ya-neema.html#comment-form' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3455255205653026852/posts/default/5372785373631708864'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3455255205653026852/posts/default/5372785373631708864'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lesoni.blogspot.com/2011/04/somo-la-5-mavazi-ya-kikuhani-ya-neema.html' title='Somo la 5: Mavazi ya Kikuhani ya Neema'/><author><name>Lessoni ya Kiswahili</name><uri>http://www.blogger.com/profile/05032927242368522742</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-3455255205653026852.post-8868904802802720761</id><published>2011-04-18T01:29:00.000-07:00</published><updated>2011-04-18T01:31:49.959-07:00</updated><title type='text'>Somo la 4: Joho la Rangi Mbalimbali</title><content type='html'>(Mwanzo 29, 30, 37 &amp; 41) &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Somo hili limetafsiriwa kutoka katika Copr. 2009, Bruce N. Cameron, J.D. Majibu yaliyopendekezwa yanapatikana kwenye parandesi (kwenye mabano). Somo limekaa kimtazamo kwamba mwalimu anatumia ubao au sehemu nyingine yoyote ambayo inaweza kuonekana na wanafunzi. Somo hili pia linaweza kupatikana kutoka &lt;a href="http://www.GoBible.org"&gt;http://www.GoBible.org&lt;/a&gt; kwa lugha ya Kiingereza pamoja na lugha nyingine kama vile Kifaransa, Kijerumani. Omba kwa ajili ya uongozi wa Roho Mtakatifu unapojifunza.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Utangulizi: Je, unapambana na hisia za kutokujiamini? Je, mara nyingine wivu huwa unakufanya ufanye vitu ambavyo vinginevyo usingevifanya? Je, ni sehemu gani ya maisha yako unayoipoteza kwa kujaribu kuwathibitishia watu wengine kwamba wewe nae una hadhi? Je, wivu umeongezea mchakato katika maisha yako na yale ya familia yako? Juma hili tunageukia kwenye familia iliyojaa wivu na hisia za uduni. Matokeo yake yalikuwa ni mambo ya kutisha. Hebu tuchimbue kwenye kisa chetu cha Biblia na kuona kile tunachoweza kujifunza!&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;I. Yusufu na Akina Mama&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;   A. Soma Mwanzo 37:1-2. Baini kuwa Yusufu anafanya kazi na nduguze, lakini mama zao ni tofauti. Je, tunaelewa nini kuhusu mama mbalimbali/mama tofauti?&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;        1. Soma Mwanzo 29:16-18 na Mwanzo 29:21-29. Je, unadhani ni uhusiano wa aina gani uliokuwepo kati ya Lea na Raheli?&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;            a. Je, ni nani mwenye kosa kwenye hii hali?&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;        2. Soma Mwanzo 30:1-5. Unafikiria nini kuhusu mchakato wa Bilha kuwa mke wa Yakobo?&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;             a. Nini kilichohamasisha huu uamuzi? (Wivu.)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;        3. Soma Mwanzo 30:9-11. Unafikiria nini kuhusu mchakato wa Zilpa kuwa mke wa Yakobo?&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;             a. Je, nini kilichohamasisha huu uamuzi? (Tamaa ya makuu/malengo.)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;    B. Hebu turejee kwenye Mwanzo 37:1-2. Baini kuwa fungu la pili linasema “hivi ndivyo vizazi vya Yakobo” na kisha papo hapo linazungumzia kuhusu Yakobo na nduguze. Je, hiyo inaleta mantiki yoyote? (Maisha ya Yakobo yanaelezewa kuwa hayaendi vizuri katika familia yake.)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;         1. Je, ni udhibiti gani alionao Yakobo dhidi ya hii hali?&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;    C. Soma Mwanzo 30:22-24. Je, Raheli ana furaha kwa kumpata Yusufu? (Anataka wana wengine.)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;    D. Hebu tukufanye uwe mshauri wa familia (labda bingwa wa magonjwa ya akili wa familia). Je, ungetoa ushauri gani?&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;         1. Je, ungesema kuwa wake wangepaswa kutafuta thamani yao kwa Mungu, sio kwa mume wao au idadi ya watoto wao?&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;     E. Soma Mwanzo 30:17-18. Sasa unasemaje kuhusu ushauri wako?&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;1. Je, Mungu alimzawadia Lea kwa kumtoa mjakazi wake kwa mumewe? (Bila shaka Mungu alisikia maombi ya Lea. Lakini, nina uhakika Mungu hakumzawadia Lea kwa kuwa na wivu na kumtoa mwanamke mwingine kwa mumewe!)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;                  a. Je, hii inatufundisha nini? (Kuwa makini kwa kile tunachomtolea Mungu.)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;II. Yusufu na Nduguze&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;     A. Tumejifunza kuwa hali ya familia ni mbaya. Hebu tuangalie Mwanzo 37:1-2 tena. Yusufu analeta habari mbaya kwa kaka zake wakubwa wa kambo. Kama ungeujua huu ukweli tu, je, ungekisia nini kuhusu uhusiano kati ya hawa ndugu?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;          1. Hebu tuonezee kweli nyingine. Soma Mwanzo 35:22 na ufikirie kile tulichojifunza kuhusu jinsi ambavyo Bilha na Zilpa walikuwa wake za Yakobo. Unadhani ni mtazamo wa aina gani waliokuwa nao wana wa Zilpa (na hususan Bilha) kuhusu hadhi yao? Walikuwa wana wa wake za Yakobo wa hali ya chini. Reubeni, mwana wa Lea, hata alilala na Bilha! Nina uhakika kuwa katika hali hii iliyojawa na wivu, walijisikia duni kwa Yusufu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;               2. Unadhani Yusufu alijisikiaje mbele ya kaka zake wakubwa? (Kwa kuwa Yusufu alikuwa na miaka kumi na saba tu, huenda aliwalea. Bila shaka ndio maana walikuwa wenye madaraka.)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;               3. Je, inawezekana kuwa kila mmoja – Yusufu na wana wa wake wenye hadhi ya chini – wote walikuwa na hisia za uduni?&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;                4. Je, unadhani wana wa wake wenye hadhi ya chini walimfikiriaje Yusufu kwa kupeleka taarifa ya tabia zao mbaya?&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;     B. Soma Mwanzo 37:3. Kwa nini Yakobo (Israeli) anampatia Yusufu hii kanzu? (Kwa sababu alikuwa mzee wakati Yusufu alipozaliwa.)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;           1. Je, hiyo ni sababu ya aina gani? (Yakobo aweza kuwa alikuwa na mhemuko, lakini ninaamini kwamba upendo wake kwa Raheli ulikuwa ni sehemu ya sababu ya hisia zake dhidi ya Yusufu.)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;     C. Soma Mwanzo 37:4. Je, Yakobo anaonyesha upendo wake kwa Yusufu kwa dhati?&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;               1. Je, Yakobo alipaswa kutarajia hili?&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;                     a. Je, unadhani Yakobo anajali?&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;               2. Je, unadhani Yusufu anajibuje kutokana na hii hali? (Hii itaongeza tu hisia za Yusufu kuwa alikuwa ni “mtu wa nje” na hakustahili kuwa sehemu ya “genge.”)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;    D. Soma Mwanzo 37:5-7. Unadhani ni kwa nini Yusufu alishiriki nao hii ndoto? Je, hakuwa makini/hakuwa na hekima? Mpumbavu? Mwenye kiburi/kujigamba? (Kwa hakika hakuwa anaonyesha umahiri wa kihisia na upevu/ukomavu, ila ninahisi alielezea kisa kwa sababu alitaka kuwaonyesha ndugu zake wakubwa kuwa alikuwa na hadhi. Walipaswa kumruhusu kuingia kwenye kundi lao.)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;    E. Soma Mwanzo 37:8. Je, kisa cha Yusufu kilileta athari iliyokusudiwa?&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;    F. Soma Mwanzo 37:9-10. Mara hii, je, Yusufu ana kisingizio chochote cha kuelezea hii ndoto?&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;    G. Soma Mwanzo 37:11. Je, hizi ndizo hisia ambazo ungezitarajia? (Unaweza kutarajia nduguze kufikia uamuzi kuwa Yusufu alikuwa fidhuli mwenye kiburi/majigambo. Wivu, sio jambo ambalo lingekuja akilini. Ukweli kwamba wana wivu inaimarisha wazo kuwa walijihisi duni, na sasa wanafikiri kwamba labda Mungu amemchagua Yusufu kuwa juu yao.)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;         1. Je, Yakobo anaamini kuwa hii ndoto imetoka kwa Mungu? (Yakobo anadhani kuwa ina umuhimu.)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;     H. Je, unadhani kuwa hizi ndoto zilitoka kwa Mungu? Kwa nini Mungu ampatie Yusufu hizi ndoto hali akijua kuwa atakuwa akiwaambia?&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;III. Yusufu na Misukosuko&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;     A. Soma Mwanzo 37:12-14. Je, ni kiwango gani cha mamlaka anachopewa Yusufu?&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;          1. Ni kwa kiwango gani Yakobo anawajibika kwa kile kitakachotokea?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;      B. Soma Mwanzo 37:18-20. Je, nini kilichohamasisha moja kwa moja mpango wa mauaji? (Ndoto za Yusufu.)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;           1. Hebu tukufanye wewe kuwa mshauri wa familia tena. Je, ungetoa ushauri gani kuepusha huu msukosuko?&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;                a. Je, ungemwambia Yakobo, “Usimtume mwanao mdogo ili akuletee taarifa juu ya wanao wakubwa?”&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;                 b. Je, ungemwambia Mungu, “Usimpatie Yusufu hizo ndoto?” (Yakobo ana haki ya kumteua yeyote anayemtaka kuwa msimamizi. Nina uhakika palikuwepo na sababu za kumchagua Yusufu. Mungu ana haki ya kuwafunulia watumishi wake mambo yajayo. Tatizo lipo kwa ndugu zake (na kwetu sisi). Tunahitajika kushikamana na ukweli kwamba sisi si wenye akili nyingi, wenye vipaji, waaminifu, au wenye uwezo kama wengine. Labda ni muda tu (mwana wa Yakobo wa uzeeni) unampatia mtu mmoja manufaa dhidi ya mtu mwingine. Tunahitajika kukubali hili kwa neema na bila wivu.)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;      C. Soma Mwanzo 37:21-28 na lenga zaidi fungu la 26. Nini kinachohamasisha  uamuzi wa mwisho wa nduguze Yusufu?&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;IV. Yusufu na Matokeo&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;      A. Kisa chetu kinaendelea na mgeuzo wa ajabu ambapo Yusufu anajitokeza mbele za Farao Mfalme wa Misri, anafunua njaa ijayo, na anafunua jinsi ya kuepuka matokeo yake. Farao anamfanya Yusufu kuwa wa pili kimamlaka na msimamizi wa mpango wa kutuliza njaa. Soma Mwanzo 41:56-42:2.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;           1. Kama nduguze Yusufu wangetekeleza mpango wao wa awali na kumwua Yusufu, je, matokeo yake yangekuaje? (Huenda wengi wao wangekufa.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;                a. Je, hii inatufundisha nini kuhusu hisia za wivu, uduni na ulipizaji kisasi?&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;            2. Je, nini kilichotokea kwa nduguze Yusufu ikiwa ni matokeo ya maboresho ya mpango wao wa kumdhuru Yufusu? (Mwanzo 42-50 na Kutoka 1 vinaelezea kuwa katika mpango wa muda mfupi waliishi. Dhambi yao ilifunuliwa. Uzao wao uliishi Misri kwa miaka 430 (Kutoka 12:40), baadhi ya sehemu yao wakiwa watumwa.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;     B. Rafiki, maamuzi unayoyafanya leo kutokana na hisia za uduni, wivu na ulipizaji kisasi vinaweza kuwa na athari za wazi kabisa maishani mwako, kwenye familia yako na kwenye uzao wako. Je, utaamua hivi leo kumwomba Mungu akuondolee hisia zako za uduni na wivu na kuzibadilisha na hisia za shukrani kwa kile ambacho Mungu amekutendea?&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;V. Juma Lijalo:  Mavazi ya Kikuhani ya Neema.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/3455255205653026852-8868904802802720761?l=lesoni.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lesoni.blogspot.com/feeds/8868904802802720761/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://lesoni.blogspot.com/2011/04/somo-la-4-joho-la-rangi-mbalimbali.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3455255205653026852/posts/default/8868904802802720761'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3455255205653026852/posts/default/8868904802802720761'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lesoni.blogspot.com/2011/04/somo-la-4-joho-la-rangi-mbalimbali.html' title='Somo la 4: Joho la Rangi Mbalimbali'/><author><name>Lessoni ya Kiswahili</name><uri>http://www.blogger.com/profile/05032927242368522742</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-3455255205653026852.post-4911978407360642841</id><published>2011-04-09T13:32:00.000-07:00</published><updated>2011-04-12T23:58:06.063-07:00</updated><title type='text'>Somo la 3: Vazi Lisilokuwa na Hatia</title><content type='html'>(Mwanzo 1-3) &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Somo hili limetafsiriwa kutoka katika Copr. 2009, Bruce N. Cameron, J.D. Majibu yaliyopendekezwa yanapatikana kwenye parandesi (kwenye mabano). Somo limekaa kimtazamo kwamba mwalimu anatumia ubao au sehemu nyingine yoyote ambayo inaweza kuonekana na wanafunzi. Somo hili pia linaweza kupatikana kutoka http://www.GoBible.org kwa lugha ya Kiingereza pamoja na lugha nyingine kama vile Kifaransa, Kijerumani. Omba kwa ajili ya uongozi wa Roho Mtakatifu unapojifunza.     &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Utangulizi: Wimbo maarufu wa zamani wa kimagharibi wa midundo mchanganyiko ulioimbwa na Toby Keith una mstari wa maneno yanayosema “natamani nisingejua sasa kile ambacho nilikuwa sikijui hapo kabla.” Je, mara  nyingine huwa unajisikia hivyo? Je, kukosa haiba (kutokufahamu) ni bora kuliko kujua/kufahamu? Tatizo la kutokufahamu ni kwamba mshale wa saa haurudi nyuma. (Isipokuwa kama una udhaifu kutokana na uzee au ugonjwa wa kusahau kupindukia.) Mara unapojua/unapofahamu, unakuwa tayari umeshajua/umeshafahamu. Juma hili tunajifunza vazi lisilokuwa na kosa/hatia, na watu wawili ambao kwa uhitaji mkubwa kabisa walitamani kuwa “wasingejua sasa kile ambacho walikuwa hawakijui hapo kabla.” Hebu tuzame!&lt;br /&gt;I. Uumbaji wa Wanadamu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma Mwanzo 1:26-28. Je, wanadamu walikuwa na upendeleo gani baada ya kuumbwa kwao? (Waliumbwa kwa mfano wa Mungu kama watawala wa nchi/dunia. Walibarikiwa na Mungu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Soma Mwanzo 2:8-10. Hebu fikiria picha ya hii bustani akilini mwako. Je, ungependa kuishi humo bustanini? (Ndiyo! Miti ya ajabu ya matunda bustanini kukiwa na mito minne.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;C. Soma Mwanzo 2:7,19 na mwanzo 2:20-23. Adamu pamoja na wanyama walifanywa kutokana na mavumbi. Hawa alifanywa baadaye kutoka ubavuni mwa Adamu. Je, hiyo inapendekeza nini kuhusu asili ya uhusiano kati ya wanaume na wanawake?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;D. Soma Mwanzo 2:23-25. Je, ni jibu gani analolitoa Adamu kuhusu asili ya uhusiano wao kulingana na njia ya uumbwaji wa Hawa? (Anaona umoja kati yao.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;E. Je, “uumbaji wa Hawa unaotokana na ubavu” unatujuza mtazamo wetu sahihi wa ndoa hivi leo? (Jinsi ambavyo Adamu na Hawa walivyokuwa na muunganiko wa kimwili katika uumbaji wao, vivyo hivyo huu muunganiko wa kimwili kwenye ndoa unaishia kuleta watoto walio na muunganiko wa kimwili na wazazi wao. Watoto ni muunganiko/mchanganyiko wa maisha ya aina mbili (nafsi mbili).)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;F. Fikiria kuwa una mwili mkamilifu na mwenzi wako ana mwili mkamilifu. Je, mtajisikia aibu kuwa peke yenu uchi kwenye bustani kamilifu na iliyo salama?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Kama jibu lako ni “Hapana,” kwa nini Biblia inahitajika kuelezea kuwa hawakuwa na aibu? (Inapendekeza kuwa suala la wazi hivi sasa ni kuwa na aibu kutokana na kuwa uchi.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;G. Mfululizo wetu wa masomo unahusiana na ishara ya mavazi. Adamu na Hawa hawakuvaa mavazi ya asili, kwa mujibu wa Biblia. Je, ni ishara gani tunapaswa kuichukua kutokana na hilo? (Walikuwa wakamilifu. Mazingira yao yalikuwa makamilifu. Walitakiwa kuuendeleza maisha ya kibinadamu kupitia kwenye muunganiko wa kujamiiana. Hii iliashiria usafi na kutokuwa na hatia kwa wanadamu kabla dhambi haijaingia kwenye hii taswira nzima.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, tutakuwa na miili ya aina gani mbinguni?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Je, tutavaa mavazi ya aina gani?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;II. Anguko Kutoka Kutokuwa na Hatia&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Soma tena Mwanzo 2:9 na Mwanzo 2:15-17. Unadhani ni kwa nini Mungu aliuita mti jina la “ujuzi wa mema na mabaya?”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Kwa nini Mungu hakutaka wanadamu kujua mema? Yaani, kwa nini tu asiuite mti “ujuzi wa mabaya?”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Je, unadhani kuwa jina la mti lilikuwa ni matokeo ya makubaliano kati ya Mungu na Shetani?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Soma Mwanzo 3:1-5. Juma lililopita tulijifunza kile ambacho Shetani alikuwa amekivaa. Unalichukulia vipi jaribu lililowekwa mbele ya Hawa? (Kiburi/Majivuno? Kutokumwamini Mungu? Sauti ya Shetani ilikuwa kwamba Hawa angekuwa na ufahamu zaidi, maarifa yake yangekuwa kama yale ya Mungu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, ni kweli kwamba Mungu hakutaka Hawa kuwa na maarifa makubwa?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Ninaamini katika kujipatia maafira makubwa. Uelewa sahihi ni ufunguo wa tabia njema. Je, maarifa zaidi yanawezaje kuwa ni kitu kibaya? (Kuyatafuta maarifa zaidi haikuwa dhambi. Dhambi ilikuwa ni kutokumwamini na kutomtii Mungu -  kuwa  kama Mungu. Maarifa yaliyotokana na hilo – kilichokuwa kama kupoteza kutokuwa na hatia/kosa na usafi – hakukuwa kitu chanya katika hali iwayo yoyote ile.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;3. Hivi karibuni niliandika kuwa wale walioanguka dhambini wana faida katika kuielewa haki kwa imani. Wazo hili linaelezewa katika Luka 7:47: wale waliosamehewa dhambi nyingi, hupenda sana na wale waliosamehewa kidogo, hupenda kidogo. Msomaji mmoja alinibainishia kuwa kutokutii kamwe sio vizuri. Hiyo ni muhimu zaidi tunapochukulia uelewa wa uovu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;4. Je, huu mjadala unatusaidia kuelewa kwa nini mti uliitwa “ujuzi wa mema na mabaya?” (Kutokuwa na kosa/hatia kunatofautishwa na kujua wema na ubaya.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;C. Soma Mwanzo 3:6. Je, nini kilichomhamasisha Hawa kula tunda lililokatazwa? (Lafaa kwa chakula, lapendeza macho na lingetoa maarifa.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, sababu mbili za kwanza zina mantiki yoyote kwa vyovyote iwavyo? Bustani ilijazwa na miti iliyofaa kwa chakula na ilikuwa na tunda lililotamanisha macho! Je, Hawa ni zuzu/mpumbavu, au kitu fulani cha ndani zaidi kinafunuliwa? (Mungu na Hawa walikuwa na mtazamo tofauti kabisa kwenye suala linalozungumziwa. Hawa alifikiri tatizo lilikuwa kwamba tunda lilikuwa lenye sumu. Hiyo ndio sababu kuwa kile na ambacho kilichoonekana kufaa kwa chakula vilikuwa vya muhimu sana. Halikuonekana kuwa lenye sumu, lilionekana kama chakula kizuri.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Je, kuna kosa gani kwenye mtazamo wa Hawa? (Hili ni suala la majivuno/kiburi. Alifikiri kuwa suala lote la ukatazwaji/uzuiliwaji lilikuwa ni kumhusu yeye – afya yake na uzima wake. Shetani alianzisha wazo la ziada kuhusu elimu yake na maarifa.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;a. Je, ukatazwaji ulihusu nini?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;3. Je, tunajisikia hatia wa aina hii ya kiburi/majivuno katika kuzitafsiri amri za Mungu? Amri nyingi zina kiungo cha dhahiri na afya yetu na uzima wetu. Je, hiyo inamaanisha kuwa tunaweza tusijali amri kama hatuwezi tambua kiungo cha uzima wetu?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;a. Katika Mambo ya Walawi 11 Mungu anabainisha wanyama wanaofaa kwa chakula na wengine wasiofaa. Tofauti hii kati ya wanyama safi na najisi ilikuwepo zamani sana katika historia ya mwanadamu kwa sababu inanukuliwa katika Mwanzo 7. Kwa jinsi ambavyo inanukuliwa kwenye Mwanzo 7 inaamua kuwa tofauti tayari ilikuwa inajulikana bayana. Nikirejea kwenye kisa katika historia ya Marekani, nakumbukia mtakatifu akiniambia kuwa angejisababishia njaa kabla hajamla farasi. Binafsi nilidhani alikuwa na wazimu – kwa vile lengo zima la tofauti ya nyama safi/najisi lilikuwa kwa ajili ya afya. Je, nilikuwa na mtazamo wa “Hawa?” (Ndiyo. Ingawa naweza kuwa nilikuwa sahihi, ni hatari kufikiri kuwa tunaweza kufahamu/kutambua sababu za Mungu za amri na kisha kuipuuza amri wakati ambapo haiingiliani tena na uelewa wetu wa sababu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;D. Soma Mwanzo 3:7. Tulijadili hili hapo kabla: miili mikamilifu na mtu na mkewe waliooana. Hakuna kitu katika hilo kuwafanya wajisikie hatia. Je, unaelezaje hili? (Sidhani kwamba suala la “uchi” linahusu suala la kujamiiana. Je, umewahi kujisikia hatia sana kiasi kwamba ulitaka kujificha? Je, umewahi kutaka kuwaepuka watu wasikuangalie kwa sababu ya maamuzi yako maishani? Unajisikia kuvuliwa utu wako. Nadhani hicho ndicho kinachoendelea hapa – walitaka kupotelea kwenye lundo la majani. Wangekuwa miti isiyotambulika kwa kitambo kidogo.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;E. Soma Mwanzo 3:21-24. Je, ni aina gani ya mavazi anayoyafanya Mungu kwa ajili ya Adamu na Hawa? (Ngozi ya mnyama.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Je, ni ishara gani unayoiona katika hilo? (Hisia yao ya kuwa uchi kwa sababu ya dhambi yao “inafunikwa” ikiwa ni matokeo ya kifo cha wanyama. Hii inakuwa ishara ya mfumo wa hekalu na ahadi ya Mungu ya kuwakomboa.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Je, vazi la “ngozi” linaongezea kwenye mjadala wetu kuhusu Adamu na Hawa kutumia majani ili kutojisikia kuwa uchi? (Hii inaonyesha kuwa vazi lina maana zaidi ya umuhimu wa kiroho/kiakili. Hii inapendekeza kuwa hawakujisikia vizuri bila mavazi.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;III. Kuchagua Vazi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A. Juma lililopita tulijifunza anguko la Shetani. Juma hili tumejifunza dhambi ya Hawa na kwa hiyo anguko la mwanadamu. Je, kuna mfanano gani uliopo kati ya hizi pande mbili? (Vyote vilianza kwa ukamilifu. Kiburi/majivuno na kutokumwamini Mungu ndivyo vilikuwa ufunguo wa kuingia kwa dhambi.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B. Fikiria kuhusu hili. Sote tuliosalia tulianza kwa kuwa chini ya ukamilifiu. Tulizaliwa katika dhambi. (Angalia Warumi 5:12-14.) Je, tuna uwezekano gani kuwa huru kutoka dhambini tofauti na vazi la haki tulilojadili kwenye somo la kwanza?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;C. Rafiki, wanadamu wamepotelewa na haiba. Kama tu waaminifu, tunajua kuwa kwa dhahiri na uwazi kabisa tu waovu. Hatuwezi kurudisha nyuma mshale wa wakati na kuwa wasio na hatia/kosa tena. Tumaini letu pekee ni kukubali wito unaoletwa kwetu na Mungu na kufunika “uchi” wetu wenye hatia na vazi la Yesu la haki. Je, utakiri dhambi zako na kukubali wito wa Mungu na vazi lake hivi leo?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Juma Lijalo: Vazi Lenye Rangi Mbalimbali.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/3455255205653026852-4911978407360642841?l=lesoni.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lesoni.blogspot.com/feeds/4911978407360642841/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://lesoni.blogspot.com/2011/04/somo-la-3-vazi-lisilokuwa-na-hatia.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3455255205653026852/posts/default/4911978407360642841'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3455255205653026852/posts/default/4911978407360642841'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lesoni.blogspot.com/2011/04/somo-la-3-vazi-lisilokuwa-na-hatia.html' title='Somo la 3: Vazi Lisilokuwa na Hatia'/><author><name>Lessoni ya Kiswahili</name><uri>http://www.blogger.com/profile/05032927242368522742</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-3455255205653026852.post-2059249129774387553</id><published>2011-04-05T05:13:00.000-07:00</published><updated>2011-04-05T05:14:38.118-07:00</updated><title type='text'>Somo la 2: Kutoka Kukwezwa Hadi Kutupwa Chini</title><content type='html'>(Mwanzo 3, Ufunuo 12, Ezekieli 28) &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Somo hili limetafsiriwa kutoka katika Copr. 2009, Bruce N. Cameron, J.D. Majibu yaliyopendekezwa yanapatikana kwenye parandesi (kwenye mabano). Somo limekaa kimtazamo kwamba mwalimu anatumia ubao au sehemu nyingine yoyote ambayo inaweza kuonekana na wanafunzi. Somo hili pia linaweza kupatikana kutoka http://www.GoBible.org kwa lugha ya Kiingereza pamoja na lugha nyingine kama vile Kifaransa, Kijerumani. Omba kwa ajili ya uongozi wa Roho Mtakatifu unapojifunza.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Utangulizi: Kama haki ni kama vazi, je, uovu unavaa nini? Juma hili tunaangalia kile ambacho Biblia inasema kuhusu chanzo cha Shetani na uovu. Somo letu limefanywa kuwa gumu kwa ukweli kwamba baadhi ya maandiko yanaonekana kuwa ya kiishara. Je, kipi ni kitu cha uhakika/ukweli na kipi ni cha kiishara? Je, tunazifikiaje kweli? Hebu tuzame kwenye hili tukio lisilokuwa la kawaida kwenye somo letu la Biblia.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;I. Mshawishi&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;   A. Soma Mwanzo 3:1-4. Tuna kitu cha kushangaza hapa: mnyama ambaye si kwamba tu anaongea, bali pia anamchanganya Mungu! Je, hii ni ishara, mnyama au kitu kingine tu?&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;   B. Soma Ufunuo 12:7-9. Je, tunajifunza nini kuhusu joka ambalo “linauongoza ulimwengu wote upotevuni?” (Joka ni Shetani, Mwovu. Kwa hakika ana uwezo wa kuchukua mfano wa nyoka au zimwi/mnyama! Alikuwa mbinguni na alipigana dhidi ya Mungu na alishindwa. Alitupwa chini duniani ambapo tangia hapo amekuwa akijihusisha na kazi yake ya kuwadanganya wanadamu.)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;        1. Je, Shetani yu peke yake? (Hapana. Ana malaika waliopambana (kwa mafanikio) kwa ajili yake. Nao pia walitupwa chini duniani pamoja naye.)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;II. Vazi la Mshawishi&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;     A. Bado tuna maswali ambayo hayajibiwa kuhusu Shetani. Hebu tusome Ezekieli 28:11-13. Je, ni nani anayeelezewa hapa? (Mfalme wa Tiro.)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;         1. Je, ni ukweli upi usioendana na mfalme wa nchi? (Inasema kuwa alikuwa kwenye Bustani ya Edeni.)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;              a. Hebu tutafakari akilini mwetu wahusika waliotupwa katika Bustani ya Edeni. Je, ni wafalme wowote (tofauti na Mungu)? (Hapana.)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;              b. Kama nyoka wa Edeni hakuwa nyoka wa ukweli, je, Mfalme wa Tiro anaweza kuwa kitu kingine tu  tofauti na mfalme  wa kibinadamu? (Hakuna nukuu nilizokwishawahi kuziona zinakubaliana nami, lakini kama kweli tulizoziona (na tutaziona) zote zinachukuliwa kuwa za kweli, basi nyoka wa Edeni na Mfalme wa Tiro wana tabia moja – wote walikuwa Edeni. Hitimisho la kimantiki ni kuwa Shetani alichukuwa mfano wa nyoka na mfalme. Shetani alimmiliki nyoka na mfalme, au kwa namna fulani hivi alichukua sura zao. Huenda hii ni mifano ya awali kabisa ya wizi wa sura!)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;    B. Soma Ezekieli 28:14. Je, hii yaweza kuwa Mfalme wa Tiro? (Sasa tuna mahali pa tatu, “mlima mtakatifu wa Mungu” na maelezo ya tatu “kerubi” ambayo yumkini hayawezi kumwelezea mfalme wa kidunia. Hata hivyo, yanaendana kabisa na kile tulichojifunza kumhusu Shetani hadi hivi sasa. Ushahidi ni wa kutosha kabisa kuwa Shetani anaelezewa hapa, na wala si mwanadamu wa kawaida.)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;    C. Basi sasa tunajua kuwa Ezekieli anamwelezea Shetani, hebu turejee nyuma na tusome tena Ezekieli 28:13. Je, Shetani amevaa nini? (Vazi lililofunikwa na dhahabu na mapambo yanayotokana na almasi. Mengi ya mawe haya yalikuwa kwenye kifuko cha kifuani cha kuhani mkuu (Kutoka 28:15-21) na mengi yapo kwenye misingi ya Yerusalemu Mpya (Ufunuo 21:19-20).)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;        1. Je, vazi hili linapendekeza nini kumhusu Shetani wakati alipokuwa mbinguni? (Ya kwamba alikuwa amekwezwa.)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;        2. Je, Shetani alipatikanaje? (Alikuwa mtu aliyeumbwa – kama wanadamu na malaika.)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;                         3. Tulianza kwa kuuliza “kama haki ni kama vazi, je, uovu unavaa nini?” Je, jibu ni “dhahabu na mapambo yanayotokana na almasi?”&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;             a. Kama hiyo ni kweli, je, tunaelezeaje kifuko cha kifuani cha kuhani mkuu na mawe katika Yerusalemu Mpya? (Tunahitaji jibu zuri zaidi.)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;    D. Angalia tena Ezekieli 28:14. Je, kazi ya Shetani mbinguni ilikuwa ipi? (Alikuwa amepakwa mafuta na Mungu mwenyewe kama “kerubi mkuu” katika mlima mtakatifu wa Mungu.)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;    E. Soma Ezekieli 28:15. Je, dhambi iliingiaje mbinguni? (Hili fungu linasema kuwa Shetani aliumbwa akiwa mkamilifu bila kuwa na mawaa. Ezekieli 28:12 inasema alikuwa “mfano wa ukamilifu, amejaa busara na mkamilifu wa uzuri.” Siku moja “uovu ulionekana” ndani ya Shetani.)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;         1. Je, hili ni jibu la kuridhisha?&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;    F. Soma Ezekieli 28:16-17. Hii inatupatia maelezo ya kina ya jinsi dhambi ilivyoibuka mbinguni. Je, ni matatizo gani katika maisha ya Shetani yaliyoiingiza mbingu na dunia kwenye pambano linaloendelea dhidi ya dhambi? (Majivuno ni tatizo la kwanza. Tatizo la pili linaonekana kuwa ni matendo yasiyokuwa ya haki au kiburi/majisifu/ufidhuli vinavyoibuka kutokana na umiliki mkubwa wa mali.)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;       1. Fikiria vitu ambavyo kanisa lako mahalia linavichukulia kuwa vinatosha kukufuta ushirika. Je, kiburi kipo kwenye hiyo orodha?&lt;br /&gt;           a. Vipi kuhusu matendo yasiyokuwa ya haki au majisifu/ufidhuli kulingana na mafanikio yako maishani?&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;            b. Au, je, sifa hizi yumkini zaidi zinakufanya uchaguliwe kwenye uongozi kanisani?&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;         2. Nini kilichofanya Shetani atupwe kutoka mbinguni? (Majivuno/kiburi.)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;               a. Kwa hiyo sasa, uovu unavaa nini? (Baini kuwa Ezekieli 28:17 unafungamanisha kiburi cha Shetani na uzuri wake. Hii inapendekeza kuwa vazi la Shetani la dhahabu na mapambo ya almasi lilikuwa sehemu ya tatizo lake la kiburi. Jibu letu linapaswa kuwa, “uovu unavaa kiburi/majivuno.”)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;         3. Hebu tuangalie sehemu nyingine ya Ezekieli 28:17: “umeiharibu hekima yako kwa sababu ya mwangaza wako.” Kwa kawaida huwa tunachukulia uzuri na hekima kama mibaraka mikubwa. Je, tunakosea?&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;              a. Nani aliyemfanya Shetani kuwa mrembo/mzuri? (Mungu! Uzuri na hekima ni mbaraka. Lakini, zinaweza kutumiwa vibaya kirahisi. Vyote vinazaa kiburi/majivuno. Kiburi ni uovu ambao tunahitaji uwezo wa Mungu.)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;III. Kuepuka Vazi la Mshawishi&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;      A. Soma Kumbukumbu la Torati 8:2-5. Je, lengo la Mungu kwetu ni lipi? (Unyenyekevu?)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;           1. Ninatambua kuwa uovu unavaa kiburi/majivuno, lakini ninachukia kufedheheshwa/kudhalilishwa/kuvunjiwa heshima/kuaibishwa. Je, hicho ndicho alichonacho Mungu mawazoni mwake kwa ajili yetu?&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;                a. Kama sivyo, je, Mungu anapendekeza kuwa anataka kutufanyia nini katika kipaumbele cha “unyenyekevu?”&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;            2. Hivi sasa ninasoma kitabu kinachoitwa “Cheche: Mapinduzi Mapya ya Sayansi ya Mazoezi na Ubongo kilichoandikwa na Eric Hagerman” (Spark: The Revolutionary New Science of Exercise and the Brain, by Eric Hagerman). Kitabu hiki kinajaribu kubaini uhusiano wa karibu uliopo baina ya mazoezi na afya ya ubongo. Kwa urahisi kabisa, mazoezi yanaunyoosha/yanauchangamsha mwili ambao unaisaidia akili kuweza kuhimili msongo. Je, hii ndio kanuni tunayoiona  kwenye Kumbukumbu la Torati 8? (Ndiyo. Jangwa lilikuwa sehemu yenye msongo mkubwa kuishi. Watu walipokuwa na njaa, walipatwa na msongo. Lakini, Mungu aliwaokoa kutoka kwenye msongo wao. Hii iliwasaidia kukua katika imani kwa kuwaonyesha kuwa njia ya kuachana na msongo ilikuwa ni kumwamini Mungu.)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;            3. Je, mafungu haya ya Kumbukumbu la Torati 8 yako kinyume kwa namna gani na kuvaa vazi la kiburi? (Majivuno/kiburi kinakufanya ufikiri kuwa unaweza kutenda wewe mwenyewe. Wewe ni bora zaidi/una hadhi ya juu. Kumwamini Mungu na kumwona akitenda kazi kwenye yale mambo yanayokupa msongo kunaongeza imani yako kwake.)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;     B. Je, nidhamu ya Mungu ni ya muhimu kiasi gani maishani mwako? (Kama unataka kukua (misuli, afya ya kihisia, imani, nk.) unatakiwa kunyooshwa. Unajua kuwa hii ni kweli kutokana na mazoezi. Kama tumeichukulia nidhamu kama mazoezi, tungeifurahia yote kupita kiasi.)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;          1. Kama ndivyo, je, kuinyoosha imani yeti ni tofauti kiasi gani? (Unyooshaji wa imani (kama tulivyojifunza juma lililopita) unaonyesha kuwa hatuwezi kufanya hivyo. Hata hivyo, ukuaji wa imani unakuja kwa kutambua kuwa Mungu anaweza. Anatupatia mana na mavazi hayachakai. Hii inafanya vazi letu la haki likue na vazi letu la kiburi linywee.)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;IV. Shabaha ya Mshawishi&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;     A. Soma Ufunuo 12:17. Je, mtazamo wa Shetani kwetu ni upi? (Amekasirika. Anaendeleza vita dhidi yetu.)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;          1. Je, Shetani anatumia silaha gani dhidi yetu? (Kiburi!)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;           2. Je, fungu la 17 linapendekeza ulinzi gani? (Juma lililopita tulijifunza kuwa sheria inathibitisha/inashuhudia haki kwa imani. Sio tu kuwa utii wa sheria ni ngao dhidi ya uovu, lakini sheria inatukumbusha kuhusu dhambi zetu na kutoboa kiburi chetu. Ushuhuda wa Yesu ni kwamba aliishi na kufa kwa ajili ya dhambi zetu. Kuishikilia kikamilifu imani yetu katika Yesu ni ulinzi wetu bora zaidi dhidi ya ushari wa hasira na ujivuni wa Shetani.)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;    B. Rafiki, je, ni kwa dhati kiasi gani unachukulia tatizo la kiburi maishani mwako? Je, utadhamiria hivi leo kuvua vazi lako la kiburi na kulibadilisha na vazi la Mungu la haki? Kama inachukua nidhamu kidogo kukusaidia uweze kuona utofauti, basi msifu Mungu!&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;V. Juma Lijalo: Vazi Lisilokuwa na Hatia.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/3455255205653026852-2059249129774387553?l=lesoni.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lesoni.blogspot.com/feeds/2059249129774387553/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://lesoni.blogspot.com/2011/04/somo-la-2-kutoka-kukwezwa-hadi-kutupwa.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3455255205653026852/posts/default/2059249129774387553'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3455255205653026852/posts/default/2059249129774387553'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lesoni.blogspot.com/2011/04/somo-la-2-kutoka-kukwezwa-hadi-kutupwa.html' title='Somo la 2: Kutoka Kukwezwa Hadi Kutupwa Chini'/><author><name>Lessoni ya Kiswahili</name><uri>http://www.blogger.com/profile/05032927242368522742</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-3455255205653026852.post-6172541631079502771</id><published>2011-03-29T12:10:00.001-07:00</published><updated>2011-03-29T12:11:49.759-07:00</updated><title type='text'>Robo ya Pili, 2011: Somo la 1: Katika Mwonekano wa Mbinguni</title><content type='html'>(Isaya 64, Warumi 3, Mathayo 22) &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Somo hili limetafsiriwa kutoka katika Copr. 2009, Bruce N. Cameron, J.D. Majibu yaliyopendekezwa yanapatikana kwenye parandesi (kwenye mabano). Somo limekaa kimtazamo kwamba mwalimu anatumia ubao au sehemu nyingine yoyote ambayo inaweza kuonekana na wanafunzi. Somo hili pia linaweza kupatikana kutoka http://www.GoBible.org kwa lugha ya Kiingereza pamoja na lugha nyingine kama vile Kifaransa, Kijerumani. Omba kwa ajili ya uongozi wa Roho Mtakatifu unapojifunza.     &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Utangulizi: Kama maishani mwako mwote umekuwa ukienenda kwa busara kiujumla kwa kuwaheshimu wazazi wako na Mungu, u na kasoro tofauti kwenye eneo moja muhimu: haki kwa imani. Hakuna kitu kama kujikwaa kwenye dhambi ya kutisha ili kujifunza somo muhimu kuwa hatuna kitu chochote binafsi kitakachotuokoa. Tunaweza kuwa bora kuliko wengi wa wale tunaowafahamu, lakini kwa hakika tumepotea, isipokiwa tu kama tutayategemea kikamilifu kabisa maisha, kifo na ufufuo wa Yesu kwa niaba yetu. Katika somo hili tunaanza mfululizo mpya unaojielekeza kwenye masuala ya ishara katika Biblia zinazotufundisha kuhusu hitaji letu la Mwokozi. Hebu tuzame kwenye somo letu la Biblia na kuangalia kuwa joho/vazi la Yesu la haki linamaanisha nini!&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;I. Tusiomstahili Mungu Wetu&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;   A. Soma Isaya 64:1-2. Biblia inasema kuwa Mungu ni kama moto  na sisi ni kama vichaka (au vijiti) na maji. Je, moto unavifanyia nini vichaka na maji? (Unabadili maumbo yao. Unaondoa molekuli zao! Unaviharibu.)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;         1. Je, sisi ni maadui wa Mungu? Au, Isaya anaandika kuhusu kitu kingine?&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;    B. Soma Isaya 64:4-5. Je, Mungu wetu yukoje kinyume na mungu/miungu mingine? (Anatusaidia. Miungu mingine inawataka wanadamu waisaidie. Katika hili, Mungu wetu ni wa kipekee.)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;         1. Nini kilichosababisha ufa/mpasuko kati yetu na Mungu wetu mwenye msaada? (Mungu alitaka kuwa na ubia na sisi ambapo kwa furaha kabisa “tungetenda vitu kwa usahihi.” Lakini, tumeshindwa katika jukumu hilo. Tumetenda dhambi dhidi ya njia za Mungu na tunaendelea kutenda dhambi.)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;     C. Soma Isaya 64:6. Je, tu wabaya kiasi gani? (Matendo yetu bora, “matendo yetu ya haki” (si mimi ninayesema hivi, hivi ndivyo Waebrania inavyomaanisha) ni kama pamba au kipande cha nguo kilichotumiwa na mwanamke wakati wa hedhi).&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;           1. Nilipokwenda kwenye mjumuiko wetu wa miaka ishirini tangu tulipomaliza elimu ya juu ya sekondari, fikra zangu zilikuwa wazi kabisa kuhusu mahusiano. Sasa nilijua kuwa kila mtu katika elimu ya juu ya sekondari alikuwa na hisia za kutokujiamini – ilhali nikifikiria kuwa kila mmoja (au tuseme kwa wengine) alijisikia kujiamini. Sote tulikuwa na mtazamo mbaya tulipokuwa katika elimu ya juu ya sekondari – mtazamo uliofanya maisha yawe magumu zaidi! Je, mtazamo wa aina gani tunaopaswa kuwa nao kuhusu haki yetu kuwa “kama matambara yenye kutia kinyaa?” (Ninapambana na dhambi na ninakarahishwa na udhaifu wangu. Ni ahueni kubwa kujua kuwa hii ni kawaida/kanuni, hata miongoni mwa wale wanaotamani kutenda matendo ya haki.)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;     D. Soma Isaya 64:9. Je, tumaini la Agano la Kale lilikuwa lipi? (Sisi ni watu wa Mungu. Tunatumaini kuwa hatakuwa na hasira kupita kiasi, tunamwangalia kwa ajili ya kutuokoa kutoka dhambini.)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;     E. Soma Zaburi 14:2-3. Je, Mungu anawaona watu wangapi wenye haki anapoangalia chini kutokea mbinguni? (Hakuna hata mmoja – angalao miongoni mwa wanadamu!)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;     F. Soma Zaburi 14:7. Je, fungu hili linasema kuwa lipi lililo tumaini la wanadamu wapotovu? (Fungu hili linatupa taarifa kwa undani zaidi kuhusu wokovu: tumaini letu ni kuwa Mungu ataturejeshea wokovu wetu.)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;II. Urejeshwaji&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;    A. Soma Warumi 3:9-12. Je, tumesoma hili mahala fulahi hapo kabla? (Ndiyo! Paulo ananukuu lugha kutoka Zaburu 14 – tuliposoma hivi punde.)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;    B. Soma Warumi 3:19-20. Je, nafasi/uwezekano wetu wa kuwa wenye haki kwa kutii sheria ya Mungu ni upi? (Sifuri!)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;         1. Je, lengo la sheria ni lipi basi? (Ni kutufanya tu kuwa na ufahamu wa dhambi zetu.)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;     C. Soma Warumi 3:21. Je, chanzo pekee cha haki yetu ni kipi? (Mungu.)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;          1. Je, sheria ina chochote cha kujihusisha na haki yetu? &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;a. Kama ndivyo, jukumu lake ni lipi? (Haki yetu ni “tofauti na sheria.” Hata hivyo, sheria “inathibitisha” ukweli kwamba chanzo chetu pekee cha haki ni Mungu.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;(1) Je, ni kwa jinsi gani hiyo ni kweli? (Kuwa mwaminifu. Je, utii wako wa sheria ukoje/unaendeleaje? Ukweli kwamba unapambana kutii ni ushuhuda wa sheria kuwa haki huja kutoka kwa Mungu pekee.)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;           2. Je, manabii wanathibitisha vipi kuwa haki hutoka kwa sheria peke? (Chukulia mashujaa wako wa Agano la Kale. Je, ni wangapi kati yao walitenda dhambi ambazo unadhani kuwa ulikuwa mwerevu vya kutosha kuziepuka?)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;    D. Soma Warumi 3:22-26. Je, tunapataje hii haki kutoka kwa Mungu? Je, tunashiriki vipi katika wokovu wa Mungu wa wanadamu waovu? (Kwa imani katika Yesu.)&lt;br /&gt;         1. Je, Yesu aliifanyaje hii haki ipatikane kwetu? (“Mungu alimwasilisha kama kafara ya upatanisho.” Hii inaleta akilini huduma ya hekaluni la Agano la Kale ambapo damu (kifo) cha mnyama kiliwasilishwa kwa ajili ya dhambi za mwanadamu. Nadharia ilikuwa kwamba mwanadamu hakupaswa kufa kwa sababu mnyama alikufa badala ya mwanadamu.)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;               a. Chini ya mfumo wa Agano la Kale, je, mwanadamu alipata msamaha wa dhambi? (Hili ni suala la msingi: hakuna hata wakati mmoja katika Biblia ambapo dhambi iliondolewa kwa matendo ya haki. Hakuna Kamwe. Dhana ya msingi ya mfumo haijabadilika. Sasa tuna hekalu la mbinguni na Yesu kama kafara yetu. Angalia Waebrania 9:11-14.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;           2. Baini kuwa Warumi 3:22 inasema “hakuna tofauti.” Je, ni aina gani ya tofauti inazoziongelea? (Tofauti katika haki yetu. Kiwango cha utii wetu unaotarajiwa hauleti tofauti yoyote. Sote tunapotea bila neema ya Mungu. Sote tunapotea kama hatukubali mbadala wa haki wa maisha, kifo na ufufuo wa Yesu.)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;III. Joho&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;      A. Soma Mathayo 22:1-7. Je, nini kinapaswa kututokea kulingana na dhambi zetu? (Kama tukimkataa Mungu, adhabu ni kali.)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;           1. Hili ni fumbo/mithali. Unadhani nini kinachomaanishwa kwa “sherehe ya harusi ya mwanawe?” (Maelezo ya Adam Clarke yanajibu, “upekee wa Injili, kipindi ambacho wanadamu wanakaribishwa kushiriki mibaraka inayonunuliwa na ….. kupata mwili na kifo cha Bwana wetu mbarikiwa.”&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;      B. Soma Mathayo 22:8-10. Baini kuwa watumishi wa awali hawaku “stahili kuja.” Je, hili kundi jipya “lilistahili kuja?”&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;           1. Kama huu ndio “upekee wa Injili,” je, hii inatufundisha nini kuhusu yule anayestahili kuujia wokovu? (Wale wasiojali na walio na uhasama hawastahili kuja. Wale wanaokubali wito/ukaribisho, hata kama ni “wabaya,” wanastahili kuja!)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;      C. Soma Mathayo 22:11-12. Hawa watu walikuja moja kwa moja kutoka mitaani. Je, ni kwa jinsi gani wangeweza kuwa na mavazi ya harusi? (Maelezo ya Adam Clarke yanaeleza kuwa mtu aliyewakaribisha wageni aliandaa vazi kwa ajili yao. “Kuwa na uwezo wa kununua mazazi ya dharura ya wageni maalum kwa ajili ya sherehe ya harusi, ilikuwa ni desturi miongoni mwa Wayunani wa kale.”)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;            1. Je, kwa nini mtu asiyekuwa na vazi la harusi alitekewa? (Hivyo ndivyo jinsi tulivyo pale tusipokuwa na visingizio vya msingi. Huu ni uthibitisho zaidi kuwa mfalme alitoa mavazi. Vinginevyo, jibu la kwanza la yule mtu lingekuwa “nilikuwa ninafanya manunuzi katika duka la Shoprite na nikaambiwa kuwa lazima nije mara moja!”)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;     D. Soma Mathayo 22:13-14. Je, ni kwa jinsi gani mfalme anaweza kusema “wateule ni wachache?” Ni nani aliyefanya uchaguzi? (Mfalme alichagua kumtupa yule mtu kutoka kwenye sherehe ye harusi.)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;          1. Je, nini kilikuwa na ambacho hakikuwa msingi wa uchaguzi wa mfalme? (Hakuchagua kulingana na nani aliyekuwa rafiki yake wale walioalikwa wa kwanza. Hakuchagua kulingana na kama mgeni alikuwa mzuri au mbaya. Uchaguzi wake ulitegemeana na wale tu waliovaa vazi la harusi.)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;               a. Je, hii inamaanisha kuwa watu wabaya wanaokolewa?&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;               b. Je, ishara ya vazi la harusi inasema nini kuhusu tabia ya wale wanaookolewa? (Chochote kile ambacho hawa wageni walikivaa kwenye harusi (ambayo kwa hakika haikuwa ma
